UGANDA: Exim Bank imechukua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #Entebbe na mali nyingine za Uganda baada ya kushindwa kulipa mkopo wa Dola milioni 207(Tsh. Bilioni 476.7)
> Majadiliano ya kuongezewa muda wa marejesho yaligonga mwamba
Soma https://jamii.app/EntebbeAirport
> Majadiliano ya kuongezewa muda wa marejesho yaligonga mwamba
Soma https://jamii.app/EntebbeAirport
KUMBUKUMBU: #MowzeyRadio alifariki dunia Februari 1, 2018 siku chache baada ya kushambuliwa na Mlinzi wa Klabu moja Jijini #Entebbe
Mowzey au Moses Nakintije Ssekibogo kwa jina halisi alikuwa Msanii wa Kundi la #Goodlyfe kutoka Uganda akiwa na #Weasel Manizo. Walitamba na nyimbo nyingi ikiwemo #BreadandButter
Miaka 5 baada ya kifo chake, unakumbuka wimbo gani kutoka GoodLyfe?
Soma https://jamii.app/MowzeyRadioDay
#JFEntertainment
Mowzey au Moses Nakintije Ssekibogo kwa jina halisi alikuwa Msanii wa Kundi la #Goodlyfe kutoka Uganda akiwa na #Weasel Manizo. Walitamba na nyimbo nyingi ikiwemo #BreadandButter
Miaka 5 baada ya kifo chake, unakumbuka wimbo gani kutoka GoodLyfe?
Soma https://jamii.app/MowzeyRadioDay
#JFEntertainment
👍5😢2