UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kipindi kingine cha miaka 6
Patience Kilanga Ntwina ateuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Soma - https://jamii.app/RaisUteuzi4
Patience Kilanga Ntwina ateuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Soma - https://jamii.app/RaisUteuzi4
Baadhi ya aliyozungumza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake kwa Taifa kuelekea mwaka mpya 2022
Zaidi, soma - https://jamii.app/Hotuba2022
#JFLeo
Zaidi, soma - https://jamii.app/Hotuba2022
#JFLeo
RAIS SAMIA: KIRUSI CHA OMICRON KIMEINGIA NCHINI
Akihutubia Taifa, amesema Kirusi hicho kinaenea kwa kasi kubwa na tayari kimeingia hapa Nchini. Amewasisitiza wananchi kuchukua tahadhari
Ametoa wito kwa watu kupata chanjo akisema, "Natambua chanjo haizuii mtu kupata maambukizi ila inapunguza makali ya ugonjwa huo. Niwahimize wananchi kuchanja, chanjo zipo"
#UVIKO3
Akihutubia Taifa, amesema Kirusi hicho kinaenea kwa kasi kubwa na tayari kimeingia hapa Nchini. Amewasisitiza wananchi kuchukua tahadhari
Ametoa wito kwa watu kupata chanjo akisema, "Natambua chanjo haizuii mtu kupata maambukizi ila inapunguza makali ya ugonjwa huo. Niwahimize wananchi kuchanja, chanjo zipo"
#UVIKO3
- Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watendaji wa JamiiForums tunakutakia Mapokezi mema ya Mwaka mpya wa 2022
- Tunathamini mchango wako na thamani uliyonayo kwetu huku tukiamini utaendelea kuwa nasi ndani ya Mwaka 2022
#JamiiForums #HappyNewYear2022
- Tunathamini mchango wako na thamani uliyonayo kwetu huku tukiamini utaendelea kuwa nasi ndani ya Mwaka 2022
#JamiiForums #HappyNewYear2022
INDIA: Watu 12 wamefariki dunia na 13 kujeruhiwa kufuatia mkanyagano katika jumba la kidini la Mata Vaishno Devi huko Kashmir
Taarifa za awali zinasema mkanyagano ulitokana na idadi kubwa ya watu kuja kwa kasi kuelekea mwaka mpya
Soma - https://jamii.app/IndiaStampade
#JFLeo
Taarifa za awali zinasema mkanyagano ulitokana na idadi kubwa ya watu kuja kwa kasi kuelekea mwaka mpya
Soma - https://jamii.app/IndiaStampade
#JFLeo
MALI: SERIKALI YAPENDEKEZA UCHAGUZI KUCHELEWESHWA
Serikali ya Mpito imependekeza Mchakato wa kurejea ktk Utawala wa Kidemokrasia kufuatia Mapinduzi ya mwaka 2020 kusogezwa mbele kwa miaka 5
Awali, Serikali ilikubali kufanya Uchaguzi Februari 2022
Soma - https://jamii.app/MaliElectionDelay
#Democracy #Governance
Serikali ya Mpito imependekeza Mchakato wa kurejea ktk Utawala wa Kidemokrasia kufuatia Mapinduzi ya mwaka 2020 kusogezwa mbele kwa miaka 5
Awali, Serikali ilikubali kufanya Uchaguzi Februari 2022
Soma - https://jamii.app/MaliElectionDelay
#Democracy #Governance
ETHIOPIA, MALI NA GUINEA ZAONDOLEWA AGOA
Serikali ya Marekani imeanza kutekeleza agizo la Rais Joe Biden la kuziondoa #Ethiopia, Mali na Guinea kwenye makubaliano ya kibiashara kati ya Taifa hilo na Afrika kutokana na uvunjwaji wa Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/MaliOutAgoa
#Diplomacy #JFDiplomasia
Serikali ya Marekani imeanza kutekeleza agizo la Rais Joe Biden la kuziondoa #Ethiopia, Mali na Guinea kwenye makubaliano ya kibiashara kati ya Taifa hilo na Afrika kutokana na uvunjwaji wa Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/MaliOutAgoa
#Diplomacy #JFDiplomasia
DUBAI, UAE: WASIOPATA CHANJO KUTORUHUSIWA KUSAFIRI NJE
Mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zapiga marufuku Raia wasiopata Chanjo ya #COVID19 kusafiri nje kuanzia Januari 10
Waliochanjwa wanatakiwa kupata 'Booster' kuweza kusafiri
Soma - https://jamii.app/UAETravelBan
#UVIKO3 #Governance #JFAfya
Mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zapiga marufuku Raia wasiopata Chanjo ya #COVID19 kusafiri nje kuanzia Januari 10
Waliochanjwa wanatakiwa kupata 'Booster' kuweza kusafiri
Soma - https://jamii.app/UAETravelBan
#UVIKO3 #Governance #JFAfya
PROF. ASSAD: SIASA NI TATIZO KUBWA, HATUWEKI MALENGO YANAYOPIMIKA
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad amesema, "Kwasababu ya Siasa hatujui malengo ni yapi na yanapimwa vipi. Siasa kwa sehemu kubwa inatuharibia"
Soma - https://jamii.app/AssadSiasa
#JFSiasa #Accountability
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad amesema, "Kwasababu ya Siasa hatujui malengo ni yapi na yanapimwa vipi. Siasa kwa sehemu kubwa inatuharibia"
Soma - https://jamii.app/AssadSiasa
#JFSiasa #Accountability
SUDAN: WAZIRI MKUU AJIUZULU BAADA YA MAANDAMANO KUPAMBA MOTO
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amejiuzulu baada ya maandamano ya wanaotaka demokrasia kupamba moto nchini humo
Hamdok ambaye aliwahi kuwa Afisa wa Umoja wa Mataifa(UN) alisaini makubaliano na Jeshi mwezi Novemba ambapo wanademokrasia walipinga hatua hiyo na kuanzisha maandamano
Jeshi lilipindua Serikali ya muda mrefu ya Rais Omar al-Bashir, April 2019 na nchi iliongozwa kijeshi tangu wakati huo
#Accountability #Democracy
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amejiuzulu baada ya maandamano ya wanaotaka demokrasia kupamba moto nchini humo
Hamdok ambaye aliwahi kuwa Afisa wa Umoja wa Mataifa(UN) alisaini makubaliano na Jeshi mwezi Novemba ambapo wanademokrasia walipinga hatua hiyo na kuanzisha maandamano
Jeshi lilipindua Serikali ya muda mrefu ya Rais Omar al-Bashir, April 2019 na nchi iliongozwa kijeshi tangu wakati huo
#Accountability #Democracy
ISRAEL YATANGAZA KISA CHA KWANZA CHA 'FLURONA'
Mwanamke Mjamzito ambaye hajapata Chanjo ya Corona amekutwa na mchanganyiko wa Mafua (Flu) na #CoronaVirus
Mchanganyiko huo umetajwa kuwa hatari kwani Maradhi yote yanaathiri Mfumo wa Upumuaji
Soma https://jamii.app/IsraelFlurona
#UVIKO3 #JFAfya
Mwanamke Mjamzito ambaye hajapata Chanjo ya Corona amekutwa na mchanganyiko wa Mafua (Flu) na #CoronaVirus
Mchanganyiko huo umetajwa kuwa hatari kwani Maradhi yote yanaathiri Mfumo wa Upumuaji
Soma https://jamii.app/IsraelFlurona
#UVIKO3 #JFAfya
MOROGORO: Upepo mkali uliovuma Kijiji cha Kalengakelo umeezua paa za Nyumba 21, Vyumba 3 vya Madarasa na Ofisi moja
DC Hanji Godigodi ameagiza Wataalamu kufanya tathmini ya gharama ya kurudisha miundombinu ya Madarasa na Ofisi
Soma https://jamii.app/UpepoMorogoro
DC Hanji Godigodi ameagiza Wataalamu kufanya tathmini ya gharama ya kurudisha miundombinu ya Madarasa na Ofisi
Soma https://jamii.app/UpepoMorogoro
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho ili wanaotembelea wajue historia ya Bunge
> Amesema suala la makumbusho ni muhimu hata kwa Taasisi nyingine nchini
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Governance
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho ili wanaotembelea wajue historia ya Bunge
> Amesema suala la makumbusho ni muhimu hata kwa Taasisi nyingine nchini
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Governance
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na Wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
> Amesema wana CCM lengo lao ni moja na hawawezi kutofautiana
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na Wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
> Amesema wana CCM lengo lao ni moja na hawawezi kutofautiana
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli aliyoitoa Desemba 26, 2021 imenukuliwa vibaya, video iliyosambazwa haikuwa na ujumbe aliokusudia
> Amesema Serikali inafanya vizuri
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability #JFUwajibikaji
Spika Job Ndugai amesema kauli aliyoitoa Desemba 26, 2021 imenukuliwa vibaya, video iliyosambazwa haikuwa na ujumbe aliokusudia
> Amesema Serikali inafanya vizuri
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability #JFUwajibikaji
HONG KONG: UHURU WA HABARI WAENDELEA KUZOROTA. TOVUTI NYINGINE YAFUNGWA
Citizen News itafungwa kuanzia Januari 04 kutokana na mazingira ya Vyombo vya Habari kuzorota
Sheria mpya zilizowekwa na China zataka kuzuia #UhuruWaKujieleza
Soma - https://jamii.app/CitizenNewsHK
#PressFreedom #UhuruWaHabari
Citizen News itafungwa kuanzia Januari 04 kutokana na mazingira ya Vyombo vya Habari kuzorota
Sheria mpya zilizowekwa na China zataka kuzuia #UhuruWaKujieleza
Soma - https://jamii.app/CitizenNewsHK
#PressFreedom #UhuruWaHabari
ZANZIBAR: Rais Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC), Dkt. Saleh Yussuf Mnemo leo Januari 03, 2022
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
Soma - https://jamii.app/UtenguziZBC
#Governance
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
Soma - https://jamii.app/UtenguziZBC
#Governance
LAMU, KENYA: Watu sita wameuawa na nyumba kuchomwa moto na Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa ni Al Shabaab
Wapiganaji wa Al Shabaab wamefanya mashambulizi kadhaa Nchini humo baada ya Wanajeshi kupelekwa Somalia mwaka 2011
Soma - https://jamii.app/6DeadLamu
Wapiganaji wa Al Shabaab wamefanya mashambulizi kadhaa Nchini humo baada ya Wanajeshi kupelekwa Somalia mwaka 2011
Soma - https://jamii.app/6DeadLamu