Rushwa ya Ngono inatajwa kuwa tatizo linalowatafuna Wanawake ndani kwa ndani hasa maeneo ya Kazi
Utafiti wa Asasi ya Wanawake katika Habari Afrika (WIN) ulibaini 41% ya Wanawake wanahabari waliwahi kufanyiwa Unyanyasaji wa Kingono kazini
Soma - https://jamii.app/Womenday
#IWD2022
Utafiti wa Asasi ya Wanawake katika Habari Afrika (WIN) ulibaini 41% ya Wanawake wanahabari waliwahi kufanyiwa Unyanyasaji wa Kingono kazini
Soma - https://jamii.app/Womenday
#IWD2022
Rais Samia ametoa wito kwa Wananchi kujitokeza ktk zoezi la Sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu Anuani za Makazi
Asema hakutakuwa na swali kuhusu Dini kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Mwl. Nyerere
Soma - https://jamii.app/DiniSensa
#JFLeo
Asema hakutakuwa na swali kuhusu Dini kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Mwl. Nyerere
Soma - https://jamii.app/DiniSensa
#JFLeo
MDAU: JAMII HAIWEZI KUCHOCHEA USTAWI BILA MAWAZO HURU
Anasema kukabiliana na changamoto kutahitaji sauti, uwazi na ukweli hivyo walio Madarakani wanahitaji kukosolewa
Jamii ikifungwa, watu wake wanakuwa kama Watumishi waoga badala ya Raia huru
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Anasema kukabiliana na changamoto kutahitaji sauti, uwazi na ukweli hivyo walio Madarakani wanahitaji kukosolewa
Jamii ikifungwa, watu wake wanakuwa kama Watumishi waoga badala ya Raia huru
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kupanda kwa bei ya Mafuta kwa kiasi inasababishwa na Mgogoro kati ya Urusi na #Ukraine
Amesema “#Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei, thamani ya kila kitu itapanda juu"
Soma - https://jamii.app/WomanDay
#IWD2022
Amesema “#Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei, thamani ya kila kitu itapanda juu"
Soma - https://jamii.app/WomanDay
#IWD2022
Balozi wa #Urusi katika Umoja wa Mataifa (UN), Vassily Nebenzia, amesema Nchi yake itasitisha mapigano ili kuruhusu raia waliopo Kiev, Cher-nigov, Sumy na Mariupol kuondoka bila masharti kwa raia wanaopitia Urusi
Soma - https://jamii.app/RaiaWapite
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Soma - https://jamii.app/RaiaWapite
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
KILIMANJARO: Grace Pima anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumchoma Moto Mtoto wake wa Miaka Mitano Mdomoni na Puani kwa kosa la kutukana
Alifanya unyama huo Februari 28 na kumfungia Mtoto ndani kwa Saa 48 akimtibu kwa Dawa za Asili.
Soma - https://jamii.app/MotoMtoto
#UkatiliMtoto
Alifanya unyama huo Februari 28 na kumfungia Mtoto ndani kwa Saa 48 akimtibu kwa Dawa za Asili.
Soma - https://jamii.app/MotoMtoto
#UkatiliMtoto
#ZANZIBAR: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA) imetangaza kuanzia Machi 9, Petroli itauzwa Tsh. 2,459, Dizeli Tsh. 2,500 na Mafuta ya Taa Tsh. 1,811 kwa Lita
Ongezeko limetokana na kupungua thamani ya Shilingi na tozo za Serikali
Soma https://jamii.app/MafutaZanzibar
Ongezeko limetokana na kupungua thamani ya Shilingi na tozo za Serikali
Soma https://jamii.app/MafutaZanzibar
UPDATE: Ofisi ya #HakiZaBinadamu ya Umoja wa Mataifa inasema Raia wa #Ukraine wapatao 474 wameuawa tangu uvamizi wa Urusi kuanza, lakini inahofiwa idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi
Ukraine imesema Vikosi vya Urusi vimeharibu takriban Hospitali 61
Soma - https://jamii.app/VifoUkraine
Ukraine imesema Vikosi vya Urusi vimeharibu takriban Hospitali 61
Soma - https://jamii.app/VifoUkraine
Mapungufu kadhaa kwenye ulipaji wa Mishahara kwa Watumishi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliainishwa na CAG Mwaka 2019/20
Miongoni mwao ni Mamlaka 46 kushindwa kuwasilisha Makato ya Kisheria ya Mishahara yenye thamani ya Tsh. Bilioni 5.08 kwa Taasisi husika zikiwemo TRA (Tsh. Milioni 149.9) na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (Tsh. Bilioni 3.92)
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Miongoni mwao ni Mamlaka 46 kushindwa kuwasilisha Makato ya Kisheria ya Mishahara yenye thamani ya Tsh. Bilioni 5.08 kwa Taasisi husika zikiwemo TRA (Tsh. Milioni 149.9) na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (Tsh. Bilioni 3.92)
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
KAMPUNI ZAENDELEA KUSITISHA BIASHARA URUSI
Coca-Cola, Starbucks, Pepsi na McDonald's zasitisha Biashara kufuatia uvamizi wa #Ukraine
Kumekuwepo na shinikizo kutaka Kampuni za Biashara kuchukua hatua kama ishara ya kupinga mateso wanayopata Raia
Soma - https://jamii.app/BiasharaUrusi
Coca-Cola, Starbucks, Pepsi na McDonald's zasitisha Biashara kufuatia uvamizi wa #Ukraine
Kumekuwepo na shinikizo kutaka Kampuni za Biashara kuchukua hatua kama ishara ya kupinga mateso wanayopata Raia
Soma - https://jamii.app/BiasharaUrusi
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema ili kuikuza #Teknolojia ktk Uchumi wa Kidigitali ni lazima kuwa na mazingira wezeshi
Amesema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapaswa kuwa Mlezi badala ya Mdhibiti/Ubabe
Soma - https://jamii.app/MleziTCRA
#DigitalRights
Amesema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapaswa kuwa Mlezi badala ya Mdhibiti/Ubabe
Soma - https://jamii.app/MleziTCRA
#DigitalRights
MDAU: TAIFA LINALOONGOZWA KIDEMOKRASIA LAZIMA LIFUATE MISINGI YAKE
Anasema Nchi inayoongozwa kwa Misingi ya Demokrasia inalazimika kutoa nafasi kwa Wananchi kumchagua Kiongozi wanayemhitaji bila udanganyifu wowote
Mihimili mikuu inayojenga Serikali inapaswa kufanya kazi kwa Uhuru bila kuingiliana kimajukumu
Soma - https://jamii.app/DemocracySOC
#StoriesOfChange
Anasema Nchi inayoongozwa kwa Misingi ya Demokrasia inalazimika kutoa nafasi kwa Wananchi kumchagua Kiongozi wanayemhitaji bila udanganyifu wowote
Mihimili mikuu inayojenga Serikali inapaswa kufanya kazi kwa Uhuru bila kuingiliana kimajukumu
Soma - https://jamii.app/DemocracySOC
#StoriesOfChange
JE, WAJUA?: Kwenye Mgogoro wa #Ukraine na Urusi baadhi ya Watu wamebainika kuunga mkono vita kwa kutumia herufi ‘Z’ ikimaanisha ‘Za popedy’ yaani ushindi
Mwanariadha wa Kirusi, Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu kwa kuonesha herufi hiyo
Soma - https://jamii.app/RussiaZ
Mwanariadha wa Kirusi, Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu kwa kuonesha herufi hiyo
Soma - https://jamii.app/RussiaZ
SERIKALI YATOA TAHADHARI YA HOMA YA MANJANO
Waziri Ummy Mwalimu aagiza Maafisa wa Afya Mipakani kuhakikisha Wasafiri kutoka Nchi zenye Maambukizi wana vyeti vya Chanjo
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kujua dalili za Ugonjwa huo
Soma - https://jamii.app/HomaManjano
#JFLeo
Waziri Ummy Mwalimu aagiza Maafisa wa Afya Mipakani kuhakikisha Wasafiri kutoka Nchi zenye Maambukizi wana vyeti vya Chanjo
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kujua dalili za Ugonjwa huo
Soma - https://jamii.app/HomaManjano
#JFLeo
RIPOTI: BELARUS YAENDELEZA UKANDAMIZAJI DHIDI YA WAPINZANI NA VYOMBO VYA HABARI
Ripoti hiyo ya UN inaweka wazi ukiukwaji unaofanywa kwa wanaojaribu kutekeleza Haki zao za Msingi, lakini pia inaonesha namna wahanga wanavyoshindwa kupata Haki zao
Soma - https://jamii.app/UNRipotiBelarus
Ripoti hiyo ya UN inaweka wazi ukiukwaji unaofanywa kwa wanaojaribu kutekeleza Haki zao za Msingi, lakini pia inaonesha namna wahanga wanavyoshindwa kupata Haki zao
Soma - https://jamii.app/UNRipotiBelarus
MANENO GANI YA KIINGEREZA UMEYATAMKA VISIVYO KWA KIPINDI KIREFU?
Wadau wa Jukwaa la Lugha ndani ya JamiiForums.com wametolea Mifano maneno ambayo wameyatamka visivyo kwa muda mrefu yakiwemo; Entrepreneur, Advertisement, Schedule, Determine, Mishandle na Frying Pan
Maneno gani ya Kiingereza yamewahi au yanaendelea kukusumbua hadi sasa?
Mjadala zaidi > https://jamii.app/ManenoEnglish
Wadau wa Jukwaa la Lugha ndani ya JamiiForums.com wametolea Mifano maneno ambayo wameyatamka visivyo kwa muda mrefu yakiwemo; Entrepreneur, Advertisement, Schedule, Determine, Mishandle na Frying Pan
Maneno gani ya Kiingereza yamewahi au yanaendelea kukusumbua hadi sasa?
Mjadala zaidi > https://jamii.app/ManenoEnglish
MBEYA: KIJANA AKAMATWA NA POLISI AKISAFIRISHA VIPODOZI VYENYE SUMU
Polisi wanamshikilia Emmanuel Msigala (42) kwa kusafirisha vipodozi vyenye viambata Sumu vilivyopigwa marufuku
Mtuhumiwa ni mnunuzi, msafirishaji na muuzaji wa bidhaa hizo
Soma - https://jamii.app/Vipodozi
#Afya
Polisi wanamshikilia Emmanuel Msigala (42) kwa kusafirisha vipodozi vyenye viambata Sumu vilivyopigwa marufuku
Mtuhumiwa ni mnunuzi, msafirishaji na muuzaji wa bidhaa hizo
Soma - https://jamii.app/Vipodozi
#Afya
LINDI: Mama mmoja Mkazi wa Ruangwa anatuhumiwa kumuua Mwanaye wa Mwaka mmoja kwa kumnywesha sumu ya kuua Magugu
Alifikia hatua hiyo baada ya Mama mkwe wake kukataa kukaa na Mtoto akimwambia bado mdogo, anastahili kuendelea kunyonya
Soma - https://jamii.app/SumuMtoto
#UkatiliWatoto
Alifikia hatua hiyo baada ya Mama mkwe wake kukataa kukaa na Mtoto akimwambia bado mdogo, anastahili kuendelea kunyonya
Soma - https://jamii.app/SumuMtoto
#UkatiliWatoto
UKRAINE: Hospitali ya Wajawazito ya Mariupol imeshambuliwa na Wanajeshi wa #Urusi katika shambulio la anga na kusababisha majeruhi 17
> Inaelezwa kuwa, waliojeruhuwa ni Wafanyakazi na Wajawazito huku Watoto wakiwa salama
Soma https://jamii.app/17Wajeruhiwa
#RussiaUkraineCrisis
> Inaelezwa kuwa, waliojeruhuwa ni Wafanyakazi na Wajawazito huku Watoto wakiwa salama
Soma https://jamii.app/17Wajeruhiwa
#RussiaUkraineCrisis
Leo Machi 10, 2022 ni Maadhimisho ya Siku ya Figo Duniani, inayolenga kuongeza ufahamu kuhusu Afya ya Figo ili kuziba pengo la uelewa wa Ugonjwa wa Figo. Mwaka huu, Kaulimbiu ni "Afya ya Figo kwa Wote"
Zipo njia mbalimbali za kupunguza hatari ya kupata Ugonjwa wa Figo zikiwemo kufanya mazoezi, kuzingatia Lishe na Mitindo bora ya Maisha
Soma - https://jamii.app/WKD22
#WorldKidneyDay2022
Zipo njia mbalimbali za kupunguza hatari ya kupata Ugonjwa wa Figo zikiwemo kufanya mazoezi, kuzingatia Lishe na Mitindo bora ya Maisha
Soma - https://jamii.app/WKD22
#WorldKidneyDay2022