#AFCON2021: BINGWA MTETEZI, ALGERIA ATOLEWA
#TeamAlgeria imetolewa kwa kufungwa goli 3-1 na #TeamCotedIvoire katika mchezo wa mwisho wa kundi
Equatorial Guinea imeifunga #TeamSierraLeone goli 1-0
Cote dβIvoire na #TeamEquatorialGuinea zafuzu kucheza hatua ya mtoano
#JFSports
#TeamAlgeria imetolewa kwa kufungwa goli 3-1 na #TeamCotedIvoire katika mchezo wa mwisho wa kundi
Equatorial Guinea imeifunga #TeamSierraLeone goli 1-0
Cote dβIvoire na #TeamEquatorialGuinea zafuzu kucheza hatua ya mtoano
#JFSports
#AFCON2021: SENEGAL YAFUZU KUCHEZA ROBO FAINALI
- #TeamSenegal imefuzu baada ya kuifunga #TeamCapeVerde goli 2-0 ndani ya dk 90. Wachezaji wawili wa Cape Verde walipewa kadi nyekundu
- Senegal itakutana na mshindi wa mechi kati ya #TeamMali na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
- #TeamSenegal imefuzu baada ya kuifunga #TeamCapeVerde goli 2-0 ndani ya dk 90. Wachezaji wawili wa Cape Verde walipewa kadi nyekundu
- Senegal itakutana na mshindi wa mechi kati ya #TeamMali na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
#AFCON2021: EGYPT YAINGIA NUSU FAINALI
- #TeamEgypt imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamMorocco goli 2-1 baada ya dk 120
- Egypt itakutana na #TeamCameroon kwenye nusu fainali
- Mechi inayofuata ni kati ya #TeamSenegal na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
- #TeamEgypt imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamMorocco goli 2-1 baada ya dk 120
- Egypt itakutana na #TeamCameroon kwenye nusu fainali
- Mechi inayofuata ni kati ya #TeamSenegal na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
#AFCON2021: SENEGAL YAINGIA NUSU FAINALI
- #TeamSenegal imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamEquatorialGuinea goli 3-1
- Senegal itakutana na #TeamBurkinaFaso kwenye nusu fainali
#JFSports
- #TeamSenegal imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamEquatorialGuinea goli 3-1
- Senegal itakutana na #TeamBurkinaFaso kwenye nusu fainali
#JFSports