MOHAMED MCHENGERWA KUWA WAZIRI WA UTAMADUNI
Rais Samia amemhamishia Mohamed Omary Mchengerwa aliyekuwa Ofisi ya Rais, Menejimenti, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenda Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambayo awali ilikuwa chini ya Innocent Bashungwa
#Governance
Rais Samia amemhamishia Mohamed Omary Mchengerwa aliyekuwa Ofisi ya Rais, Menejimenti, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenda Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambayo awali ilikuwa chini ya Innocent Bashungwa
#Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amembadilisha Wizara, Ashatu Kijaji aliyekuwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwenda Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara
#JFUteuzi #Governance
#JFUteuzi #Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amembadilisha Wizara Jenista Mhagama aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora
#JFUteuzi #Governance
#JFUteuzi #Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Angelina Mabula kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Pia, amemteua Ridhiwani Kikwete kuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo
#JFUteuzi #Governance
Pia, amemteua Ridhiwani Kikwete kuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo
#JFUteuzi #Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Pindi Chana kuwa Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu atakayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu
#JFUteuzi #Governance
#JFUteuzi #Governance
RAIS SAMIA ABADILI WIZARA 3
Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara
Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
#Governance
Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara
Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
#Governance
#AFCON2021: NANI KUWA BINGWA?
Michuano hiyo inaanza kesho Januari 9, kwa wenyeji #TeamCameroon kuivaa #TeamBurkinaFaso majira ya saa 1:00 jioni (EAT)
#TeamAlgeria ambaye ni Bingwa Mtetezi, #TeamCameroon, #TeamSenegal na #TeamEgypt zinapewa nafasi kubwa kuwa Bingwa
#JFSports
Michuano hiyo inaanza kesho Januari 9, kwa wenyeji #TeamCameroon kuivaa #TeamBurkinaFaso majira ya saa 1:00 jioni (EAT)
#TeamAlgeria ambaye ni Bingwa Mtetezi, #TeamCameroon, #TeamSenegal na #TeamEgypt zinapewa nafasi kubwa kuwa Bingwa
#JFSports
JWTZ wamekanusha taarifa zilizochapishwa katika YouTube channel ya News24 ikiwa na kichwa 'MKUU WA MAJESHI AINGILIA KATI SAKATA LA RAIS NA SPIKA'
> Wamesema wanafanya kazi kwa weledi na hawaingilii masuala ya kisiasa
Soma https://jamii.app/KanushoJWTZ
#Accountability
> Wamesema wanafanya kazi kwa weledi na hawaingilii masuala ya kisiasa
Soma https://jamii.app/KanushoJWTZ
#Accountability
#AFCON2021: CAMEROON YAANZA KWA USHINDI
- Mtayarishaji wa Mashindano hayo #TeamCameroon imeanza kwa ushindi wa goli 2-1 dhidi ya #TeamBurkinaFaso katika mchezo wa ufunguzi
- Mchezo unaofuata saa 4:00 usiku (EAT) ni kati ya #TeamEthiopia na #TeamCapeVerde
#JFSports
- Mtayarishaji wa Mashindano hayo #TeamCameroon imeanza kwa ushindi wa goli 2-1 dhidi ya #TeamBurkinaFaso katika mchezo wa ufunguzi
- Mchezo unaofuata saa 4:00 usiku (EAT) ni kati ya #TeamEthiopia na #TeamCapeVerde
#JFSports
KILIMANJARO: BINTI ADAIWA KUMUUA MAMA YAKE KWA TAMAA YA MALI
Wendy anadaiwa kumuua Mama yake mzazi (Mama Ipepu) ambaye ni Nesi mstaafu wa KCMC
Ni takriban mwaka sasa watu wamekuwa wakimuulizia Mama huyo na kuambiwa amekwenda kutibiwa nje ya Nchi
Soma - https://jamii.app/BintiKifoMama
#JFMatukio
Wendy anadaiwa kumuua Mama yake mzazi (Mama Ipepu) ambaye ni Nesi mstaafu wa KCMC
Ni takriban mwaka sasa watu wamekuwa wakimuulizia Mama huyo na kuambiwa amekwenda kutibiwa nje ya Nchi
Soma - https://jamii.app/BintiKifoMama
#JFMatukio
USWISI: WANAJESHI WATAKIWA KUACHA KUTUMIA WHATSAPP, SIGNAL NA TELEGRAM
Kwasababu ya ulinzi wa taarifa, Wanajeshi wametakiwa kutumia Mtandao wa Uswisi uitwao Threema Messenger
Jeshi litagharamia kuwa na Threema ambayo ni Dola 4.35 (Tsh. 8,900)
Soma - https://jamii.app/SwissArmy
#Governance
Kwasababu ya ulinzi wa taarifa, Wanajeshi wametakiwa kutumia Mtandao wa Uswisi uitwao Threema Messenger
Jeshi litagharamia kuwa na Threema ambayo ni Dola 4.35 (Tsh. 8,900)
Soma - https://jamii.app/SwissArmy
#Governance
#KAZAKHSTAN: Jumla ya Watu 164 wameuawa tangu yalipoanza machafuko yaliyotokana na maandamano wiki moja iliyopita
Ktk machafuko hayo, zaidi ya Watu 5,000 wamekamatwa na Mamlaka za Nchi hiyo. Raia wanapinga kupanda kwa bei ya Mafuta
Soma - https://jamii.app/DeathTollKaza
#HumanRights
Ktk machafuko hayo, zaidi ya Watu 5,000 wamekamatwa na Mamlaka za Nchi hiyo. Raia wanapinga kupanda kwa bei ya Mafuta
Soma - https://jamii.app/DeathTollKaza
#HumanRights
IKULU, CHAMWINO: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan awaapisha Mawaziri, Manaibu Waziri na Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu aliowateua Januari 8, 2022
Uapisho huo unafanyika Ikulu, Chamwino, Dodoma
Fuatilia - https://jamii.app/UapishoIkuluDodoma
#Governance
Uapisho huo unafanyika Ikulu, Chamwino, Dodoma
Fuatilia - https://jamii.app/UapishoIkuluDodoma
#Governance
NAIBU SPIKA: KAZI YA BUNGE SIO KUKOSOA SERIKALI TU
Dkt. Tulia Ackson asema itakapohitajika watakosoa Serikali kwa heshima na kuzingatia muktadha
Amesema Rais ni Mkuu wa Serikali na ni Mkuu wa Nchi, hayuko sawa na wakuu wa Mihimili mingine
Soma - https://jamii.app/RaisVsBunge
#Governance
Dkt. Tulia Ackson asema itakapohitajika watakosoa Serikali kwa heshima na kuzingatia muktadha
Amesema Rais ni Mkuu wa Serikali na ni Mkuu wa Nchi, hayuko sawa na wakuu wa Mihimili mingine
Soma - https://jamii.app/RaisVsBunge
#Governance
RAIS SAMIA: LUKUVI HATOKUWA SPIKA WA BUNGE
Akanusha uvumi William Lukuvi ameandaliwa kuwa Spika wa Bunge baada ya kutoteuliwa katika Baraza la Mawaziri
Pia, amekanusha kuwa Lukuvi ni kati ya watu waliokuwa wanataka kugombea Urais 2025
Soma - https://jamii.app/UapishoIkuluDodoma
#Governance
Akanusha uvumi William Lukuvi ameandaliwa kuwa Spika wa Bunge baada ya kutoteuliwa katika Baraza la Mawaziri
Pia, amekanusha kuwa Lukuvi ni kati ya watu waliokuwa wanataka kugombea Urais 2025
Soma - https://jamii.app/UapishoIkuluDodoma
#Governance
RAIS SAMIA: NILIWAACHA LUKUVI NA PROF. KABUDI ILI WAJE KWANGU KUWASIMAMIA MAWAZIRI
Amesema amewaacha Wiliam Lukuvi na Prof. Palamagamba Kabudi kwasababu ya umri, hivyo atafanya nao kazi kwa ukaribu ili kuweza kuwasisimamia mawaziri
Soma - https://jamii.app/UapishoIkuluDodoma
#Governance
Amesema amewaacha Wiliam Lukuvi na Prof. Palamagamba Kabudi kwasababu ya umri, hivyo atafanya nao kazi kwa ukaribu ili kuweza kuwasisimamia mawaziri
Soma - https://jamii.app/UapishoIkuluDodoma
#Governance
UTAFITI: GONGO HUSABABISHA SARATANI YA TUMBO
Shirika la Kimataifa la Utafiti wa Saratani, IARC limebaini gongo, Chang'aa na Kachasu zinasababisha Saratani ya Tumbo hasa kwa wanaume
Saratani hii imeshamiri zaidi Kusini na Mashariki mwa Afrika
Soma https://jamii.app/GongoSaratani
#JFAfya
Shirika la Kimataifa la Utafiti wa Saratani, IARC limebaini gongo, Chang'aa na Kachasu zinasababisha Saratani ya Tumbo hasa kwa wanaume
Saratani hii imeshamiri zaidi Kusini na Mashariki mwa Afrika
Soma https://jamii.app/GongoSaratani
#JFAfya
SOMALIA: Viongozi wa kisiasa wamefikia makubaliano ya kukamilisha Uchaguzi wa Bunge la chini kati ya Januari 15 na Februari 25, 2022
Waziri Mkuu na Rais wamekuwa wakijibizana kuhusu zoezi hilo, hali iliyozua wasiwasi wa ghasia Nchini humo
Soma https://jamii.app/UchaguziSomalia
#Democracy
Waziri Mkuu na Rais wamekuwa wakijibizana kuhusu zoezi hilo, hali iliyozua wasiwasi wa ghasia Nchini humo
Soma https://jamii.app/UchaguziSomalia
#Democracy
Aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais, Bunge la Afrika(PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea Uspika wa Bunge
Wengine waliojitokeza ni Patrick Nkamah na Godwin Kunambi
Soma https://jamii.app/SpikaWaBunge
#Governance #Democracy
Wengine waliojitokeza ni Patrick Nkamah na Godwin Kunambi
Soma https://jamii.app/SpikaWaBunge
#Governance #Democracy
MDAU: MAONESHO YA VYAKULA VYA ASILI NI FURSA NZURI YA KUKUZA UTALII
Anasema Tanzania bado hatujanufaika na Utalii wa matukio na maonesho (Event Tourism) kwa namna ya kuridhisha. Hatujaweza kuandaa maonesho makubwa ya kitamaduni ambayo yangeweza kuvutia Watu
Mfano #Brazil huvutia maelfu ya Watu katika ngoma yao ya Samba. #Tanzania tunaweza kuanzisha maonesho ya vyakula vya asili na kuandaa msimu wa maonesho hayo ambayo ungepambwa na matukio mbalimbali
Soma - https://jamii.app/VyakulaUtalii
#StoriesOfChange #JFMdau
Anasema Tanzania bado hatujanufaika na Utalii wa matukio na maonesho (Event Tourism) kwa namna ya kuridhisha. Hatujaweza kuandaa maonesho makubwa ya kitamaduni ambayo yangeweza kuvutia Watu
Mfano #Brazil huvutia maelfu ya Watu katika ngoma yao ya Samba. #Tanzania tunaweza kuanzisha maonesho ya vyakula vya asili na kuandaa msimu wa maonesho hayo ambayo ungepambwa na matukio mbalimbali
Soma - https://jamii.app/VyakulaUtalii
#StoriesOfChange #JFMdau