KAGERA: WALIMU WATATU WA SHULE YA SEKONDARI KALENGE MBARONI
> TAKUKURU inawashikilia Mkuu wa Shule, Makamu na Mwalimu wa taaluma kwa kumfukuza mwanafunzi na jina lake kupewa mwanafunzi mwingine kufanyia mtihani wa Kidato cha nne 2019
> Wazazi wa mwanafunzi aliyefukuzwa walitoa taarifa TAKUKURU baada ya kuona jina la mtoto wao lina ufaulu wa daraja la pili wakati hakufanya mtihani
Soma https://jamii.app/WalimuKagera
> TAKUKURU inawashikilia Mkuu wa Shule, Makamu na Mwalimu wa taaluma kwa kumfukuza mwanafunzi na jina lake kupewa mwanafunzi mwingine kufanyia mtihani wa Kidato cha nne 2019
> Wazazi wa mwanafunzi aliyefukuzwa walitoa taarifa TAKUKURU baada ya kuona jina la mtoto wao lina ufaulu wa daraja la pili wakati hakufanya mtihani
Soma https://jamii.app/WalimuKagera
WIZARA YA HABARI KUANZA KUTOA TUZO KWA WASANII
> Tuzo zitajumuisha sekta zote ndani ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
> Zinatarajiwa kuongeza ushindani na kuhamasisha wasanii kufanya kazi zenye weledi na ubora zaidi
Soma https://jamii.app/TuzoWasanii
> Tuzo zitajumuisha sekta zote ndani ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
> Zinatarajiwa kuongeza ushindani na kuhamasisha wasanii kufanya kazi zenye weledi na ubora zaidi
Soma https://jamii.app/TuzoWasanii
RAIS MAGUFULI ATEUA MKUU WA WILAYA NA WAKURUGENZI 5
> Amemteua Lauteri Kanoni kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wangingβombe, Njombe
> Ameteua Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Chalinze, Bumbuli, Urambo na Babati
Soma https://jamii.app/DCTeuziDED
#JFLeo
> Amemteua Lauteri Kanoni kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wangingβombe, Njombe
> Ameteua Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Chalinze, Bumbuli, Urambo na Babati
Soma https://jamii.app/DCTeuziDED
#JFLeo
BAADHI YA MAMBO YANAYOWEZA KUKUFANYA UISHI VIZURI NA WATU
> Epuka hasira za hovyo na kila mtu. Usijipandikizie chuki na ubaya ktk jamii yako wala usikorofishane na watu wa karibu na wewe
> Usigombane kwa njia inayodumu kama kutuma ujumbe wa maandishi au kuwatungia wimbo watu
Soma https://jamii.app/KuishiNaWatu
#JFLeo
> Epuka hasira za hovyo na kila mtu. Usijipandikizie chuki na ubaya ktk jamii yako wala usikorofishane na watu wa karibu na wewe
> Usigombane kwa njia inayodumu kama kutuma ujumbe wa maandishi au kuwatungia wimbo watu
Soma https://jamii.app/KuishiNaWatu
#JFLeo
MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA SABASABA
> Maonesho ya biashara ya Sabasaba yalianza kama maonesho ya Kilimo ili kukuza kilimo na ushirika
> Sherehe za sabasaba zilianza kuwa Maonesho ya biashara Mwaka 1978 baada ya kuundwa Bodi ya Biashara
Soma https://jamii.app/Maonyesho77
> Maonesho ya biashara ya Sabasaba yalianza kama maonesho ya Kilimo ili kukuza kilimo na ushirika
> Sherehe za sabasaba zilianza kuwa Maonesho ya biashara Mwaka 1978 baada ya kuundwa Bodi ya Biashara
Soma https://jamii.app/Maonyesho77
DR CONGO: WAPIGANAJI WA ADF WAUA RAIA 800 TANGU JANUARI 2019
> ADF ni moja kati ya makundi ya wapiganaji lililoanzia Uganda na kuhamia DR Congo mwaka 1995
> Mwaka 2019 nchi hiyo ilianzisha operesheni ya kuwatokomeza Waasi hao
Soma https://jamii.app/ADF800Raia
> ADF ni moja kati ya makundi ya wapiganaji lililoanzia Uganda na kuhamia DR Congo mwaka 1995
> Mwaka 2019 nchi hiyo ilianzisha operesheni ya kuwatokomeza Waasi hao
Soma https://jamii.app/ADF800Raia
WHO: MAGONJWA YANAYOTOKA KWA WANYAMAPORI HUUA WATU MILIONI 2 KILA MWAKA
> Utumiaji wa Wanyamapori kama kitoweo umeongeza magonjwa kwa asilimia 260 katika kipindi cha miaka 50
> WHO imesema tutarajie milipuko zaidi iwapo hatutatunza Wanyamapori na kuhifadhi mazingira
Soma https://jamii.app/WanyamaPoriVirus
> Utumiaji wa Wanyamapori kama kitoweo umeongeza magonjwa kwa asilimia 260 katika kipindi cha miaka 50
> WHO imesema tutarajie milipuko zaidi iwapo hatutatunza Wanyamapori na kuhifadhi mazingira
Soma https://jamii.app/WanyamaPoriVirus
MAREKANI KUZUIA MITANDAO YA KIJAMII YA CHINA IKIWEMO βTIK TOKβ
> Wataalamu wa kidiplomasia wa Marekani wamewaonya watumiaji wa mitandao ya Kichina wakidai wanapopakua 'Apps' hizo, taarifa zao binafsi zitaenda kwa Serikali ya China
Soma https://jamii.app/BanChineseApps
> Wataalamu wa kidiplomasia wa Marekani wamewaonya watumiaji wa mitandao ya Kichina wakidai wanapopakua 'Apps' hizo, taarifa zao binafsi zitaenda kwa Serikali ya China
Soma https://jamii.app/BanChineseApps
JOB LUSINDE AFARIKI. ATAKUMBUKWA KWA KUIMARISHA UHUSIANO WA TANZANIA NA CHINA
> Ni mmoja wa Mawaziri 11 wa kwanza wa Tanganyika na alikuwa Waziri wa Kwanza wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Muungano
> Alitunukiwa na Rais Kikwete tuzo ya "The Order of Union First Class" Aprili 4, 2011
Soma https://jamii.app/LusindeTanzia
> Ni mmoja wa Mawaziri 11 wa kwanza wa Tanganyika na alikuwa Waziri wa Kwanza wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Muungano
> Alitunukiwa na Rais Kikwete tuzo ya "The Order of Union First Class" Aprili 4, 2011
Soma https://jamii.app/LusindeTanzia
RAIS WA BRAZIL ATANGAZA KUPATA #COVID19
- Kupitia chaneli ya Taifa, Rais Jair Bolsonaro (65) ametangaza kupata maambukizi ya #CoronaVirus baada ya kufanyiwa vipimo kwa mara ya nne
- Bolsonaro amekuwa mara kwa mara akipuuza ugonjwa huo huku akiuita ni mafua madogo ya kawaida
Soma https://jamii.app/BolsonaroCOVID19
#JFCOVID19_Updates
- Kupitia chaneli ya Taifa, Rais Jair Bolsonaro (65) ametangaza kupata maambukizi ya #CoronaVirus baada ya kufanyiwa vipimo kwa mara ya nne
- Bolsonaro amekuwa mara kwa mara akipuuza ugonjwa huo huku akiuita ni mafua madogo ya kawaida
Soma https://jamii.app/BolsonaroCOVID19
#JFCOVID19_Updates
WAKILI BASHIR: WATIA NIA WENGI WA CCM WAMEPOTEZA SIFA YA KUTEULIWA KWA MUJIBU WA KATIBA YA CCM
> Wakili Bashir Yakub ameandika katika mtandao wa Jamiiforums.com kuwa Kanuni ya 35 ya Kanuni za Uchaguzi wa CCM za 2017 hakuna kitu kinaitwa kutangaza/kutia nia
> Amesema kama Chama kinasimamia nidhamu na kanuni kama kinavyojinasibu, hakuna shaka watu hawa wataondolewa katika orodha
Soma zaidi https://jamii.app/HojaSiasa
#JFHoja
> Wakili Bashir Yakub ameandika katika mtandao wa Jamiiforums.com kuwa Kanuni ya 35 ya Kanuni za Uchaguzi wa CCM za 2017 hakuna kitu kinaitwa kutangaza/kutia nia
> Amesema kama Chama kinasimamia nidhamu na kanuni kama kinavyojinasibu, hakuna shaka watu hawa wataondolewa katika orodha
Soma zaidi https://jamii.app/HojaSiasa
#JFHoja
KENYA: SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI KUFUNGULIWA JANUARI 2021
> Wanafunzi wa darasa la 8 na Kidato cha 4 watafanya mitihani yao ya Kitaifa mwaka 2021
> Wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la 7, na kidato cha kwanza hadi cha 3 watabaki kwenye madarasa hayo shule zikifunguliwa
Soma https://jamii.app/KenyaShule2021
> Wanafunzi wa darasa la 8 na Kidato cha 4 watafanya mitihani yao ya Kitaifa mwaka 2021
> Wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la 7, na kidato cha kwanza hadi cha 3 watabaki kwenye madarasa hayo shule zikifunguliwa
Soma https://jamii.app/KenyaShule2021
WATANZANIA 100 WALIOKWENDA AFRIKA KUSINI KINYEMELA WARUDISHWA NCHINI
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewataka watu hao kutofanya kosa ndani ya miezi 6 baada ya kukutwa na hatia ya kwenda nje ya Tanzania bila kufuata utaratibu
Angalia; https://youtu.be/0hpF31OiYdU
#JFLeo
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewataka watu hao kutofanya kosa ndani ya miezi 6 baada ya kukutwa na hatia ya kwenda nje ya Tanzania bila kufuata utaratibu
Angalia; https://youtu.be/0hpF31OiYdU
#JFLeo
YouTube
Watanzania 100 walioenda Afrika Kusini kinyemela wamerudishwa nchini na kupandishwa Kizimbani
Watanzania 100 wamepewa adhabu ya kutofanya kosa ndani ya miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya kutenda kosa la kutoka ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na kwenda Afrika Kusini bila kufata utaratibu wa uhamiaji
MAREKANI YAJITENGA RASMI NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
> Mei 29, Rais Trump aliweka wazi nia ya kujitenga, lakini WHO ilikuwa inatumaini kuwa hatua hiyo ingeweza kuepukwa
> Rais Trump ameilaumu WHO kwa kushindwa kudhibiti #COVID19 mapema
Soma https://jamii.app/WHOvsUS
> Mei 29, Rais Trump aliweka wazi nia ya kujitenga, lakini WHO ilikuwa inatumaini kuwa hatua hiyo ingeweza kuepukwa
> Rais Trump ameilaumu WHO kwa kushindwa kudhibiti #COVID19 mapema
Soma https://jamii.app/WHOvsUS
KENYA: WAANDAMANAJI ZAIDI YA 50 WANAOPINGA UKATILI WA POLISI WAKAMATWA
> Waandamanaji walikuwa wakipinga matumizi ya nguvu yanayotumiwa na Polisi wanapokamata raia
> Polisi wamesema wanaharakati hawakuwataarifu Polisi kuhusu maandamano hayo yaliyofanyika jana
Soma https://jamii.app/50Protesters
> Waandamanaji walikuwa wakipinga matumizi ya nguvu yanayotumiwa na Polisi wanapokamata raia
> Polisi wamesema wanaharakati hawakuwataarifu Polisi kuhusu maandamano hayo yaliyofanyika jana
Soma https://jamii.app/50Protesters
UN: WAKENYA WASIO NA UHAKIKA WA CHAKULA WATAONGEZEKA ZAIDI YA MARA MBILI MWAKA HUU
> Mwaka 2019 kulikuwa na Wakenya milioni 1.3 walioathirika na ukosefu wa chakula
> Shirika la WFP limesema Julai 2020, idadi itafikia milioni 3 hadi milioni 3.5
Soma https://jamii.app/KenyaChakula
> Mwaka 2019 kulikuwa na Wakenya milioni 1.3 walioathirika na ukosefu wa chakula
> Shirika la WFP limesema Julai 2020, idadi itafikia milioni 3 hadi milioni 3.5
Soma https://jamii.app/KenyaChakula
MISRI YAWAKAMATA WANAOKOSOA HALI YA #COVID19
> Madaktari zaidi ya 10 na Waandishi wa Habari 6 wamekamatwa tangu #COVID19 kuikumba Misri
> Wanaokamatwa ni wanaozungumzia uhaba wa vifaa vya kujikinga au kudadisi idadi ya maambukizi ya #COVID19
Soma https://jamii.app/MisriWakosoaji
> Madaktari zaidi ya 10 na Waandishi wa Habari 6 wamekamatwa tangu #COVID19 kuikumba Misri
> Wanaokamatwa ni wanaozungumzia uhaba wa vifaa vya kujikinga au kudadisi idadi ya maambukizi ya #COVID19
Soma https://jamii.app/MisriWakosoaji
UGANDA: BODABODA WAISHTAKI SERIKALI KWA KUTOWARUHUSU KUENDELEA NA BIASHARA
> Chama cha waendesha bodaboda kimefungua kesi Mahakama Kuu ya Kampala kutokana na zuio kwao huku usafiri mwingine ukiruhusiwa
> Wamesema zuio linaweza kupelekea kazi haramu
Soma https://jamii.app/UgandaCyclists
> Chama cha waendesha bodaboda kimefungua kesi Mahakama Kuu ya Kampala kutokana na zuio kwao huku usafiri mwingine ukiruhusiwa
> Wamesema zuio linaweza kupelekea kazi haramu
Soma https://jamii.app/UgandaCyclists
MKURUGENZI WA FBI AKIRI CHINA KUWA TISHIO KWA MAREKANI
- Amesema vitendo vya upelelezi na wizi wa data vinavyofanywa na China ni tishio la muda mrefu kwa Marekani
- Amesema China imeanza juhudi kuhakikisha ndiyo Taifa pekee lenye uwezo mkubwa Duniani
Soma https://jamii.app/USA-ChinaThreats
- Amesema vitendo vya upelelezi na wizi wa data vinavyofanywa na China ni tishio la muda mrefu kwa Marekani
- Amesema China imeanza juhudi kuhakikisha ndiyo Taifa pekee lenye uwezo mkubwa Duniani
Soma https://jamii.app/USA-ChinaThreats
UMUHIMU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUSTAWISHA DEMOKRASIA
> Demokrasia hutegemea uhuru wa vyombo vya habari kuweza kusimamia haki
> Haki hizo ni pamoja na uhuru wa kutoa maoni, kujieleza, kutafuta, kupokea, na kusambaza taarifa
Soma > https://jamii.app/HabariSheria
#UhuruWaKujieleza
> Demokrasia hutegemea uhuru wa vyombo vya habari kuweza kusimamia haki
> Haki hizo ni pamoja na uhuru wa kutoa maoni, kujieleza, kutafuta, kupokea, na kusambaza taarifa
Soma > https://jamii.app/HabariSheria
#UhuruWaKujieleza