ILO & WHO: KUFANYA KAZI MUDA MWINGI KUMEPELEKEA VIFO VYA WATU 745,000
> Utafiti wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) na Shirika la Afya (WHO) unaonesha kufanya kazi kwa muda mwingi kulichangia vifo hivyo kwa mwaka 2016
> 72% ya vifo hivyo ni wanaume
Soma https://jamii.app/KaziVifo
> Utafiti wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) na Shirika la Afya (WHO) unaonesha kufanya kazi kwa muda mwingi kulichangia vifo hivyo kwa mwaka 2016
> 72% ya vifo hivyo ni wanaume
Soma https://jamii.app/KaziVifo
SINGAPORE: AINA MPYA ZA VIRUSI ZINAATHIRI ZAIDI WATOTO
Haijafahamika Watoto wangapi wamepata maambukizi lakini Serikali imesema Kirusi cha #B1617 kinawaathiri kwa kiasi kikubwa
Masomo ya Shule za Msingi na Sekondari kuendelea kutoka nyumbani
Soma https://jamii.app/WatotoVirusi
Haijafahamika Watoto wangapi wamepata maambukizi lakini Serikali imesema Kirusi cha #B1617 kinawaathiri kwa kiasi kikubwa
Masomo ya Shule za Msingi na Sekondari kuendelea kutoka nyumbani
Soma https://jamii.app/WatotoVirusi
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Kamati Maalum iliyoundwa kufanya tathmini ya Ugonjwa wa #COVID19 hapa Nchini
> Amepokea Ripoti hiyo Ikulu Dar es Salaam leo Mei 17, 2021 kutoka kwa Prof. Said Aboud ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo
#JamiiForums #JFLeo
> Amepokea Ripoti hiyo Ikulu Dar es Salaam leo Mei 17, 2021 kutoka kwa Prof. Said Aboud ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo
#JamiiForums #JFLeo
SERIKALI YASHAURIWA KURUHUSU CHANJO
> Kamati imeshauri Serikali iendelee na hatua za kuelekea kuruhusu matumizi huru ya Chanjo dhidi ya Corona kwa kutumia Chanjo zilizoorodheshwa na Shirika la Afya Duniani ili kuwapa fursa Wananchi kwa kuwa zina ufanisi unaokubalika kisayansi
#JFLeo
> Kamati imeshauri Serikali iendelee na hatua za kuelekea kuruhusu matumizi huru ya Chanjo dhidi ya Corona kwa kutumia Chanjo zilizoorodheshwa na Shirika la Afya Duniani ili kuwapa fursa Wananchi kwa kuwa zina ufanisi unaokubalika kisayansi
#JFLeo
SERIKALI YASHAURIWA KUZINGATIA MAZINGIRA YA KITANZANIA KWENYE KUWEKA LOCKDOWN
Kamati ya #COVID19 imeshauri Serikali kuzingatia mazingira ya kitanzania ktk kudhibiti maambukizi
> Pia, kuweka mpango wa kukuza uchumi baada ya kutathmini madhara
Soma https://jamii.app/KamatiCOVID19
Kamati ya #COVID19 imeshauri Serikali kuzingatia mazingira ya kitanzania ktk kudhibiti maambukizi
> Pia, kuweka mpango wa kukuza uchumi baada ya kutathmini madhara
Soma https://jamii.app/KamatiCOVID19
SERIKALI YASHAURIWA KUTOA TAKWIMU KUHUSU #COVID19
> Wananchi wapate taarifa sahihi toka Mamlaka za Serikali na pia Wizara ya Afya imeshauriwa kukamilisha mwongozo mpya wa matibabu
> Tiba asili na tiba mbadala zizingatie misingi ya kisayansi
Soma https://jamii.app/KamatiCOVID19
> Wananchi wapate taarifa sahihi toka Mamlaka za Serikali na pia Wizara ya Afya imeshauriwa kukamilisha mwongozo mpya wa matibabu
> Tiba asili na tiba mbadala zizingatie misingi ya kisayansi
Soma https://jamii.app/KamatiCOVID19
KAMATI YAPENDEKEZA KUWEPO KIPAUMBELE CHA UTOAJI CHANJO
Kamati iliyoundwa kutathmini #COVID19 imeshauri utoaji Chanjo uanze kwa makundi yafuatayo kwa umuhimu:
Wahudumu ktk Vituo vya Afya na Watumishi walio mstari wa mbele kutoa huduma, Watumishi wa Sekta za Utalii, Hoteli, Mipakani, Viongozi wa Dini na Mahujaji
Wazee na Watu wazima kuanzia miaka 50. Watu wazima wenye maradhi sugu
Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na Wasafiri wanaokwenda Nje ya Nchi
Soma > https://jamii.app/KamatiCOVID19
Kamati iliyoundwa kutathmini #COVID19 imeshauri utoaji Chanjo uanze kwa makundi yafuatayo kwa umuhimu:
Wahudumu ktk Vituo vya Afya na Watumishi walio mstari wa mbele kutoa huduma, Watumishi wa Sekta za Utalii, Hoteli, Mipakani, Viongozi wa Dini na Mahujaji
Wazee na Watu wazima kuanzia miaka 50. Watu wazima wenye maradhi sugu
Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na Wasafiri wanaokwenda Nje ya Nchi
Soma > https://jamii.app/KamatiCOVID19
KAMATI YA #COVID19: SERIKALI ITENGENEZE KIWANDA CHA CHANJO
> Imesema, COVID-19 imetoa fursa kwa Serikali kuwa na kiwanda cha chanjo
> Pia, imeshauri kuijengea uwezo Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii ili kupanua wigo wa upimaji wa Corona
Soma https://jamii.app/KamatiCOVID19
> Imesema, COVID-19 imetoa fursa kwa Serikali kuwa na kiwanda cha chanjo
> Pia, imeshauri kuijengea uwezo Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii ili kupanua wigo wa upimaji wa Corona
Soma https://jamii.app/KamatiCOVID19
RAIS SAMIA AWATAKA MAJAJI KUONGOZWA NA UTU
Asema, "Nafsi ikiwaelekeza kwenda kuchukua fedha na kunyima Haki ujue umeshatetereka"
Amesema wakati mwingine kesi huchelewa kwasababu ya upelelezi na kuagiza Vyombo husika kuharakisha mchakato huo
Soma https://jamii.app/UapishoMajaji
Asema, "Nafsi ikiwaelekeza kwenda kuchukua fedha na kunyima Haki ujue umeshatetereka"
Amesema wakati mwingine kesi huchelewa kwasababu ya upelelezi na kuagiza Vyombo husika kuharakisha mchakato huo
Soma https://jamii.app/UapishoMajaji
MABADILIKO POLISI: MAMBOSASA AHAMISHIWA DODOMA, WAMBURA AREJESHWA DAR
- SACP Lazaro Mambosasa amekuwa Mkuu wa Oparesheni UPEL Dodoma
> SACP Camilius Mongoso Wambura anatoka kuwa Mkuu wa Oparesheni UPEL Dodoma na kuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar
Soma https://jamii.app/UhamishoWaPolisi
- SACP Lazaro Mambosasa amekuwa Mkuu wa Oparesheni UPEL Dodoma
> SACP Camilius Mongoso Wambura anatoka kuwa Mkuu wa Oparesheni UPEL Dodoma na kuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar
Soma https://jamii.app/UhamishoWaPolisi
TANZANIA KUANZA KUTUMIA 5G
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dr. Jabir Kuwe amesema Tanzania inaelekea kuanza kutumia huduma ya 5G
> Majaribio ya #5G yatafanyika kuhakikisha kasi ya Teknolojia inayotakiwa inapatikana ili kuongeza Huduma ya Mawasiliano ya #Data nchini
Soma https://jamii.app/Tz5G
#DigitalRights
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dr. Jabir Kuwe amesema Tanzania inaelekea kuanza kutumia huduma ya 5G
> Majaribio ya #5G yatafanyika kuhakikisha kasi ya Teknolojia inayotakiwa inapatikana ili kuongeza Huduma ya Mawasiliano ya #Data nchini
Soma https://jamii.app/Tz5G
#DigitalRights
SHERIA YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI KUTUNGWA
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema Wizara yake iko mbioni kupeleka Bungeni muswada wa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi iili kulinda FARAGHA na TAARIFA za mwananchi
- Wizara inaandaa sheria hiyo ili kulinda FARAGHA na TAARIFA binafsi za wananchi katika hatua ya Ukusanyaji, Usafirishaji, Matumizi na Utunzaji wa taarifa hizo kwa kuwa Taasisi mbalimbali zinatumia taarifa husika
Soma > https://jamii.app/Tz5G
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema Wizara yake iko mbioni kupeleka Bungeni muswada wa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi iili kulinda FARAGHA na TAARIFA za mwananchi
- Wizara inaandaa sheria hiyo ili kulinda FARAGHA na TAARIFA binafsi za wananchi katika hatua ya Ukusanyaji, Usafirishaji, Matumizi na Utunzaji wa taarifa hizo kwa kuwa Taasisi mbalimbali zinatumia taarifa husika
Soma > https://jamii.app/Tz5G
INDIA: MAAMBUKIZI YA #COVID19 YAFIKIA MILIONI 25
Visa vipya 263,533 vimerekodiwa saa 24 zilizopita na kupelekea idadi kuwa Milioni 25.23
Idadi ya maambukizi imekuwa ikipungua ktk Taifa hilo ambalo Hospitali zimekuwa zikilazimika kukataa wagonjwa
Soma > https://jamii.app/India25Mil
Visa vipya 263,533 vimerekodiwa saa 24 zilizopita na kupelekea idadi kuwa Milioni 25.23
Idadi ya maambukizi imekuwa ikipungua ktk Taifa hilo ambalo Hospitali zimekuwa zikilazimika kukataa wagonjwa
Soma > https://jamii.app/India25Mil
WAPALESTINA 200 WAMEUAWA KATIKA MGOGORO NA ISRAEL
> Vilevile, Waisrael 10 wameuawa na katika mgogoro huo ulioanza Mei 10, 2021
> Katika Shambulizi la Mei 17, 2021 Kamanda Mwandamizi wa Palestina, Hussam Abu Harbeed aliuawa
Soma https://jamii.app/PalestineIsrael
> Vilevile, Waisrael 10 wameuawa na katika mgogoro huo ulioanza Mei 10, 2021
> Katika Shambulizi la Mei 17, 2021 Kamanda Mwandamizi wa Palestina, Hussam Abu Harbeed aliuawa
Soma https://jamii.app/PalestineIsrael
ETHIOPIA: #TIGRAY YAKUMBWA NA HOFU YA MAGONJWA KWA KUKOSA HUDUMA ZA AFYA
Kutokana na uharibifu wa Vituo vingi vya Afya, kuna wasiwasi wa kuibuka kwa milipuko
Shirika la Afya lasema takriban watu Milioni 5 wanahitaji msaada hususan wa Chakula
Soma https://jamii.app/WHOTigray
Kutokana na uharibifu wa Vituo vingi vya Afya, kuna wasiwasi wa kuibuka kwa milipuko
Shirika la Afya lasema takriban watu Milioni 5 wanahitaji msaada hususan wa Chakula
Soma https://jamii.app/WHOTigray
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 18, 2021 amezindua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi, Bohari Kuu Kurasini
Pia amekagua gwaride maalum lililoandaliwa kwa heshima yake
Soma > https://jamii.app/RaisSamiaDar
Pia amekagua gwaride maalum lililoandaliwa kwa heshima yake
Soma > https://jamii.app/RaisSamiaDar
RAIS SAMIA AWATAKA POLISI WASITUMIE MAKOSA KAMA KITEGA UCHUMI
> Amewataka Polisi wasijikite kwenye kutoza faini badala yake wajikite ktk kudhibiti makosa
> Amesema hayo baada ya Polisi kusema wamepungukiwa mapato kutokana na kupungua kwa makosa
Soma https://jamii.app/RaisSamiaDar
> Amewataka Polisi wasijikite kwenye kutoza faini badala yake wajikite ktk kudhibiti makosa
> Amesema hayo baada ya Polisi kusema wamepungukiwa mapato kutokana na kupungua kwa makosa
Soma https://jamii.app/RaisSamiaDar