RAIS SAMIA: TANZANIA IMEKUWA IKIKOPA TANGU UHURU
Amesema inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Asema "Toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Soma - https://jamii.app/RaisTozoMikopo
#Governance
Amesema inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Asema "Toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Soma - https://jamii.app/RaisTozoMikopo
#Governance
RAIS SAMIA: TAIFA HALIWEZI KUENDESHWA NA TOZO PEKEE
Rais Samia asema kumekuwepo watu wanaohoji kwanini Nchi imekopa japokuwa kuna fedha za tozo, akifafanua kuwa Taifa haliwezi kwenda na fedha za tozo pekee
Amesema kuleta ustawi wa Nchi sio miujiza na ni lazima kutumia mbinu zote zilizopo
Soma - https://jamii.app/SSHTozo
#Governance
Rais Samia asema kumekuwepo watu wanaohoji kwanini Nchi imekopa japokuwa kuna fedha za tozo, akifafanua kuwa Taifa haliwezi kwenda na fedha za tozo pekee
Amesema kuleta ustawi wa Nchi sio miujiza na ni lazima kutumia mbinu zote zilizopo
Soma - https://jamii.app/SSHTozo
#Governance
RAIS SAMIA KUFANYA MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI HIVI KARIBUNI
Amesema ataenda na wale wote anaohisi wanaweza kwenda naye kuleta maendeleo kwa Watanzania na kwamba wale ambao anahisi ndoto zao ni "kule" atawapa nafasi waende kujiandaa
Asema, "Wakajitayarishe vizuri huko nje kwasababu nikiwatuma ndani nitawasumbua"
Soma - https://jamii.app/RaisBarazaMawaziri
#Governance
Amesema ataenda na wale wote anaohisi wanaweza kwenda naye kuleta maendeleo kwa Watanzania na kwamba wale ambao anahisi ndoto zao ni "kule" atawapa nafasi waende kujiandaa
Asema, "Wakajitayarishe vizuri huko nje kwasababu nikiwatuma ndani nitawasumbua"
Soma - https://jamii.app/RaisBarazaMawaziri
#Governance
RAIS SAMIA: UMEME HAUWEZI KUUNGANISHWA KWA ELFU 27
Rais Samia Suluhu amesema ni ngumu kwa TANESCO kuwaunganishia umeme Watanzania kwa Tsh. 27,000
> Amesema Wananchi wamelipa lakini wanashindwa kuunganishiwa umeme kwa kuwa TANESCO hawana nguzo
Soma - https://jamii.app/Tsh27kTANESCO
#ServiceDelivery
Rais Samia Suluhu amesema ni ngumu kwa TANESCO kuwaunganishia umeme Watanzania kwa Tsh. 27,000
> Amesema Wananchi wamelipa lakini wanashindwa kuunganishiwa umeme kwa kuwa TANESCO hawana nguzo
Soma - https://jamii.app/Tsh27kTANESCO
#ServiceDelivery
PEMBA: WATU TISA WAFARIKI KWA AJALI YA BOTI
Boti iliyokuwa inatokea Chakechake kuelekea Panza kwa shughuli za mazishi imezama usiku wa kuamkia Januari 5, 2022
> Uokoaji ulisitishwa kwasababu ya giza ambapo maiti 9 ziliopolewa, na Watu 6 waliokolewa
Soma https://jamii.app/PembaAjalii
#JFMatukio
Boti iliyokuwa inatokea Chakechake kuelekea Panza kwa shughuli za mazishi imezama usiku wa kuamkia Januari 5, 2022
> Uokoaji ulisitishwa kwasababu ya giza ambapo maiti 9 ziliopolewa, na Watu 6 waliokolewa
Soma https://jamii.app/PembaAjalii
#JFMatukio
KAZAKHSTAN: SERIKALI YAJIUZULU KUFUATIA MAANDAMANO YA KUPINGA BEI ZA MAFUTA
Rais Kassym-Jomart Tokayev ametangaza Hali ya Dharura kwa wiki mbili katika baadhi ya maeneo
Hatua kadhaa za dharura zimetangazwa ikiwemo marufuku ya mikusanyiko
Soma - https://jamii.app/GovtResigns
#Accountability #JFUwajibikaji
Rais Kassym-Jomart Tokayev ametangaza Hali ya Dharura kwa wiki mbili katika baadhi ya maeneo
Hatua kadhaa za dharura zimetangazwa ikiwemo marufuku ya mikusanyiko
Soma - https://jamii.app/GovtResigns
#Accountability #JFUwajibikaji
HONG KONG YAPIGA MARUFUKU NDEGE KUTOKA NCHI 8
Miongoni mwa Nchi hizo ni Canada, Marekani na India. Mamlaka zimeweka marufuku hiyo kutokana na hofu ya Wimbi la Tano la #COVID19
Baa, klabu na makumbusho kufungwa ili kudhibiti maambukizi
Soma - https://jamii.app/FlightBanHK
#UVIKO3 #JFAfya #Governance
Miongoni mwa Nchi hizo ni Canada, Marekani na India. Mamlaka zimeweka marufuku hiyo kutokana na hofu ya Wimbi la Tano la #COVID19
Baa, klabu na makumbusho kufungwa ili kudhibiti maambukizi
Soma - https://jamii.app/FlightBanHK
#UVIKO3 #JFAfya #Governance
Wateja wa njia moja watalipia Tsh. 320,960, Tsh. 515,618 na Tsh. 696,670 kwa Mita 30, 70 na 120 ili kuunganishiwa umeme
Kwa njia 3 ni Tsh. 912,014, Tsh. 1,249,385 na Tsh. 1,639,156 kwa Mita 30, 70 na 120 mtawalia. Kwa Watu wa Kijijini ni Tsh. 27,000
Soma https://jamii.app/BeiKuunganisha
#ServiceDelivery
Kwa njia 3 ni Tsh. 912,014, Tsh. 1,249,385 na Tsh. 1,639,156 kwa Mita 30, 70 na 120 mtawalia. Kwa Watu wa Kijijini ni Tsh. 27,000
Soma https://jamii.app/BeiKuunganisha
#ServiceDelivery
MDAU: NJIA ZA KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA NCHINI
Kuanzisha Programu za Ujuzi, Elimu na Mafunzo: Serikali inatakiwa kuanzisha Mitaala Maalum itakayoweza kutumika kuanzia ngazi ya Msingi mpaka Vyuo
Kuboresha Sayansi na Teknolojia: Vijana wafunzwe ujuzi wa kubuni, kutengeneza na kutumia vifaa au programu zenye kulenga kutatua kero za kijamii
Soma - https://jamii.app/TatizoAjiraSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Kuanzisha Programu za Ujuzi, Elimu na Mafunzo: Serikali inatakiwa kuanzisha Mitaala Maalum itakayoweza kutumika kuanzia ngazi ya Msingi mpaka Vyuo
Kuboresha Sayansi na Teknolojia: Vijana wafunzwe ujuzi wa kubuni, kutengeneza na kutumia vifaa au programu zenye kulenga kutatua kero za kijamii
Soma - https://jamii.app/TatizoAjiraSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
JE, WAIFAHAMU NJIA YA KUZIKA YA AQUAMATION?
#Aquamation ni namna ya uzikaji ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1880. Njia hii huyeyusha Maiti na kufanya iwe Majivu kabisa tofauti na njia ya kuchoma
Ndivyo namna Desmond Tutu alivyochagua kuzikwa
Soma - https://jamii.app/Aquamation
#JFMaarifa
#Aquamation ni namna ya uzikaji ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1880. Njia hii huyeyusha Maiti na kufanya iwe Majivu kabisa tofauti na njia ya kuchoma
Ndivyo namna Desmond Tutu alivyochagua kuzikwa
Soma - https://jamii.app/Aquamation
#JFMaarifa
SUDAN: Utawala wa Kijeshi umeonywa kutofanya uamuzi wa upande mmoja wa uteuzi wa Waziri Mkuu mpya
Marekani, Uingereza, Norway na Umoja wa Ulaya zimesema hazitamuunga mkono Waziri Mkuu atakayeteuliwa iwapo wadau wa kiraia hawatahusishwa
Soma - https://jamii.app/UteuziWaziriSudan
#Democracy
Marekani, Uingereza, Norway na Umoja wa Ulaya zimesema hazitamuunga mkono Waziri Mkuu atakayeteuliwa iwapo wadau wa kiraia hawatahusishwa
Soma - https://jamii.app/UteuziWaziriSudan
#Democracy
UFARANSA YARIPOTI AINA MPYA YA #COVID19, WAKIITA 'IHU'
Watu 12 wamekutwa na kirusi hicho kiitwacho B.1.640.2 au IHU
> Shirika la Afya Duniani (WHO) likithibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' ndio herufi inayoifuata #Omicron
Soma https://jamii.app/UfaransaIHU
#UVIKO3 #JFAfya
Watu 12 wamekutwa na kirusi hicho kiitwacho B.1.640.2 au IHU
> Shirika la Afya Duniani (WHO) likithibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' ndio herufi inayoifuata #Omicron
Soma https://jamii.app/UfaransaIHU
#UVIKO3 #JFAfya
MAREKANI: Mshauri wa Masuala ya Kitabibu wa Ikulu, Dkt. Anthony Fauci amesema tafiti kuhusu Watoto wa miezi 6 hadi miaka 5 kupatiwa Chanjo ya #COVID19 zinaendelea na ndani ya kipindi cha nusu Mwaka majibu yatakuwa yameshatoka
Soma - https://jamii.app/FauciVaccines
#UVIKO3 #JFAfya
Soma - https://jamii.app/FauciVaccines
#UVIKO3 #JFAfya
RIPOTI: Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Dharura linasema zaidi ya watu Milioni 6.4 katika maeneo kame ya Mashariki na Kusini mwa Ethiopia watahitaji msaada wa chakula
Vita ya Serikali na TPLF vimeacha mamilioni wakihitaji misaada
Soma - https://jamii.app/WatuMsaadaETH
Vita ya Serikali na TPLF vimeacha mamilioni wakihitaji misaada
Soma - https://jamii.app/WatuMsaadaETH
NIGERIA: MAGENGE YA UHALIFU KUTAMBULIKA KAMA MAKUNDI YA KIGAIDI
Serikali imefanya hivyo kuimarisha Usalama kufuatia ongezeko la ghasia
Magenge hayo yamekuwa yakifanya mashambulizi, kuvamia vijiji, kuiba mifugo na kuteka nyara watu ili kulipwa fedha
Soma - https://jamii.app/UhalifuNigeria
#Governance
Serikali imefanya hivyo kuimarisha Usalama kufuatia ongezeko la ghasia
Magenge hayo yamekuwa yakifanya mashambulizi, kuvamia vijiji, kuiba mifugo na kuteka nyara watu ili kulipwa fedha
Soma - https://jamii.app/UhalifuNigeria
#Governance
SERIKALI: WANAOFICHA WATOTO KUANZA SHULE WACHUKULIWE HATUA
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameagiza Mikoa kutosita kuwachukulia hatua Wazazi/Walezi hao
Asema kufikia Desemba 31 Wanafunzi 488,780 wa Darasa la Awali wameandikishwa Shule za Serikali
Soma - https://jamii.app/ShuleWatotoTAMISEMI
#JFElimu
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameagiza Mikoa kutosita kuwachukulia hatua Wazazi/Walezi hao
Asema kufikia Desemba 31 Wanafunzi 488,780 wa Darasa la Awali wameandikishwa Shule za Serikali
Soma - https://jamii.app/ShuleWatotoTAMISEMI
#JFElimu
SPIKA JOB NDUGAI AJIUZULU
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itauzwa kutokana na madeni
Amesema ameandika Barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni binafsi na hiari, na ameuchukua kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi, Serikali na Chama
Soma - https://jamii.app/NdugaiAjiuzulu
#Accountability #JFUwajibikaji
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itauzwa kutokana na madeni
Amesema ameandika Barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni binafsi na hiari, na ameuchukua kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi, Serikali na Chama
Soma - https://jamii.app/NdugaiAjiuzulu
#Accountability #JFUwajibikaji
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Visa Milioni 9.5 vimeripotiwa ulimwenguni Wiki iliyopita
Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Kirusi cha #Omicron hakipaswi kuainishwa kama 'Hakina makali' kwani kinaua watu
Soma - https://jamii.app/OmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Kirusi cha #Omicron hakipaswi kuainishwa kama 'Hakina makali' kwani kinaua watu
Soma - https://jamii.app/OmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
SUDAN: Takriban Watu 60 wameripotiwa kufariki na wengine kujeruhiwa ktk maandamano ya kupinga Utawala wa Kijeshi Nchini humo
Waandamanaji walitawanywa kwa Risasi na Mabomu ya machozi jambo linalokwamisha Juhudi za kuleta mabadiliko ya Kidemokrasia
Soma - https://jamii.app/SudanMaandamano
#HumanRights #Democracy
Waandamanaji walitawanywa kwa Risasi na Mabomu ya machozi jambo linalokwamisha Juhudi za kuleta mabadiliko ya Kidemokrasia
Soma - https://jamii.app/SudanMaandamano
#HumanRights #Democracy
👍1
Bunge limesema taratibu za Uchaguzi wa Spika baada ya Job Ndugai kujiuzulu jana Januari 06, 2022 zinaendelea
Kamati zilizokuwa zikutane kuanzia Januari 10, pamoja na zile zilizotakiwa kukutana kuanzia Januari 17, 2022 hazitakutana wakati huo
Soma https://jamii.app/BungeSpikaTZ
#Democracy
Kamati zilizokuwa zikutane kuanzia Januari 10, pamoja na zile zilizotakiwa kukutana kuanzia Januari 17, 2022 hazitakutana wakati huo
Soma https://jamii.app/BungeSpikaTZ
#Democracy