SHEIKH JONGO: VIONGOZI WA DINI MSIPIGIE CHAPUO VYAMA VYA SIASA MNAPOHUBIRI
> Afisa wa Ofisi ya Mufti Zanzibar, Sheikh Thabiti Jongo
amewashauri kutoonesha mahaba ya vyama misikitini ili kutowagawa waumini
> Amewataka wahubiri amani
Soma https://jamii.app/DiniSiasaPemba
#Uchaguzi2020
> Afisa wa Ofisi ya Mufti Zanzibar, Sheikh Thabiti Jongo
amewashauri kutoonesha mahaba ya vyama misikitini ili kutowagawa waumini
> Amewataka wahubiri amani
Soma https://jamii.app/DiniSiasaPemba
#Uchaguzi2020
NJOMBE: MBARONI KWA KUUA NA KUMWAGA UBONGO WA BABU YAKE
> Imani Mbilinyi (25) anatuhumiwa kumuua Elia Mbilinyi (90)
> Baada ya tukio hilo, mtuhumiwa alimuuliza Mwenyekiti kama angeweza kumlinda. Mwenyekiti akawaita Mgambo na kutaarifu Polisi
Soma https://jamii.app/MauajiBabuNjombe
> Imani Mbilinyi (25) anatuhumiwa kumuua Elia Mbilinyi (90)
> Baada ya tukio hilo, mtuhumiwa alimuuliza Mwenyekiti kama angeweza kumlinda. Mwenyekiti akawaita Mgambo na kutaarifu Polisi
Soma https://jamii.app/MauajiBabuNjombe
UHOLANZI YARUHUSU KIFO CHA MAPEMA KWA WATOTO WENYE MAGONJWA YASIYOPONA
> Serikali ya #Uholanzi imeidhinisha mpango wa kuruhusu kifo cha mapema kwa watoto wenye mwaka 1 mpaka miaka 12
> Lengo ni kuzuia watoto kuteseka kwa maumivu wanayopitia
Soma https://jamii.app/EuthanasiaHoland
> Serikali ya #Uholanzi imeidhinisha mpango wa kuruhusu kifo cha mapema kwa watoto wenye mwaka 1 mpaka miaka 12
> Lengo ni kuzuia watoto kuteseka kwa maumivu wanayopitia
Soma https://jamii.app/EuthanasiaHoland
IGP SIRRO: KUNA BAADHI YA VYAMA WANA AJENDA YA KUFANYA VURUGU ILI UCHAGUZI USIFANYIKE
> Amesema Polisi wamejipanga, na ndio maana makundi ya uhalifu yanakamatwa
> IGP amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba
28 utafanyika kwa amani
Tazama https://youtu.be/ydqRP41RMDc
#TZ2020
> Amesema Polisi wamejipanga, na ndio maana makundi ya uhalifu yanakamatwa
> IGP amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba
28 utafanyika kwa amani
Tazama https://youtu.be/ydqRP41RMDc
#TZ2020
YouTube
IGP SIRRO: BAADHI YA VYAMA VINA AJENDA YA KUFANYA VURUGU ILI UCHAGUZI USIFANYIKE
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu utafanyika kwa amani na utulivu, japo kuna baadhi ya Vyama vinataka kuwa na vurugu ili Uchaguzi usifanyike
Aidha, amesema wana taarifa kuna watu wanaandaliwa kutoka Kenya naβ¦
Aidha, amesema wana taarifa kuna watu wanaandaliwa kutoka Kenya naβ¦
MAALIM SEIF AFUNGIWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 5
> Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemfungia Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo kuanzia kesho hadi Oktoba 20 kwa kuwashawishi watu wapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28
Soma - https://jamii.app/MaalimSeifAfungiwa5
#TZ2020
> Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemfungia Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo kuanzia kesho hadi Oktoba 20 kwa kuwashawishi watu wapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28
Soma - https://jamii.app/MaalimSeifAfungiwa5
#TZ2020
JAJI MSTAAFU: WASAIDIZI WA SHERIA MJIEPUSHE NA USHABIKI WA KISIASA
> Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amewataka Wasaidizi wa Sheria wa Majaji kutumia taaluma na kuzingatia weledi katika uendeshaji wa mashauri ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/SheriaWelediUchaguzi
#TZ2020
> Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amewataka Wasaidizi wa Sheria wa Majaji kutumia taaluma na kuzingatia weledi katika uendeshaji wa mashauri ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/SheriaWelediUchaguzi
#TZ2020
MDAU: CHUKI NI CHANZO CHA MACHAFUKO, NI MUHIMU KUIEPUKA
> Mdau wa Jamiiforums.com anasema chuki hutokana na hasira inayochochewa na fitina au taarifa mbaya
> Chuki huaribu familia hadi mataifa, ameshauri kujifunza ili kuiepuka
Soma - https://jamii.app/KuepukaChuki
#JFMaarifa
> Mdau wa Jamiiforums.com anasema chuki hutokana na hasira inayochochewa na fitina au taarifa mbaya
> Chuki huaribu familia hadi mataifa, ameshauri kujifunza ili kuiepuka
Soma - https://jamii.app/KuepukaChuki
#JFMaarifa
MOROGORO: WATATU MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI
> Rajabu Ramadhani, Athumani Ramadhani na Daniel William wanashikiliwa kwa mauaji ya Bernadetha Kibwana na Zabibu Maulidi
> Bernadetha ameuawa kwa shoka na Zabibu alipigwa na mchi kichwani
Soma - https://jamii.app/TuhumaMauaji
#JFLeo
> Rajabu Ramadhani, Athumani Ramadhani na Daniel William wanashikiliwa kwa mauaji ya Bernadetha Kibwana na Zabibu Maulidi
> Bernadetha ameuawa kwa shoka na Zabibu alipigwa na mchi kichwani
Soma - https://jamii.app/TuhumaMauaji
#JFLeo
BAKWATA: VIONGOZI WA DINI WASIFANYE KAMPENI KWENYE NYUMBA ZA IBADA
> Baraza za Ulamaa BAKWATA Taifa limewasihi viongozi wa dini kubaki kuwa wasuluhishi na wapatanishi
> Limewataka waislamu kuiombea nchi ili Uchaguzi Mkuu upite salama
Soma https://jamii.app/BAKWATAUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Baraza za Ulamaa BAKWATA Taifa limewasihi viongozi wa dini kubaki kuwa wasuluhishi na wapatanishi
> Limewataka waislamu kuiombea nchi ili Uchaguzi Mkuu upite salama
Soma https://jamii.app/BAKWATAUchaguzi
#Uchaguzi2020
WIZARA YA AFYA: WAUGUZI WAZOEFU MUWASIMAMIE WATARAJALI
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga, Ziada Sellah amesema watarajali (interns) wasifanye kazi wenyewe
> Amesema, si sahihi wakiachwa peke yao kuwahudumia wagonjwa hospitalini
Soma - https://jamii.app/WauguziWatarajali
#JFLeo
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga, Ziada Sellah amesema watarajali (interns) wasifanye kazi wenyewe
> Amesema, si sahihi wakiachwa peke yao kuwahudumia wagonjwa hospitalini
Soma - https://jamii.app/WauguziWatarajali
#JFLeo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
NEC YATAKA VYAMA VYA SIASA KUZINGATIA MAADILI YA UCHAGUZI
-
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka Vyama vya Siasa na Wagombea kuendelea kufuata Maadili ya Uchaguzi na kunadi Sera kwa kufuata utaratibu wa ratiba ambayo imepangwa
-
Pia, Vyama vya Siasa vimetakiwa kukwepa maneno ya uchochezi, kukwepa kuhamasisha watu kufanya vurugu, badala yake vihamasishe watu kwa amani kwenda kupiga kura
-
NEC imesisitiza kwamba Sheria za nchi zipo na zinapaswa kuendelea kufuatwa
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
-
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka Vyama vya Siasa na Wagombea kuendelea kufuata Maadili ya Uchaguzi na kunadi Sera kwa kufuata utaratibu wa ratiba ambayo imepangwa
-
Pia, Vyama vya Siasa vimetakiwa kukwepa maneno ya uchochezi, kukwepa kuhamasisha watu kufanya vurugu, badala yake vihamasishe watu kwa amani kwenda kupiga kura
-
NEC imesisitiza kwamba Sheria za nchi zipo na zinapaswa kuendelea kufuatwa
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
ASKOFU SHOO: VIONGOZI WA DINI KUEGEMEA CHAMA KIMOJA CHA SIASA KUNAWAGAWA WANANCHI
> Kiongozi wa Kanisa la KKKT amesema, "Maandiko yanaelekeza namna ya kusimama na kama kuna mahali pa kukemea kutokana na ukiukwaji wowote, fanya bila ubaguziβ
Soma - https://jamii.app/ViongoziDiniSiasa
#TZ2020
> Kiongozi wa Kanisa la KKKT amesema, "Maandiko yanaelekeza namna ya kusimama na kama kuna mahali pa kukemea kutokana na ukiukwaji wowote, fanya bila ubaguziβ
Soma - https://jamii.app/ViongoziDiniSiasa
#TZ2020
SAMIA SULUHU: HATA UKIPIGIA KURA KWINGINE, CCM ITAUNDA SERIKALI
> Amesema kupigia kura Chama kingine ni sawa na kuweka sukari Ziwa Victoria
> Amewaambia wananchi wakifanya hivyo, hawatakuwa sehemu ya maendeleo yatakayoletwa na CCM
Soma - https://jamii.app/SamiaChunya
#Uchaguzi2020
> Amesema kupigia kura Chama kingine ni sawa na kuweka sukari Ziwa Victoria
> Amewaambia wananchi wakifanya hivyo, hawatakuwa sehemu ya maendeleo yatakayoletwa na CCM
Soma - https://jamii.app/SamiaChunya
#Uchaguzi2020
TUNDU LISSU: NITAONGOZA NCHI KWA KUFUATA KATIBA MPYA ITAKAYOPATIKANA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, Nchi inahitaji #KatibaMpya ili kurudisha Mamlaka kwa Wananchi kujichagulia Viongozi kwenye maeneo yao na kuwawajibisha wanapokosea
Soma https://jamii.app/LissuSimiyu
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, Nchi inahitaji #KatibaMpya ili kurudisha Mamlaka kwa Wananchi kujichagulia Viongozi kwenye maeneo yao na kuwawajibisha wanapokosea
Soma https://jamii.app/LissuSimiyu
#TZ2020
SHINYANGA: VIJANA 2 MBARONI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 6
> Jeshi la Polisi linawashikilia vijana 2 wenye umri chini ya miaka 18 kwa tuhuma za kumbaka mtoto kwa zamu baada ya kumlaghai kuwa watamnunulia pipi pamoja na kumpatia hela
Soma - https://jamii.app/VijanaKubakaMtoto
> Jeshi la Polisi linawashikilia vijana 2 wenye umri chini ya miaka 18 kwa tuhuma za kumbaka mtoto kwa zamu baada ya kumlaghai kuwa watamnunulia pipi pamoja na kumpatia hela
Soma - https://jamii.app/VijanaKubakaMtoto
SERIKALI YAHIMIZA WAANDISHI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SADC KWA WAANDISHI WA HABARI 2021
> Mashindano hayo yanahusisha washiriki kutoka nchi zote wanachama wa SADC
> Yatakuwa katika makundi manne ambayo ni Picha, Uchapishaji, Runinga na Radio
Soma - https://jamii.app/MashindanoSADC
> Mashindano hayo yanahusisha washiriki kutoka nchi zote wanachama wa SADC
> Yatakuwa katika makundi manne ambayo ni Picha, Uchapishaji, Runinga na Radio
Soma - https://jamii.app/MashindanoSADC
NEC: VYAMA VIWASILISHE ORODHA YA MAWAKALA SIKU SABA KABLA YA UCHAGUZI
> Pia, imevikumbusha Vyama kuwa, Mawakala ambao vyama vyao havitawapangia vituo hawataapishwa
> NEC imesema kuwa, hakutakuwa na uchelewaji wa vifaa ktk vituo
Soma https://jamii.app/UchaguziMawakala
#TZ2020
> Pia, imevikumbusha Vyama kuwa, Mawakala ambao vyama vyao havitawapangia vituo hawataapishwa
> NEC imesema kuwa, hakutakuwa na uchelewaji wa vifaa ktk vituo
Soma https://jamii.app/UchaguziMawakala
#TZ2020
WAUGUZI WATAKIWA KUACHA KUTUMIA LUGHA CHAFU KWA WAGONJWA
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga amesema, kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wauguzi na Wakunga kutoa maneno yasiyofaa kwa wagonjwa jambo linaloharibu taswira ya Sekta ya Afya
Soma - https://jamii.app/LughaChafuWauguzi
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga amesema, kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wauguzi na Wakunga kutoa maneno yasiyofaa kwa wagonjwa jambo linaloharibu taswira ya Sekta ya Afya
Soma - https://jamii.app/LughaChafuWauguzi
WHO: AFRIKA HAIWEZI KUHIMILI WIMBI LA PILI LA #CORONAVIRUS
> Shirika la Afya Duniani limesema mlipuko huo hautaweza kudhibitiwa kama mataifa barani Afrika hayatachukua tahadhari
> Wimbi la pili la #COVID19 litakuwa na athari kubwa kiuchumi
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrica
> Shirika la Afya Duniani limesema mlipuko huo hautaweza kudhibitiwa kama mataifa barani Afrika hayatachukua tahadhari
> Wimbi la pili la #COVID19 litakuwa na athari kubwa kiuchumi
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrica
PROF. LIPUMBA: SITISHIKI NA WATU KUJAA KWENYE MIKUTANO YA WAGOMBEA WENGINE
> Mgombea Urais (CUF) amesema anachokifanya yeye ni kwenda Vijijini ambako kuna changamoto kubwa za wananchi na sio kukusanya watu na kuwapeleka kwenye mikutano
Soma https://jamii.app/LipumbaMikutano
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais (CUF) amesema anachokifanya yeye ni kwenda Vijijini ambako kuna changamoto kubwa za wananchi na sio kukusanya watu na kuwapeleka kwenye mikutano
Soma https://jamii.app/LipumbaMikutano
#Uchaguzi2020