JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Yanayojiri katika Mjadala unaoendelea kupitia Clubhouse

#JamiiForums
Maoni ya wadau mbalimbali katika Mjadala wa "Wanafunzi kuendelea na Masomo wakati wa Likizo" unaoendelea Clubhouse

#JamiiForums
Baadhi ya masuala aliyozungumza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu katika Mjadala uliofanyika kupitia Clubhouse

#JamiiForums
MALEZI: ULINZI NI MUHIMU KWA WATOTO

Familia ndicho chanzo cha kwanza cha Ulinzi wa Mtoto. Wazazi/Walezi wana jukumu la kutengeneza mazingira ya Nyumbani ambayo ni salama na yenye upendo

Shule na Jamii zina jukumu la kutengeneza mazingira ya nje ya Nyumbani ambayo ni salama na rafiki kwa Mtoto

Soma - https://jamii.app/UlinziWatoto
#ChildSafety
GAVI YATOA DOLA MILIONI 115.7 KWA AJILI YA CHANJO YA MALARIA AFRIKA

Muungano wa Chanjo Ulimwenguni, Gavi umeidhinisha Fedha hizo kwa utoaji Chanjo kwa Watoto Kusini mwa Jangwa la Sahara

Chanjo ya kwanza ya Malaria iliidhinishwa na WHO Oktoba 2021

Soma - https://jamii.app/MalariaChanjo
MAENEO HATARISHI KWA RUSHWA YA NGONO

1. Sehemu za Kazi: Rushwa ya Ngono kazini ni pamoja na waajiri kutoa ajira kwa Wanawake na faida nyingine kama vile kupandishwa cheo, nyongeza ya mshahara, siku za kupumzika kwa kubalishana na Ngono

2. Ofisi za Umma: Ofisi zinazotoa huduma mbalimbali za Usajili wa Vyeti, utoaji wa Leseni, Vitambulisho, Pasi za Kusafiria nk. Baadhi ya watumishi wanaweza kuomba Rushwa ya Ngono kwa kubadilishana na upatikanaji wa haraka wa nyaraka hizo

Soma - https://jamii.app/HatariRushwaNgono

#16DaysofActivism2021
UJERUMANI: Ili kupambana na aina mpya ya Kirusi cha #Omicron, Kansela Angela Merkel amesema watakaoruhusiwa kuingia katika migahawa na maeneo ya starehe ni waliopata Chanjo tu

Amesema Chanjo zinaweza kuwa lazima ifikapo Februari 2022

Soma - https://jamii.app/ChanjoLazima

#UVIKO3