KILIMANJARO: WAGONJWA WA AKILI WAONGEZEKA
> Mwaka 2019, Wagonjwa walikuwa 8,691 na mwaka 2020 idadi ilipanda hadi 12,152
> Kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha kumetajwa kuwa moja ya sababu za ongezeko
Soma https://jamii.app/WagojwaWaAkil
> Mwaka 2019, Wagonjwa walikuwa 8,691 na mwaka 2020 idadi ilipanda hadi 12,152
> Kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha kumetajwa kuwa moja ya sababu za ongezeko
Soma https://jamii.app/WagojwaWaAkil
PROF. KABUDI: SHERIA ZITAKUWA ZIMETAFSIRIWA IFIKAPO DESEMBA
- Akiwa Bungeni, Waziri amesema Wizara nyingine na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri #Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili
Soma > https://jamii.app/TafsiriSheria
- Akiwa Bungeni, Waziri amesema Wizara nyingine na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri #Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili
Soma > https://jamii.app/TafsiriSheria
MBUNGE: KUNA MRUNDIKANO MAGEREZANI KWASABABU YA KESI ZA KUBAMBIKIWA
- Agnesta Kaiza amesema "Kila leo unasikia fulani ana kesi ya Uhujumu Uchumi"
- Asema uwepo wa masharti magumu ya dhamana ni sababu nyingine ya mrundikano ktk Magereza na Mahabusu
Soma - https://jamii.app/MbungeMagereza
- Agnesta Kaiza amesema "Kila leo unasikia fulani ana kesi ya Uhujumu Uchumi"
- Asema uwepo wa masharti magumu ya dhamana ni sababu nyingine ya mrundikano ktk Magereza na Mahabusu
Soma - https://jamii.app/MbungeMagereza
AUSTRALIA: JELA MIEZI 10 KWA KUWAPIGA PICHA POLISI WALIOKUWA WANAKATA ROHO
- Richard Pusey (42) amekutwa na hatia kwa kuwadhihaki na kuwapiga picha Maafisa wa Polisi waliofariki ajalini
- Familia za Marehemu hazijaridhishwa na kifungo kilichotolewa
Soma https://jamii.app/PolisiWakikataRoho
- Richard Pusey (42) amekutwa na hatia kwa kuwadhihaki na kuwapiga picha Maafisa wa Polisi waliofariki ajalini
- Familia za Marehemu hazijaridhishwa na kifungo kilichotolewa
Soma https://jamii.app/PolisiWakikataRoho
MORRIS NYUNYUSA MLEMAVU WA MACHO ALIYEKUWA NA KIPAJI CHA KUPIGA NGOMA
- Yeye ndiye aliyepiga ngoma zinazosikika kupitia TBC Taifa kama kiashiria cha kuanza kwa taarifa ya habari
- Inaelezwa kuwa Mzee Nyunyusa hakunufaika na kazi zake hata nyumba yake iliponea chupuchupu kuuzwa kwa deni la mkopo wa benki
- Ingawa Morris Nyunyusa ameshafariki lakini kazi zake ni tunu ya Taifa kwenye sanaa
Soma https://jamii.app/HistoriaNyunyusa
#JamiiForums #JamiiTalks #Historia
- Yeye ndiye aliyepiga ngoma zinazosikika kupitia TBC Taifa kama kiashiria cha kuanza kwa taarifa ya habari
- Inaelezwa kuwa Mzee Nyunyusa hakunufaika na kazi zake hata nyumba yake iliponea chupuchupu kuuzwa kwa deni la mkopo wa benki
- Ingawa Morris Nyunyusa ameshafariki lakini kazi zake ni tunu ya Taifa kwenye sanaa
Soma https://jamii.app/HistoriaNyunyusa
#JamiiForums #JamiiTalks #Historia
UGANDA YASITISHA MATUMIZI YA VITAMIN C KATIKA KUTIBU COVID19
- Vidonge vya Vitamin C vinapatikana kirahisi hivyo Watu hutumia kiholela na kuleta madhara ikiwemo Figo kutofanya kazi
- Vitamin C husaidia chembe hai nyeupe kupambana na virusi
Soma - https://jamii.app/UgandaVitaminC
- Vidonge vya Vitamin C vinapatikana kirahisi hivyo Watu hutumia kiholela na kuleta madhara ikiwemo Figo kutofanya kazi
- Vitamin C husaidia chembe hai nyeupe kupambana na virusi
Soma - https://jamii.app/UgandaVitaminC
DRC: UMOJA WA MATAIFA WACHUKUA DOZI MILIONI 1.3 ZA COVID19 ILI ZISIISHE MUDA WA MATUMIZI
> Chanjo ya #Astrazeneca iliyopokelewa DRC itaisha muda wa matumizi Juni 24
> UNICEF imechukua dozi hiyo ili kuzipeleka #Senegal, Comoros, #Ghana na Angola
Soma - https://jamii.app/DRCChanjoUN
> Chanjo ya #Astrazeneca iliyopokelewa DRC itaisha muda wa matumizi Juni 24
> UNICEF imechukua dozi hiyo ili kuzipeleka #Senegal, Comoros, #Ghana na Angola
Soma - https://jamii.app/DRCChanjoUN
MOROGORO: MBARONI KWA KUUZA MISHKAKI YA NYAMA YA MBWA
> Hamza Rajabu (20), Omary Mohamed (12) na Mussa Juma (30) wanashikiliwa na Polisi kwa kuuza mishkaki ya Mbwa maeneo ya Msamvu
> Walikutwa wakimchuna ngozi Mbwa Darajani ktk barabara ya Iringa
Soma - https://jamii.app/MbwaMoro
> Hamza Rajabu (20), Omary Mohamed (12) na Mussa Juma (30) wanashikiliwa na Polisi kwa kuuza mishkaki ya Mbwa maeneo ya Msamvu
> Walikutwa wakimchuna ngozi Mbwa Darajani ktk barabara ya Iringa
Soma - https://jamii.app/MbwaMoro
WALIOSTAAFU 1996 OFISI YA MAKAMU WA RAIS HAWATALIPWA PENSHENI
> Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema waliostaafishwa walishalipwa stahiki zao
> Hawatalipwa pensheni kwani waliajiriwa kwa βOperational Servicesβ
Soma - https://jamii.app/SerikaliPensheni
> Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema waliostaafishwa walishalipwa stahiki zao
> Hawatalipwa pensheni kwani waliajiriwa kwa βOperational Servicesβ
Soma - https://jamii.app/SerikaliPensheni
MBUNGE ASEMA SHERIA YA BIMA INA MATATIZO NA WANANCHI HAWATENDEWI HAKI
- Dkt. Oscar Kikoyo amesema mhanga wa ajali za barabarani anapokwenda kudai fidia, Sheria ya Bima ipo kimya
- Ameeleza, kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima
Soma > https://jamii.app/BungeSheriaBima
- Dkt. Oscar Kikoyo amesema mhanga wa ajali za barabarani anapokwenda kudai fidia, Sheria ya Bima ipo kimya
- Ameeleza, kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima
Soma > https://jamii.app/BungeSheriaBima
#COVID19: KENYA YAZUIA NDEGE KUTOKA INDIA
- Zuio hilo la siku 14 ni kufuatia ongezeko la maambukizi Nchini India
- Wataowasili #Kenya kutoka India katika saa 72 zijazo watafanyiwa vipimo na watakaokutwa na maambukizi watalazimika kujitenga siku 14
Soma https://jamii.app/KenyaNdegeIndia
- Zuio hilo la siku 14 ni kufuatia ongezeko la maambukizi Nchini India
- Wataowasili #Kenya kutoka India katika saa 72 zijazo watafanyiwa vipimo na watakaokutwa na maambukizi watalazimika kujitenga siku 14
Soma https://jamii.app/KenyaNdegeIndia
KENYA: KITUO CHA RUNINGA CHAFUNGIWA KWA KUONESHA VIBONZO VYA NGONO
> Mt. Kenya TV kimefungiwa kwa wiki nne na kutakiwa kulipa faini ya takriban Tsh. Milioni 11.5
> Mamlaka ya Mawasiliano zimesema kituo hicho kilirusha picha zisizofaa mchana
Soma https://jamii.app/KituoChaRuninga
> Mt. Kenya TV kimefungiwa kwa wiki nne na kutakiwa kulipa faini ya takriban Tsh. Milioni 11.5
> Mamlaka ya Mawasiliano zimesema kituo hicho kilirusha picha zisizofaa mchana
Soma https://jamii.app/KituoChaRuninga
TSH. BILIONI 35.7 ZIMEKUSANYWA BAADA YA WASHTAKIWA KUKIRI MAKOSA
> Waziri Kabudi amesema Washtakiwa 243 ktk kesi 192 za Uhujumu Uchumi, wamekiri makosa na kulipa fidia/faini ya Tsh. Bilioni 35.7 ktk kipindi cha Julai 2020 hadi Machi 2021
Soma https://jamii.app/KukiriUhujumu
> Waziri Kabudi amesema Washtakiwa 243 ktk kesi 192 za Uhujumu Uchumi, wamekiri makosa na kulipa fidia/faini ya Tsh. Bilioni 35.7 ktk kipindi cha Julai 2020 hadi Machi 2021
Soma https://jamii.app/KukiriUhujumu
WIZARA: TUPO TAYARI KUBADILI SERA NA SHERIA IKIWA WADAU WATAPENDEKEZA
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema Wadau wakupendekeza mambo yenye tija ktk Tasnia, Serikali itabadili Sheria ya Habari
Soma https://jamii.app/MabadilikoHabari
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema Wadau wakupendekeza mambo yenye tija ktk Tasnia, Serikali itabadili Sheria ya Habari
Soma https://jamii.app/MabadilikoHabari
BIDEN: MAREKANI HAINA LENGO LA KUVUTANA NA URUSI
- Rais huyo amesema alimweleza wazi Rais Vladimir Putin kuwa hawalengi kuchochea mvutano lakini vitendo vinavyofanywa na Urusi vina athari
- Asema Marekani haitoacha kujitolea kwenye Haki za Binadamu
Soma https://jamii.app/BidenUSRussia
- Rais huyo amesema alimweleza wazi Rais Vladimir Putin kuwa hawalengi kuchochea mvutano lakini vitendo vinavyofanywa na Urusi vina athari
- Asema Marekani haitoacha kujitolea kwenye Haki za Binadamu
Soma https://jamii.app/BidenUSRussia
UNITAID: BEI YA VIFAA VYA KUJIPIMA VVU YASHUKA KWA 50%
- Vifaa hivyo sasa vitauzwa kwa Dola 2 (Takriban Tsh. 4,500) ktk Nchi zinazokidhi vigezo
- Kifaa hicho ni muhimu kwa Nchi za kipato cha chini na kati, ambako kuna changamoto za huduma za afya
Soma - https://jamii.app/VifaaVVU
- Vifaa hivyo sasa vitauzwa kwa Dola 2 (Takriban Tsh. 4,500) ktk Nchi zinazokidhi vigezo
- Kifaa hicho ni muhimu kwa Nchi za kipato cha chini na kati, ambako kuna changamoto za huduma za afya
Soma - https://jamii.app/VifaaVVU