RUVUMA: TEMBO 30 WAVAMIA MASHAMBA NA KUHARIBU EKARI 20
> DC wa Namtumbo amesema Tembo huvamia kutokana na Wafugaji na Wakulima kuharibu Ikolojia ya Hifadhi
> Mbali na kuharibiwa mazao, Wananchi wanaokota kinyesi cha Tembo wakidai ni dawa
Soma - https://jamii.app/TemboNamtumbo
> DC wa Namtumbo amesema Tembo huvamia kutokana na Wafugaji na Wakulima kuharibu Ikolojia ya Hifadhi
> Mbali na kuharibiwa mazao, Wananchi wanaokota kinyesi cha Tembo wakidai ni dawa
Soma - https://jamii.app/TemboNamtumbo
NAIBU WAZIRI: KIPANDE CHA JANGWANI KINAFANYIWA USAFI KUPUNGUZA ATHARI ZA MAFURIKO
- Asema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa la Uwekezaji na usanifu wa mradi umekamilika
- Utekelezaji utaanza baada ya kupata idhini
Soma https://jamii.app/ChandeBungeni
- Asema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa la Uwekezaji na usanifu wa mradi umekamilika
- Utekelezaji utaanza baada ya kupata idhini
Soma https://jamii.app/ChandeBungeni
INDIA: WANANCHI WAPIGA KURA LICHA YA HALI MBAYA YA CORONA
- Wakazi wa West Bengal wanapiga kura huku kukiwa na hofu Jimbo litakuwa kitovu kipya cha mlipuko kutokana na Kampeni zenye mikusanyiko mikubwa
- India imerekodi visa zaidi ya Milioni 18
Soma > https://jamii.app/IndiaBengal
- Wakazi wa West Bengal wanapiga kura huku kukiwa na hofu Jimbo litakuwa kitovu kipya cha mlipuko kutokana na Kampeni zenye mikusanyiko mikubwa
- India imerekodi visa zaidi ya Milioni 18
Soma > https://jamii.app/IndiaBengal
ARUSHA: ASKARI 4 WAFUKUZWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA YA MILIONI 100
- Wanadaiwa kumuomba Rushwa Prof. Maeda aliyewahi kuwa Mshauri wa Uchumi wa Mwalimu Nyerere. Maofisa 2 wamesimamishwa kazi
- Walimpekua na kudai vipande 2 vya meno ya Tembo vimekutwa
Soma > https://jamii.app/PolisiRushwa
- Wanadaiwa kumuomba Rushwa Prof. Maeda aliyewahi kuwa Mshauri wa Uchumi wa Mwalimu Nyerere. Maofisa 2 wamesimamishwa kazi
- Walimpekua na kudai vipande 2 vya meno ya Tembo vimekutwa
Soma > https://jamii.app/PolisiRushwa
MBUNGE: KWANINI MIKATABA HAIWEKWI WAZI WAKATI SHERIA TULIITUNGA WENYEWE?
- Jesca David Kishoa asema kuweka wazi Mikataba iliyoingiwa na Serikali kwa niaba ya Raia kutajenga uaminifu kati ya Wananchi na Serikali kwasababu Rasilimali ni za Watanzania
Soma https://jamii.app/UwaziMikatabaTZ
- Jesca David Kishoa asema kuweka wazi Mikataba iliyoingiwa na Serikali kwa niaba ya Raia kutajenga uaminifu kati ya Wananchi na Serikali kwasababu Rasilimali ni za Watanzania
Soma https://jamii.app/UwaziMikatabaTZ
MBUNGE: WAZABUNI WANAOIDAI STAMICO WALIPWE, TUACHE KIGUGUMIZI
- Dunstan Kitandula amesema zoezi la Vyombo vya Serikali kutathmini madeni hayo limefanywa kwa muda mrefu
- Ametaka madeni kulipwa kwa Haki akisema ujanja usitumike kuyakwepa
Soma > https://jamii.app/MadeniSTAMICO
- Dunstan Kitandula amesema zoezi la Vyombo vya Serikali kutathmini madeni hayo limefanywa kwa muda mrefu
- Ametaka madeni kulipwa kwa Haki akisema ujanja usitumike kuyakwepa
Soma > https://jamii.app/MadeniSTAMICO
ARUSHA: MUUGUZI AJINYONGA KWA MSONGO WA MAWAZO
- Uchunguzi wa awali umebaini David Mtaita (30) aliyekuwa Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru alijinyonga kwasababu ya Msongo wa Mawazo uliotokana na madeni
Soma > https://jamii.app/KifoMuuguzi
- Uchunguzi wa awali umebaini David Mtaita (30) aliyekuwa Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru alijinyonga kwasababu ya Msongo wa Mawazo uliotokana na madeni
Soma > https://jamii.app/KifoMuuguzi
MALAWI YATANGAZA ADHABU YA KIFO KUWA KINYUME CHA KATIBA
> #Malawi ni Nchi ya 22 Kusini mwa Jangwa la Sahara kusitisha adhabu ya kifo ambapo tangu 1975 hakuna aliyenyongwa
> Tume ya #HakiZaBinadamu imesema uamuzi huo ni maendeleo
Soma - https://jamii.app/MalawiBansDeathPenalty
> #Malawi ni Nchi ya 22 Kusini mwa Jangwa la Sahara kusitisha adhabu ya kifo ambapo tangu 1975 hakuna aliyenyongwa
> Tume ya #HakiZaBinadamu imesema uamuzi huo ni maendeleo
Soma - https://jamii.app/MalawiBansDeathPenalty
KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022: UGANDA YAOMBA KUTUMIA UWANJA WA MKAPA
Baada ya FIFA kusema Viwanja vya Uganda havina vigezo, Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) limeomba wautumie Uwanja wa Mkapa (Tanzania) kama Uwanja wao wa nyumbani
Soma>https://jamii.app/UgandaTanzania
Baada ya FIFA kusema Viwanja vya Uganda havina vigezo, Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) limeomba wautumie Uwanja wa Mkapa (Tanzania) kama Uwanja wao wa nyumbani
Soma>https://jamii.app/UgandaTanzania
UMEWAHI KUTAPELIWA NA RAFIKI AU NDUGU YAKO? ULICHUKUA HATUA GANI?
> Marafiki/ndugu ni rahisi kuwaaamini na kuwapatia fedha nyingi kiuaminifu ambapo mara nyingine wanaweza kuvunja uaminifu
> Je umeshawahi kutapeliwa na ndugu? Ulichukua hatua gani?
Soma https://jamii.app/NduguUtapeli
> Marafiki/ndugu ni rahisi kuwaaamini na kuwapatia fedha nyingi kiuaminifu ambapo mara nyingine wanaweza kuvunja uaminifu
> Je umeshawahi kutapeliwa na ndugu? Ulichukua hatua gani?
Soma https://jamii.app/NduguUtapeli
DAR: MABASI 35 YAZUILIWA KUENDELEA NA SAFARI STENDI YA MAGUFULI
> Mkuu wa Usalama Barabarani ktk Kituo hicho, ASP Ibrahim Samwix, amezuia Mabasi 35 kufanya safari kutokana na ubovu na hayataruhusiwa kuendelea na kazi mpaka yatakapotengenezwa
Soma https://jamii.app/Gari35Mbezi
> Mkuu wa Usalama Barabarani ktk Kituo hicho, ASP Ibrahim Samwix, amezuia Mabasi 35 kufanya safari kutokana na ubovu na hayataruhusiwa kuendelea na kazi mpaka yatakapotengenezwa
Soma https://jamii.app/Gari35Mbezi
WATU 231 WAKAMATWA KWA UHALIFU SHINYANGA
- Miongoni mwao ni wenye makosa ya unyangβanyi wa kutumia silaha, wakata mapanga na waganga wanaojihusisha na ramli chonganishi
- Pia, Polisi Mkoani humo imekamata Bunduki, Bangi, Heroine na mirungi
Soma > https://jamii.app/Wahalifu231Shy
- Miongoni mwao ni wenye makosa ya unyangβanyi wa kutumia silaha, wakata mapanga na waganga wanaojihusisha na ramli chonganishi
- Pia, Polisi Mkoani humo imekamata Bunduki, Bangi, Heroine na mirungi
Soma > https://jamii.app/Wahalifu231Shy
KILIMANJARO: WAJUMBE WA BODI YA GOFU KLABU YA MOSHI KUKAMATWA KWA KUTOLIPA KODI
> Kiwanja cha Gofu Moshi kinadaiwa kutolipa Kodi ya Ardhi Tsh. Milioni 26 tangu 2013
> Aidha, Wanachama wanalipa Tsh. 100,000 kila mwaka na haijulikani zinavyotumika
Soma - https://jamii.app/GofuKlabu
> Kiwanja cha Gofu Moshi kinadaiwa kutolipa Kodi ya Ardhi Tsh. Milioni 26 tangu 2013
> Aidha, Wanachama wanalipa Tsh. 100,000 kila mwaka na haijulikani zinavyotumika
Soma - https://jamii.app/GofuKlabu
ONI SIGALA: 70% YA NYIMBO ZA BONGOFLEVA ZIMEJAA MATUSI
> Wasanii wanaotumia lugha za matusi ktk kazi zao watashughulikiwa na BAKITA kwa kushirikiana na BASATA
> Oni Sigala amesema #Kiswahili ni bidhaa ambayo inapaswa kutumiwa kwa usahihi
Soma https://jamii.app/LughaSanaa
#Burudani
> Wasanii wanaotumia lugha za matusi ktk kazi zao watashughulikiwa na BAKITA kwa kushirikiana na BASATA
> Oni Sigala amesema #Kiswahili ni bidhaa ambayo inapaswa kutumiwa kwa usahihi
Soma https://jamii.app/LughaSanaa
#Burudani
FANYA HIVI KUMSAIDIA MWANAO APATE USINGIZI MWANANA
- Shughuli zake wakati wa usiku ziwe tulivu na chache huku zikipungua kadri muda unavyokwenda
- Fanya mazingira ya chumbani kwake kuwa yasiyobadilika. Epusha kelele na sauti za kushtua usiku wa manane
Soma > https://jamii.app/UsingiziWatoto
#Watoto #JamiiForums #JamiiTalks
- Shughuli zake wakati wa usiku ziwe tulivu na chache huku zikipungua kadri muda unavyokwenda
- Fanya mazingira ya chumbani kwake kuwa yasiyobadilika. Epusha kelele na sauti za kushtua usiku wa manane
Soma > https://jamii.app/UsingiziWatoto
#Watoto #JamiiForums #JamiiTalks