Mshiriki wa #StoriesOfChange amesema Wanawake hupoteza fedha kufanya sherehe zisizo za lazima huku wengine wakitunga sherehe ili kutunzwa na wanakikundi
> Ameshauri "Msisubiri Rais aje awawezeshe wakati mtaji mdogo mlionao mnautumia vibaya"
Soma https://jamii.app/ShereheUmasikini
#JFMdau
> Ameshauri "Msisubiri Rais aje awawezeshe wakati mtaji mdogo mlionao mnautumia vibaya"
Soma https://jamii.app/ShereheUmasikini
#JFMdau
#AFCON2021: MISRI YATINGA FAINALI
#TeamEgypt imeingia fainali kwa kumfunga mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon kwa penati 3-1 baada ya kutofungana ndani ya dk 120
Misri sasa itacheza fainali na #TeamSenegal huku #TeamCameroon ikiivaa #TeamBurkinaFaso kusaka mshindi wa 3
#JFSports
#TeamEgypt imeingia fainali kwa kumfunga mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon kwa penati 3-1 baada ya kutofungana ndani ya dk 120
Misri sasa itacheza fainali na #TeamSenegal huku #TeamCameroon ikiivaa #TeamBurkinaFaso kusaka mshindi wa 3
#JFSports
SYRIA: KIONGOZI WA ISLAMIC STATE (IS) AJILIPUA
Abu Ibrahim Al-Hashimi al-Quraysh amejilipua na Familia yake baada ya Vikosi vya Marekani vilivyoenda Syria kupambana na ugaidi kudhibiti eneo alilokuwa akiishi
Miili ya watu 13 imeokotwa eneo hilo
Soma - https://jamii.app/KiongoziISAjiua
#JFMatukio
Abu Ibrahim Al-Hashimi al-Quraysh amejilipua na Familia yake baada ya Vikosi vya Marekani vilivyoenda Syria kupambana na ugaidi kudhibiti eneo alilokuwa akiishi
Miili ya watu 13 imeokotwa eneo hilo
Soma - https://jamii.app/KiongoziISAjiua
#JFMatukio
SIKU YA SARATANI DUNIANI
Siku ya Saratani huadhimishwa kila Februari 4. Kwa mujibu wa Shirika la Afya (WHO) Mwaka 2021, takriban watu Milioni 20 walibainika kuwa na Saratani
Kaulimbiu 2022 ni "Huduma za Saratani sawa kwa wote"
Soma - https://jamii.app/SikuYaSaratani
#WorldCancerDay #JFAfya
Siku ya Saratani huadhimishwa kila Februari 4. Kwa mujibu wa Shirika la Afya (WHO) Mwaka 2021, takriban watu Milioni 20 walibainika kuwa na Saratani
Kaulimbiu 2022 ni "Huduma za Saratani sawa kwa wote"
Soma - https://jamii.app/SikuYaSaratani
#WorldCancerDay #JFAfya
BUNGENI: Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda amesema Wanafunzi watakaopata Ujauzito hawataruhusiwa kuingia Darasani na Watoto
Ametoa ufafanuzi huo kutokana na picha inayosambaa Mitandaoni ikimwonesha Mwanafunzi akiwa na Mtoto wake Darasani
Soma https://jamii.app/WanfzWatotoDrs
#JFElimu
Ametoa ufafanuzi huo kutokana na picha inayosambaa Mitandaoni ikimwonesha Mwanafunzi akiwa na Mtoto wake Darasani
Soma https://jamii.app/WanfzWatotoDrs
#JFElimu
RAIS SAMIA: JESHI HALIWEZI KUFANYA MAUAJI KISHA LIJICHUNGUZE LENYEWE
Ameagiza kuwepo kwa Kamati Huru ya kuchunguza mauaji yanayodaiwa kufanywa na Maafisa wa Polisi mkoani Mtwara
Ripoti ya Kamati Huru ya Uchunguzi kulinganishwa na Ripoti ya Polisi
Soma - https://jamii.app/KamatiHuru
#JFUwajibikaji
Ameagiza kuwepo kwa Kamati Huru ya kuchunguza mauaji yanayodaiwa kufanywa na Maafisa wa Polisi mkoani Mtwara
Ripoti ya Kamati Huru ya Uchunguzi kulinganishwa na Ripoti ya Polisi
Soma - https://jamii.app/KamatiHuru
#JFUwajibikaji
WAKURUGENZI WANNE WATENGULIWA KWA TUHUMA ZA UBADHIRIFU
Rais Samia Suluhu Hassan amewatengua Wakurugenzi wa Halmashauri za Buchosa, Iringa, Mbeya na Singida Mjini
Utenguzi umefanyika Rais akiwa njiani Magu (Mwanza) kuelekea Musoma
Soma - https://jamii.app/RaisAtumbua
#JFUwajibikaji
Rais Samia Suluhu Hassan amewatengua Wakurugenzi wa Halmashauri za Buchosa, Iringa, Mbeya na Singida Mjini
Utenguzi umefanyika Rais akiwa njiani Magu (Mwanza) kuelekea Musoma
Soma - https://jamii.app/RaisAtumbua
#JFUwajibikaji
ZAIDI YA 90% YA VISA VYA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI HUTOKEA NCHI ZINAZOENDELEA
Mnamo Mwaka 2020, inakadiriwa Wanawake 604,000 waligunduliwa kuwa na Saratani ya Shingo ya Kizazi Duniani kote na takriban Wanawake 342,000 walipoteza maisha kutokana na Ugonjwa huo
Kwa kiasi kikubwa Saratani hii husababishwa na maambukizi ya muda mrefu (Persistence Infection) ya Virusi viitwavyo Human Papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana
Soma - https://jamii.app/CervicalCancer
#CervicalCancer #JFAfya
Mnamo Mwaka 2020, inakadiriwa Wanawake 604,000 waligunduliwa kuwa na Saratani ya Shingo ya Kizazi Duniani kote na takriban Wanawake 342,000 walipoteza maisha kutokana na Ugonjwa huo
Kwa kiasi kikubwa Saratani hii husababishwa na maambukizi ya muda mrefu (Persistence Infection) ya Virusi viitwavyo Human Papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana
Soma - https://jamii.app/CervicalCancer
#CervicalCancer #JFAfya
SARATANI YA OVARI: Ni Saratani nadra kutokea Duniani na ambayo huchelewa kugundulika. Hali hii husababisha Wanawake wengi kuondolewa kabisa Mji wa Mimba
Wanawake ambao hawajazaa kabisa au waliochelewa mno kuzaa (juu ya miaka 35) wanatajwa kuwa kundi lililopo kwenye uwezekano mkubwa wa kupata Saratani hii
#JFAfya #CancerDay2022 #WorldCancerDay2022
Wanawake ambao hawajazaa kabisa au waliochelewa mno kuzaa (juu ya miaka 35) wanatajwa kuwa kundi lililopo kwenye uwezekano mkubwa wa kupata Saratani hii
#JFAfya #CancerDay2022 #WorldCancerDay2022
NCHI ZINAZOENDELEA HUTOA TIBA KWA 30% YA WATOTO WENYE SARATANI
WHO yasema Watoto 400,000 chini ya miaka 19 duniani hupata Saratani kila mwaka
Nchi za kipato cha juu hutibu 80% ya Watoto, za kipato cha kati/chini zina 29%
Soma - https://jamii.app/SarataniWatoto
#WorldCancerDay #JFAfya
WHO yasema Watoto 400,000 chini ya miaka 19 duniani hupata Saratani kila mwaka
Nchi za kipato cha juu hutibu 80% ya Watoto, za kipato cha kati/chini zina 29%
Soma - https://jamii.app/SarataniWatoto
#WorldCancerDay #JFAfya
SARATANI YA TEZI DUME: Saratani hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za Tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa Mwili na hutengeneza vivimbe
Visababishi hatarishi ni Umri Mkubwa kuanzia miaka 50, Vinasaba kwenye Ukoo, Lishe hatarishi, Unene uliokithiri na Maambukizi ya mara kwa mara kwenye Tezi Dume
Soma - https://jamii.app/ProstateCancer
#WorldCancerDay2022 #JFAfya
Visababishi hatarishi ni Umri Mkubwa kuanzia miaka 50, Vinasaba kwenye Ukoo, Lishe hatarishi, Unene uliokithiri na Maambukizi ya mara kwa mara kwenye Tezi Dume
Soma - https://jamii.app/ProstateCancer
#WorldCancerDay2022 #JFAfya
MAMBO YA KUZINGATIA KUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA SARATANI
Fanya mazoezi, kula mlo kamili na epuka kutumia tumbaku
Wataalamu wanashauri kushiriki programu za upimaji Saratani na kupata Chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa Kizazi
Soma - https://jamii.app/SikuYaSaratani
#WorldCancerDay #JFAfya
Fanya mazoezi, kula mlo kamili na epuka kutumia tumbaku
Wataalamu wanashauri kushiriki programu za upimaji Saratani na kupata Chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa Kizazi
Soma - https://jamii.app/SikuYaSaratani
#WorldCancerDay #JFAfya
SIMBA YAMSIMAMISHA KWA MUDA BERNARD MORRISON
Simba SC imemsimamisha kwa muda mchezaji wake Bernard Morrison hadi suala lake la kinidhamu litakapopatiwa ufumbuzi
Klabu hiyo imesema Morrison amekuwa na tabia ya kutoka kambini bila ruhusa
Soma https://jamii.app/SimbaMorrison
#JFSports
Simba SC imemsimamisha kwa muda mchezaji wake Bernard Morrison hadi suala lake la kinidhamu litakapopatiwa ufumbuzi
Klabu hiyo imesema Morrison amekuwa na tabia ya kutoka kambini bila ruhusa
Soma https://jamii.app/SimbaMorrison
#JFSports
👍1
BALOZI WA MAREKANI AITEMBELEA JAMIIFORUMS
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Donald Wright leo Februari 4, 2022 ametembelea Ofisi za #JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi
Balozi Wright na timu yake wamepata kuelezwa namna Jamii Forums ambayo ni Asasi ya Kiraia inavyoendesha shughuli zake katika kufanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Donald Wright leo Februari 4, 2022 ametembelea Ofisi za #JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi
Balozi Wright na timu yake wamepata kuelezwa namna Jamii Forums ambayo ni Asasi ya Kiraia inavyoendesha shughuli zake katika kufanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania
NJOMBE: Israel Msigwa maarufu kama 'Mtoa Roho' anatuhumiwa kumuadhibu Mwanaye Haskad Msigwa (7) kwa nyaya za umeme kwa kosa la kukojoa kitandani, na kumsababishia kifo
Mtuhumiwa alikamatwa Februari 3 Mkoani Iringa alipokimbilia kujificha
Soma - https://jamii.app/KifoNjombe
#JFMatukio
Mtuhumiwa alikamatwa Februari 3 Mkoani Iringa alipokimbilia kujificha
Soma - https://jamii.app/KifoNjombe
#JFMatukio
SONGWE: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMCHOMA MOTO MTOTO WA MIEZI 6
Mariko Kahinga aliyedai Mkewe alipewa mimba na Mwanaume mwingine atafikishwa mahakamani kwa mujibu wa Sheria
Mama wa Mtoto huyo, Patricia Mwilenga asema Mumewe alikuwa akitamka kauli mbaya
Soma https://jamii.app/SongweBaba
#JFMatukio #HakiMtoto
Mariko Kahinga aliyedai Mkewe alipewa mimba na Mwanaume mwingine atafikishwa mahakamani kwa mujibu wa Sheria
Mama wa Mtoto huyo, Patricia Mwilenga asema Mumewe alikuwa akitamka kauli mbaya
Soma https://jamii.app/SongweBaba
#JFMatukio #HakiMtoto
KIRUSI KIPYA CHA HIV CHAGUNDULIKA UHOLANZI
Kirusi kipya cha HIV/AIDS kimegundulika Nchini Uholanzi na kupewa jina la #VBVariant. Kinadaiwa kushambulia Kinga ya Mtu mara mbili zaidi
Siku mbili zilizopita Kampuni ya #Moderna ilitangaza kuanza majaribio ya Chanjo ya HIV (mRNA-based HIV vaccive) ambapo Watu 56 waliojitolewa watapewa Dozi moja na wengine mbili huku wakifuatiliwa kwa Miezi 6.
Soma - https://jamii.app/VBvariantHIV
#JFAfya
Kirusi kipya cha HIV/AIDS kimegundulika Nchini Uholanzi na kupewa jina la #VBVariant. Kinadaiwa kushambulia Kinga ya Mtu mara mbili zaidi
Siku mbili zilizopita Kampuni ya #Moderna ilitangaza kuanza majaribio ya Chanjo ya HIV (mRNA-based HIV vaccive) ambapo Watu 56 waliojitolewa watapewa Dozi moja na wengine mbili huku wakifuatiliwa kwa Miezi 6.
Soma - https://jamii.app/VBvariantHIV
#JFAfya
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa agizo kwa IGP Simon Sirro kuwasimamisha kazi RPC na RCO Mkoa wa Mtwara, pamoja na Mkuu wa Kituo cha Polisi eneo alilofia Mfanyabiashara Mussa Hamisi
Viongozi hao wametakiwa kukaa pembeni ili kupisha uchunguzi
Soma - https://jamii.app/PolisiMtwara
#JFUwajibikaji
Viongozi hao wametakiwa kukaa pembeni ili kupisha uchunguzi
Soma - https://jamii.app/PolisiMtwara
#JFUwajibikaji