MEMBE: MIMI NI MGOMBEA HALALI WA ACT WAZALENDO NA NITAKIPELEKA CHAMA KWENYE UCHAGUZI
> Amesema “Nadharia ktk bara la Afrika kwamba vyama vikiungana vinaweza kukiondoa Chama tawala haijawahi kufanikiwa. Ni lazima Chama tawala kipasuke kwanza”
Soma https://jamii.app/Membe2020Uchaguzi
#TZ2020
> Amesema “Nadharia ktk bara la Afrika kwamba vyama vikiungana vinaweza kukiondoa Chama tawala haijawahi kufanikiwa. Ni lazima Chama tawala kipasuke kwanza”
Soma https://jamii.app/Membe2020Uchaguzi
#TZ2020
RAIS WA TAMUFO AWATAKA WASANII KUHAMASISHA AMANI
> Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania amesema, Wanamuziki ni watu muhimu ktk kupeleka ujumbe haraka kwa wananchi kupitia nyimbo zao ili wajitokeze kupiga kura na kulinda amani ya nchi
Soma https://jamii.app/WasaniiAmani
#Uchaguzi2020
> Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania amesema, Wanamuziki ni watu muhimu ktk kupeleka ujumbe haraka kwa wananchi kupitia nyimbo zao ili wajitokeze kupiga kura na kulinda amani ya nchi
Soma https://jamii.app/WasaniiAmani
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: WANAOHUBIRI CHUKI HAWAJALI MAISHA YA WANANCHI MASIKINI
> Amesema, wanachotaka ni utajiri wa Tanzania na wapo radhi watu wote wafe ili wachume dhahabu
> Ameeleza kuwa, anapenda kumaliza kipindi chake nchi ikiwa na amani
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#Uchaguzi2020
> Amesema, wanachotaka ni utajiri wa Tanzania na wapo radhi watu wote wafe ili wachume dhahabu
> Ameeleza kuwa, anapenda kumaliza kipindi chake nchi ikiwa na amani
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#Uchaguzi2020
MAGU: WALIMU WALIOLAWITI WATOTO WATAKIWA KUJISALIMISHA
> Katika Shule ya Msingi Ilungu, Mwalimu mmoja amelawiti watoto kwa miaka 7 na kuwapa ujauzito wanafunzi 3
> Mwalimu mwingine anatuhumiwa kukaa kinyumba na Mwanafunzi wa darasa la 4
Soma https://jamii.app/WalimuWalawitiMagu
> Katika Shule ya Msingi Ilungu, Mwalimu mmoja amelawiti watoto kwa miaka 7 na kuwapa ujauzito wanafunzi 3
> Mwalimu mwingine anatuhumiwa kukaa kinyumba na Mwanafunzi wa darasa la 4
Soma https://jamii.app/WalimuWalawitiMagu
KUELEKEA UCHAGUZI 28 OKTOBA 2020: MAMBO YA KUFAHAMU KUHUSU SANDUKU LA KURA
> Sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila kuweza kuitoa
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/SandukuKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila kuweza kuitoa
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/SandukuKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020
#UGANDA: WASAFIRI WAKAMATWA WAKIWA NA VYETI BANDIA VYA #COVID19
> Nchini humo, wasafiri hutakiwa kuwa na vyeti vya kupima #CoronaVirus saa 120 kabla ya safari
> Abiria wanaoingia hutakiwa kuwa na cheti kinachothibitisha wamepimwa ndani ya 72
Soma https://jamii.app/COVID19UGWasafiri
> Nchini humo, wasafiri hutakiwa kuwa na vyeti vya kupima #CoronaVirus saa 120 kabla ya safari
> Abiria wanaoingia hutakiwa kuwa na cheti kinachothibitisha wamepimwa ndani ya 72
Soma https://jamii.app/COVID19UGWasafiri
HESLB: ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO BADO HAIJATOKA
> Bodi ya Mikopo imesema mchakato wa uchambuzi wa maombi bado unaendelea na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikiwaelekeza waombaji kupakua 'App' ili kuona orodha hiyo sio sahihi
Soma https://jamii.app/OrodhaMikopoHESLB
> Bodi ya Mikopo imesema mchakato wa uchambuzi wa maombi bado unaendelea na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikiwaelekeza waombaji kupakua 'App' ili kuona orodha hiyo sio sahihi
Soma https://jamii.app/OrodhaMikopoHESLB
MAARIFA: JE, WAJUA MARAIS WASTAAFU KUJENGEWA NYUMBA NA SERIKALI NI KWA MUJIBU WA SHERIA?
> Kifungu cha 9.-(1) cha Sheria ya Huduma kwa Wanasiasa Wastaafu ya 1999 inaeleza
> Kupewa nyumba yenye samani zake na itakuwa na vyumba visivyopungua 4, viwili self contained
> Kifungu kidogo (i): Ndani ya nyumba hiyo kuwe na Ofisi ambayo itakuwa na samani zilizokamilika
> (ii) Nyumba ndogo kwa ajili ya msaidizi wa kazi za nyumbani (a servant quarter)
Soma > https://jamii.app/MaraisNyumba
#JamiiTalks
> Kifungu cha 9.-(1) cha Sheria ya Huduma kwa Wanasiasa Wastaafu ya 1999 inaeleza
> Kupewa nyumba yenye samani zake na itakuwa na vyumba visivyopungua 4, viwili self contained
> Kifungu kidogo (i): Ndani ya nyumba hiyo kuwe na Ofisi ambayo itakuwa na samani zilizokamilika
> (ii) Nyumba ndogo kwa ajili ya msaidizi wa kazi za nyumbani (a servant quarter)
Soma > https://jamii.app/MaraisNyumba
#JamiiTalks
DKT. MAGUFULI: UCHAGUZI HUU UTAAMUA TANZANIA IWE NA VIONGOZI WALINDA UHURU AU VIBARAKA WA MABEBERU
> Pia amesema, Uchaguzi huu utaamua kama tuendelee na Muungano na jitihada za kujenga Taifa linalojitegemea kiuchumi au turudi kuwa tegemezi
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#TZ2020
> Pia amesema, Uchaguzi huu utaamua kama tuendelee na Muungano na jitihada za kujenga Taifa linalojitegemea kiuchumi au turudi kuwa tegemezi
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#TZ2020
NEC YAWATAKA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI KUZINGATIA SHERIA ILI KUEPUKA MALALAMIKO
> Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Mahera Charles amesema, kuna baadhi ya watu wana chokochoko hivyo kufanya kazi kwa kuzingatia Kanuni na Sheria kutaepusha shari
Soma https://jamii.app/UchaguziChokochoko
#Uchaguzi2020
> Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Mahera Charles amesema, kuna baadhi ya watu wana chokochoko hivyo kufanya kazi kwa kuzingatia Kanuni na Sheria kutaepusha shari
Soma https://jamii.app/UchaguziChokochoko
#Uchaguzi2020
DKT. MWINYI: MUUNGANO HAUIUMIZI #ZANZIBAR BALI UNAINUFAISHA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM amesema, Muungano unawafanya Wazanzibari kunufaika kibiashara na kiusalama
> Pia, Wazanzibari wanaitegemea #Tanzania Bara ili kupata mazao mengi
Soma https://jamii.app/ZnzDktMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM amesema, Muungano unawafanya Wazanzibari kunufaika kibiashara na kiusalama
> Pia, Wazanzibari wanaitegemea #Tanzania Bara ili kupata mazao mengi
Soma https://jamii.app/ZnzDktMwinyi
#TZ2020
LISSU: MAGUFULI ALIINGIA KWA KURA, ATAONDOKA KWA KURA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, ifikapo Oktoba 28 wananchi wapige kura kufuta machozi ya miaka 5
> Amesema Maandiko Matakatifu yanasema #Haki huinua Taifa, sio pesa wala barabara
Soma https://jamii.app/LissuHai
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, ifikapo Oktoba 28 wananchi wapige kura kufuta machozi ya miaka 5
> Amesema Maandiko Matakatifu yanasema #Haki huinua Taifa, sio pesa wala barabara
Soma https://jamii.app/LissuHai
#TZ2020
THAILAND: WANANCHI WAANDAMANA KUPINGA UTAWALA WA KIFALME
> Raia wa #Thailand wameandamana kumshinikiza Waziri Mkuu, Prayuth Chan-ocha kujiuzulu na kuukomesha Mfumo wa Kifalme
> Pia, wanadai kuachiliwa kwa waliokamatwa kwasababu za Kisiasa
Soma https://jamii.app/ThailandMaandamano
> Raia wa #Thailand wameandamana kumshinikiza Waziri Mkuu, Prayuth Chan-ocha kujiuzulu na kuukomesha Mfumo wa Kifalme
> Pia, wanadai kuachiliwa kwa waliokamatwa kwasababu za Kisiasa
Soma https://jamii.app/ThailandMaandamano
QUEEN SENDIGA: KAMA KUNA KERO, TUMALIZE HASIRA KWENYE SANDUKU LA KURA
> Mgombea huyo Urais kupitia ADC, amewataka Wananchi kuacha kuingia kwenye ushawishi wa kuchafua Amani na badala yake wenye kero wakamalize hasira kwenye Sanduku la Kura
Tazama https://www.youtube.com/watch?v=DDFNDcdlVAs&feature=youtu.be
#TZ2020
> Mgombea huyo Urais kupitia ADC, amewataka Wananchi kuacha kuingia kwenye ushawishi wa kuchafua Amani na badala yake wenye kero wakamalize hasira kwenye Sanduku la Kura
Tazama https://www.youtube.com/watch?v=DDFNDcdlVAs&feature=youtu.be
#TZ2020
YouTube
QUEEN SENDIGA: KAMA KUNA KERO, TUMALIZE HASIRA KWENYE SANDUKU LA KURA
Mgombea Urais kupitia ADC amewataka wananchi kuacha kuingia kwenye ushawishi wa kuchafua amani
ASKOFU GWAJIMA: NINA JINA LA KIISLAM, NINAITWA RASHID
> Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe(CCM) amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa Msikitini
> Suala hilo lilimpa sababu ya kuusaidia Uislamu ikiwemo kujenga Visima vya Maji Dar
Tazama https://youtu.be/ieu6HWyR910
#Uchaguzi2020
> Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe(CCM) amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa Msikitini
> Suala hilo lilimpa sababu ya kuusaidia Uislamu ikiwemo kujenga Visima vya Maji Dar
Tazama https://youtu.be/ieu6HWyR910
#Uchaguzi2020
YouTube
Askofu Gwajima: Nina jina la kiislam, naitwa Rashid...
DKT. BASHIRU: WAGOMBEA WA CCM KUTOENGULIWA NI SUALA LA KUTII SHERIA
> Amesema wana vitengo vya Sheria ambavyo haviruhusu Wagombea kujaza fomu bila kuhakikiwa
> Amesema, kwao suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi
Soma https://jamii.app/CCMWagombeaSheria
#TZ2020
> Amesema wana vitengo vya Sheria ambavyo haviruhusu Wagombea kujaza fomu bila kuhakikiwa
> Amesema, kwao suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi
Soma https://jamii.app/CCMWagombeaSheria
#TZ2020
ARGENTINA: VISA VYA #CORONAVIRUS VYAFIKIA MILIONI 1
> #Argentina imerekodi visa 1,002,662, ikiwa ni nchi ndogo zaidi kurekodi visa zaidi ya Milioni 1
> Inakuwa nchi ya tano kuathirika zaidi duniani nyuma ya Marekani, India, Brazil na Urusi
Soma - https://jamii.app/COVID-Arg
> #Argentina imerekodi visa 1,002,662, ikiwa ni nchi ndogo zaidi kurekodi visa zaidi ya Milioni 1
> Inakuwa nchi ya tano kuathirika zaidi duniani nyuma ya Marekani, India, Brazil na Urusi
Soma - https://jamii.app/COVID-Arg
QUALITY GROUP LIMITED YAAMRIWA KUWALIPA TSH. MILIONI 232 WAANDISHI WAKE
> Mahakama ya Mwanzo ya Migogoro ya Kazi imeamuru Kampuni inayomilikiwa na Yusufu Manji, kuwalipa waliokuwa Waandishi wake kwa kuvunja Mikataba nao bila sababu maalumu
Soma https://jamii.app/ManjiWaandishi
#JFLeo
> Mahakama ya Mwanzo ya Migogoro ya Kazi imeamuru Kampuni inayomilikiwa na Yusufu Manji, kuwalipa waliokuwa Waandishi wake kwa kuvunja Mikataba nao bila sababu maalumu
Soma https://jamii.app/ManjiWaandishi
#JFLeo
#NIGERIA: SHULE ZA LAGOS ZAFUNGWA KUTOKANA NA MAANDAMANO
> Kamishna wa Elimu Mjini humo amesema hakuna uhakika wa usalama kwa Wanafunzi na Watumishi
> Maandamano ya kupinga ukatili wa Polisi yanaendelea maeneo mbalimbali nchini humo
Soma - https://jamii.app/SchoolClosureNGR
> Kamishna wa Elimu Mjini humo amesema hakuna uhakika wa usalama kwa Wanafunzi na Watumishi
> Maandamano ya kupinga ukatili wa Polisi yanaendelea maeneo mbalimbali nchini humo
Soma - https://jamii.app/SchoolClosureNGR
MOROGORO: MBARONI KWA KUCHANA MABANGO YA WAGOMBEA WA CCM
>Isihaka Exavery (20) anashikiliwa kwa tuhuma za kuchana picha za Mgombea Urais, Dkt. Magufuli na za Mgombea Udiwani, Seif Zahoro Chomoka
> Upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/MoroPichaMagufuli
#TZ2020
>Isihaka Exavery (20) anashikiliwa kwa tuhuma za kuchana picha za Mgombea Urais, Dkt. Magufuli na za Mgombea Udiwani, Seif Zahoro Chomoka
> Upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/MoroPichaMagufuli
#TZ2020