UN: KUNAHITAJIKA UWEKEZAJI KWENYE MASUALA YA AFYA YA AKILI
Katibu Mkuu wa UN, AntΓ³nio Guterres amesema afya ya akili halijatiliwa maanani kwa muda mrefu
> Ametoa wito kuwekeza eneo hilo ili kupunguza unyanyapaa kwa wanaohitaji msaada wa kitabibu
Soma https://jamii.app/MentalHealthMonth
Katibu Mkuu wa UN, AntΓ³nio Guterres amesema afya ya akili halijatiliwa maanani kwa muda mrefu
> Ametoa wito kuwekeza eneo hilo ili kupunguza unyanyapaa kwa wanaohitaji msaada wa kitabibu
Soma https://jamii.app/MentalHealthMonth
WADAU: SHULE ZA βENGLISH MEDIUMβ ZIMEFANYA WAZAZI KUWA WALIMU
> Wazazi ndani ya JamiiForums wanajadili kuhusu 'Homeworks' wanazopewa watoto toka shuleni. Baadhi wanaona ni vyema mzazi kushiriki kazi za mtoto ili kujua maendeleo yake huku wengine wakiona kama wanapewa kazi ya kufundisha watoto ilhali wamelipa ada
> Je, una maoni gani kuhusu hili?
Soma https://jamii.app/ShuleEnglishMedium
> Wazazi ndani ya JamiiForums wanajadili kuhusu 'Homeworks' wanazopewa watoto toka shuleni. Baadhi wanaona ni vyema mzazi kushiriki kazi za mtoto ili kujua maendeleo yake huku wengine wakiona kama wanapewa kazi ya kufundisha watoto ilhali wamelipa ada
> Je, una maoni gani kuhusu hili?
Soma https://jamii.app/ShuleEnglishMedium
SUDAN KUSINI: RAIS ATANGAZA BUNGE JIPYA
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir ameunda Bunge jipya ambalo lina Wabunge kama Makubaliano ya Septemba 2018 yalivyotaka
> Wabunge waliotangazwa wanajumuisha Wabunge 128 kutoka kundi la waasi wa zamani, SPLM-IO
Soma https://jamii.app/SudanKusiniBunge
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir ameunda Bunge jipya ambalo lina Wabunge kama Makubaliano ya Septemba 2018 yalivyotaka
> Wabunge waliotangazwa wanajumuisha Wabunge 128 kutoka kundi la waasi wa zamani, SPLM-IO
Soma https://jamii.app/SudanKusiniBunge
NAMNA YA KUMJENGEA MTOTO TABIA YA UMAKINI KATIKA UTENDAJI WAKE
> Jaribu kutengenezea mazingira yenye utulivu ili aweze kuzingatia kazi aliyopewa. Televisheni, Muziki, Kelele na Simu za Rununu ni vizuizi vikubwa kwa Mtoto kuwa makini
> Mtafutie Michezo itakayomsaidia kuboresha kiwango chake cha umakini. Michezo kama Puzzles husaidia kuchemsha Ubongo wa Mtoto
Soma - https://jamii.app/FocusChildren
#Malezi #JFLeo
> Jaribu kutengenezea mazingira yenye utulivu ili aweze kuzingatia kazi aliyopewa. Televisheni, Muziki, Kelele na Simu za Rununu ni vizuizi vikubwa kwa Mtoto kuwa makini
> Mtafutie Michezo itakayomsaidia kuboresha kiwango chake cha umakini. Michezo kama Puzzles husaidia kuchemsha Ubongo wa Mtoto
Soma - https://jamii.app/FocusChildren
#Malezi #JFLeo
MBUNGE: WANAUME WANAJADILI SANA KUHUSU SIMBA NA YANGA KULIKO AFYA ZAO
Mbunge Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu, amesema kama nguvu zaidi ingetumika kujadili masuala ya #Afya ikiwemo kupima VVU, huenda vita dhidi ya ugonjwa huo ingekuwa nyepesi
Soma - https://jamii.app/WanaumeAfya
#JFLeo
Mbunge Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu, amesema kama nguvu zaidi ingetumika kujadili masuala ya #Afya ikiwemo kupima VVU, huenda vita dhidi ya ugonjwa huo ingekuwa nyepesi
Soma - https://jamii.app/WanaumeAfya
#JFLeo
RAIS ATEUA MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI NA MAHAKAMA KUU
Rais Samia Suluhu ameteua Majaji 7 wa Mahakama ya Rufani na 21 wa Mahakama Kuu akiwemo Biswalo Mganga aliyekuwa DPP
Amemuongezea miaka 2 Jaji Sivangilwa Mwangesi wa Mahakama ya Rufani
Soma https://jamii.app/TeuziMajaji
Rais Samia Suluhu ameteua Majaji 7 wa Mahakama ya Rufani na 21 wa Mahakama Kuu akiwemo Biswalo Mganga aliyekuwa DPP
Amemuongezea miaka 2 Jaji Sivangilwa Mwangesi wa Mahakama ya Rufani
Soma https://jamii.app/TeuziMajaji
GWAJIMA: SIPINGI CHANJO LAKINI TAIFA LISIWE SEHEMU YA MAJARIBIO
Mbunge wa Kawe asema "Miaka ijayo tunaweza kuwa na Taifa lisilo na Watu wanaofikiri vizuri na kufanya maamuzi. Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa majaribio eti kwasababu tuna harakaβ
Soma - https://jamii.app/GwajimaChanjo
Mbunge wa Kawe asema "Miaka ijayo tunaweza kuwa na Taifa lisilo na Watu wanaofikiri vizuri na kufanya maamuzi. Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa majaribio eti kwasababu tuna harakaβ
Soma - https://jamii.app/GwajimaChanjo
DAR: VIBANDA KATIKATI YA JIJI KUONDOLEWA KABLA YA MEI 18
Jumanne Shauri (Mkurugenzi) amesema hawajazuia Wafanyabiashara bali wanatakiwa watumie meza ili wakimaliza waziondoe na kuacha maeneo wazi
> Sheria ya Mipango Miji hairuhusu kujenga vibanda
Soma https://jamii.app/VibandaJijiniDsm
#JFLeo
Jumanne Shauri (Mkurugenzi) amesema hawajazuia Wafanyabiashara bali wanatakiwa watumie meza ili wakimaliza waziondoe na kuacha maeneo wazi
> Sheria ya Mipango Miji hairuhusu kujenga vibanda
Soma https://jamii.app/VibandaJijiniDsm
#JFLeo
NDEGE ZA #SOMALIA ZAPIGWA MARUFUKU KUINGIA ANGA LA KENYA
Mamlaka ya Anga imesema ndege za dharura za kitabibu na walio na ujumbe wa masuala ya kibinadamu ya UN zitaruhusiwa kuingia
> #Kenya na Somalia zimekuwa na mzozo wa Mpaka tangu 2014
Soma https://jamii.app/NdegeSomaliaKenya
#JFLeo
Mamlaka ya Anga imesema ndege za dharura za kitabibu na walio na ujumbe wa masuala ya kibinadamu ya UN zitaruhusiwa kuingia
> #Kenya na Somalia zimekuwa na mzozo wa Mpaka tangu 2014
Soma https://jamii.app/NdegeSomaliaKenya
#JFLeo
WHO: MTU 1 KATI YA 500 ANAWEZA KUPATA CHANJO KWA NCHI ZINAZOENDELEA
Shirika la Afya Duniani limesema hali ilivyo kwa Nchi zinazoendelea ni tofauti ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea, ambapo mtu 1 kati ya 4 amepata Chanjo ya Ugonjwa wa #COVID19
Soma > https://jamii.app/ChanjoUpatikanaji
Shirika la Afya Duniani limesema hali ilivyo kwa Nchi zinazoendelea ni tofauti ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea, ambapo mtu 1 kati ya 4 amepata Chanjo ya Ugonjwa wa #COVID19
Soma > https://jamii.app/ChanjoUpatikanaji