JamiiForums
52.6K subscribers
34.4K photos
2.46K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
SARATANI YA OVARI: Ni Saratani nadra kutokea Duniani na ambayo huchelewa kugundulika. Hali hii husababisha Wanawake wengi kuondolewa kabisa Mji wa Mimba

Wanawake ambao hawajazaa kabisa au waliochelewa mno kuzaa (juu ya miaka 35) wanatajwa kuwa kundi lililopo kwenye uwezekano mkubwa wa kupata Saratani hii

#JFAfya #CancerDay2022 #WorldCancerDay2022
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania

Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo

Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.

#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania

Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo

Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.

#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Applied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania

Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022

Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto

#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania

Mjadala huu unatarajiwa kufanyika leo Februari 15, 2022

Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto

#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums leo Februari 15, 2022 ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania

Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?

Karibu ujiunge nasi katika Mjadala > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto

#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo

Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala

Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto

#JamiiForums #CancerDay2022

#JFAfya