UINGEREZA: SERIKALI KUWALIPA WATAKAOWAPA MAKAZI RAIA WA UKRAINE
Raia watakaoruhusu wanaokimbia mapigano Ukraine kukaa nyumbani kwao/ kuwapa eneo kwa kipindi kisichopungua miezi 6 watalipwa Paundi 350 (Takriban Tsh. 1,065,143.415) kwa mwezi
Soma - https://jamii.app/UKRaiaMalipo
#JFLeo
Raia watakaoruhusu wanaokimbia mapigano Ukraine kukaa nyumbani kwao/ kuwapa eneo kwa kipindi kisichopungua miezi 6 watalipwa Paundi 350 (Takriban Tsh. 1,065,143.415) kwa mwezi
Soma - https://jamii.app/UKRaiaMalipo
#JFLeo
MADAI SUMU MTO MARA, SERIKALI YAZUIA MATUMIZI YA MAJI, UVUVI, ULAJI SAMAKI
Baada ya kuwepo kwa taarifa za sumu katika maji ya Mto Mara, tamko la Serikali ya Mkoa wa Mara limezuia matumizi ya maji kwa Vijiji kando ya mto huo
Soma - https://jamii.app/MtoMara
#JamiiForums #MtoMara
Baada ya kuwepo kwa taarifa za sumu katika maji ya Mto Mara, tamko la Serikali ya Mkoa wa Mara limezuia matumizi ya maji kwa Vijiji kando ya mto huo
Soma - https://jamii.app/MtoMara
#JamiiForums #MtoMara
UKRAINE: Urusi imeishambulia Kambi ya Kijeshi ya #Ukraine, Yavoriv ambayo ilikuwa inatumika na NATO kuwapa mafunzo Wanajeshi wa Nchi hiyo
> Watu 35 wameuawa katika shambulio hilo, 134 wamejeruhiwa na makombora 30 yameharibiwa
Soma - https://jamii.app/UkraineNATO
#RussiaUkraineWar
> Watu 35 wameuawa katika shambulio hilo, 134 wamejeruhiwa na makombora 30 yameharibiwa
Soma - https://jamii.app/UkraineNATO
#RussiaUkraineWar
VITA YA #URUSI NA #UKRAINE: Shirika la Afya Duniani limesema kiwango kidogo cha utoaji chanjo nchini Ukraine kitaongeza madhara ya COVID-19 kipindi hiki cha vita
> Vifo 8,012 vya Corona vimerekodiwa nchini humo kuanzia Machi 6 hadi 9, 2022
Soma https://jamii.app/CoronaVita
> Vifo 8,012 vya Corona vimerekodiwa nchini humo kuanzia Machi 6 hadi 9, 2022
Soma https://jamii.app/CoronaVita
SONGWE: Basi la #Kilimanjaro Express limepata ajali kwa kupinduka asubuhi ya leo Machi 14, 2022 likitokea Tunduma kuelekea Dar es Salaam
> Taarifa za awali zinasema watu kadhaa wamejeruhiwa huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika
Soma > https://jamii.app/SongweAjali
> Taarifa za awali zinasema watu kadhaa wamejeruhiwa huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika
Soma > https://jamii.app/SongweAjali
#UKRAINE: Brent Renaud (50), Mwandishi wa Habari wa #Marekani aliyekuwa akifanyakazi nchini humo ameuawa kwa kupigwa risasi na Wanajeshi wa #Urusi Mjini Irpin
> Pia, Waandishi wa Hahari wengine wawili wamejeruhiwa akiwemo mmoja toka Italia
Soma https://jamii.app/BrentRenaud
#JFLeo
> Pia, Waandishi wa Hahari wengine wawili wamejeruhiwa akiwemo mmoja toka Italia
Soma https://jamii.app/BrentRenaud
#JFLeo
MDAU: KUMPA MTOTO UHURU WA KUJIELEZA KWENYE FAMILIA SIO UZUNGU
Ushiriki wa Mtoto kwenye masuala yanayomuhusu unapatikana pale anapopewa nafasi ya kutoa mawazo kuhusu maamuzi ya Maendeleo yake
Familia zinazowapa Watoto uhuru wa kujieleza na kutoa maoni yao kuanzia kwenye umri mdogo humuandaa Mtoto katika kutafuta Haki zake za Msingi mbele ya Jamii kubwa zaidi
Soma - https://jamii.app/FreeSpeecChild
#FreeSpeech
Ushiriki wa Mtoto kwenye masuala yanayomuhusu unapatikana pale anapopewa nafasi ya kutoa mawazo kuhusu maamuzi ya Maendeleo yake
Familia zinazowapa Watoto uhuru wa kujieleza na kutoa maoni yao kuanzia kwenye umri mdogo humuandaa Mtoto katika kutafuta Haki zake za Msingi mbele ya Jamii kubwa zaidi
Soma - https://jamii.app/FreeSpeecChild
#FreeSpeech
UPDATE: Watu wanne wamefariki dunia huku wengine 35 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la Kilimanjaro Express lililopindukia korongoni eneo la Senjele Wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe
Ajali hiyo imetokea baada ya Dereva kuwa kwenye mwendokasi
Soma - https://jamii.app/SongweAjali
#JFLeo
Ajali hiyo imetokea baada ya Dereva kuwa kwenye mwendokasi
Soma - https://jamii.app/SongweAjali
#JFLeo
Ripoti ya Uwajibikaji Serikali Kuu na Mashirika ya Umma 2019-2020 imeonesha Miradi iliyosajiliwa na TIC (Kituo cha Uwekezaji) kwa Mwaka 2015/16 ni 420, wakati kwa Mwaka 2019/20 ilisajiliwa Miradi 219. Idadi hiyo imeshuka kwa asilimia 48
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU
MDAU: WATOTO WENGI SIKU HIZI HAWALELEWI KATIKA MIKONO YA WAZAZI WAO
Anasema kwa Dunia ya sasa Watoto wengi siku hizi hawapati nafasi ya kukua wakiwa katika Mikono ya Wazazi wao. Wengi hupelekwa Shuleni mapema zaidi, wengine wakiwa hawajaweza hata kuongea vizuri
Anasema usimkimbize Mtoto Shuleni mapema akiwa bado haelewi wala hawezi kujisaidia kwa lolote. Mlee kwanza apate ufahamu wa kujitunza
Mjadala - https://jamii.app/ShuleWatoto5
#Malezi #Parenthood
Anasema kwa Dunia ya sasa Watoto wengi siku hizi hawapati nafasi ya kukua wakiwa katika Mikono ya Wazazi wao. Wengi hupelekwa Shuleni mapema zaidi, wengine wakiwa hawajaweza hata kuongea vizuri
Anasema usimkimbize Mtoto Shuleni mapema akiwa bado haelewi wala hawezi kujisaidia kwa lolote. Mlee kwanza apate ufahamu wa kujitunza
Mjadala - https://jamii.app/ShuleWatoto5
#Malezi #Parenthood
👍1
NAPE: KULAZIMISHA WATUMISHI WA SERIKALI KUTUMIA TTCL HAIKUWA SAHIHI
Waziri wa Habari, Nape Nnauye amekosoa kulazimisha Watumishi wa Serikali kuwa na laini za TTCL, akisema Mtu anaweza kuwa na laini ya TTCL na asiitumie
Soma - https://jamii.app/KulazimishaLaini
#DigitalRights #JFLeo
Waziri wa Habari, Nape Nnauye amekosoa kulazimisha Watumishi wa Serikali kuwa na laini za TTCL, akisema Mtu anaweza kuwa na laini ya TTCL na asiitumie
Soma - https://jamii.app/KulazimishaLaini
#DigitalRights #JFLeo
SERIKALI: MUSWADA WA SHERIA YA ULINZI WA DATA UKO HATUA ZA MWISHO
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hii ni Sheria muhimu vinginevyo uwekezaji utakuwa mgumu. Sio kwasababu kulikuwa na kurekodi rekodi Watu, hapana ni kwasababu ya kutunza Faragha.”
Soma - https://jamii.app/MuswadaFaragha
#DataProtection
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hii ni Sheria muhimu vinginevyo uwekezaji utakuwa mgumu. Sio kwasababu kulikuwa na kurekodi rekodi Watu, hapana ni kwasababu ya kutunza Faragha.”
Soma - https://jamii.app/MuswadaFaragha
#DataProtection
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametangaza punguzo la ada ya Maombi ya Leseni ya Maudhui ya Mtandaoni kutoka Tsh. 100,000 hadi Tsh. 50,000 na ada ya Mwaka kutoka Tsh. 1,000,000 hadi Tsh. 500,000
Ameongeza "Tumeondoa Leseni kwa watoa maudhui kupitia Redio na Runinga pindi wakitaka kutoa Maudhui hayo hayo Mitandaoni"
Soma - https://jamii.app/LeseniMaudhui
#JamiiForums
Ameongeza "Tumeondoa Leseni kwa watoa maudhui kupitia Redio na Runinga pindi wakitaka kutoa Maudhui hayo hayo Mitandaoni"
Soma - https://jamii.app/LeseniMaudhui
#JamiiForums
MWANZA: RAIA WALALAMIKA KUTOPEWA AJIRA MRADI WA SGR
Wananchi wa Fela Wilayani Misungwi wamesimamisha msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kulalamikia kunyimwa ajira, na baadhi kuombwa rushwa katika Mradi wa Mwanza - Isaka
Soma - https://jamii.app/AjiraSGR
#JFLeo
Wananchi wa Fela Wilayani Misungwi wamesimamisha msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kulalamikia kunyimwa ajira, na baadhi kuombwa rushwa katika Mradi wa Mwanza - Isaka
Soma - https://jamii.app/AjiraSGR
#JFLeo
PROF. MKUMBO: KILA RAIS HUTATUA CHANGAMOTO NA KUTENGENEZA NYINGINE
Mbunge wa Ubungo asema ni kawaida kwa Rais wa kutatua changamoto anazozikuta lakini huwa wanazitengeneza nyingine
Amesema Rais Samia ametatua changamoto ya Kidiplomasia na Uwekezaji
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
Mbunge wa Ubungo asema ni kawaida kwa Rais wa kutatua changamoto anazozikuta lakini huwa wanazitengeneza nyingine
Amesema Rais Samia ametatua changamoto ya Kidiplomasia na Uwekezaji
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
PROF. KITILA: CHANGAMOTO YA ELIMU NI KUTENGENEZA WAHITIMU WASIOAJIRIKA
Asema Elimu ya sasa inatengeneza Wahitimu ambao hawawezi kutengeneza Ajira na wanakosa Stadi za Ufundi
Ameeleza, ni muhimu Mwanafunzi kuwa na Taaluma, Stadi na Maarifa ya Msingi
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
Asema Elimu ya sasa inatengeneza Wahitimu ambao hawawezi kutengeneza Ajira na wanakosa Stadi za Ufundi
Ameeleza, ni muhimu Mwanafunzi kuwa na Taaluma, Stadi na Maarifa ya Msingi
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Malawi
Shamsi Vuai Nahodha ameteuliwa kuwa Mbunge wa Bunge la JMT na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Wataapishwa Ikulu Dodoma Machi 15, 2022
Soma https://jamii.app/BaloziMalawi
#JFLeo
Shamsi Vuai Nahodha ameteuliwa kuwa Mbunge wa Bunge la JMT na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Wataapishwa Ikulu Dodoma Machi 15, 2022
Soma https://jamii.app/BaloziMalawi
#JFLeo
NEHEMIA MCHECHU ARUDISHWA NHC
- Rais Samia amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba ya Taifa (NHC)
- Mchechu aliondolewa katika nafasi hiyo Juni 2018 ikielezwa ni kutokana na tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinamkabili
Soma https://jamii.app/NehemiaNHC
#JFLeo
- Rais Samia amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba ya Taifa (NHC)
- Mchechu aliondolewa katika nafasi hiyo Juni 2018 ikielezwa ni kutokana na tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinamkabili
Soma https://jamii.app/NehemiaNHC
#JFLeo
PROF. KITILA: SUALA SIO KATIBA MPYA BALI LINI TUTAREJEA MCHAKATO
Amesema Nchi ilishapiga hatua kwani ilishakubaliana Mwaka 2014 na kuunda Tume ya #Katiba Mpya
Asema swali la kujiuliza ni lini mchakato utarejea kwani Rasilimali nyingi zimetumika
Soma - https://jamii.app/Katiba2014
Amesema Nchi ilishapiga hatua kwani ilishakubaliana Mwaka 2014 na kuunda Tume ya #Katiba Mpya
Asema swali la kujiuliza ni lini mchakato utarejea kwani Rasilimali nyingi zimetumika
Soma - https://jamii.app/Katiba2014
JE, NI RAHISI WANAWAKE KUSAMEHE USALITI KULIKO WANAUME?
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema mara nyingi ni rahisi Mwanamke kumsamehe Mwanaume kosa la usaliti kuliko Mwanaume kumsamehe Mwanamke
Nini mawazo yako kwenye hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UsalitiMapenzi
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema mara nyingi ni rahisi Mwanamke kumsamehe Mwanaume kosa la usaliti kuliko Mwanaume kumsamehe Mwanamke
Nini mawazo yako kwenye hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UsalitiMapenzi