WATOTO KUTOKWA NA HAJA KUBWA BILA KUJIJUA NI TATIZO KATIKA UTUMBO MPANA
> Kitaalamu Ugonjwa huo unaitwa Hirschsprungβs Disease, na unawakabili watoto wengi
> Ni Ugonjwa unaochukuliwa kama tabia, lakini ni tatizo lililo nje ya uwezo wa mtoto
Soma https://jamii.app/UgonjwaKujinyea
#JFAfya
> Kitaalamu Ugonjwa huo unaitwa Hirschsprungβs Disease, na unawakabili watoto wengi
> Ni Ugonjwa unaochukuliwa kama tabia, lakini ni tatizo lililo nje ya uwezo wa mtoto
Soma https://jamii.app/UgonjwaKujinyea
#JFAfya
TCRA: WANAWAKE HUDHALILISHWA SANA MITANDAONI KUTOKANA NA KUPIGA PICHA TATA
> Kwa mujibu wa kesi wanazozipokea, waathirika hubainika walihusika kuchapisha maudhui hayo ya ngono
> Suala hilo linachangiwa na ugawaji wa nywila kwa watu wa karibu
Soma https://jamii.app/SocialMediaBullying
> Kwa mujibu wa kesi wanazozipokea, waathirika hubainika walihusika kuchapisha maudhui hayo ya ngono
> Suala hilo linachangiwa na ugawaji wa nywila kwa watu wa karibu
Soma https://jamii.app/SocialMediaBullying
RIPOTI: WATUMIAJI WA INTANETI TANZANIA WAFIKIA MILIONI 27.1
> Kwa mujibu wa takwimu mpya za TCRA, Watumiaji wamefikia idadi hiyo Juni kutoka Milioni 26.8 ya mwezi Machi
> Hii inaashiria ongezeko la fursa mtandaoni kama biashara na maarifa
Soma - https://jamii.app/WatumiajiIntaneti
#JFLeo
> Kwa mujibu wa takwimu mpya za TCRA, Watumiaji wamefikia idadi hiyo Juni kutoka Milioni 26.8 ya mwezi Machi
> Hii inaashiria ongezeko la fursa mtandaoni kama biashara na maarifa
Soma - https://jamii.app/WatumiajiIntaneti
#JFLeo
KAGERA: MBARONI KWA KUUA AKIJARIBU KUTOA MIMBA
> Frodius Protace (24) anatuhumiwa kumuua Saraiya Idd (25) kwa kujaribu kumtoa mimba ya miezi sita
> Mtuhumiwa alikiri kushiriki mafunzo ya kozi fupi ya Ufamasia lakini hajawahi kuajiriwa
Soma https://jamii.app/TuhumaZaKuua
> Frodius Protace (24) anatuhumiwa kumuua Saraiya Idd (25) kwa kujaribu kumtoa mimba ya miezi sita
> Mtuhumiwa alikiri kushiriki mafunzo ya kozi fupi ya Ufamasia lakini hajawahi kuajiriwa
Soma https://jamii.app/TuhumaZaKuua
RAIS MAGUFULI AMKABIDHI NYUMBA MZEE MWINYI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Magufuli amemkabidhi nyumba Rais Mstaafu, Ally Hassan Mwinyi
-
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi kwenye nyumba aliyojenga mwenyewe iliyoko Mikocheni jijini Dar, nyumba ambayo ipo karibu na Nyumba ya Mwalimu Nyerere
-
Ally Hassan Mwinyi ni Rais wa Pili wa Tanzania, aliyeongoza tangu mwaka 1985 hadi mwaka 1995
-
#JFLeo #JamiiForums #JFSiasa
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Magufuli amemkabidhi nyumba Rais Mstaafu, Ally Hassan Mwinyi
-
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi kwenye nyumba aliyojenga mwenyewe iliyoko Mikocheni jijini Dar, nyumba ambayo ipo karibu na Nyumba ya Mwalimu Nyerere
-
Ally Hassan Mwinyi ni Rais wa Pili wa Tanzania, aliyeongoza tangu mwaka 1985 hadi mwaka 1995
-
#JFLeo #JamiiForums #JFSiasa
KENYA YASHUKU KUPIGWA NA WIMBI LA PILI LA #CORONAVIRUS
> Kenya imethibitisha watu 685 kuambukizwa #CoronaVirus ndani ya saa 24
> Jumla ya walioambukizwa ni 44,881 huku 28 wakiwa mahututi. Wizara imetahadharisha wananchi kufuata kanuni
Soma https://jamii.app/SecondWaveKE
#JFLeo
> Kenya imethibitisha watu 685 kuambukizwa #CoronaVirus ndani ya saa 24
> Jumla ya walioambukizwa ni 44,881 huku 28 wakiwa mahututi. Wizara imetahadharisha wananchi kufuata kanuni
Soma https://jamii.app/SecondWaveKE
#JFLeo
MAJALIWA: MCHAGUENI DKT. MAGUFULI KWANI SIO MLALAMISHI
> Amesema, Wananchi wanatakiwa kumchagua mgombea huyo kwa kuwa ana uwezo wa kusimamia kazi ipasavyo
> Amewataka wananchi kutofanya makosa kwa kuchagua wagombea wasioweza kuwatumikia
Soma - https://jamii.app/MajaliwaKigoma
#TZ2020
> Amesema, Wananchi wanatakiwa kumchagua mgombea huyo kwa kuwa ana uwezo wa kusimamia kazi ipasavyo
> Amewataka wananchi kutofanya makosa kwa kuchagua wagombea wasioweza kuwatumikia
Soma - https://jamii.app/MajaliwaKigoma
#TZ2020
ZANZIBAR: AAFP YAAHIDI KUWATOLEA MAHARI VIJANA
> Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya AAFP, Said Soud Said amesema atahakikisha vijana wanaoa na mahari itatolewa na Serikali
> Amesema hatua hiyo itapunguza tabia ya ubakaji
Tazama https://youtu.be/khS5kPLW2AA
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya AAFP, Said Soud Said amesema atahakikisha vijana wanaoa na mahari itatolewa na Serikali
> Amesema hatua hiyo itapunguza tabia ya ubakaji
Tazama https://youtu.be/khS5kPLW2AA
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: NITATEUA MA-DC WATAKAOSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI, SIO WANASIASA
> Endapo atachaguliwa, Mgombea huyo wa Urais kupitia CUF amesema atahakikisha Wakuu wa Wilaya wanapoteuliwa wanakuwa na vigezo vyote vya Utumishi wa Serikali
Soma https://jamii.app/LipumbaUteuziDCs
#TZ2020
> Endapo atachaguliwa, Mgombea huyo wa Urais kupitia CUF amesema atahakikisha Wakuu wa Wilaya wanapoteuliwa wanakuwa na vigezo vyote vya Utumishi wa Serikali
Soma https://jamii.app/LipumbaUteuziDCs
#TZ2020
JE, SHERIA YA UCHAGUZI INASEMA NINI KUHUSU MGOMBEA KUFARIKI?
> Endapo Msimamizi wa Uchaguzi atajiridhisha kuwa Mgombea amefariki kabla ya muda wa mwisho wa upigaji kura, basi atasitisha Uchaguzi katika Jimbo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MgombeaKufariki
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Endapo Msimamizi wa Uchaguzi atajiridhisha kuwa Mgombea amefariki kabla ya muda wa mwisho wa upigaji kura, basi atasitisha Uchaguzi katika Jimbo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MgombeaKufariki
#Uchaguzi2020 #TZ2020
DKT. BENHAJJ: ELIMU YA UENDESHAJI WA MASHAURI YA UCHAGUZI ILETE MABADILIKO CHANYA
> Jaji wa Mahakama Kuu amesema, Wananchi wanaamini Mahakamani ni mahali pa kupata #Haki
> Amewaomba Watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia mwongozo wa #Sheria
Soma https://jamii.app/ElimuUchaguzi
#TZ2020
> Jaji wa Mahakama Kuu amesema, Wananchi wanaamini Mahakamani ni mahali pa kupata #Haki
> Amewaomba Watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia mwongozo wa #Sheria
Soma https://jamii.app/ElimuUchaguzi
#TZ2020
DKT. KALEMANI: TANESCO HAKIKISHENI UMEME HAUKATIKI WAKATI WOTE WA UCHAGUZI
> Amewataka Mameneja wa TANESCO kuhakikisha umeme haukatiki
> Amesisitiza zaidi usikatike Oktoba 28, kwasababu wanataka wananchi wapige kura kwa uhuru na uhakika
Soma - https://jamii.app/UmemeUchaguzi
#TZ2020
> Amewataka Mameneja wa TANESCO kuhakikisha umeme haukatiki
> Amesisitiza zaidi usikatike Oktoba 28, kwasababu wanataka wananchi wapige kura kwa uhuru na uhakika
Soma - https://jamii.app/UmemeUchaguzi
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: WANAOTAKA MUANDAMANE WAMESHAKATA TIKETI ZA KWENDA ULAYA
> Amesema "Vijana msidanganywe na vitu vya bure vya kuambiwa mjipange barabarani. Usijiangalie wewe tu, mwangalie mdogo/mama yako kama ataweza kukimbia kama wewe"
Soma - https://jamii.app/JPMBagamoyo
#Uchaguzi2020
> Amesema "Vijana msidanganywe na vitu vya bure vya kuambiwa mjipange barabarani. Usijiangalie wewe tu, mwangalie mdogo/mama yako kama ataweza kukimbia kama wewe"
Soma - https://jamii.app/JPMBagamoyo
#Uchaguzi2020
CECILIA MWANGA: KATIKA UONGOZI WANGU SITAWAACHA SALAMA WABAKAJI
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema, atahakikisha watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wanapewa adhabu kali kwasababu vitendo hivyo vinasababisha mmomonyoko wa Maadili
Soma https://jamii.app/CeciliaKampeniPwani
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema, atahakikisha watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wanapewa adhabu kali kwasababu vitendo hivyo vinasababisha mmomonyoko wa Maadili
Soma https://jamii.app/CeciliaKampeniPwani
#TZ2020
RAIS MSTAAFU KIKWETE: DKT. MAGUFULI ATASHINDA, SINA WASIWASI
> Amesema, "Utashinda sana na Chama chetu kitashinda na kitaendelea kuongoza Taifa letu"
> Ameeleza kuwa, wananchi wanatambua mengi yaliyofanyika na wataonyesha shukrani Oktoba 28
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#TZ2020
> Amesema, "Utashinda sana na Chama chetu kitashinda na kitaendelea kuongoza Taifa letu"
> Ameeleza kuwa, wananchi wanatambua mengi yaliyofanyika na wataonyesha shukrani Oktoba 28
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#TZ2020
DKT. MWINYI: NIPO TAYARI KUFANYA KAZI NA WAZANZIBARI WOTE WAKIWEMO DIASPORA
> Mgombea Urais #Zanzibar kupitia CCM amesema analenga kufanya Mapinduzi ya kiuchumi
> Ametoa wito kwa Diaspora walio tayari kurudi nyumbani kufanya hivyo haraka
Soma - https://jamii.app/MwinyiDiasporaZnz
#TZ2020
> Mgombea Urais #Zanzibar kupitia CCM amesema analenga kufanya Mapinduzi ya kiuchumi
> Ametoa wito kwa Diaspora walio tayari kurudi nyumbani kufanya hivyo haraka
Soma - https://jamii.app/MwinyiDiasporaZnz
#TZ2020
MEMBE: NATAKA KUFUNGA BAO DAKIKA YA 89 KUTOKA BENCHI. WATANZANIA MKAE MACHO
> Mgombea Urais wa JMT kupitia ACT-Wazalendo amesema amejipanga, amefanya kazi na atakuwa na nguvu za kutosha ktk dakika za lala salama ili kujipatia ushindi
Soma https://jamii.app/Membe2020Uchaguzi
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia ACT-Wazalendo amesema amejipanga, amefanya kazi na atakuwa na nguvu za kutosha ktk dakika za lala salama ili kujipatia ushindi
Soma https://jamii.app/Membe2020Uchaguzi
#Uchaguzi2020
MEMBE: #ZANZIBAR WANAHOJI, KWANINI WAPEWE SIKU 2 ZA KUPIGA KURA ILA TANZANIA BARA SIKU 1?
> Amesema zoezi la upigaji kura likifanyika kwa siku 2 linatoa mwanya wa kufanyika figisufigisu na inaweza kuleta fujo kama ilivyotokea #Zimbabwe
Soma https://jamii.app/Membe2020Uchaguzi
#Uchaguzi2020
> Amesema zoezi la upigaji kura likifanyika kwa siku 2 linatoa mwanya wa kufanyika figisufigisu na inaweza kuleta fujo kama ilivyotokea #Zimbabwe
Soma https://jamii.app/Membe2020Uchaguzi
#Uchaguzi2020
QUEEN SENDIGA: NIKICHAGULIWA KUWA RAIS NITAMPA DKT. MAGUFULI UWAZIRI WA UJENZI
> Atafanya hivyo kutokana na jinsi Magufuli alivyoimudu sekta hiyo akiwa Waziri
> Atahakikisha Wagombea waliowania Urais wanapata uongozi ndani ya Serikali yake
Soma https://jamii.app/QueenUwaziriJPM
#TZ2020
> Atafanya hivyo kutokana na jinsi Magufuli alivyoimudu sekta hiyo akiwa Waziri
> Atahakikisha Wagombea waliowania Urais wanapata uongozi ndani ya Serikali yake
Soma https://jamii.app/QueenUwaziriJPM
#TZ2020
UNAWEZA KUTUMIA KITAMBULISHO MBADALA IWAPO UMEPOTEZA KADI YAKO YA MPIGA KURA
> Wapiga Kura waliopoteza kadi zao wanaruhusiwa kutumia Pasi za Kusafiria, Kitambulisho cha Taifa au Leseni za Udereva kupiga kura
Soma > https://jamii.app/VitambulishoUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Wapiga Kura waliopoteza kadi zao wanaruhusiwa kutumia Pasi za Kusafiria, Kitambulisho cha Taifa au Leseni za Udereva kupiga kura
Soma > https://jamii.app/VitambulishoUchaguzi
#Uchaguzi2020