PROF. KITILA: SUALA SIO KATIBA MPYA BALI LINI TUTAREJEA MCHAKATO
Amesema Nchi ilishapiga hatua kwani ilishakubaliana Mwaka 2014 na kuunda Tume ya #Katiba Mpya
Asema swali la kujiuliza ni lini mchakato utarejea kwani Rasilimali nyingi zimetumika
Soma - https://jamii.app/Katiba2014
Amesema Nchi ilishapiga hatua kwani ilishakubaliana Mwaka 2014 na kuunda Tume ya #Katiba Mpya
Asema swali la kujiuliza ni lini mchakato utarejea kwani Rasilimali nyingi zimetumika
Soma - https://jamii.app/Katiba2014
JE, NI RAHISI WANAWAKE KUSAMEHE USALITI KULIKO WANAUME?
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema mara nyingi ni rahisi Mwanamke kumsamehe Mwanaume kosa la usaliti kuliko Mwanaume kumsamehe Mwanamke
Nini mawazo yako kwenye hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UsalitiMapenzi
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema mara nyingi ni rahisi Mwanamke kumsamehe Mwanaume kosa la usaliti kuliko Mwanaume kumsamehe Mwanamke
Nini mawazo yako kwenye hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UsalitiMapenzi
UJERUMANI: SAFARI ZA NDEGE ZAFUTWA KWA MGOMO WA WAFANYAKAZI
Wafanyakazi wa Usalama wamefanya mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara
Mgomo huo unafanyika wakati Mashirika ya Ndege yakiyumba kutokana na vita ya #Ukraine na ongezeko la Bei ya Mafuta
Soma - https://jamii.app/FlightsCancelGRM
Wafanyakazi wa Usalama wamefanya mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara
Mgomo huo unafanyika wakati Mashirika ya Ndege yakiyumba kutokana na vita ya #Ukraine na ongezeko la Bei ya Mafuta
Soma - https://jamii.app/FlightsCancelGRM
MSAIDIZI WA SABAYA ADAI ALIKUWA ANAISHI KAMA MATEKA
Watson Mwahomange ambaye ni Mtuhumiwa katika Kesi ya Uhujumu Uchumi amesema alipigwa kila alipotuhumiwa kitu
Asema Sabaya ni mtu hatari na kuomba Mahakama impe ulinzi atakaporudi Mahabusu
Soma - https://jamii.app/SabayaHatari
Watson Mwahomange ambaye ni Mtuhumiwa katika Kesi ya Uhujumu Uchumi amesema alipigwa kila alipotuhumiwa kitu
Asema Sabaya ni mtu hatari na kuomba Mahakama impe ulinzi atakaporudi Mahabusu
Soma - https://jamii.app/SabayaHatari
Ripoti ya CAG ya 2019/20, inaonesha kuongezeka kwa idadi ya mapendekezo yanayotolewa na CAG kwa Miaka mitatu mfululizo kutoka 4,282 Mwaka 2016/17 hadi kufikia 5,483 kwa 2018/19
Mwaka 2018/19 mapendekezo yaliyotekelezwa kikamilifu yalikuwa 1,608 (28%), Mwaka 2017/18 yaliyotekelezwa kikamilifu ni 1,474 (31%) na Mwaka 2016/17 yaliyotekelezwa ni 1,459 (3%).
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Mwaka 2018/19 mapendekezo yaliyotekelezwa kikamilifu yalikuwa 1,608 (28%), Mwaka 2017/18 yaliyotekelezwa kikamilifu ni 1,474 (31%) na Mwaka 2016/17 yaliyotekelezwa ni 1,459 (3%).
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Rais Samia Suluhu Hassan leo, Machi 15, 2022 amewaapisha Humphrey Polepole kuwa Balozi wa #Tanzania Nchini #Malawi na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Hafla ya uapisho imefanyika Viwanja vya Ikulu, Chamwino, Dodoma
Soma - https://jamii.app/UapishoPolepole
#JFLeo
Hafla ya uapisho imefanyika Viwanja vya Ikulu, Chamwino, Dodoma
Soma - https://jamii.app/UapishoPolepole
#JFLeo
UN: VITA YA URUSI NA #UKRAINE INAWEZA KUSABABISHA UHABA WA CHAKULA DUNIANI
Umoja wa Mataifa umesema Nchi nyingi Afrika zinategemea ngano kutoka Mataifa hayo, na vita itasababisha uhaba
Tayari Burkina Faso, Somalia na Yemen zinahangaika kulisha Raia
Soma https://jamii.app/NganoUN
Umoja wa Mataifa umesema Nchi nyingi Afrika zinategemea ngano kutoka Mataifa hayo, na vita itasababisha uhaba
Tayari Burkina Faso, Somalia na Yemen zinahangaika kulisha Raia
Soma https://jamii.app/NganoUN
BIASHARA: MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUTOA HUDUMA NZURI KWA WATEJA
1. Mthamini Mteja kuliko Pesa: Pesa ni ujira anaopewa Mtu baada ya kutatua tatizo la Mteja
2. Elewa hitaji la Mteja: Mteja anapofika katika Biashara yako hakikisha unafahamu na kuelewa vyema anahitaji nini (kuwa Msikivu)
3. Jifunze Lugha nzuri kwa Mteja: Usijibu Wateja kwa lugha ya mkato au kukejeli. Kuwa na utulivu unapozungumza na Mteja na mpe ufafanuzi anaohitaji.
Soma - https://jamii.app/HudumaWateja
#Biashara
1. Mthamini Mteja kuliko Pesa: Pesa ni ujira anaopewa Mtu baada ya kutatua tatizo la Mteja
2. Elewa hitaji la Mteja: Mteja anapofika katika Biashara yako hakikisha unafahamu na kuelewa vyema anahitaji nini (kuwa Msikivu)
3. Jifunze Lugha nzuri kwa Mteja: Usijibu Wateja kwa lugha ya mkato au kukejeli. Kuwa na utulivu unapozungumza na Mteja na mpe ufafanuzi anaohitaji.
Soma - https://jamii.app/HudumaWateja
#Biashara
MALEZI: MAMBO YANAYOWEZA KUATHIRI MAENDELEO YA MTOTO KIMASOMO
1. Matatizo ya Kisaikolojia: Matatizo haya hutokana na kubakwa, kulawitiwa, kupigwa, kunyimwa Chakula
2. Matatizo ya Kifamilia: Kuna Familia ambazo kila siku ni Ugomvi, fujo za Ulevi, au hata Unyanyasaji mwingine kama Utumikishaji wa Watoto pamoja na Mazingira Duni ya kuishi
Soma - https://jamii.app/MasomoWatoto
#Malezi #Parenthood
1. Matatizo ya Kisaikolojia: Matatizo haya hutokana na kubakwa, kulawitiwa, kupigwa, kunyimwa Chakula
2. Matatizo ya Kifamilia: Kuna Familia ambazo kila siku ni Ugomvi, fujo za Ulevi, au hata Unyanyasaji mwingine kama Utumikishaji wa Watoto pamoja na Mazingira Duni ya kuishi
Soma - https://jamii.app/MasomoWatoto
#Malezi #Parenthood
USHAURI: NAMSAIDIAJE MTOTO WANGU KUACHA TABIA YA WIZI?
Mdau anasema Mtoto wake yuko Darasa la 6 na ana tabia ya Wizi uliokithiri
Ameshamwadhibu ila haijasaidia. Anaiba Nyumbani, Shuleni, kwa Majirani na hata kwa Wageni wanaofika Nyumbani
Anauliza: Je, anakosea wapi kwenye Malezi? Atumie mbinu gani kumsaidia Mtoto?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MtotoMwizi
#Malezi
Mdau anasema Mtoto wake yuko Darasa la 6 na ana tabia ya Wizi uliokithiri
Ameshamwadhibu ila haijasaidia. Anaiba Nyumbani, Shuleni, kwa Majirani na hata kwa Wageni wanaofika Nyumbani
Anauliza: Je, anakosea wapi kwenye Malezi? Atumie mbinu gani kumsaidia Mtoto?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MtotoMwizi
#Malezi
KIGOMA: SHABIKI WA MPIRA AFARIKI BAADA YA KUPIGWA RISASI NA ASKARI
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, James Manyama amesema tukio hilo lilitokea Machi 14, 2022 kufuatia vurugu katika mchezo wa soka, ambapo Askari alifyatua risasi wakati akijihami
Soma - https://jamii.app/PoliceKgm
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, James Manyama amesema tukio hilo lilitokea Machi 14, 2022 kufuatia vurugu katika mchezo wa soka, ambapo Askari alifyatua risasi wakati akijihami
Soma - https://jamii.app/PoliceKgm
#YEMEN: Mashirika ya Misaada ya Umoja wa Mataifa yamesema Watu wapatao 160,000 wamo hatarini kukabiliwa na uhaba mkubwa wa Chakula
Hali ni mbaya Nchini Yemen kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu 2014 Waasi wa Kihouthi walipoteka Mji Mkuu
Soma - https://jamii.app/Njaa160kYemen
Hali ni mbaya Nchini Yemen kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu 2014 Waasi wa Kihouthi walipoteka Mji Mkuu
Soma - https://jamii.app/Njaa160kYemen
👍1
URUSI: Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa #Canada, Melanie Joly na Waziri wa Ulinzi wa Canada, Anita Ananda hawataruhusiwa kuingia #Urusi
> Katazo limeandikwa na Waziri wa Mambo ya Nje ya Urusi
Soma https://jamii.app/MawaziriCanada
> Katazo limeandikwa na Waziri wa Mambo ya Nje ya Urusi
Soma https://jamii.app/MawaziriCanada
#KENYA: Wajumbe wa Chama cha UDA wamemuidhinisha Naibu Rais, William Ruto kuwania kiti cha Urais ktk Uchaguzi Mkuu Agosti 2022
Ruto atamenyana na Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anayeungwa Mkono na Rais Uhuru Kenyatta
Soma - https://jamii.app/RutoUrais
#JFLeo
Ruto atamenyana na Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anayeungwa Mkono na Rais Uhuru Kenyatta
Soma - https://jamii.app/RutoUrais
#JFLeo
Mwaka 2019/20, CAG alikagua Taasisi 263 ambazo ni Wizara, Idara na Wakala wa Serikali Kuu na kutoa Hati za Ukaguzi 260 ikilinganishwa na 294 kwa Mwaka 2018/19
Kupungua kwa Hati za Ukaguzi ni kutokana na CAG kushindwa kufanya ukaguzi kwa Balozi na Misheni 43 kutokana na Ugonjwa wa UVIKO-19
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Kupungua kwa Hati za Ukaguzi ni kutokana na CAG kushindwa kufanya ukaguzi kwa Balozi na Misheni 43 kutokana na Ugonjwa wa UVIKO-19
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
TANGA: AJALI YAUA, MASHUHUDA WA AJALI NAO WAGONGWA
Watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyotokea Sindeni, Wilayani Handeni Mkoani humo Machi 16, 2022
DC wa Handeni, Siriel Mchembe amethibitisha kutokea ajali hiyo
Soma > https://jamii.app/TangaAjali
Watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyotokea Sindeni, Wilayani Handeni Mkoani humo Machi 16, 2022
DC wa Handeni, Siriel Mchembe amethibitisha kutokea ajali hiyo
Soma > https://jamii.app/TangaAjali
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema Rais wa Marekani, Joe Biden na Maafisa wengine 12 wamepigwa marufuku kuingia Nchini humo
Vikwazo hivyo pia vitamuhusu Katibu Mkuu Kiongozi, Antony Blinken na Waziri wa Ulinzi, Lloyd Austin
Soma - https://jamii.app/RussiaSanctionBiden
#RussianUkraineWar
Vikwazo hivyo pia vitamuhusu Katibu Mkuu Kiongozi, Antony Blinken na Waziri wa Ulinzi, Lloyd Austin
Soma - https://jamii.app/RussiaSanctionBiden
#RussianUkraineWar
JE, WAJUA: MSANII HUTAKIWA KULIPA TSH. 50,000 AKIENDA NJE YA NCHI KWA KAZI ZA SANAA
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema Sheria zinawataka Wasanii kulipa Tsh. 50,000 kupata Kibali kila wanapoenda nje ya Nchi kufanya kazi za kisanaa
Soma https://jamii.app/KibaliSanaa
#Burudani
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema Sheria zinawataka Wasanii kulipa Tsh. 50,000 kupata Kibali kila wanapoenda nje ya Nchi kufanya kazi za kisanaa
Soma https://jamii.app/KibaliSanaa
#Burudani
Zaidi ya Wanajeshi 10 wa #Kenya ambao ni sehemu ya kikosi cha Walinda Amani wa AU wameuawa kwa kilipuzi kilichotegwa eneo la Gedo karibu na mpaka wa Kenya na #Somalia
Vilipuzi vimedaiwa kuwekwa na kundi la Al-Qaeda lenye uhusiano na Al-Shabaab
Soma - https://jamii.app/KenyaWanajeshi
Vilipuzi vimedaiwa kuwekwa na kundi la Al-Qaeda lenye uhusiano na Al-Shabaab
Soma - https://jamii.app/KenyaWanajeshi
👍1