MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUEPUKA TALAKA
Kutopuuza shida na haja za Mwenza wako hata kama ni mambo madogo madogo
Anashauri kuepuka mazingira yote yanayoweza kufanya utumbukie katika vishawishi vya kuvunja uaminifu
Anasisitiza kuepuka kuanzisha mijadala itakayoleta mabishano yasiyo ya lazima
Soma Makala yake - https://jamii.app/NdoaTalaka
#StoriesOfChange
Kutopuuza shida na haja za Mwenza wako hata kama ni mambo madogo madogo
Anashauri kuepuka mazingira yote yanayoweza kufanya utumbukie katika vishawishi vya kuvunja uaminifu
Anasisitiza kuepuka kuanzisha mijadala itakayoleta mabishano yasiyo ya lazima
Soma Makala yake - https://jamii.app/NdoaTalaka
#StoriesOfChange
WHATSAPP NA iMESSAGE ZABAINIKA KUTOA TAARIFA NYINGI ZA WATUMIAJI
Kwa maombi ya kawaida, #WhatsApp huwatumia FBI taarifa kila baada ya dakika 15 hata kwa watumiaji wa iPhone
Signal na Telegram zimetajwa kutotoa taarifa nyingi
Soma - https://jamii.app/TaarifaWatumiaji
#DataProtection
Kwa maombi ya kawaida, #WhatsApp huwatumia FBI taarifa kila baada ya dakika 15 hata kwa watumiaji wa iPhone
Signal na Telegram zimetajwa kutotoa taarifa nyingi
Soma - https://jamii.app/TaarifaWatumiaji
#DataProtection
MANYARA: ELIMU YA COVID-19 KUTOLEWA NYUMBA KWA NYUMBA
Mratibu wa Chanjo ya #CoronaVirus Mkoani humo, Suleiman Manoza amesema mwamko wa Chanjo ni mdogo
Wameiomba Wizara ya Afya kuwapatia Chanjo ya #Janssen ambayo inatolewa mara moja
Soma - https://jamii.app/DoorToDoor
#UVIKO3
Mratibu wa Chanjo ya #CoronaVirus Mkoani humo, Suleiman Manoza amesema mwamko wa Chanjo ni mdogo
Wameiomba Wizara ya Afya kuwapatia Chanjo ya #Janssen ambayo inatolewa mara moja
Soma - https://jamii.app/DoorToDoor
#UVIKO3
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Baadhi wanaona ni jambo la manufaa kwani humpa nafasi Mzazi kushiriki katika maendeleo ya Mtoto huku wengine wakiona ni kumtesa Mtoto kipindi anachotakiwa kupumzika
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Malezi
Baadhi wanaona ni jambo la manufaa kwani humpa nafasi Mzazi kushiriki katika maendeleo ya Mtoto huku wengine wakiona ni kumtesa Mtoto kipindi anachotakiwa kupumzika
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Malezi
Serikali imesema tafiti zinaonesha Maambukizi mapya ya VVU yanawakabili zaidi Vijana wenye miaka 15-24, huku 80% wakiwa wa Kike
Mikoa yenye maambukizi makubwa na juu ya kiwango cha kitaifa ni Njombe, Iringa, Mbeya, Kagera na Geita
Soma https://jamii.app/VijanaVVUTZ
#WorldAidsDay2021
Mikoa yenye maambukizi makubwa na juu ya kiwango cha kitaifa ni Njombe, Iringa, Mbeya, Kagera na Geita
Soma https://jamii.app/VijanaVVUTZ
#WorldAidsDay2021
COVID-19: KOREA KUSINI YAWATAKA WASAFIRI WOTE KUKAA KARANTINI
Taifa hilo lasema Wasafiri wote wakiwemo waliopata Chanjo kamili watatakiwa kukaa Karantini kwa siku 10
Safari za ndege kutoka Nchi 8 za Afrika ikiwemo Afrika Kusini kudhibitiwa
Soma https://jamii.app/ChanjoKoreaKusini
#UVIKO3
Taifa hilo lasema Wasafiri wote wakiwemo waliopata Chanjo kamili watatakiwa kukaa Karantini kwa siku 10
Safari za ndege kutoka Nchi 8 za Afrika ikiwemo Afrika Kusini kudhibitiwa
Soma https://jamii.app/ChanjoKoreaKusini
#UVIKO3
AUSTRIA: DAKTARI APIGWA FAINI KWA KUMKATA MGUU MGONJWA KIMAKOSA
Daktari wa Upasuaji amepigwa faini ya Euro 2,700(Takriban Tsh. Milioni 7) kwa kukata mguu wa kulia badala ya kushoto
Asema kulikuwa na dosari ktk utoaji amri kwenye chumba cha upasuaji
Soma https://jamii.app/AmkataMguu
Daktari wa Upasuaji amepigwa faini ya Euro 2,700(Takriban Tsh. Milioni 7) kwa kukata mguu wa kulia badala ya kushoto
Asema kulikuwa na dosari ktk utoaji amri kwenye chumba cha upasuaji
Soma https://jamii.app/AmkataMguu
TANZANIA KUTOSHIRIKI 'MISS WORLD' 2021
Mwakilishi wa #Tanzania, Juliana Rugumisa hatoweza kushiriki kutokana na kukwama kwa Visa
#MissWorld2021 inatarajiwa kufanyika Nchini #PuertoRico Desemba 12 na Desemba 3 ndio mwisho wa kuingia kambini
Soma - https://jamii.app/TZNoMissWorld
#JFLeo
Mwakilishi wa #Tanzania, Juliana Rugumisa hatoweza kushiriki kutokana na kukwama kwa Visa
#MissWorld2021 inatarajiwa kufanyika Nchini #PuertoRico Desemba 12 na Desemba 3 ndio mwisho wa kuingia kambini
Soma - https://jamii.app/TZNoMissWorld
#JFLeo
HOJA: AIBU YAKO, UMASIKINI WAKO
Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema vijana wa kitanzania huwa na aibu kujituma ktk utafutaji kutokana na elimu walizonazo
> Anashauri kuhama sehemu unayojulikana ili uondokane na aibu, pia ondoa mawazo hasi
Soma https://jamii.app/AibuYako
#JFMdau
Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema vijana wa kitanzania huwa na aibu kujituma ktk utafutaji kutokana na elimu walizonazo
> Anashauri kuhama sehemu unayojulikana ili uondokane na aibu, pia ondoa mawazo hasi
Soma https://jamii.app/AibuYako
#JFMdau
Katika Ukaguzi Maalum wa ukusanyaji wa Mapato ya Ndani ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM) 43 kwa kipindi cha 2017/18 - 2019/20, CAG alibaini kutokusanywa kwa Tsh. Bilioni 60.81 ambazo ni Mapato ya Ndani
Ktk ukaguzi wa 2019/20, CAG ameonesha kuongezeka kwa kutokusanywa kwa Mapato ya Ndani kwa kipindi cha 2016/17 - 2019/20
Ktk MSM 67 kulikuwa na Tsh. Bilioni 35.99 ambazo ni Miamala iliyokuwa haijawasilishwa kutoka kwenye vyanzo mbalimbali
Soma - https://jamii.app/UpotevuMSM
#JFUwajibikaji
Ktk ukaguzi wa 2019/20, CAG ameonesha kuongezeka kwa kutokusanywa kwa Mapato ya Ndani kwa kipindi cha 2016/17 - 2019/20
Ktk MSM 67 kulikuwa na Tsh. Bilioni 35.99 ambazo ni Miamala iliyokuwa haijawasilishwa kutoka kwenye vyanzo mbalimbali
Soma - https://jamii.app/UpotevuMSM
#JFUwajibikaji
GEITA: MAMA ANYWESHA SUMU WANAYE KWASABABU YA MAISHA MAGUMU
Veronica Gabriel anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuua wanaye wawili. Watoto wengine 3 wamelazwa kwa matibabu
Mtuhumiwa amenusurika kufariki baada ya kunywa sumu akidhamiria kujiua
Soma - https://jamii.app/MagumuSumu
Veronica Gabriel anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuua wanaye wawili. Watoto wengine 3 wamelazwa kwa matibabu
Mtuhumiwa amenusurika kufariki baada ya kunywa sumu akidhamiria kujiua
Soma - https://jamii.app/MagumuSumu
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala huu, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala huu, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse
Kushiriki Mjadala, Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Malezi
Mjadala wa "Wanafunzi kuendelea na Masomo wakati wa Likizo" unaendelea hivi sasa kupitia Clubhouse
Kushiriki Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums
Kushiriki Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums