COLOMBIA YAHALALISHA UTOAJI MIMBA YA HADI MIEZI SITA
Mahakama ya Kikatiba imeruhusu utoaji Mimba hadi yenye wiki 24. Mashirika ya kutetea Haki za Wanawake yameripoti kuwa Wanawake 400,000 kila mwaka Nchini humo walikuwa wanatoa Mimba kwa siri
Soma - https://jamii.app/AbortionColombia
Mahakama ya Kikatiba imeruhusu utoaji Mimba hadi yenye wiki 24. Mashirika ya kutetea Haki za Wanawake yameripoti kuwa Wanawake 400,000 kila mwaka Nchini humo walikuwa wanatoa Mimba kwa siri
Soma - https://jamii.app/AbortionColombia
MDAU: MKOPESHE RAFIKI/NDUGU KIASI CHA FEDHA UNACHOWEZA KUSAMEHE
Anasema ili kulinda Heshima baina yako na Rafiki au Ndugu zako linapokuja suala la Fedha inabidi uwe na Akili sana
Utakapokuwa na uhitaji halafu uliyemkopesha anakuzungusha utabaki kuumia Moyoni, na kupotezeana Heshima huanzia hapo
Unakubaliana na Mdau huyu?
Mjadala - https://jamii.app/MkopoNduguRafiki
#JamiiForums #Maisha
Anasema ili kulinda Heshima baina yako na Rafiki au Ndugu zako linapokuja suala la Fedha inabidi uwe na Akili sana
Utakapokuwa na uhitaji halafu uliyemkopesha anakuzungusha utabaki kuumia Moyoni, na kupotezeana Heshima huanzia hapo
Unakubaliana na Mdau huyu?
Mjadala - https://jamii.app/MkopoNduguRafiki
#JamiiForums #Maisha
NACTE YAONGEZEWA MAJUKUMU YA VETA
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limekuwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kutokana na mabadiliko ya Sheria
> Mabadiliko hayo yanalenga kuongeza ufanisi
Soma https://jamii.app/NACTVET
#JFLeo
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limekuwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kutokana na mabadiliko ya Sheria
> Mabadiliko hayo yanalenga kuongeza ufanisi
Soma https://jamii.app/NACTVET
#JFLeo
UGANDA: Muswada wa Sheria Mpya ya Afya ya Umma umependekeza faini ya Ush. Milioni 4 (Tsh. Milioni 2.6) kwa watakaokataa chanjo huku watakaoshindwa kulipa faini hiyo wanaweza kwenda jela
> Haijafahamika ni lini Muswada huo utapelekwa Bungeni
Soma https://jamii.app/FainiChanjoUg
> Haijafahamika ni lini Muswada huo utapelekwa Bungeni
Soma https://jamii.app/FainiChanjoUg
URUSI KUKABILIWA NA VIKWAZO KUTOKANA NA MZOZO NA UKRAINE
Urusi iko hatarini kukabiliwa na vikwazo kutoka EU kuhusiana na mgogoro unaoendelea kati yake na #Ukraine
Vikwazo hivyo vitahitaji ridhaa ya Nchi Wanachama zote 27
Soma - https://jamii.app/VikwazoUrusi
#RussiaUkraineConflict
Urusi iko hatarini kukabiliwa na vikwazo kutoka EU kuhusiana na mgogoro unaoendelea kati yake na #Ukraine
Vikwazo hivyo vitahitaji ridhaa ya Nchi Wanachama zote 27
Soma - https://jamii.app/VikwazoUrusi
#RussiaUkraineConflict
TCRA: KASI YA INTANETI INASABABISHA BANDO KUISHA HARAKA
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Jabiri Bakari amesema wameelekeza watoa huduma kuunda 'App' ya kusaidia watumiaji kufuatilia matumizi
Asema kuwa na 'Apps' nyingi kwenye simu humaliza bando haraka
Soma - https://jamii.app/InternetKuisha
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Jabiri Bakari amesema wameelekeza watoa huduma kuunda 'App' ya kusaidia watumiaji kufuatilia matumizi
Asema kuwa na 'Apps' nyingi kwenye simu humaliza bando haraka
Soma - https://jamii.app/InternetKuisha
KISUTU, DAR: Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu leo Februari 23, 2022 amemfutia mashtaka ya Uchochezi M/kiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA, Hashimu Issa Juma
Alikuwa akituhumiwa kutoa tuhuma za chuki dhidi ya Viongozi
Soma - https://jamii.app/HashimuFreed
#Siasa
Alikuwa akituhumiwa kutoa tuhuma za chuki dhidi ya Viongozi
Soma - https://jamii.app/HashimuFreed
#Siasa
UMOJA WA ULAYA KULEGEZA MASHARTI YA COVID-19 KWA WATALII
Baraza la Umoja huo limependekeza kuanzia Machi 2022 masharti ya Karantini yaondolewe kwa waliochanjwa
Pia, Watoto chini ya Miaka 6 wasilazimike kupimwa wanaposafiri na Watu wazima.
Soma - https://jamii.app/TourismEUMarch
#UVIKO3
Baraza la Umoja huo limependekeza kuanzia Machi 2022 masharti ya Karantini yaondolewe kwa waliochanjwa
Pia, Watoto chini ya Miaka 6 wasilazimike kupimwa wanaposafiri na Watu wazima.
Soma - https://jamii.app/TourismEUMarch
#UVIKO3
MDAU: NAMNA UNAVYOWEZA KUMSAIDIA MTOTO KUKABILIANA NA MSIBA WA MPENDWA WAKE
1. Kuwa muwazi na mweleze kilichotokea kwa njia rahisi anayoweza kuelewa. Tumia maneno yenye Uhalisia (amefariki), usimfiche kwa kumwambia amelala
2. Jaribu kurudisha Mazingira katika hali ya kawaida kwa haraka iwezekanavyo kutegemea na nani anaishi na Mtoto kwa wakati huo. Mtoto atajisikia kuwa yuko salama kama ratiba za kila Siku hazitabadilika.
Soma - https://jamii.app/MtotoMsiba
#Malezi
1. Kuwa muwazi na mweleze kilichotokea kwa njia rahisi anayoweza kuelewa. Tumia maneno yenye Uhalisia (amefariki), usimfiche kwa kumwambia amelala
2. Jaribu kurudisha Mazingira katika hali ya kawaida kwa haraka iwezekanavyo kutegemea na nani anaishi na Mtoto kwa wakati huo. Mtoto atajisikia kuwa yuko salama kama ratiba za kila Siku hazitabadilika.
Soma - https://jamii.app/MtotoMsiba
#Malezi
NIGER: WANAMGAMBO WAWILI WAUA WATU 18
Wanamgambo hao waliokuwa kwenye pikipiki walishambulia lori lililokuwa likisafirisha watu
Eneo la Magharibi Nchini humo limekuwa likikabiliwa na uasi kwa miaka mingi licha ya jitihada mbalimbali
Soma - https://jamii.app/NigerWatu18
#JFLeo
Wanamgambo hao waliokuwa kwenye pikipiki walishambulia lori lililokuwa likisafirisha watu
Eneo la Magharibi Nchini humo limekuwa likikabiliwa na uasi kwa miaka mingi licha ya jitihada mbalimbali
Soma - https://jamii.app/NigerWatu18
#JFLeo
TANZANIA KUPOKEA NDEGE TANO HIVI KARIBUNI
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi Dkt. Ally Possi amesema ili kukabiliana na hasara za ATCL wataboresha Viwanja vya Ndege Nchini
> Amesema ndege 5 zimenunuliwa ili kuongeza Mapato ya Serikali
Soma https://jamii.app/NdegeATCL
#JFLeo
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi Dkt. Ally Possi amesema ili kukabiliana na hasara za ATCL wataboresha Viwanja vya Ndege Nchini
> Amesema ndege 5 zimenunuliwa ili kuongeza Mapato ya Serikali
Soma https://jamii.app/NdegeATCL
#JFLeo
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) limetoa Onyo kwa wanaotumia Nembo ya Baraza hilo kupotosha Misamiati ya #Kiswahili na kusambaza Mtandaoni
Atakayebainika atalipa faini isiyopungua Milioni 5 au kifungo Miaka 3 jela ama vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/UpotoshajiBAKITA
#Lugha
Atakayebainika atalipa faini isiyopungua Milioni 5 au kifungo Miaka 3 jela ama vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/UpotoshajiBAKITA
#Lugha
IRAN YAREJESHA CHANJO 820,000 ZILIZOTENGENEZWA NA MAREKANI
Chanjo hizo zilitolewa kama Msaada na #Poland
Mwaka 2020, Kiongozi Mkuu wa #Iran, Ali Hosseini Khamenei alisema Chanjo kutoka Uingereza na Marekani ni haramu, na hawatazipokea
Soma - https://jamii.app/IranMarekani
#UVIKO3
Chanjo hizo zilitolewa kama Msaada na #Poland
Mwaka 2020, Kiongozi Mkuu wa #Iran, Ali Hosseini Khamenei alisema Chanjo kutoka Uingereza na Marekani ni haramu, na hawatazipokea
Soma - https://jamii.app/IranMarekani
#UVIKO3
MOSHI: ANAYETUHUMIWA KUMUUA MAMA YAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI
Washtakiwa 3 akiwemo Wendy Mrema (Mtoto wa Marehemu) wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kwa tuhuma za kumuua Patricia Ibreack Paul (66) na kumzika kwenye shimo nje ya Makazi yake
Soma - https://jamii.app/WendyMahakamani
Washtakiwa 3 akiwemo Wendy Mrema (Mtoto wa Marehemu) wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kwa tuhuma za kumuua Patricia Ibreack Paul (66) na kumzika kwenye shimo nje ya Makazi yake
Soma - https://jamii.app/WendyMahakamani
MSUMBIJI: TOVUTI ZA SERIKALI ZADUKULIWA
Wadukuzi wa 'Yemen Hackers' wamedai kudhibiti tovuti 34 za Serikali ya Msumbiji na wanataka wapewe takriban Tsh. Milioni 46
Wametaka Fedha ndani ya saa 24 au watavujisha taarifa za siri
Soma - https://jamii.app/WadukuziMsumbiji
#DigitalSecurity
Wadukuzi wa 'Yemen Hackers' wamedai kudhibiti tovuti 34 za Serikali ya Msumbiji na wanataka wapewe takriban Tsh. Milioni 46
Wametaka Fedha ndani ya saa 24 au watavujisha taarifa za siri
Soma - https://jamii.app/WadukuziMsumbiji
#DigitalSecurity
HOJA: UNATUMIA MBINU GANI KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIMALEZI?
Mdau ametolea Mfano changamoto za Mtoto kutokupenda kula, kwenda Shuleni, kuchanganyika na wenzake, Uwezo mdogo Kimasomo, Utundu kupita kiasi na mengineyo
Anauliza umewahi kukumbana na tatizo gani la kimalezi na ulitatua vipi na kufanikiwa?
Mjadala - https://jamii.app/ChangamotoMalezi
#Malezi
Mdau ametolea Mfano changamoto za Mtoto kutokupenda kula, kwenda Shuleni, kuchanganyika na wenzake, Uwezo mdogo Kimasomo, Utundu kupita kiasi na mengineyo
Anauliza umewahi kukumbana na tatizo gani la kimalezi na ulitatua vipi na kufanikiwa?
Mjadala - https://jamii.app/ChangamotoMalezi
#Malezi
UKRAINE YATANGAZA HALI YA HATARI
Bunge limethibitisha hali ya hatari kwa siku 30. Mamlaka zinaweza kuzuia raia kutembea na mikutano kwa maslahi ya Taifa
> Pia Serikali imetangaza huduma ya lazima ya kijeshi kwa wanaume waliofikia umri wa kupigana
Soma https://jamii.app/StateOfEmergency
Bunge limethibitisha hali ya hatari kwa siku 30. Mamlaka zinaweza kuzuia raia kutembea na mikutano kwa maslahi ya Taifa
> Pia Serikali imetangaza huduma ya lazima ya kijeshi kwa wanaume waliofikia umri wa kupigana
Soma https://jamii.app/StateOfEmergency
UN YAITAKA URUSI KUONDOA WANAJESHI #UKRAINE
Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres amesema wengi wameshapoteza maisha, na ni wakati wa kuipa nafasi Amani
Rais wa Marekani, Joe Biden asema Urusi itabeba lawama kwa yatakayotokea
Soma https://jamii.app/UrusiUN
#RussiaUkraineConflict
Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres amesema wengi wameshapoteza maisha, na ni wakati wa kuipa nafasi Amani
Rais wa Marekani, Joe Biden asema Urusi itabeba lawama kwa yatakayotokea
Soma https://jamii.app/UrusiUN
#RussiaUkraineConflict
PAPA FRANCIS ATANGAZA MACHI 2 KUWA SIKU YA KUFUNGA NA KUIOMBEA #UKRAINE
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa wito kwa watu kutumia Siku ya Jumatano ya Majivu kuiombea Ukraine baada ya ripoti za Urusi kuanza mashambulizi
Soma https://jamii.app/PapaUkraine
#RussiaUkraineConflict
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa wito kwa watu kutumia Siku ya Jumatano ya Majivu kuiombea Ukraine baada ya ripoti za Urusi kuanza mashambulizi
Soma https://jamii.app/PapaUkraine
#RussiaUkraineConflict
MDAU: MAKOSA YA KIFEDHA YANAYOFANYWA NA VIJANA WENGI
1. Kutumia Fedha uliyoipata kabla ya kuweka Akiba: Msemo wa 'Ponda Mali kufa kwaja' hupelekea Vijana wengi kufanya Matumizi yasiyo na ulazima na kukosa Akiba
2. Kutupa Risiti (Stakabadhi za Malipo): Unaweza kudhani risiti za vitu unavyonunua hazina umuhimu kwako lakini hukusaidia kutambua tabia/mwenendo wa Matumizi yako
Soma - https://jamii.app/MoneyMistakes
#Maisha
1. Kutumia Fedha uliyoipata kabla ya kuweka Akiba: Msemo wa 'Ponda Mali kufa kwaja' hupelekea Vijana wengi kufanya Matumizi yasiyo na ulazima na kukosa Akiba
2. Kutupa Risiti (Stakabadhi za Malipo): Unaweza kudhani risiti za vitu unavyonunua hazina umuhimu kwako lakini hukusaidia kutambua tabia/mwenendo wa Matumizi yako
Soma - https://jamii.app/MoneyMistakes
#Maisha