SIKU YA CHAKULA DUNIANI: KILA BAADA YA SEKUNDE 5 MTOTO 1 HUFARIKI KWA NJAA
> Watu Milioni 690 wanakabiliwa na njaa, ikiwa ni ongezeko la watu Milioni 10 tangu 2019
> Chakula kilichoharibiwa duniani kila mwaka kinaweza kulisha watu Bilioni 2
Soma https://jamii.app/WorldFoodDay
#JFLeo
> Watu Milioni 690 wanakabiliwa na njaa, ikiwa ni ongezeko la watu Milioni 10 tangu 2019
> Chakula kilichoharibiwa duniani kila mwaka kinaweza kulisha watu Bilioni 2
Soma https://jamii.app/WorldFoodDay
#JFLeo
DR CONGO: WATU MILIONI 22 WANAKABILIWA NA UKOSEFU WA CHAKULA
> Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo limesema vita, migogoro inayosababishwa na vikundi vyenye silaha na #COVID19 ni kati ya sababu zilizopelekea ukosefu wa chakula
Soma - https://jamii.app/DRC22Million
#JFLeo
> Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo limesema vita, migogoro inayosababishwa na vikundi vyenye silaha na #COVID19 ni kati ya sababu zilizopelekea ukosefu wa chakula
Soma - https://jamii.app/DRC22Million
#JFLeo
NJIA ZA KUHAKIKISHA WATOTO NJITI WANAWEKWA KWENYE MAZINGIRA BORA
> Moja ya njia ni kuhakikisha ngozi ya Mtoto inakuwa imegusana na ngozi ya Mama yake(Kangaroo Mother Care)
> Njia nyingine ni kuwaweka Watoto ktk mashine maalum
Soma https://jamii.app/MatunzoWatotoNjiti
#WatotoNjiti #PrematureBabies
> Moja ya njia ni kuhakikisha ngozi ya Mtoto inakuwa imegusana na ngozi ya Mama yake(Kangaroo Mother Care)
> Njia nyingine ni kuwaweka Watoto ktk mashine maalum
Soma https://jamii.app/MatunzoWatotoNjiti
#WatotoNjiti #PrematureBabies
DAR: AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 5 KWA KUKEKETA WATOTO WAKE
> Mahakama imemtia hatiani Cosmas Chacha kwa makosa 3. Mbali na kifungo, pia atalipa faini ya Milioni 3
> Desemba 2018, Mtuhumiwa aliwakeketa watoto wake 3 walio chini ya miaka 18
Soma https://jamii.app/Jela5KwaUkeketaji
#JFLeo
> Mahakama imemtia hatiani Cosmas Chacha kwa makosa 3. Mbali na kifungo, pia atalipa faini ya Milioni 3
> Desemba 2018, Mtuhumiwa aliwakeketa watoto wake 3 walio chini ya miaka 18
Soma https://jamii.app/Jela5KwaUkeketaji
#JFLeo
UGANDA: WAFUASI 132 WA BOBI WINE KUFIKISHWA MAHAKAMA YA KIJESHI
> Wafuasi hao wa Chama cha NUP waliokamatwa siku 2 zilizopita watafikishwa katika Mahakama ya Kijeshi kujibu mashtaka ya kupatikana na vitu vinavyodaiwa kuwa sare za Jeshi
Soma - https://jamii.app/BobiWineSupporters
#JFLeo
> Wafuasi hao wa Chama cha NUP waliokamatwa siku 2 zilizopita watafikishwa katika Mahakama ya Kijeshi kujibu mashtaka ya kupatikana na vitu vinavyodaiwa kuwa sare za Jeshi
Soma - https://jamii.app/BobiWineSupporters
#JFLeo
ZITTO KABWE: NITAMPIGIA KURA LISSU KUWA RAIS WA TANZANIA
- Amewaomba Wana-ACT katika Kata au Jimbo ambapo ACT wana Wagombea, wawapigie Kura wagombea hao
- Ambapo hakuna Wagombea wa ACT wanachama wampigie kura Mgombea wa Upinzani mwenye nguvu
Soma https://jamii.app/ZittoKuraLissu
#TZ2020
- Amewaomba Wana-ACT katika Kata au Jimbo ambapo ACT wana Wagombea, wawapigie Kura wagombea hao
- Ambapo hakuna Wagombea wa ACT wanachama wampigie kura Mgombea wa Upinzani mwenye nguvu
Soma https://jamii.app/ZittoKuraLissu
#TZ2020
MGOMBEA URAIS WA ADC ADAI KUPIGWA MAKOFI NA KUVUNJIWA KIOO CHA GARI
> Queen Sendiga amedai kupigwa makofi na watu wasiojulikana na kuvunjiwa kioo cha gari lake la matangazo akiwa Stendi ya zamani ya Manispaa ya Iringa akiendelea na Kampeni
Soma - https://jamii.app/MakofiMgombeaADC
#TZ2020
> Queen Sendiga amedai kupigwa makofi na watu wasiojulikana na kuvunjiwa kioo cha gari lake la matangazo akiwa Stendi ya zamani ya Manispaa ya Iringa akiendelea na Kampeni
Soma - https://jamii.app/MakofiMgombeaADC
#TZ2020
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 7
- Kamati ya Maadili imemsimamisha Mgombea huyo wa Ubunge wa Vunjo kupitia NCCR Mageuzi kufanya kampeni kuanzia Oktoba 17, 2020
- Ni kwa kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Vunjo
Soma https://jamii.app/MbatiaAsimamishwaKampeni
#Uchaguzi2020
- Kamati ya Maadili imemsimamisha Mgombea huyo wa Ubunge wa Vunjo kupitia NCCR Mageuzi kufanya kampeni kuanzia Oktoba 17, 2020
- Ni kwa kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Vunjo
Soma https://jamii.app/MbatiaAsimamishwaKampeni
#Uchaguzi2020
TANAPA: MOTO MLIMA KILIMANJARO UMEDHIBITIWA
> Ukaguzi wa anga umebaini moto wote umedhibitiwa. Hata hivyo vikosi vya askari vimetawanywa kwa tahadhari
> Moto ulizuka Oktoba 11 na kuathiri 5% ya eneo lote la hifadhi lenye km za mraba 1700
Soma https://jamii.app/TANAPAMotoKLM
#JFLeo
> Ukaguzi wa anga umebaini moto wote umedhibitiwa. Hata hivyo vikosi vya askari vimetawanywa kwa tahadhari
> Moto ulizuka Oktoba 11 na kuathiri 5% ya eneo lote la hifadhi lenye km za mraba 1700
Soma https://jamii.app/TANAPAMotoKLM
#JFLeo
LISSU: NIKISHINDWA KWA HAKI NITAKIRI KUSHINDWA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema wakishinda lazima NEC itangaze kwa heri au kwa shari
> Amesisitiza wanataka Uchaguzi wa amani lakini hawatakuwa tayari kugeuza shavu la pili waumie zaidi
Soma https://jamii.app/LissuHakiUchaguzi
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema wakishinda lazima NEC itangaze kwa heri au kwa shari
> Amesisitiza wanataka Uchaguzi wa amani lakini hawatakuwa tayari kugeuza shavu la pili waumie zaidi
Soma https://jamii.app/LissuHakiUchaguzi
#TZ2020
GAIRO: AJINYONGA BAADA YA KUGOMBANA NA MAMA YAKE
> Rahel Yohana (14) aliyemaliza darasa la 7 amejinyonga baada ya kukatazwa kurudi nyumbani usiku
> RPC wa Morogoro amewataka wenye changamoto watafute wataalam wa Saikolojia na sio kujiua
Soma - https://jamii.app/Mwnf7Ajinyonga
> Rahel Yohana (14) aliyemaliza darasa la 7 amejinyonga baada ya kukatazwa kurudi nyumbani usiku
> RPC wa Morogoro amewataka wenye changamoto watafute wataalam wa Saikolojia na sio kujiua
Soma - https://jamii.app/Mwnf7Ajinyonga
ZANZIBAR NA SERIKALI YA MUUNGANO WAKUBALIANA KUFUTA HOJA 5 BAADA YA KUZITATUA
> Baadhi ya hoja zilizoondolewa ni Ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala ya Kimataifa na Kikanda pamoja na Ushiriki wa Zanzibar ktk Jumuiya ya Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/MuunganoSainiHoja
#JFLeo
> Baadhi ya hoja zilizoondolewa ni Ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala ya Kimataifa na Kikanda pamoja na Ushiriki wa Zanzibar ktk Jumuiya ya Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/MuunganoSainiHoja
#JFLeo
ZANZIBAR: VURUGU ZA KISIASA ZATOKEA NA BAADHI YA WATU KUJERUHIWA
> Kamanda wa Polisi Kaskazini Pemba amesema ulitokea ugomvi kati ya Wanachama wa ACT-Wazalendo na CCM eneo la Shumba Mjini ambapo walishambuliana kwa mapanga na kuumizana
Soma https://jamii.app/VuruguSiasaZbar
#Uchaguzi2020
> Kamanda wa Polisi Kaskazini Pemba amesema ulitokea ugomvi kati ya Wanachama wa ACT-Wazalendo na CCM eneo la Shumba Mjini ambapo walishambuliana kwa mapanga na kuumizana
Soma https://jamii.app/VuruguSiasaZbar
#Uchaguzi2020
PWANI: TAKUKURU YAOKOA ZAIDI YA TSH MILIONI 200 KWA MIEZI 3
> Julai hadi Septemba 2020, TAKUKURU ilipokea malalamiko 318 ambapo 157 yanafanyiwa kazi, 74 yalionekana kuhusu Sheria nyinginezo
> Kesi 10 zilitolewa hukumu na Jamhuri ilishinda 6
Soma https://jamii.app/PCCBTsh200M
#JFLeo
> Julai hadi Septemba 2020, TAKUKURU ilipokea malalamiko 318 ambapo 157 yanafanyiwa kazi, 74 yalionekana kuhusu Sheria nyinginezo
> Kesi 10 zilitolewa hukumu na Jamhuri ilishinda 6
Soma https://jamii.app/PCCBTsh200M
#JFLeo
KILIMANJARO: BWENI LA SHULE YA SEKONDARI YA UCHIRA ISLAMIC LATEKETEA KWA MOTO
> Bweni la Shule hiyo ya Wasichana iliyopo Moshi Vijijini limeteketea jioni ya Oktoba 16
> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, hakuna kifo kilichoripotiwa
Soma - https://jamii.app/UchiraMoto
#JFLeo
> Bweni la Shule hiyo ya Wasichana iliyopo Moshi Vijijini limeteketea jioni ya Oktoba 16
> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, hakuna kifo kilichoripotiwa
Soma - https://jamii.app/UchiraMoto
#JFLeo
WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU KUWASILI OKTOBA 23
> Waangalizi hao kutoka Jumuiya ya #Afrika Mashariki wataongozwa na Rais Mstaafu wa #Burundi, Sylvestre Ntibantunganya
> Wamo Wabunge wa Bunge la #EAC na Mawaziri wa masuala ya Jumuiya hiyo
Soma - https://jamii.app/WaangaliziEAC
#TZ2020
> Waangalizi hao kutoka Jumuiya ya #Afrika Mashariki wataongozwa na Rais Mstaafu wa #Burundi, Sylvestre Ntibantunganya
> Wamo Wabunge wa Bunge la #EAC na Mawaziri wa masuala ya Jumuiya hiyo
Soma - https://jamii.app/WaangaliziEAC
#TZ2020
LIGI KUU ENGLAND: LIVERPOOL NA EVERTON ZATOSHANA NGUVU
- Mchezo wa βMerseyside Derbyβ wa mzunguko wa 5 wa Ligi Kuu England kati ya Liverpool na Everton umemalizika kwa timu hizo kufungana goli 2-2
- Mechi inayofuata sasa ni kati ya Chelsea na Southampton na baadaye, Manchester City na Arsenal zitapimana ubavu kabla ya Manchester United kukipiga na Newcastle
#Michezo #Sports #JamiiForums #JFSports #JFMichezo
- Mchezo wa βMerseyside Derbyβ wa mzunguko wa 5 wa Ligi Kuu England kati ya Liverpool na Everton umemalizika kwa timu hizo kufungana goli 2-2
- Mechi inayofuata sasa ni kati ya Chelsea na Southampton na baadaye, Manchester City na Arsenal zitapimana ubavu kabla ya Manchester United kukipiga na Newcastle
#Michezo #Sports #JamiiForums #JFSports #JFMichezo
TUNDU LISSU AWATAKA WATANZANIA KUHAMASISHANA ILI KWENDA KUPIGA KURA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema Uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko wakati wowote kwa sababu utaunda Serikali itakayolinda Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu
Soma - https://jamii.app/LissuManyoni
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema Uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko wakati wowote kwa sababu utaunda Serikali itakayolinda Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu
Soma - https://jamii.app/LissuManyoni
#Uchaguzi2020
LIGI KUU ENGLAND: CHELSEA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI
- Klabu ya Chelsea imetoka sare ya goli 3-3 na Klabu ya Southampton katika mchezo wa Ligi hiyo mzunguko wa 5
- Mchezo unaofuata ni kati ya Manchester City na Arsenal na kisha Manchester United itapambana na Newcastle
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
- Klabu ya Chelsea imetoka sare ya goli 3-3 na Klabu ya Southampton katika mchezo wa Ligi hiyo mzunguko wa 5
- Mchezo unaofuata ni kati ya Manchester City na Arsenal na kisha Manchester United itapambana na Newcastle
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
NEC: WAANGALIZI WA UCHAGUZI WASIWE WASEMAJI WA UCHAGUZI
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Waangalizi wa Uchaguzi wajibu wao ni kutazama tu namna shughuli zinavyoendeshwa ili kupata fursa ya kuandaa ripoti na kutoa mapendekezo
Soma https://jamii.app/JukumuWaangalizi
#Uchaguzi2020
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Waangalizi wa Uchaguzi wajibu wao ni kutazama tu namna shughuli zinavyoendeshwa ili kupata fursa ya kuandaa ripoti na kutoa mapendekezo
Soma https://jamii.app/JukumuWaangalizi
#Uchaguzi2020