MDAU: TAKA NGUMU ZICHAKATWE KUWA MBOLEA ASILIA KUOKOA MAZINGIRA
Anasema tatizo la taka ngumu ni kubwa, na jitihada za Mamlaka pamoja na wadau mbalimbali bado hazijakidhi ukubwa wa tatizo lililopo
Anashauri maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka ngumu kuwekwa viwanda vya mbolea, malighafi ya chuma na plastiki badala ya kuchoma moto taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira na athari za Kiafya
Soma - https://jamii.app/TakaNgumuSOC
#StoriesOfChange
Anasema tatizo la taka ngumu ni kubwa, na jitihada za Mamlaka pamoja na wadau mbalimbali bado hazijakidhi ukubwa wa tatizo lililopo
Anashauri maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka ngumu kuwekwa viwanda vya mbolea, malighafi ya chuma na plastiki badala ya kuchoma moto taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira na athari za Kiafya
Soma - https://jamii.app/TakaNgumuSOC
#StoriesOfChange
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani (Machi 8, 2022), inaelezwa Wanawake na Wasichana wanakumbana na athari kubwa zaidi za Mabadiliko ya TabiaNchi, kwani yanazidisha ukosefu wa #UsawaWaKijinsia
Kukosekana Usawa wa Kijinsia ni miongoni mwa changamoto kubwa inayohitaji suluhisho la haraka, na ni wakati wa kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/UsawaWanawake
#IWD2022
Kukosekana Usawa wa Kijinsia ni miongoni mwa changamoto kubwa inayohitaji suluhisho la haraka, na ni wakati wa kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/UsawaWanawake
#IWD2022
NAMIBIA: Wanafunzi 23 wamefanikiwa kurejeshwa Nchini humo kutoka #Ukraine na Wizara ya Elimu imewataka kujiunga na Vyuo vya ndani ili kuendelea na Masomo
Wanafunzi takribani 13,000 wa #Ghana, Somalia na #Nigeria wamekwama Mjini Sumy
Soma - https://jamii.app/WanafunziNamibia
#RussiaUkraine
Wanafunzi takribani 13,000 wa #Ghana, Somalia na #Nigeria wamekwama Mjini Sumy
Soma - https://jamii.app/WanafunziNamibia
#RussiaUkraine
MTWARA: ATUHUMIWA KUUA MKE NA KISHA KUMZIKA KWENYE SHIMO
Shaibu Kauselela anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumuua Amina Mtausi (40) kwa kumpiga na kitu kizito, baadaye kumzika kwenye Shamba na kupanda Mpunga ili kupoteza ushahidi
Soma - https://jamii.app/Mtwara
#GBV
Shaibu Kauselela anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumuua Amina Mtausi (40) kwa kumpiga na kitu kizito, baadaye kumzika kwenye Shamba na kupanda Mpunga ili kupoteza ushahidi
Soma - https://jamii.app/Mtwara
#GBV
URUSI: Baadhi ya raia wameingia Mitaani kupinga hatua ya Nchi yao kuishambulia #Ukraine wakitoa maneno ya βNo to Warβ
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema takriban Watu 3,500 wamekamatwa katika Miji 56 kwa kufanya maandamano
Soma - https://jamii.app/ProtestersRussia
#RussiaUkraineConflict
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema takriban Watu 3,500 wamekamatwa katika Miji 56 kwa kufanya maandamano
Soma - https://jamii.app/ProtestersRussia
#RussiaUkraineConflict
KUNYIMWA KUJIELEZA NI KUNYIMWA HAKI YA KUSHIRIKI KATIKA MAENDELEO
Ripoti iliyotolewa na Taasisi ya Article 19 Mwaka 2021 inaonesha hali ya #UhuruWaKujieleza/kutoa mawazo binafsi imekuwa ikidorora katika maeneo mengi duniani
Bila Uhuru wa Kuzungumza haiwezekani kamwe kutatua matatizo ambayo yanahitaji kutatuliwa
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Ripoti iliyotolewa na Taasisi ya Article 19 Mwaka 2021 inaonesha hali ya #UhuruWaKujieleza/kutoa mawazo binafsi imekuwa ikidorora katika maeneo mengi duniani
Bila Uhuru wa Kuzungumza haiwezekani kamwe kutatua matatizo ambayo yanahitaji kutatuliwa
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
ETHIOPIA: Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi (UNHCR) limeripoti machafuko ya #Ethiopia kusababisha Watu milioni 2 kukimbia Makazi yao
> Mapigano ya #Tigray yamezibomoa hata kambi za Wakimbizi zilizokuwa Nchini #Eritrea
Soma https://jamii.app/EthiopiaMachafuko
#JFLeo
> Mapigano ya #Tigray yamezibomoa hata kambi za Wakimbizi zilizokuwa Nchini #Eritrea
Soma https://jamii.app/EthiopiaMachafuko
#JFLeo
UPDATES: Serikali ya #Ukraine imependekeza vikwazo vya kibiashara vya kimataifa dhidi ya Urusi ikiwemo kuzuia mafuta ya Taifa hilo ikisema 'Vita viwalishe'
Vikosi vya Moscow vinaushambulia Mji wa #Mariupol na Raia 300,000 wanasubiri kuondolewa
Soma - https://jamii.app/MafutaUrusi
Vikosi vya Moscow vinaushambulia Mji wa #Mariupol na Raia 300,000 wanasubiri kuondolewa
Soma - https://jamii.app/MafutaUrusi
SIMIYU: WATENDAJI WA SERIKALI WAKAMATWA KWA WIZI WA CHUPA ZA DAWA
Watu 12 wakiwamo Watendaji wa Serikali za Mtaa wamekamatwa wakidaiwa kuiba Chupa 434 za Dawa za kuua wadudu wa Pamba zilizotolewa na Serikali kwa Wakulima Wilayani Bariadi
Soma - https://jamii.app/WiziSimiyu
#JFLeo
Watu 12 wakiwamo Watendaji wa Serikali za Mtaa wamekamatwa wakidaiwa kuiba Chupa 434 za Dawa za kuua wadudu wa Pamba zilizotolewa na Serikali kwa Wakulima Wilayani Bariadi
Soma - https://jamii.app/WiziSimiyu
#JFLeo
URUSI YATOA MASHARTI YA KUACHA KUISHAMBULIA UKRAINE
Imeitaka Ukraine kuitambua #Crimea kama sehemu ya #Russia, na Donetsk and Luhansk kama Mataifa huru
Aidha, #Ukraine imetakiwa kubadili Katiba na kukataa kuingia katika kambi yoyote kama NATO
Soma - https://jamii.app/UrusiMasharti
Imeitaka Ukraine kuitambua #Crimea kama sehemu ya #Russia, na Donetsk and Luhansk kama Mataifa huru
Aidha, #Ukraine imetakiwa kubadili Katiba na kukataa kuingia katika kambi yoyote kama NATO
Soma - https://jamii.app/UrusiMasharti
WANAFUNZI WA KITANZANIA WATOKA SALAMA UKRAINE
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema Wanafunzi wapatao 150 wamevuka salama na kukimbilia nchi za Poland, #Hungary, Romania na #Denmark. 23 wamefanikiwa kurejea Tanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaSalama
#JFLeo
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema Wanafunzi wapatao 150 wamevuka salama na kukimbilia nchi za Poland, #Hungary, Romania na #Denmark. 23 wamefanikiwa kurejea Tanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaSalama
#JFLeo
#BURUDANI: Watu wengi hasa Vijana wanapenda kuangalia Filamu (#Movies). Filamu hizi huburudisha, huchangamsha na kutoa mafunzo kwa Jamii
Je, ni Filamu gani uliyowahi kuangalia zaidi ya mara moja na bado huichoki?
Mjadala - https://jamii.app/FilamuBurudani
#Entertainment #JamiiForums
Je, ni Filamu gani uliyowahi kuangalia zaidi ya mara moja na bado huichoki?
Mjadala - https://jamii.app/FilamuBurudani
#Entertainment #JamiiForums
SERIKALI: WATU 8 WAFARIKI DUNIA KWA #COVID19 NDANI YA MWEZI MMOJA
Visa vipya 290 viliripotiwa kuanzia Februari 5 - Machi 4, 2022. Wagonjwa 136 walilazwa na 128 kati yao hawakupata chanjo
Idadi ya waliopata dozi kamili ya chanjo Nchini ni 2,664,373
Soma https://jamii.app/8COVID19
Visa vipya 290 viliripotiwa kuanzia Februari 5 - Machi 4, 2022. Wagonjwa 136 walilazwa na 128 kati yao hawakupata chanjo
Idadi ya waliopata dozi kamili ya chanjo Nchini ni 2,664,373
Soma https://jamii.app/8COVID19
#UKRAINE YATAKA ZELENSKY NA PUTIN KUFANYA MKUTANO
Taifa hilo linataka mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Rais Volodymyr Zelensky na Rais wa #Russia, Vladimir Putin likisema linatambua maagizo yote yanatoka kwa Kiongozi huyo
Soma - https://jamii.app/ZelenskyPutin
#RussiaUkraineWar
Taifa hilo linataka mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Rais Volodymyr Zelensky na Rais wa #Russia, Vladimir Putin likisema linatambua maagizo yote yanatoka kwa Kiongozi huyo
Soma - https://jamii.app/ZelenskyPutin
#RussiaUkraineWar
Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani
> Tunaungana na Watu wote kuadhimisha Siku hii, na tunawatakia Maadhimisho mema ya Siku ya Wanawake Duniani
#JamiiForums #IWD2022 #InternationalWomensDay
> Tunaungana na Watu wote kuadhimisha Siku hii, na tunawatakia Maadhimisho mema ya Siku ya Wanawake Duniani
#JamiiForums #IWD2022 #InternationalWomensDay
π1
Takwimu zilizotolewa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins zimeonesha idadi ya Vifo vilivyotokana na #COVID19 vimefikia 5,999,158
Nchi nyingi zimelegeza masharti huku Safari na #Biashara zikianza kurejea. Aidha, kupata chanjo bado kunasisitizwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Duniani
#UVIKO3
Nchi nyingi zimelegeza masharti huku Safari na #Biashara zikianza kurejea. Aidha, kupata chanjo bado kunasisitizwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Duniani
#UVIKO3
#UGANDA: Gabriel Rwotomiya amefariki kwa kupigwa risasi wakati Polisi wakituliza vurugu za Wanafunzi wa Sekondari Gulu baada ya kuzuiwa kutazama Mechi ya Man City na Man U, Machi 6
Wanafunzi wamerejeshwa Nyumbani na Shule kufungwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/Uganda
#JFLeo
Wanafunzi wamerejeshwa Nyumbani na Shule kufungwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/Uganda
#JFLeo
Katika Mwaka wa Fedha 2019/20, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alipata taarifa za makusanyo ya Mapato katika Halmashauri 135
Alibaini Bilioni 18.77 zilikusanywa kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hakuna ushahidi Mapato hayo yaliwasilishwa Benki
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Alibaini Bilioni 18.77 zilikusanywa kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hakuna ushahidi Mapato hayo yaliwasilishwa Benki
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Katika kuadhimisha #InternationalWomensDay ni muhimu kuangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuhamasisha jitihada za kukomesha ukosefu wa #UsawaWaKijinsia
Leo, tunasherehekea na kutambua Uongozi, nguvu, uwezo, ujasiri na mchango walionao Wanawake wote katika Jamii
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanabeba Kaulimbiu isemayo, "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#JamiiForums #BreakTheBias #IWD2022
Leo, tunasherehekea na kutambua Uongozi, nguvu, uwezo, ujasiri na mchango walionao Wanawake wote katika Jamii
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanabeba Kaulimbiu isemayo, "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#JamiiForums #BreakTheBias #IWD2022
MDAU: WATUMISHI WAFUNDISHWE NAMNA BORA YA KUTUMIA MIKOPO WANAYOCHUKUA
Anasema Watumishi wa Serikali huvutiwa huchukua Mikopo wakiamini ni ya gharama nafuu hali inayowafanya wawe na madeni hadi wanastaafu
Ameshauri kiundwe chombo maalum cha kudhibiti usimamizi na uendeshaji wa Taasisi zote za Kifedha. Sheria ya Mafao iboreshwe ili kuwezesha Watumishi wanapostaafu wawe wanajengewe Nyumba za Makazi
Soma - https://jamii.app/WatumishiMadeni
#StoriesOfChange
Anasema Watumishi wa Serikali huvutiwa huchukua Mikopo wakiamini ni ya gharama nafuu hali inayowafanya wawe na madeni hadi wanastaafu
Ameshauri kiundwe chombo maalum cha kudhibiti usimamizi na uendeshaji wa Taasisi zote za Kifedha. Sheria ya Mafao iboreshwe ili kuwezesha Watumishi wanapostaafu wawe wanajengewe Nyumba za Makazi
Soma - https://jamii.app/WatumishiMadeni
#StoriesOfChange