MDAU: CHANGAMOTO KUBWA KWA VIJANA KUJIAJIRI NI UVUMILIVU NA UZOEFU
Anasema pamoja na kuwepo changamoto lukuki zinazokwamisha Vijana kujiajiri, uvumilivu na uzoefu ndizo za msingi na Vijana wengi wanashindwa kuvumilia machungu ya kujiajiri ambayo yanapatikana mwanzoni tu
Msome - https://jamii.app/VijanaUjasiriamali
#StoriesOfChange
Anasema pamoja na kuwepo changamoto lukuki zinazokwamisha Vijana kujiajiri, uvumilivu na uzoefu ndizo za msingi na Vijana wengi wanashindwa kuvumilia machungu ya kujiajiri ambayo yanapatikana mwanzoni tu
Msome - https://jamii.app/VijanaUjasiriamali
#StoriesOfChange
DALILI TATU HATARISHI ZA COVID-19
WHO wanaeleza dalili hizo ni kupata tabu ya kupumua, kushindwa kuzungumza na maumivu kifuani
Huanza kuonekana Siku 5 - 6 tangu kupata Maambukizi
Ukipata dalili hizi fika haraka Hospitali kupata Matibabu
Soma - https://jamii.app/DaliliHatariUviko
#UVIKO3
WHO wanaeleza dalili hizo ni kupata tabu ya kupumua, kushindwa kuzungumza na maumivu kifuani
Huanza kuonekana Siku 5 - 6 tangu kupata Maambukizi
Ukipata dalili hizi fika haraka Hospitali kupata Matibabu
Soma - https://jamii.app/DaliliHatariUviko
#UVIKO3
LIBYA: TUME YAKATAA MAOMBI YA URAIS YA MTOTO WA GADDAFI
Tume imesema Saif al-Islam Gaddafi aliyezua utata baada ya kutangaza atawania Urais wa Libya anakosa vigezo kwasababu alihukumiwa
ICC ilitoa Hati ya kumkamata kwa tuhuma za uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/UraisGaddafi
Tume imesema Saif al-Islam Gaddafi aliyezua utata baada ya kutangaza atawania Urais wa Libya anakosa vigezo kwasababu alihukumiwa
ICC ilitoa Hati ya kumkamata kwa tuhuma za uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/UraisGaddafi
Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
Hii ni Kampeni ya Kimataifa ya kila mwaka inayoanza Novemba 25 na kuhitimishwa Desemba 10
Siku hii inalenga kuhamasisha Raia na Mashirika duniani kote kupaza sauti kuhusu kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Wasichana
Soma - https://jamii.app/16DaysActivism
#OrangeTheWorld #16DaysofActivism
Hii ni Kampeni ya Kimataifa ya kila mwaka inayoanza Novemba 25 na kuhitimishwa Desemba 10
Siku hii inalenga kuhamasisha Raia na Mashirika duniani kote kupaza sauti kuhusu kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Wasichana
Soma - https://jamii.app/16DaysActivism
#OrangeTheWorld #16DaysofActivism
Rais Samia Suluhu amesema Tanzania ni miongoni mwa Nchi 10 za Afrika ambazo Uchumi unakua kwa kasi
Asema, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini kutoka 28.6% (2015) hadi 26.2% (2020)
Soma - https://jamii.app/MkutanoTaasisiFedha
Asema, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini kutoka 28.6% (2015) hadi 26.2% (2020)
Soma - https://jamii.app/MkutanoTaasisiFedha
PROF. BISANDA AOMBA HESLB WAFADHILI WANAFUNZI WANAOSOMA CHUO KIKUU HURIA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria #Tanzania, Prof Elifas Tozo amesema wanakumbana na changamoto ya Bodi ya Mikopo kutowatambua Wanafunzi wao, hivyo hutoa mikopo kwa wachache
Soma - https://jamii.app/OUTHESLB
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria #Tanzania, Prof Elifas Tozo amesema wanakumbana na changamoto ya Bodi ya Mikopo kutowatambua Wanafunzi wao, hivyo hutoa mikopo kwa wachache
Soma - https://jamii.app/OUTHESLB
BURKINA FASO: Serikali imeongeza muda wa kusitishwa Huduma za Intaneti, ikielezwa hatua hiyo inatokana na sababu za Kiusalama
Wapinzani wa Rais Kabore wameitisha maandamano mapya kupinga Serikali kushindwa kuzuia ghasia zinazofanywa na Wanamgambo
Soma - https://jamii.app/InternetBurkinaFaso
Wapinzani wa Rais Kabore wameitisha maandamano mapya kupinga Serikali kushindwa kuzuia ghasia zinazofanywa na Wanamgambo
Soma - https://jamii.app/InternetBurkinaFaso
RC MAKALLA: KUNA WANAUME WANANYANYASWA NA WANAWAKE WENYE FEDHA
RC wa Dar amesema βWapo Wanaume wanaonyanyaswa. Kuna Wanawake wana Fedha wanahitaji tu Wanaume wa kuwaoa, anaweza kumpa kitu Mwanaume na kumnyangβanya wakiachanaβ
Soma - https://jamii.app/MakallaGBVMen
#16DaysofActivism2021
RC wa Dar amesema βWapo Wanaume wanaonyanyaswa. Kuna Wanawake wana Fedha wanahitaji tu Wanaume wa kuwaoa, anaweza kumpa kitu Mwanaume na kumnyangβanya wakiachanaβ
Soma - https://jamii.app/MakallaGBVMen
#16DaysofActivism2021
UTUMIKISHAJI WATOTO AFRIKA MAGHARIBI NA KATI WAONGEZEKA
Wanatumiwa kama wapiganaji, wapelelezi, wapishi, walinzi na wabeba mizigo
Watoto 21,000 waliandikishwa na Vikosi vya Kijeshi na makundi yenye silaha kati ya 2016 na 2020
Soma - https://jamii.app/ChildLabourWA
#ChildViolence
Wanatumiwa kama wapiganaji, wapelelezi, wapishi, walinzi na wabeba mizigo
Watoto 21,000 waliandikishwa na Vikosi vya Kijeshi na makundi yenye silaha kati ya 2016 na 2020
Soma - https://jamii.app/ChildLabourWA
#ChildViolence
SERIKALI: NGUVU YA PAMOJA INAHITAJIKA KUKOMESHA UKATILI WA KIJINSIA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema licha ya Sheria kali bado Ukatili unajitokeza
Asema, "Rushwa ya ngono imekua changamoto Vyuo Vikuu na maeneo ya kazi"
Soma - https://jamii.app/VitendoUkatiliTZ
#16DaysofActivism2021
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema licha ya Sheria kali bado Ukatili unajitokeza
Asema, "Rushwa ya ngono imekua changamoto Vyuo Vikuu na maeneo ya kazi"
Soma - https://jamii.app/VitendoUkatiliTZ
#16DaysofActivism2021
AFRIKA KUSINI: Serikali imeomba Kampuni za Johnson & Johnson na #Pfizer kuchelewesha utoaji wa Chanjo kutokana na kuwa na Chanjo nyingi kwenye maghala
35% ya Wananchi wameshapata Chanjo kamili huku Nchi ikiwa na dozi Milioni 16.8 ghalani
Soma - https://jamii.app/StockVaccineSA
#UVIKO3
35% ya Wananchi wameshapata Chanjo kamili huku Nchi ikiwa na dozi Milioni 16.8 ghalani
Soma - https://jamii.app/StockVaccineSA
#UVIKO3
Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
Aidan Eyakuze: Demokrasia inaturuhusu sisi kama binadamu wa nchi fulani kujiuliza maswali 2 ya msingi
1. Nani atazalisha yale yote tunayohitaji kama binadamu?
2. Nani atalipia uzalishaji huo?
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
#JamiiForums #Democracy
1. Nani atazalisha yale yote tunayohitaji kama binadamu?
2. Nani atalipia uzalishaji huo?
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
#JamiiForums #Democracy
Yanayojiri katika Mjadala wa "Je, Demokrasia inakwamisha Maendeleo?" unaoendelea kupitia Clubhouse
#Democracy #JamiiForums
#Democracy #JamiiForums