TETESI: MANCHESTER UNITED KUMPA RANGNICK UKOCHA WA MUDA
- Inadaiwa Klabu ya Man. Utd imefikia makubaliano na Kocha Ralf Rangnick (63) ili awe kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu 2021 - 22
- Rangnick amewahi kuwa Kocha wa Hannover, Schalke, Hoffenheim na RB Leipzig
#JFSports
- Inadaiwa Klabu ya Man. Utd imefikia makubaliano na Kocha Ralf Rangnick (63) ili awe kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu 2021 - 22
- Rangnick amewahi kuwa Kocha wa Hannover, Schalke, Hoffenheim na RB Leipzig
#JFSports
SUDAN: Maelfu ya watu wameandamana Jijini #Khartoum pamoja na Miji mingine. Vikosi vya Usalama vimetumia mabomu ya machozi dhidi ya Waandamanaji huko Omdurman
Wananchi wamepinga Makubaliano yaliyomrejesha Madarakani Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok
Soma - https://jamii.app/ProtestsKhartoum
Wananchi wamepinga Makubaliano yaliyomrejesha Madarakani Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok
Soma - https://jamii.app/ProtestsKhartoum
Ili kutatua kasoro zilizoainishwa katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, Serikali inashauriwa kuwezesha Halmashauri kukamilisha miradi iliyoanza kabla ya kuanza miradi mipya
Pia, Taasisi ya WAJIBU inashauri Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina) pamoja na watekeleza miradi kufuata makubaliano waliojiwekea na Washirika wa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Pia, Taasisi ya WAJIBU inashauri Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina) pamoja na watekeleza miradi kufuata makubaliano waliojiwekea na Washirika wa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
AINA MPYA YA KIRUSI CHA CORONA YAGUNDULIKA AFRIKA KUSINI
Wanasayansi Nchini humo wameelezea wasiwasi wao kuhusu aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho B.1.1.529
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) wanatarajiwa kukutana kukitathmini
Soma https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
Wanasayansi Nchini humo wameelezea wasiwasi wao kuhusu aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho B.1.1.529
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) wanatarajiwa kukutana kukitathmini
Soma https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
Jamii Forums inatoa nafasi 2 za ajira kwa Wasanifu Grafiki (Graphic Designers)
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MADHARA YA UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI
Ukatili una madhara Kisaikolojia, na unaweza kupelekea watendewa kupata Msongo wa Mawazo/kupoteza mwelekeo
Pia, inajenga hofu na kuvunja moyo Wanawake kushiriki kwenye ngazi za Uongozi
Soma - https://jamii.app/UkatiliMitandao
#16DaysofActivism
Ukatili una madhara Kisaikolojia, na unaweza kupelekea watendewa kupata Msongo wa Mawazo/kupoteza mwelekeo
Pia, inajenga hofu na kuvunja moyo Wanawake kushiriki kwenye ngazi za Uongozi
Soma - https://jamii.app/UkatiliMitandao
#16DaysofActivism
MDAU: MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUCHUKUA KUPUNGUZA WIZI WA FEDHA ZA UMMA
Amesisitizia suala la Uwazi akisema ukiwepo, ni rahisi hata kwa Wananchi kufuatilia na kutoa taarifa mapema pale inapoonekana mradi unafanyika ndivyo sivyo
Anasema TAKUKURU haitakiwi ifanye kazi kwa kupewa maelekezo bali inatakiwa inuse viashiria vya rushwa kila sehemu na ijikite zaidi kufanya kazi kwa kushirikiana na wananchi
Soma Makala yake - https://jamii.app/WiziFedhaUmma
#StoriesOfChange
Amesisitizia suala la Uwazi akisema ukiwepo, ni rahisi hata kwa Wananchi kufuatilia na kutoa taarifa mapema pale inapoonekana mradi unafanyika ndivyo sivyo
Anasema TAKUKURU haitakiwi ifanye kazi kwa kupewa maelekezo bali inatakiwa inuse viashiria vya rushwa kila sehemu na ijikite zaidi kufanya kazi kwa kushirikiana na wananchi
Soma Makala yake - https://jamii.app/WiziFedhaUmma
#StoriesOfChange
AFYA: Namna Mgonjwa anavyojieleza kwa Daktari ni muhimu. Baadhi ya masuala ya kuzingatia unapojieleza kwa Daktari ni;
1) Usimwambie Daktari Ugonjwa wako (Diagnosis), bali mueleze dalili ulizonazo: Kufahamu Ugonjwa ni kazi ya Daktari, unachotakiwa kufanya ni kuelezea dalili zako
2) Usiseme uongo wala kuficha kitu kuhusu Afya yako: Kumdanganya Daktari kutapelekea ashindwe kubaini tatizo. Anategemea maelezo yako kuweza kugundua tatizo
Soma - https://jamii.app/KujielezaDaktari
#Afya
1) Usimwambie Daktari Ugonjwa wako (Diagnosis), bali mueleze dalili ulizonazo: Kufahamu Ugonjwa ni kazi ya Daktari, unachotakiwa kufanya ni kuelezea dalili zako
2) Usiseme uongo wala kuficha kitu kuhusu Afya yako: Kumdanganya Daktari kutapelekea ashindwe kubaini tatizo. Anategemea maelezo yako kuweza kugundua tatizo
Soma - https://jamii.app/KujielezaDaktari
#Afya
#COVID19: Mataifa kadhaa yakiwemo Singapore, Ufaransa, Kenya na Japan yameanza kuchukua hatua baada ya Afrika Kusini kuripoti aina mpya ya Kirusi cha Corona
WHO yasema itachukua wiki kadhaa kuelewa madhara ya Kirusi cha B.1.1.529
Soma - https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
WHO yasema itachukua wiki kadhaa kuelewa madhara ya Kirusi cha B.1.1.529
Soma - https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
RAIS MUSEVENI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI TANZANIA
Rais wa Uganda na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan watafanya mazungumzo na kushiriki ufunguzi wa kongamano la biashara
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR
Soma https://jamii.app/ZiaraMuseveni
Rais wa Uganda na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan watafanya mazungumzo na kushiriki ufunguzi wa kongamano la biashara
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR
Soma https://jamii.app/ZiaraMuseveni
Takwimu kutoka tovuti ya Global Stats Counter zinaonesha kivinjari (Browser) cha Chrome kinachomilikiwa na Kampuni ya #Google kinatumiwa na watu wengi zaidi
Kinatumiwa na zaidi ya 64% ya watumiaji wote wa intaneti duniani, ikifuatiwa na kivinjari cha Safari
#JamiiForums
Kinatumiwa na zaidi ya 64% ya watumiaji wote wa intaneti duniani, ikifuatiwa na kivinjari cha Safari
#JamiiForums
Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha Wanafunzi wanapumzika wakati wa likizo ili kujifunza mambo ya kijamii
Amelaumu tabia ya kubidhaisha Elimu kwa kuwatoza Fedha Wazazi kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/LikizoWanafunzi
#JFLeo
Amelaumu tabia ya kubidhaisha Elimu kwa kuwatoza Fedha Wazazi kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/LikizoWanafunzi
#JFLeo
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka
> Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021
Soma https://jamii.app/Desemba3
#JFLeo
> Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021
Soma https://jamii.app/Desemba3
#JFLeo
MAREKANI: Kirusi cha COVID19 aina ya Omicron kilichogundulika Afrika Kusini kimeonekana kuwa hatari zaidi
> Raia kutoka Botswana, Eswatini, Lesotho, Malawi, Mozambique, Namibia, Afrika Kusini na Zimbabwe hawataruhusiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/OmicronVariant
#UVIKO3
> Raia kutoka Botswana, Eswatini, Lesotho, Malawi, Mozambique, Namibia, Afrika Kusini na Zimbabwe hawataruhusiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/OmicronVariant
#UVIKO3
RAIS SAMIA AMPOKEA RAIS MUSEVENI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Uganda, Yoweri Museveni katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere
> Rais Museveni amepewa salamu ya kijeshi, kukagua Gwaride na kuelekea Ikulu kwa mazungumzo ya faragha
#JamiiForums
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Uganda, Yoweri Museveni katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere
> Rais Museveni amepewa salamu ya kijeshi, kukagua Gwaride na kuelekea Ikulu kwa mazungumzo ya faragha
#JamiiForums
UGANDA: Exim Bank imechukua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #Entebbe na mali nyingine za Uganda baada ya kushindwa kulipa mkopo wa Dola milioni 207(Tsh. Bilioni 476.7)
> Majadiliano ya kuongezewa muda wa marejesho yaligonga mwamba
Soma https://jamii.app/EntebbeAirport
> Majadiliano ya kuongezewa muda wa marejesho yaligonga mwamba
Soma https://jamii.app/EntebbeAirport
SERIKALI: KUNA TISHIO LA WIMBI LA NNE LA CORONA
Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho #Omicron kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Wizara ya Afya imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo
Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Soma - https://jamii.app/TishioWimbi4
#UVIKO3
Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho #Omicron kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Wizara ya Afya imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo
Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Soma - https://jamii.app/TishioWimbi4
#UVIKO3
Rais Samia amesema #Tanzania itanunua Sukari kutoka Uganda huku akikosoa kauli ya Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda kuhusu kutokutoa vibali vya kununua Sukari nje ya nchi
> Prof. Mkenda alisema Sukari kutoka nje inaua Viwanda vya ndani
Soma https://jamii.app/UgandaSukari
#JFLeo
> Prof. Mkenda alisema Sukari kutoka nje inaua Viwanda vya ndani
Soma https://jamii.app/UgandaSukari
#JFLeo