UTEUZI: Rais Samia amteua Dkt. Baghayo Saqware kuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA)
Charles Itembe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Eneo Maalum la Mauzo ya Nje (EPZA), na Ernest Mchanga Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha
Soma - https://jamii.app/Uteuzi3Rais
#Governance
Charles Itembe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Eneo Maalum la Mauzo ya Nje (EPZA), na Ernest Mchanga Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha
Soma - https://jamii.app/Uteuzi3Rais
#Governance
MSUMBIJI: Rais Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na #COVID19 na wamelazimika kujitenga
> Nchi hiyo imethibitisha kuwa na watu 193,000 wanaougua COVID-19, na vifo 2,031
Soma https://jamii.app/FilipeNyusi
#UVIKO3 #JFAfya
> Nchi hiyo imethibitisha kuwa na watu 193,000 wanaougua COVID-19, na vifo 2,031
Soma https://jamii.app/FilipeNyusi
#UVIKO3 #JFAfya
SUDAN: WANAHARAKATI WAITISHA MAANDAMANO ZAIDI
Wanaoongoza Kampeni dhidi ya Utawala wa Kijeshi wamesema Waandamanaji watakuwa wakielekea Ikulu hadi ushindi utakapopatikana
Idadi ya waliopoteza maisha tangu Mapinduzi kufanyika imefikia 56
Soma - https://jamii.app/ProtestsSdn
#Democracy
Wanaoongoza Kampeni dhidi ya Utawala wa Kijeshi wamesema Waandamanaji watakuwa wakielekea Ikulu hadi ushindi utakapopatikana
Idadi ya waliopoteza maisha tangu Mapinduzi kufanyika imefikia 56
Soma - https://jamii.app/ProtestsSdn
#Democracy
UTAJIRI WA KAMPUNI YA APPLE WAZIDI GDP YA AFRIKA
Kampuni ya Apple imefikisha thamani ya Dola trilioni 3 (takriban Tsh. Trilioni 6,920.88) katika Soko la Hisa
Pato la Ndani la Afrika (GDP) ni Dola Trilioni 2.6 sawa na Tsh. Trilioni 5,998.1
Soma - https://jamii.app/AppleUtajiri
#JFTech
Kampuni ya Apple imefikisha thamani ya Dola trilioni 3 (takriban Tsh. Trilioni 6,920.88) katika Soko la Hisa
Pato la Ndani la Afrika (GDP) ni Dola Trilioni 2.6 sawa na Tsh. Trilioni 5,998.1
Soma - https://jamii.app/AppleUtajiri
#JFTech
MWIGULU: DENI NI HIMILIVU, TUTAENDELEA KUKOPA
Asema Mkopo sio Msaada na hutolewa kwa mwenye chanzo cha kulipa
Pia, amesema sio uungwana kusema Rais anakopa akisisitiza Marais hawakopi bali ni Serikali akisema "Hilo si jambo la Familia, ni la Nchi"
Soma https://jamii.app/MwiguluDeni
#Governance
Asema Mkopo sio Msaada na hutolewa kwa mwenye chanzo cha kulipa
Pia, amesema sio uungwana kusema Rais anakopa akisisitiza Marais hawakopi bali ni Serikali akisema "Hilo si jambo la Familia, ni la Nchi"
Soma https://jamii.app/MwiguluDeni
#Governance
👍1
RAIS SAMIA: TANZANIA IMEKUWA IKIKOPA TANGU UHURU
Amesema inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Asema "Toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Soma - https://jamii.app/RaisTozoMikopo
#Governance
Amesema inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Asema "Toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Soma - https://jamii.app/RaisTozoMikopo
#Governance
RAIS SAMIA: TAIFA HALIWEZI KUENDESHWA NA TOZO PEKEE
Rais Samia asema kumekuwepo watu wanaohoji kwanini Nchi imekopa japokuwa kuna fedha za tozo, akifafanua kuwa Taifa haliwezi kwenda na fedha za tozo pekee
Amesema kuleta ustawi wa Nchi sio miujiza na ni lazima kutumia mbinu zote zilizopo
Soma - https://jamii.app/SSHTozo
#Governance
Rais Samia asema kumekuwepo watu wanaohoji kwanini Nchi imekopa japokuwa kuna fedha za tozo, akifafanua kuwa Taifa haliwezi kwenda na fedha za tozo pekee
Amesema kuleta ustawi wa Nchi sio miujiza na ni lazima kutumia mbinu zote zilizopo
Soma - https://jamii.app/SSHTozo
#Governance
RAIS SAMIA KUFANYA MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI HIVI KARIBUNI
Amesema ataenda na wale wote anaohisi wanaweza kwenda naye kuleta maendeleo kwa Watanzania na kwamba wale ambao anahisi ndoto zao ni "kule" atawapa nafasi waende kujiandaa
Asema, "Wakajitayarishe vizuri huko nje kwasababu nikiwatuma ndani nitawasumbua"
Soma - https://jamii.app/RaisBarazaMawaziri
#Governance
Amesema ataenda na wale wote anaohisi wanaweza kwenda naye kuleta maendeleo kwa Watanzania na kwamba wale ambao anahisi ndoto zao ni "kule" atawapa nafasi waende kujiandaa
Asema, "Wakajitayarishe vizuri huko nje kwasababu nikiwatuma ndani nitawasumbua"
Soma - https://jamii.app/RaisBarazaMawaziri
#Governance
RAIS SAMIA: UMEME HAUWEZI KUUNGANISHWA KWA ELFU 27
Rais Samia Suluhu amesema ni ngumu kwa TANESCO kuwaunganishia umeme Watanzania kwa Tsh. 27,000
> Amesema Wananchi wamelipa lakini wanashindwa kuunganishiwa umeme kwa kuwa TANESCO hawana nguzo
Soma - https://jamii.app/Tsh27kTANESCO
#ServiceDelivery
Rais Samia Suluhu amesema ni ngumu kwa TANESCO kuwaunganishia umeme Watanzania kwa Tsh. 27,000
> Amesema Wananchi wamelipa lakini wanashindwa kuunganishiwa umeme kwa kuwa TANESCO hawana nguzo
Soma - https://jamii.app/Tsh27kTANESCO
#ServiceDelivery
PEMBA: WATU TISA WAFARIKI KWA AJALI YA BOTI
Boti iliyokuwa inatokea Chakechake kuelekea Panza kwa shughuli za mazishi imezama usiku wa kuamkia Januari 5, 2022
> Uokoaji ulisitishwa kwasababu ya giza ambapo maiti 9 ziliopolewa, na Watu 6 waliokolewa
Soma https://jamii.app/PembaAjalii
#JFMatukio
Boti iliyokuwa inatokea Chakechake kuelekea Panza kwa shughuli za mazishi imezama usiku wa kuamkia Januari 5, 2022
> Uokoaji ulisitishwa kwasababu ya giza ambapo maiti 9 ziliopolewa, na Watu 6 waliokolewa
Soma https://jamii.app/PembaAjalii
#JFMatukio
KAZAKHSTAN: SERIKALI YAJIUZULU KUFUATIA MAANDAMANO YA KUPINGA BEI ZA MAFUTA
Rais Kassym-Jomart Tokayev ametangaza Hali ya Dharura kwa wiki mbili katika baadhi ya maeneo
Hatua kadhaa za dharura zimetangazwa ikiwemo marufuku ya mikusanyiko
Soma - https://jamii.app/GovtResigns
#Accountability #JFUwajibikaji
Rais Kassym-Jomart Tokayev ametangaza Hali ya Dharura kwa wiki mbili katika baadhi ya maeneo
Hatua kadhaa za dharura zimetangazwa ikiwemo marufuku ya mikusanyiko
Soma - https://jamii.app/GovtResigns
#Accountability #JFUwajibikaji
HONG KONG YAPIGA MARUFUKU NDEGE KUTOKA NCHI 8
Miongoni mwa Nchi hizo ni Canada, Marekani na India. Mamlaka zimeweka marufuku hiyo kutokana na hofu ya Wimbi la Tano la #COVID19
Baa, klabu na makumbusho kufungwa ili kudhibiti maambukizi
Soma - https://jamii.app/FlightBanHK
#UVIKO3 #JFAfya #Governance
Miongoni mwa Nchi hizo ni Canada, Marekani na India. Mamlaka zimeweka marufuku hiyo kutokana na hofu ya Wimbi la Tano la #COVID19
Baa, klabu na makumbusho kufungwa ili kudhibiti maambukizi
Soma - https://jamii.app/FlightBanHK
#UVIKO3 #JFAfya #Governance
Wateja wa njia moja watalipia Tsh. 320,960, Tsh. 515,618 na Tsh. 696,670 kwa Mita 30, 70 na 120 ili kuunganishiwa umeme
Kwa njia 3 ni Tsh. 912,014, Tsh. 1,249,385 na Tsh. 1,639,156 kwa Mita 30, 70 na 120 mtawalia. Kwa Watu wa Kijijini ni Tsh. 27,000
Soma https://jamii.app/BeiKuunganisha
#ServiceDelivery
Kwa njia 3 ni Tsh. 912,014, Tsh. 1,249,385 na Tsh. 1,639,156 kwa Mita 30, 70 na 120 mtawalia. Kwa Watu wa Kijijini ni Tsh. 27,000
Soma https://jamii.app/BeiKuunganisha
#ServiceDelivery
MDAU: NJIA ZA KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA NCHINI
Kuanzisha Programu za Ujuzi, Elimu na Mafunzo: Serikali inatakiwa kuanzisha Mitaala Maalum itakayoweza kutumika kuanzia ngazi ya Msingi mpaka Vyuo
Kuboresha Sayansi na Teknolojia: Vijana wafunzwe ujuzi wa kubuni, kutengeneza na kutumia vifaa au programu zenye kulenga kutatua kero za kijamii
Soma - https://jamii.app/TatizoAjiraSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Kuanzisha Programu za Ujuzi, Elimu na Mafunzo: Serikali inatakiwa kuanzisha Mitaala Maalum itakayoweza kutumika kuanzia ngazi ya Msingi mpaka Vyuo
Kuboresha Sayansi na Teknolojia: Vijana wafunzwe ujuzi wa kubuni, kutengeneza na kutumia vifaa au programu zenye kulenga kutatua kero za kijamii
Soma - https://jamii.app/TatizoAjiraSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
JE, WAIFAHAMU NJIA YA KUZIKA YA AQUAMATION?
#Aquamation ni namna ya uzikaji ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1880. Njia hii huyeyusha Maiti na kufanya iwe Majivu kabisa tofauti na njia ya kuchoma
Ndivyo namna Desmond Tutu alivyochagua kuzikwa
Soma - https://jamii.app/Aquamation
#JFMaarifa
#Aquamation ni namna ya uzikaji ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1880. Njia hii huyeyusha Maiti na kufanya iwe Majivu kabisa tofauti na njia ya kuchoma
Ndivyo namna Desmond Tutu alivyochagua kuzikwa
Soma - https://jamii.app/Aquamation
#JFMaarifa
SUDAN: Utawala wa Kijeshi umeonywa kutofanya uamuzi wa upande mmoja wa uteuzi wa Waziri Mkuu mpya
Marekani, Uingereza, Norway na Umoja wa Ulaya zimesema hazitamuunga mkono Waziri Mkuu atakayeteuliwa iwapo wadau wa kiraia hawatahusishwa
Soma - https://jamii.app/UteuziWaziriSudan
#Democracy
Marekani, Uingereza, Norway na Umoja wa Ulaya zimesema hazitamuunga mkono Waziri Mkuu atakayeteuliwa iwapo wadau wa kiraia hawatahusishwa
Soma - https://jamii.app/UteuziWaziriSudan
#Democracy
UFARANSA YARIPOTI AINA MPYA YA #COVID19, WAKIITA 'IHU'
Watu 12 wamekutwa na kirusi hicho kiitwacho B.1.640.2 au IHU
> Shirika la Afya Duniani (WHO) likithibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' ndio herufi inayoifuata #Omicron
Soma https://jamii.app/UfaransaIHU
#UVIKO3 #JFAfya
Watu 12 wamekutwa na kirusi hicho kiitwacho B.1.640.2 au IHU
> Shirika la Afya Duniani (WHO) likithibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' ndio herufi inayoifuata #Omicron
Soma https://jamii.app/UfaransaIHU
#UVIKO3 #JFAfya
MAREKANI: Mshauri wa Masuala ya Kitabibu wa Ikulu, Dkt. Anthony Fauci amesema tafiti kuhusu Watoto wa miezi 6 hadi miaka 5 kupatiwa Chanjo ya #COVID19 zinaendelea na ndani ya kipindi cha nusu Mwaka majibu yatakuwa yameshatoka
Soma - https://jamii.app/FauciVaccines
#UVIKO3 #JFAfya
Soma - https://jamii.app/FauciVaccines
#UVIKO3 #JFAfya
RIPOTI: Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Dharura linasema zaidi ya watu Milioni 6.4 katika maeneo kame ya Mashariki na Kusini mwa Ethiopia watahitaji msaada wa chakula
Vita ya Serikali na TPLF vimeacha mamilioni wakihitaji misaada
Soma - https://jamii.app/WatuMsaadaETH
Vita ya Serikali na TPLF vimeacha mamilioni wakihitaji misaada
Soma - https://jamii.app/WatuMsaadaETH
NIGERIA: MAGENGE YA UHALIFU KUTAMBULIKA KAMA MAKUNDI YA KIGAIDI
Serikali imefanya hivyo kuimarisha Usalama kufuatia ongezeko la ghasia
Magenge hayo yamekuwa yakifanya mashambulizi, kuvamia vijiji, kuiba mifugo na kuteka nyara watu ili kulipwa fedha
Soma - https://jamii.app/UhalifuNigeria
#Governance
Serikali imefanya hivyo kuimarisha Usalama kufuatia ongezeko la ghasia
Magenge hayo yamekuwa yakifanya mashambulizi, kuvamia vijiji, kuiba mifugo na kuteka nyara watu ili kulipwa fedha
Soma - https://jamii.app/UhalifuNigeria
#Governance