Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika leo Februari 15, 2022
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika leo Februari 15, 2022
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
WAWILI WADAIWA KUFARIKI KUTOKANA NA KIPIGO CHA POLISI
Gazeti la Mwananchi limeripoti kufariki kwa Koba Ndalu(23) wa Morogoro na Jacob Elias wa Tabora
Walikamatwa kwa makosa ya Wizi ambapo Koba alifariki Februari 7 na Jacob alifariki Februari 12, 2022
Soma - https://jamii.app/TaboraMorogoro
#JFMatukio
Gazeti la Mwananchi limeripoti kufariki kwa Koba Ndalu(23) wa Morogoro na Jacob Elias wa Tabora
Walikamatwa kwa makosa ya Wizi ambapo Koba alifariki Februari 7 na Jacob alifariki Februari 12, 2022
Soma - https://jamii.app/TaboraMorogoro
#JFMatukio
MALI: Kwa mujibu wa Maafisa wa Fedha Afrika Magharibi, Nchi hiyo imeshindwa kulipa Madeni yanayofikia Euro Milioni 81 katika Soko la Fedha la Ukanda huo
Siku kadhaa zilizopita, Serikali ya Kijeshi ilitoa rai ya kuondolewa vikwazo vilivyowekwa ikionya vitaleta madhara makubwa kiuchumi na kijamii
Soma - https://jamii.app/MadeniMali
#JFUchumi #Governance
Siku kadhaa zilizopita, Serikali ya Kijeshi ilitoa rai ya kuondolewa vikwazo vilivyowekwa ikionya vitaleta madhara makubwa kiuchumi na kijamii
Soma - https://jamii.app/MadeniMali
#JFUchumi #Governance
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums leo Februari 15, 2022 ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
MDAU: NI WAKATI WA TANZANIA KUANGAZIA VYANZO VINGINE VYA MAPATO
Anashauri tusimamie Rasilimali zetu, kwani itasaidia kupanua Biashara za kikanda kuliko wazo letu la kwanza kama Taifa kuwa Kodi
Anapendekeza tutumie Kilimo kama fursa ya kutuvusha akisema Kodi nyingi hazitotufikisha tunapohitaji kufika kama Taifa na zitazidi kuumiza Wananchi
Soma - https://jamii.app/MapatoSOC
#StoriesOfChange #Governance
Anashauri tusimamie Rasilimali zetu, kwani itasaidia kupanua Biashara za kikanda kuliko wazo letu la kwanza kama Taifa kuwa Kodi
Anapendekeza tutumie Kilimo kama fursa ya kutuvusha akisema Kodi nyingi hazitotufikisha tunapohitaji kufika kama Taifa na zitazidi kuumiza Wananchi
Soma - https://jamii.app/MapatoSOC
#StoriesOfChange #Governance
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika leo Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
ETHIOPIA: Kwa mara ya kwanza ndani ya Miezi sita, Shirika la Afya (WHO) limepata Kibali cha kusambaza vifaa vya matibabu Jimbo la #Tigray
Serikali ya #Ethiopia ilizuia karibu usambazaji wote wa misaada kufuatia miezi kadhaa ya mvutano wa Kisiasa
Soma - https://jamii.app/WHOTigrVifaa
#Governance
Serikali ya #Ethiopia ilizuia karibu usambazaji wote wa misaada kufuatia miezi kadhaa ya mvutano wa Kisiasa
Soma - https://jamii.app/WHOTigrVifaa
#Governance
Utafiti uliofanywa na Wataalamu umeonesha takriban robo tatu ya Watanzania waliopata #COVID19 wana umri sawa au chini ya miaka 60
Utafiti ulifanywa kwa miezi miwili na Wagonjwa 121 waliofika Hospitali mbili zenye hadhi ya rufaa walifuatiliwa
Soma https://jamii.app/COVID19Tanzania
#UVIKO3 #JFAfya
Utafiti ulifanywa kwa miezi miwili na Wagonjwa 121 waliofika Hospitali mbili zenye hadhi ya rufaa walifuatiliwa
Soma https://jamii.app/COVID19Tanzania
#UVIKO3 #JFAfya
INDIA YAZUIA UPATIKANAJI WA 'APPS' 54 ZA KICHINA
India inaamini Taarifa za Watumiaji zilikuwa zikitumwa #China kutumia 'App', kisha kutumika kwa namna inayoweza kuhatarisha Usalama wa Taifa
Tangu Mwaka 2020, #India imefuta Apps 321 za Kichina
Soma - https://jamii.app/ChinaAppsIndia
#DigitalRights
India inaamini Taarifa za Watumiaji zilikuwa zikitumwa #China kutumia 'App', kisha kutumika kwa namna inayoweza kuhatarisha Usalama wa Taifa
Tangu Mwaka 2020, #India imefuta Apps 321 za Kichina
Soma - https://jamii.app/ChinaAppsIndia
#DigitalRights
Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022
#JFAfya
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022
#JFAfya
DAR: Hussein Ramadhani (30) Mkazi wa Sinza, anatuhumiwa kuvaa sare za Polisi na kufanya uhalifu wa unyangβanyi wa kutumia nguvu
Amekutwa na buti za Polisi, kadi za Benki na NSSF zenye jina la Florence Victor Kiondo. Pia, amewahi kufungwa kwa wizi
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
Amekutwa na buti za Polisi, kadi za Benki na NSSF zenye jina la Florence Victor Kiondo. Pia, amewahi kufungwa kwa wizi
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
SERIKALI: MATUMIZI HOLELA YA P2 YANAWEZA KUSABABISHA UGUMBA NA SARATANI
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wanatambua kuna matumizi mabaya ya Dawa hizo hasa kwa Watoto wa Shule akieleza, "Kwa sasa inaonekana wanaogopa zaidi mimba kuliko UKIMWI!"
Soma - https://jamii.app/SerikaliP2
#JFAfya
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wanatambua kuna matumizi mabaya ya Dawa hizo hasa kwa Watoto wa Shule akieleza, "Kwa sasa inaonekana wanaogopa zaidi mimba kuliko UKIMWI!"
Soma - https://jamii.app/SerikaliP2
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Bonyeza > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Bonyeza > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya