#CORONAVIRUS KENYA: WIZARA YA AFYA YAONYA KUHUSU KUPULIZA KEMIKALI MITAANI
- Wizara ya Afya imeonya kemikali haziondoi Virusi hivyo, na ni hatari kiafya
- Mkurugenzi Mtendaji wa Wizara hiyo, Dkt. Amoth amesema inaweza kuleta matatizo ya upumuaji
Soma https://jamii.app/CoronaDisinfectantsKE
- Wizara ya Afya imeonya kemikali haziondoi Virusi hivyo, na ni hatari kiafya
- Mkurugenzi Mtendaji wa Wizara hiyo, Dkt. Amoth amesema inaweza kuleta matatizo ya upumuaji
Soma https://jamii.app/CoronaDisinfectantsKE
MAMLAKA YA POLISI KWA MUJIBU WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO
> Kifungu cha 31: Polisi au watekelezaji wa sheria wanaweza kutoa amri inayoruhusu kuingia, kupekua, au kutwaa vifaa na mifumo ya kompyuta, na kutwaa data au taarifa zilizohifadhiwa kwenye kompyuta
> Wanaweza kufanya hivyo iwapo watajiridhisha kwamba kuna sababu za msingi kuamini kwamba mfumo huo wa kompyuta unaweza kutumika kama sehemu ya ushahidi
Zaidi, soma > https://jamii.app/SheriaMtandaoPolisi
#UhuruWaKujieleza
> Kifungu cha 31: Polisi au watekelezaji wa sheria wanaweza kutoa amri inayoruhusu kuingia, kupekua, au kutwaa vifaa na mifumo ya kompyuta, na kutwaa data au taarifa zilizohifadhiwa kwenye kompyuta
> Wanaweza kufanya hivyo iwapo watajiridhisha kwamba kuna sababu za msingi kuamini kwamba mfumo huo wa kompyuta unaweza kutumika kama sehemu ya ushahidi
Zaidi, soma > https://jamii.app/SheriaMtandaoPolisi
#UhuruWaKujieleza
MAUAJI YA MWANAMUZIKI ETHIOPIA: VIFO VYA WAANDAMANAJI VYAFIKIA 166
> Watu 166 wameuawa katika maandamano yanayofanyika kufuatia kifo cha Mwanamuziki Hachalu Hundessa (34) aliyefariki kwa kupigwa risasi
> Watu 167 wameachwa na majeraha makubwa huku wengine 1,084 wakikamatwa na Polisi
Soma - https://jamii.app/MaandamanoVifoEthiopia
> Watu 166 wameuawa katika maandamano yanayofanyika kufuatia kifo cha Mwanamuziki Hachalu Hundessa (34) aliyefariki kwa kupigwa risasi
> Watu 167 wameachwa na majeraha makubwa huku wengine 1,084 wakikamatwa na Polisi
Soma - https://jamii.app/MaandamanoVifoEthiopia
WHO YAREKODI MAAMBUKIZI 212,326 YA #COVID19 NDANI YA SAA 24
> Shirika la afya Duniani limesema maambukizi 130,000 yanatokea Marekani, Brazil na Mexico huku Afrika Kusini ikirekodi maambukizi 10,000
> Mpaka sasa watu zaidi ya Milioni 11 wameambukizwa #Corona na zaidi ya laki 5 wamefariki
Soma - https://jamii.app/CoronaCasesRise
> Shirika la afya Duniani limesema maambukizi 130,000 yanatokea Marekani, Brazil na Mexico huku Afrika Kusini ikirekodi maambukizi 10,000
> Mpaka sasa watu zaidi ya Milioni 11 wameambukizwa #Corona na zaidi ya laki 5 wamefariki
Soma - https://jamii.app/CoronaCasesRise
RAIS MAGUFULI ATEUA DC WA MVOMERO NA MKURUGENZI WA BIHARAMULO
- Amemtea Albinus Mgonya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mvomero akichukua nafasi ya Mohamed Musa Utaly
- Waziri Khachi Kombo amekuwa Mkurugenzi wa Biharamulo akichukua nafasi ya Wendi Ngβahala
Soma https://jamii.app/UteuziMagufuli
- Amemtea Albinus Mgonya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mvomero akichukua nafasi ya Mohamed Musa Utaly
- Waziri Khachi Kombo amekuwa Mkurugenzi wa Biharamulo akichukua nafasi ya Wendi Ngβahala
Soma https://jamii.app/UteuziMagufuli
JE, DAWA YA #COVID19 YA MADAGASCAR IMEDUNDA? MJI MKUU WAWEKWA βLOCKDOWNβ
- Madagascar imeuweka Mji wake Mkuu, Antananarivo kwenye βlockdownβ mpya kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya #CoronaVirus
- Mtu mmoja pekee kutoka katika kila Kaya ndio ataruhusiwa kutoka ndani kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa sita mchana
Soma https://jamii.app/AntananarivoLockdown
#JFCOVID19_Updates
- Madagascar imeuweka Mji wake Mkuu, Antananarivo kwenye βlockdownβ mpya kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya #CoronaVirus
- Mtu mmoja pekee kutoka katika kila Kaya ndio ataruhusiwa kutoka ndani kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa sita mchana
Soma https://jamii.app/AntananarivoLockdown
#JFCOVID19_Updates
MWANZA: AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI BAADA YA KUVUNJA BENKI
> Mtu huyo na wenzake walifanikiwa kuvunja na kuingia ndani ya benki ya CRDB tawi la Igoma
> Walifanikiwa kuvuruga droo za ofisi, hawakuweza kuiba fedha zilizokuwa sehemu maalumu
NB: Picha si ya tukio halisi
Soma https://jamii.app/MwanzaRisasi
> Mtu huyo na wenzake walifanikiwa kuvunja na kuingia ndani ya benki ya CRDB tawi la Igoma
> Walifanikiwa kuvuruga droo za ofisi, hawakuweza kuiba fedha zilizokuwa sehemu maalumu
NB: Picha si ya tukio halisi
Soma https://jamii.app/MwanzaRisasi
MAAMBUKIZI YA #COVID19 YAFIKIA 11,562,878 DUNIANI
> Jumla ya vifo 536,841 vimeripotiwa huku watu 6,537,765 wakipona
> Barua ya wazi ya Wanasayansi inatarajiwa kupelekwa WHO kuonesha #COVID19 inaweza kusambazwa kwa hewa
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID9_Updates
> Jumla ya vifo 536,841 vimeripotiwa huku watu 6,537,765 wakipona
> Barua ya wazi ya Wanasayansi inatarajiwa kupelekwa WHO kuonesha #COVID19 inaweza kusambazwa kwa hewa
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID9_Updates
MAREKANI: SANAMU YA CHRISTOPHER COLUMBUS YAANGUSHWA
- Waandamanaji wameangusha sanamu hiyo na kuitupa kwenye maji katika bandari ya mji wa Baltimore
- Wanahistoria wanasema Columbus aliyegundua bara la Amerika alihusika pia katika utumwa na unyonyaji
Angalia; https://youtu.be/7dBPx-hhSVE
#JFLeo
- Waandamanaji wameangusha sanamu hiyo na kuitupa kwenye maji katika bandari ya mji wa Baltimore
- Wanahistoria wanasema Columbus aliyegundua bara la Amerika alihusika pia katika utumwa na unyonyaji
Angalia; https://youtu.be/7dBPx-hhSVE
#JFLeo
YouTube
Waandamanaji waangusha Sanamu ya Christopher Columbus huko Baltimore, Marekani
Christopher Columbus anayesifiwa kwa kuligundua bara la Amerika, hivi karibuni Wanahistoria na Wanaharakati wamesema alihusika pia katika utumwa, unyonyaji na ukandamizaji pamoja na umwagaji damu wa watu
IKULU, DODOMA: RAIS MAGUFULI KUWAAPISHA WATEULE MBALIMBALI
- Leo, Rais Magufuli anatarajia kuwaapisha viongozi mbalimbali wa Mikoa na Wilaya aliowateua hivi karibuni
- Baadhi ya viongozi ni Thobias Andengenye aliyeteuliwa kuwa RC wa Kigoma
Fuatilia https://jamii.app/UapishajiDodoma
- Leo, Rais Magufuli anatarajia kuwaapisha viongozi mbalimbali wa Mikoa na Wilaya aliowateua hivi karibuni
- Baadhi ya viongozi ni Thobias Andengenye aliyeteuliwa kuwa RC wa Kigoma
Fuatilia https://jamii.app/UapishajiDodoma
RAIS MAGUFULI AMUAGIZA IGP KUWAONDOA OCD, OCCID, NA AFISA USALAMA MERU
> Ni baada ya Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya #DawaZaKulevya kwenda Meru na kukamata magunia ya Bangi
> Amesema kuna kasoro kwani haiwezekani waliopo huko hawakuyakamata hadi mtu atoke Dodoma Makao Makuu kukamata
Soma https://jamii.app/JPMJulai2020
> Ni baada ya Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya #DawaZaKulevya kwenda Meru na kukamata magunia ya Bangi
> Amesema kuna kasoro kwani haiwezekani waliopo huko hawakuyakamata hadi mtu atoke Dodoma Makao Makuu kukamata
Soma https://jamii.app/JPMJulai2020
DAR: POLISI WATOA ONYO KUHUSU MAANDAMANO YA JULAI 7, 2020
> Polisi Kanda Maalum Dar wamesema maandamano ya #77Nyeupe ni batili, watakaoshiriki watachukuliwa hatua za kisheria
> Maandamano hayo yanahamasishwa mitandaoni ili kudai Tume Huru ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/77NyeupeOnyo
> Polisi Kanda Maalum Dar wamesema maandamano ya #77Nyeupe ni batili, watakaoshiriki watachukuliwa hatua za kisheria
> Maandamano hayo yanahamasishwa mitandaoni ili kudai Tume Huru ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/77NyeupeOnyo
DAR: WATU 32 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA TSH. BILIONI 2.082 ZA NMB
> Watu hao ni pamoja na Wafanyakazi 5 wa kampuni ya Ulinzi ya SGA waliopewa Tsh. 2,082,000,000 kuzitoa NMB-Mbezi Beach ili kuzipeleka NMB Benki House na kisha kuchukua Tsh. 780,000,000 na kutokomea nazo
Angalia Video; https://youtu.be/iKmqnYD9UP4
> Watu hao ni pamoja na Wafanyakazi 5 wa kampuni ya Ulinzi ya SGA waliopewa Tsh. 2,082,000,000 kuzitoa NMB-Mbezi Beach ili kuzipeleka NMB Benki House na kisha kuchukua Tsh. 780,000,000 na kutokomea nazo
Angalia Video; https://youtu.be/iKmqnYD9UP4
YouTube
Dar: Watu 32 mbaroni wakihusishwa na wizi wa Tsh. Bilioni 2.082 za Benki ya NMB
TCRA YAIFUNGIA KWANZA TV KWA MIEZI 11
> Ni kwa kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta 2018 kwa kuchapisha taarifa ya Ubalozi wa Marekani
> TCRA imesema taarifa hiyo ilijaa upotoshaji na Kwanza TV waliichapisha bila kuzingatia mizania
Soma https://jamii.app/KwanzaTVBan
#JFLeo
> Ni kwa kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta 2018 kwa kuchapisha taarifa ya Ubalozi wa Marekani
> TCRA imesema taarifa hiyo ilijaa upotoshaji na Kwanza TV waliichapisha bila kuzingatia mizania
Soma https://jamii.app/KwanzaTVBan
#JFLeo
MEMBE NA MKEWE WARUDISHA KADI YA CCM
> Bernard Membe na mkewe wamerudisha kadi na kuwashukuru CCM kwa mema yote waliyomtendea akiwa Mwanachama wa CCM
> Julai 2, kupitia BBC-Swahili, Membe alisema atagombea Urais kupitia upinzani kama wakimpa nafasi
Soma https://jamii.app/MembeArudishaKadi
#JFSiasa
> Bernard Membe na mkewe wamerudisha kadi na kuwashukuru CCM kwa mema yote waliyomtendea akiwa Mwanachama wa CCM
> Julai 2, kupitia BBC-Swahili, Membe alisema atagombea Urais kupitia upinzani kama wakimpa nafasi
Soma https://jamii.app/MembeArudishaKadi
#JFSiasa
KENYA: RAIS KENYATTA AFUNGUA MIJI YA NAIROBI, MOMBASA NA MANDERA
> Pia, ameongeza kwa siku 30 zuio la kutotoka ndani linaloanza saa 3 usiku hadi saa 10 alfajiri
> Ameruhusu ibada kurejea kwa waumini kutozidi 100 kwenye ibada na ibada isizidi saa 1
Soma https://jamii.app/CurfewKECOVID19
#JFCOVID19_Updates
> Pia, ameongeza kwa siku 30 zuio la kutotoka ndani linaloanza saa 3 usiku hadi saa 10 alfajiri
> Ameruhusu ibada kurejea kwa waumini kutozidi 100 kwenye ibada na ibada isizidi saa 1
Soma https://jamii.app/CurfewKECOVID19
#JFCOVID19_Updates
RUKWA: WATU 380 WAMENUSURIKA KUFA BAADA YA MAJI YA KISIMA KUWEKEWA SUMU
> Waombolezaji waliokuwa karibu na kisima ambacho wangechota maji ya kunywa na kupikia wamenusurika kufa baada ya maji hayo kuwekewa sumu
> Maji yalijulikana kuwa na sumu baada ya mifugo wakiwemo ngβombe 16 kufa baada ya kunywa maji hayo
Soma https://jamii.app/380Wanusurika
> Waombolezaji waliokuwa karibu na kisima ambacho wangechota maji ya kunywa na kupikia wamenusurika kufa baada ya maji hayo kuwekewa sumu
> Maji yalijulikana kuwa na sumu baada ya mifugo wakiwemo ngβombe 16 kufa baada ya kunywa maji hayo
Soma https://jamii.app/380Wanusurika
MAKATIBU TAWALA WA WILAYA 6 WATEULIWA AKIWEMO HASSAN NGOMA
- Waziri wa Utumishi, George Mkuchika amemteua Hassan Ngoma kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Singida
- Makatibu Tawala wengine ni wa Wilaya za Longido, Karatu, Malinyi, Gairo na Bunda
Soma https://jamii.app/UteuziDAS-6
- Waziri wa Utumishi, George Mkuchika amemteua Hassan Ngoma kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Singida
- Makatibu Tawala wengine ni wa Wilaya za Longido, Karatu, Malinyi, Gairo na Bunda
Soma https://jamii.app/UteuziDAS-6
RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZIA SUALA LA KUTOA RUHUSA KWA ALIOWATEUA
> Rais Magufuli amesema Viongozi aliowateua wakiomba ruhusa kwenda kwenye majukumu mengine anatoa haraka ruhusa hiyo
> Amesema viongozi wengine wameteuliwa baada ya waliokuwepo kuomba ruhusa. Hivyo mtu akiomba ruhusa yeye anakubali na kuteua mwingine
Angalia; https://youtu.be/X4oKDG-24XQ
#JFSiasa #Siasa #JamiiForums
> Rais Magufuli amesema Viongozi aliowateua wakiomba ruhusa kwenda kwenye majukumu mengine anatoa haraka ruhusa hiyo
> Amesema viongozi wengine wameteuliwa baada ya waliokuwepo kuomba ruhusa. Hivyo mtu akiomba ruhusa yeye anakubali na kuteua mwingine
Angalia; https://youtu.be/X4oKDG-24XQ
#JFSiasa #Siasa #JamiiForums
YouTube
Rais Magufuli: Viongozi niliowateua wakiomba ruhusa nawapa haraka sana
Rais Magufuli wakati akiwaapisha viongozi aliowateua amesema katika viongozi anaowateua wakiomba ruhusa ya kwenda kutekeleza majukumu mengine anawaruhusu haraka na kuteua wengine kwenye nafasi zao
MWANZA: RAIA WA CHINA AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA
> TAKUKURU imemkamata Sheng Bing Lin (40) kwa tuhuma za kutoa Rushwa ya Tsh. 100,000 ili arudishiwe mashine ya 'betting' iliyokamatwa kwa kukosa kibali na kuchezeshwa muda usioruhusiwa
Soma https://jamii.app/MchinaMbaroni
> TAKUKURU imemkamata Sheng Bing Lin (40) kwa tuhuma za kutoa Rushwa ya Tsh. 100,000 ili arudishiwe mashine ya 'betting' iliyokamatwa kwa kukosa kibali na kuchezeshwa muda usioruhusiwa
Soma https://jamii.app/MchinaMbaroni