QUEEN SENDIGA ATEULIWA KUWA RC IRINGA
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Cuthbert Sendiga, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa
> Anachukua nafasi ya Ally Hapi aliyeteuliwa kuwa RC Tabora
#JFLeo
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Cuthbert Sendiga, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa
> Anachukua nafasi ya Ally Hapi aliyeteuliwa kuwa RC Tabora
#JFLeo
AMOS MAKALLA AWA RC DAR ES SALAAM
- Rais Samia Suluhu amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akichukua nafasi ya Aboubakar Kunenge ambaye amekuwa RC Pwani
- Pia, amemteua Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Zuberi Homera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
#JFLeo
- Rais Samia Suluhu amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akichukua nafasi ya Aboubakar Kunenge ambaye amekuwa RC Pwani
- Pia, amemteua Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Zuberi Homera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
#JFLeo
RUVUMA: WATUMISHI WA MANISPAA YA SONGEA WATUHUMIWA KUJIMILIKISHA MADUKA YA KITUO KIKUU CHA MABASI
> Wananchi wamelalamika kwa DC Pololet Mgema kuwa, Watumishi wamejimilikisha maduka na hawayatumii kwa nia ya kuwapatia wafanyabiashara kwa bei kubwa
Soma https://jamii.app/MadukaSongea
> Wananchi wamelalamika kwa DC Pololet Mgema kuwa, Watumishi wamejimilikisha maduka na hawayatumii kwa nia ya kuwapatia wafanyabiashara kwa bei kubwa
Soma https://jamii.app/MadukaSongea
YANGA NA NAMUNGO ZATOKA SULUHU
Namungo ya Lindi imetoka suluhu na Yanga SC kwa kutofungana katika Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara
> Mchezo ulichezwa Uwanja wa Majaliwa ulio mkoani Lindi
#JamiiForums #JFMichezo
Namungo ya Lindi imetoka suluhu na Yanga SC kwa kutofungana katika Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara
> Mchezo ulichezwa Uwanja wa Majaliwa ulio mkoani Lindi
#JamiiForums #JFMichezo
USAFI WA TAULO ILI KUEPUKA MAGONJWA
Taulo linabeba fangasi na bakteria ambao husababisha magonjwa, yakiwemo ya ngozi, UTI na muwasho
Wataalamu wanashauri kulifua kila baada ya siku 3 na kulipiga pasi. Pia kulianika juani baada ya kulitumia
Soma https://jamii.app/UsafiTaulo
Taulo linabeba fangasi na bakteria ambao husababisha magonjwa, yakiwemo ya ngozi, UTI na muwasho
Wataalamu wanashauri kulifua kila baada ya siku 3 na kulipiga pasi. Pia kulianika juani baada ya kulitumia
Soma https://jamii.app/UsafiTaulo
PALESTINA: ISRAEL YAPOROMOSHA GHOROFA YA VYOMBO VYA HABARI
Jengo hilo la ghorofa 12 lilikuwa ni ofisi ya Shirika la Habari la AP, Al Jazeera, Ofisi nyingine pamoja na Makazi
Lilipigwa saa 1 baada ya Jeshi kuwataka Watu kuondoka ndani ya ghorofa
Soma - https://jamii.app/AlJazeeraOficeDown
Jengo hilo la ghorofa 12 lilikuwa ni ofisi ya Shirika la Habari la AP, Al Jazeera, Ofisi nyingine pamoja na Makazi
Lilipigwa saa 1 baada ya Jeshi kuwataka Watu kuondoka ndani ya ghorofa
Soma - https://jamii.app/AlJazeeraOficeDown
👍1
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI ZOEZI LA UPIGAJI KURA BUHIGWE
Jimbo hilo limekuwa wazi baada ya Dkt. Philip Mpango aliyekuwa Mbunge kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais
Pia, Uchaguzi mdogo wa Ubunge unafanyika Muhambwe na Kata 5 zinafanya Uchaguzi wa Madiwani
Soma > https://jamii.app/UchaguziBuhigwe
Jimbo hilo limekuwa wazi baada ya Dkt. Philip Mpango aliyekuwa Mbunge kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais
Pia, Uchaguzi mdogo wa Ubunge unafanyika Muhambwe na Kata 5 zinafanya Uchaguzi wa Madiwani
Soma > https://jamii.app/UchaguziBuhigwe
MASHAMBULIZI GAZA: Idadi ya Vifo vya Raia imeongezeka kufikia 174 tangu kuanza upya kwa mgogoro huo Jumatatu huku kukiwa na Vifo vya Watoto 47 na Wanawake 29. Inaelezwa Watu wanaathiriwa sana na Hewa nzito kutokana na Milipuko
Idadi ya watu walioumia imefikia 1,200. Israel inadaiwa kugoma kusitisha mashambulizi dhidi ya Wapalestina
#GazaUnderAttack
Idadi ya watu walioumia imefikia 1,200. Israel inadaiwa kugoma kusitisha mashambulizi dhidi ya Wapalestina
#GazaUnderAttack
KILIMANJARO: WASTANI WA PIKIPIKI 100 HUIBWA KWA MWAKA
> Madereva huporwa pikipiki kwa kupigwa nondo, kunyongwa au kuumizwa
> Polisi imeshauri madereva, wanapokodiwa na mteja wanayemtilia shaka wampige picha kwa siri na kuiacha kijiweni
Soma https://jamii.app/PikipikiKilimanjaro
> Madereva huporwa pikipiki kwa kupigwa nondo, kunyongwa au kuumizwa
> Polisi imeshauri madereva, wanapokodiwa na mteja wanayemtilia shaka wampige picha kwa siri na kuiacha kijiweni
Soma https://jamii.app/PikipikiKilimanjaro
MAREKANI: CHAMA CHA WAUGUZI CHAPISHANA NA CDC KUHUSU UMUHIMU WA BARAKOA
- Chama hicho kimesema waliopata chanjo kushauriwa kutovaa barakoa hakutalinda Afya ya Umma na hatua hiyo haipo kisayansi
- Kimesema, huu sio wakati wa kulegeza Masharti
Soma https://jamii.app/WauguziCDC
- Chama hicho kimesema waliopata chanjo kushauriwa kutovaa barakoa hakutalinda Afya ya Umma na hatua hiyo haipo kisayansi
- Kimesema, huu sio wakati wa kulegeza Masharti
Soma https://jamii.app/WauguziCDC
TUNAKUTAKIA ‘WIKI’ NJEMA NA BARAKA TELE
Tunawatakia mwanzo mwema wa Juma uliojaa furaha na afya njema na kwa wale wenye changamoto katika afya zao, tunawaombea uponyaji wa haraka ili waendelee na majukumu yao
> Tembelea JF Doctors kwa ushauri kuhusu masuala ya #AFYA
#JamiiForums
Tunawatakia mwanzo mwema wa Juma uliojaa furaha na afya njema na kwa wale wenye changamoto katika afya zao, tunawaombea uponyaji wa haraka ili waendelee na majukumu yao
> Tembelea JF Doctors kwa ushauri kuhusu masuala ya #AFYA
#JamiiForums