DAR: WATU 161 WAKAMATWA KWA WIZI WA MAGARI NA PIKIPIKI
Watano kati yao wamekamatiwa Zanzibar wakiwa na pikipiki 40
Vilevile, Polisi imekamata vitu mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa vya wizi vikiwemo pikipiki 91, bajaji na vipuri vya magari
Soma > https://jamii.app/161WiziDar
Watano kati yao wamekamatiwa Zanzibar wakiwa na pikipiki 40
Vilevile, Polisi imekamata vitu mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa vya wizi vikiwemo pikipiki 91, bajaji na vipuri vya magari
Soma > https://jamii.app/161WiziDar
HOJA: EPUKA KUFUATA MKUMBO IKIWA UNATAKA KUFANIKIWA
> Mdau anasema usishiriki kwenye mabishano yoyote ambayo hayana manufaa kwako. Usifanye jambo sababu wa Watu bali tumia akili zako kufanya kilicho sahihi.
> Kitu pekee kinachotutofautisha Binadamu na viumbe wengine ni uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi kulingana na hali tuliyonayo
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MkumboMafanikio
#Maisha
> Mdau anasema usishiriki kwenye mabishano yoyote ambayo hayana manufaa kwako. Usifanye jambo sababu wa Watu bali tumia akili zako kufanya kilicho sahihi.
> Kitu pekee kinachotutofautisha Binadamu na viumbe wengine ni uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi kulingana na hali tuliyonayo
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MkumboMafanikio
#Maisha
UHAMISHO KWA WATUMISHI KUFANYIKA MARA 4 KWA MWAKA
- Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI amewataka Makatibu Tawala kutokupitisha maombi ya wanaotaka kuhamia kwenye Majiji, Manispaa na Miji kwa kuwa maeneo hayo yana idadi kubwa ya Watumishi
Soma > https://jamii.app/UhamishoWatumishi
- Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI amewataka Makatibu Tawala kutokupitisha maombi ya wanaotaka kuhamia kwenye Majiji, Manispaa na Miji kwa kuwa maeneo hayo yana idadi kubwa ya Watumishi
Soma > https://jamii.app/UhamishoWatumishi
MTWARA: 11 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UHUJUMU UCHUMI
Wanadaiwa kughushi nyaraka za Serikali na kulipwa fedha za fidia isivyo halali, na kuisababishia Halmashauri ya Wilaya ya Masasi hasara ya zaidi ya Milioni 13.2
Soma > https://jamii.app/11UhujumuMtwara
Wanadaiwa kughushi nyaraka za Serikali na kulipwa fedha za fidia isivyo halali, na kuisababishia Halmashauri ya Wilaya ya Masasi hasara ya zaidi ya Milioni 13.2
Soma > https://jamii.app/11UhujumuMtwara
UTAFITI: KULALA KWA SAA 6-7 USIKU KUTAKUEPUSHA NA MAGONJWA YA MOYO
Utafiti wa Chuo Kikuu cha #Cardiology cha Marekani umebaini Watu wanaolala kwa saa 6-7 wakati wa usiku wana uwezekano mdogo zaidi wa kupata mshtuko wa Moyo au Kiharusi
Soma - https://jamii.app/UsingiziMoyo
#JFAfya
Utafiti wa Chuo Kikuu cha #Cardiology cha Marekani umebaini Watu wanaolala kwa saa 6-7 wakati wa usiku wana uwezekano mdogo zaidi wa kupata mshtuko wa Moyo au Kiharusi
Soma - https://jamii.app/UsingiziMoyo
#JFAfya
UTAFITI: WAGONJWA WALIOKAA ICU WAPO KWENYE HATARI YA KUJIUA NA KUJIDHURU
Watafiti kutoka Ottawa wamesema matokeo ya Utafiti huo yana umuhimu mkubwa wakati huu ambapo watu wengi wamewekwa katika Uangalizi maalum kwasababu ya mlipuko wa #COVID19
Soma > https://jamii.app/UtafitiWagonjwaICU
Watafiti kutoka Ottawa wamesema matokeo ya Utafiti huo yana umuhimu mkubwa wakati huu ambapo watu wengi wamewekwa katika Uangalizi maalum kwasababu ya mlipuko wa #COVID19
Soma > https://jamii.app/UtafitiWagonjwaICU
#COVID19-UINGEREZA: KARANTINI YASABABISHA VIFO VYA UNYWAJI POMBE KUONGEZEKA
Ofisi ya Takwimu imesema kulikuwa na vifo 7,423 Mwaka 2020 ikiwa ni ongezeko la 19.6% kutoka 2019
Unywaji Pombe uliongezeka baada ya Watu kutakiwa kukaa majumbani
Soma - https://jamii.app/AlcoholDeathsUK
Ofisi ya Takwimu imesema kulikuwa na vifo 7,423 Mwaka 2020 ikiwa ni ongezeko la 19.6% kutoka 2019
Unywaji Pombe uliongezeka baada ya Watu kutakiwa kukaa majumbani
Soma - https://jamii.app/AlcoholDeathsUK
#COVID19: MAAMBUKIZI MAPYA ZAIDI YA 400,000 YAREKODIWA INDIA
Maambukizi katika Nchi hiyo yamefikia Milioni 21.49 huku waliofariki dunia hadi sasa wakiwa 234,083
#India yenye takriban watu Bilioni 1.4 imeshatoa Dozi Milioni 162 za Chanjo
Soma > https://jamii.app/COVIDCasesIndia
Maambukizi katika Nchi hiyo yamefikia Milioni 21.49 huku waliofariki dunia hadi sasa wakiwa 234,083
#India yenye takriban watu Bilioni 1.4 imeshatoa Dozi Milioni 162 za Chanjo
Soma > https://jamii.app/COVIDCasesIndia
NEW ZEALAND KUZUIA UVUTAJI SIGARA KWA WALIOZALIWA BAADA YA 2004
Serikali inataka hadi kufikia 2025 kusiwepo na Mtu anayevuta Sigara Nchini humo
Takriban Watu 4,500 Nchini humo hupoteza Maisha kila mwaka kutokana na matumizi ya Tumbaku
Soma - https://jamii.app/ZealandTobaccoBan
#SmokingBan
Serikali inataka hadi kufikia 2025 kusiwepo na Mtu anayevuta Sigara Nchini humo
Takriban Watu 4,500 Nchini humo hupoteza Maisha kila mwaka kutokana na matumizi ya Tumbaku
Soma - https://jamii.app/ZealandTobaccoBan
#SmokingBan
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
UINGEREZA: JESHI LA MAJI LATUMIA TEKNOLOJIA YA MTU KUPAA ILI KUPAMBANA NA UHALIFU BAHARINI
- Kampuni ya Utafiti wa #Teknolojia ya Anga ya Gravity Industries imechapisha video inayoonesha Wanajeshi wakifanya mazoezi kwa kutumia Teknolojia hiyo mpya katika Meli ya kivita ya HMS Tamar ya Uingereza.
#JamiiForums #Technology #Crimes
- Kampuni ya Utafiti wa #Teknolojia ya Anga ya Gravity Industries imechapisha video inayoonesha Wanajeshi wakifanya mazoezi kwa kutumia Teknolojia hiyo mpya katika Meli ya kivita ya HMS Tamar ya Uingereza.
#JamiiForums #Technology #Crimes
DR CONGO: MDOGO WA RAIS JOSEPH KABILA AONDOLEWA MADARAKANI
Zoe Kabila aliyekuwa Gavana wa Tanganyika amepigiwa kura ya kuondolewa akituhumiwa kwa matumizi mabaya ya Madaraka
Desemba 2020, wafuasi wa Kabila waliokuwemo Bungeni waliondolewa
Soma > https://jamii.app/ZoeKabilaDRC
Zoe Kabila aliyekuwa Gavana wa Tanganyika amepigiwa kura ya kuondolewa akituhumiwa kwa matumizi mabaya ya Madaraka
Desemba 2020, wafuasi wa Kabila waliokuwemo Bungeni waliondolewa
Soma > https://jamii.app/ZoeKabilaDRC
NDUGAI: WANAOFUKUZA WANACHAMA WAAMBATANISHE KATIBA YAO NA MIHUTASARI YA VIKAO KWENYE BARUA
Spika wa Bunge amesema, "Kufanya hivyo inarahisisha kazi yangu ya kutenda Haki nisije nikaonea watu. Wenye nia hizo mnaogopa nini kuambatanisha hizo Nakala?"
Soma > https://jamii.app/NdugaiBunge
Spika wa Bunge amesema, "Kufanya hivyo inarahisisha kazi yangu ya kutenda Haki nisije nikaonea watu. Wenye nia hizo mnaogopa nini kuambatanisha hizo Nakala?"
Soma > https://jamii.app/NdugaiBunge
DOGO JANJA AHOJIWA KWA MADAI YA KUHAMASISHA ABIRIA KUTOPIMA #COVID19
Msanii Abdulaziz Chende (26) aliyerudi kutoka Afrika Kusini amelalamika kwamba alifanya Kipimo alikotoka lakini Cheti kilikataliwa na kutakiwa kulipa fedha ili kupima upya
Kamanda wa Kikosi cha Viwanja vya Ndege Nchini, Jeremia Shila, amesema wanaendelea na uchunguzi ili kubaini kama tuhuma zinazomkabili Dogo Janja na Wenzake wawili ni za jinai ili wafikishwe Mahakamani.
Soma - https://jamii.app/DogoJanjaCorona
Msanii Abdulaziz Chende (26) aliyerudi kutoka Afrika Kusini amelalamika kwamba alifanya Kipimo alikotoka lakini Cheti kilikataliwa na kutakiwa kulipa fedha ili kupima upya
Kamanda wa Kikosi cha Viwanja vya Ndege Nchini, Jeremia Shila, amesema wanaendelea na uchunguzi ili kubaini kama tuhuma zinazomkabili Dogo Janja na Wenzake wawili ni za jinai ili wafikishwe Mahakamani.
Soma - https://jamii.app/DogoJanjaCorona
AAR YATANGAZA KUFILISIWA. YAFUNGA KLINIKI ZAKE NA KUUZA VIFAA VYA MATIBABU
Kampuni ya AAR Healthcare (T) Ltd imetangaza kuuza vifaa vyote vilivyopo kwenye Kliniki zake 7
Aprili 28, 2021 Wafanyakazi waliandamana wakidai kulipwa stahiki zao
Soma - https://jamii.app/AARYafilisiwa
Kampuni ya AAR Healthcare (T) Ltd imetangaza kuuza vifaa vyote vilivyopo kwenye Kliniki zake 7
Aprili 28, 2021 Wafanyakazi waliandamana wakidai kulipwa stahiki zao
Soma - https://jamii.app/AARYafilisiwa
MBUNGE ASHAURI KUWEPO SERA YA WATANZANIA KUVUNA MAJI YA MVUA
Dkt. Alfred Kimea ameshauri kutengenezwa Sera itakayowafanya Watanzania wawe na tabia ya kuvuna Maji ya Mvua
Amesema, "Kila Mtanzania mwenye Nyumba ya Bati tayari ana chanzo cha Maji"
Soma > https://jamii.app/SeraMajiMvua
Dkt. Alfred Kimea ameshauri kutengenezwa Sera itakayowafanya Watanzania wawe na tabia ya kuvuna Maji ya Mvua
Amesema, "Kila Mtanzania mwenye Nyumba ya Bati tayari ana chanzo cha Maji"
Soma > https://jamii.app/SeraMajiMvua
Parachichi pia lina faida zifuatazo;
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
#JamiiTalks #JamiiForums
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
#JamiiTalks #JamiiForums