SERIKALI: WANAOFICHA WATOTO KUANZA SHULE WACHUKULIWE HATUA
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameagiza Mikoa kutosita kuwachukulia hatua Wazazi/Walezi hao
Asema kufikia Desemba 31 Wanafunzi 488,780 wa Darasa la Awali wameandikishwa Shule za Serikali
Soma - https://jamii.app/ShuleWatotoTAMISEMI
#JFElimu
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameagiza Mikoa kutosita kuwachukulia hatua Wazazi/Walezi hao
Asema kufikia Desemba 31 Wanafunzi 488,780 wa Darasa la Awali wameandikishwa Shule za Serikali
Soma - https://jamii.app/ShuleWatotoTAMISEMI
#JFElimu
SPIKA JOB NDUGAI AJIUZULU
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itauzwa kutokana na madeni
Amesema ameandika Barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni binafsi na hiari, na ameuchukua kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi, Serikali na Chama
Soma - https://jamii.app/NdugaiAjiuzulu
#Accountability #JFUwajibikaji
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itauzwa kutokana na madeni
Amesema ameandika Barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni binafsi na hiari, na ameuchukua kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi, Serikali na Chama
Soma - https://jamii.app/NdugaiAjiuzulu
#Accountability #JFUwajibikaji
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Visa Milioni 9.5 vimeripotiwa ulimwenguni Wiki iliyopita
Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Kirusi cha #Omicron hakipaswi kuainishwa kama 'Hakina makali' kwani kinaua watu
Soma - https://jamii.app/OmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Kirusi cha #Omicron hakipaswi kuainishwa kama 'Hakina makali' kwani kinaua watu
Soma - https://jamii.app/OmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
SUDAN: Takriban Watu 60 wameripotiwa kufariki na wengine kujeruhiwa ktk maandamano ya kupinga Utawala wa Kijeshi Nchini humo
Waandamanaji walitawanywa kwa Risasi na Mabomu ya machozi jambo linalokwamisha Juhudi za kuleta mabadiliko ya Kidemokrasia
Soma - https://jamii.app/SudanMaandamano
#HumanRights #Democracy
Waandamanaji walitawanywa kwa Risasi na Mabomu ya machozi jambo linalokwamisha Juhudi za kuleta mabadiliko ya Kidemokrasia
Soma - https://jamii.app/SudanMaandamano
#HumanRights #Democracy
👍1
Bunge limesema taratibu za Uchaguzi wa Spika baada ya Job Ndugai kujiuzulu jana Januari 06, 2022 zinaendelea
Kamati zilizokuwa zikutane kuanzia Januari 10, pamoja na zile zilizotakiwa kukutana kuanzia Januari 17, 2022 hazitakutana wakati huo
Soma https://jamii.app/BungeSpikaTZ
#Democracy
Kamati zilizokuwa zikutane kuanzia Januari 10, pamoja na zile zilizotakiwa kukutana kuanzia Januari 17, 2022 hazitakutana wakati huo
Soma https://jamii.app/BungeSpikaTZ
#Democracy
RAIS SAMIA: KAZI ZIPO NYINGI, NI VIJANA KUCHAKARIKA NA KUONA FURSA
Asema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi
Kuhusu changamoto ya Mitaji amesema ipo Mifuko inayotoa Mikopo kwa Vijana, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi yao kuwa kubwa
Soma - https://jamii.app/KaziFursaVijana
#Governance
Asema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi
Kuhusu changamoto ya Mitaji amesema ipo Mifuko inayotoa Mikopo kwa Vijana, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi yao kuwa kubwa
Soma - https://jamii.app/KaziFursaVijana
#Governance
KAZAKHSTAN: Maandamano yaliyoanza kufuatia ongezeko la bei ya mafuta yametajwa kuwa mabaya zaidi tangu Uhuru. Waandamanaji 26 wameuawa hadi sasa
Vikosi vinavyoongozwa na Urusi vimewasili kusaidia kudhibiti Waandamanaji ambao sasa wanaipinga Serikali
Soma - https://jamii.app/KazakhstanProtests
#HumanRights
Vikosi vinavyoongozwa na Urusi vimewasili kusaidia kudhibiti Waandamanaji ambao sasa wanaipinga Serikali
Soma - https://jamii.app/KazakhstanProtests
#HumanRights
Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa(CDC) kimesema ‘lockdown’ sio tena njia bora ya kukabiliana na maambukizi ya #COVID19 yanayoendelea kuitesa Dunia
Kimehimiza kutumia Afya ya Umma na Jamii ili kupunguza Maambukizi pamoja na kupata Chanjo
Soma https://jamii.app/LockdownSuluhu
#UVIKO3 #JFAfya
Kimehimiza kutumia Afya ya Umma na Jamii ili kupunguza Maambukizi pamoja na kupata Chanjo
Soma https://jamii.app/LockdownSuluhu
#UVIKO3 #JFAfya
ETHIOPIA: SERIKALI YATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA WA UPINZANI
Hatua hiyo ni jitihada moja wapo kuleta maridhiano ya kitaifa na kuhamasisha amani
Miongoni mwa walioachiwa huru ni Viongozi kadhaa wa TPLF ambayo imepigana na Serikali kwa zaidi ya mwaka 1
Soma - https://jamii.app/RebelsFreedEth
#Governance
Hatua hiyo ni jitihada moja wapo kuleta maridhiano ya kitaifa na kuhamasisha amani
Miongoni mwa walioachiwa huru ni Viongozi kadhaa wa TPLF ambayo imepigana na Serikali kwa zaidi ya mwaka 1
Soma - https://jamii.app/RebelsFreedEth
#Governance
MDAU: MABADILIKO YANAYOWEZA KUTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI NCHINI
Kilimo: Anashauri Kilimo cha kisasa kutiliwa mkazo, na umwagiliaji uwezeshwe ili kuondokana na utegemezi wa mvua
Uchumi: Maslahi ya wafanyakazi yaboreshwe ili kuleta uadilifu na kupunguza mianya ya rushwa
Kuwe uongozi wenye kutambua Haki za Binadamu na usiokuwa na upendeleo
Msome - https://jamii.app/MabadilikoSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Kilimo: Anashauri Kilimo cha kisasa kutiliwa mkazo, na umwagiliaji uwezeshwe ili kuondokana na utegemezi wa mvua
Uchumi: Maslahi ya wafanyakazi yaboreshwe ili kuleta uadilifu na kupunguza mianya ya rushwa
Kuwe uongozi wenye kutambua Haki za Binadamu na usiokuwa na upendeleo
Msome - https://jamii.app/MabadilikoSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
UMMY MWALIMU AREJESHWA WIZARA YA AFYA
Katika Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Rais Samia amemhamisha Waziri Ummy Mwalimu kutoka TAMISEMI, na sasa atakuwa Waziri wa Afya
Dkt. Dorothy Gwajima anaenda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum
#Governance
Katika Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Rais Samia amemhamisha Waziri Ummy Mwalimu kutoka TAMISEMI, na sasa atakuwa Waziri wa Afya
Dkt. Dorothy Gwajima anaenda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum
#Governance
HUSSEIN BASHE ATEULIWA KUWA WAZIRI WA KILIMO
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Hussein Bashe kuwa Waziri wa Kilimo. Awali Bashe alikuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo
Anthony Mavunde ameteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
#Governance
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Hussein Bashe kuwa Waziri wa Kilimo. Awali Bashe alikuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo
Anthony Mavunde ameteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
#Governance
PROF. ADOLF MKENDA AHAMISHIWA WIZARA YA ELIMU
Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amehamishiwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambayo awali Prof. Joyce Ndalichako alikuwa Waziri
Rais Samia amemhamisha Prof. Ndalichako kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu; Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu
#Governance
Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amehamishiwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambayo awali Prof. Joyce Ndalichako alikuwa Waziri
Rais Samia amemhamisha Prof. Ndalichako kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu; Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu
#Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu amembadilisha Wizara George Simbachawene aliyekuwa Wizara ya Mambo ya Ndani kwenda Wizara ya Katiba na Sheria
Pia, amembadilisha Innocent Bashungwa aliyekuwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwenda Wizara ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI
#JFUteuzi #Governance
Pia, amembadilisha Innocent Bashungwa aliyekuwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwenda Wizara ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI
#JFUteuzi #Governance
👍1
MOHAMED MCHENGERWA KUWA WAZIRI WA UTAMADUNI
Rais Samia amemhamishia Mohamed Omary Mchengerwa aliyekuwa Ofisi ya Rais, Menejimenti, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenda Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambayo awali ilikuwa chini ya Innocent Bashungwa
#Governance
Rais Samia amemhamishia Mohamed Omary Mchengerwa aliyekuwa Ofisi ya Rais, Menejimenti, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenda Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambayo awali ilikuwa chini ya Innocent Bashungwa
#Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amembadilisha Wizara, Ashatu Kijaji aliyekuwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwenda Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara
#JFUteuzi #Governance
#JFUteuzi #Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amembadilisha Wizara Jenista Mhagama aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora
#JFUteuzi #Governance
#JFUteuzi #Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Angelina Mabula kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Pia, amemteua Ridhiwani Kikwete kuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo
#JFUteuzi #Governance
Pia, amemteua Ridhiwani Kikwete kuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo
#JFUteuzi #Governance
#UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Pindi Chana kuwa Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu atakayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu
#JFUteuzi #Governance
#JFUteuzi #Governance
RAIS SAMIA ABADILI WIZARA 3
Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara
Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
#Governance
Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara
Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
#Governance