ZAIDI YA SAFARI 6,000 ZA NDEGE ZAFUTWA
Kulingana na tovuti ya Flightware.com zaidi ya safari 6,000 za Ndege zimefutwa Duniani kote tangu Desemba 25
Mashirika mengi yametaja Kirusi cha #Omicron kuwa sababu ya kufuta safari hizo
Soma - https://jamii.app/OmicronFlights
#UVIKO3
Kulingana na tovuti ya Flightware.com zaidi ya safari 6,000 za Ndege zimefutwa Duniani kote tangu Desemba 25
Mashirika mengi yametaja Kirusi cha #Omicron kuwa sababu ya kufuta safari hizo
Soma - https://jamii.app/OmicronFlights
#UVIKO3
MAREKANI: WASIO NA DALILI ZA COVID-19 KUJITENGA KWA SIKU TANO
Waliokutwa na Virusi baada ya kujitenga kwa Siku 10 wanapaswa kuvaa Barakoa kwa Siku 5 wanapokuwa karibu na wengine
#Omicron inachukua 73% ya maambukizi ya Corona Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/5DaysNteenUS
#UVIKO3
Waliokutwa na Virusi baada ya kujitenga kwa Siku 10 wanapaswa kuvaa Barakoa kwa Siku 5 wanapokuwa karibu na wengine
#Omicron inachukua 73% ya maambukizi ya Corona Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/5DaysNteenUS
#UVIKO3
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema athari inayotokana na Kirusi cha Corona aina ya Omicron bado ipo juu. Maambukizi ulimwenguni yameongezeka kwa 11% wiki iliyopita
Ushahidi waonesha #Omicron ina ukuaji wa haraka zaidi
Soma - https://jamii.app/WHOOmicron
#UVIKO3
Ushahidi waonesha #Omicron ina ukuaji wa haraka zaidi
Soma - https://jamii.app/WHOOmicron
#UVIKO3
ISRAEL YAWA NCHI YA KWANZA KUTOA CHANJO YA NNE YA #COVID19
Ongezeko la maambukizi ya #Omicron limefanya watu wenye umri wa zaidi ya miaka 60 wapewe 'booster' ya pili
Wengine wanaopewa kipaumbele ni wenye Magonjwa Sugu na Wahudumu wa Afya
Soma https://jamii.app/SecondBoosterDose
#UVIKO3 #JFAfya
Ongezeko la maambukizi ya #Omicron limefanya watu wenye umri wa zaidi ya miaka 60 wapewe 'booster' ya pili
Wengine wanaopewa kipaumbele ni wenye Magonjwa Sugu na Wahudumu wa Afya
Soma https://jamii.app/SecondBoosterDose
#UVIKO3 #JFAfya
UFARANSA YARIPOTI AINA MPYA YA #COVID19, WAKIITA 'IHU'
Watu 12 wamekutwa na kirusi hicho kiitwacho B.1.640.2 au IHU
> Shirika la Afya Duniani (WHO) likithibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' ndio herufi inayoifuata #Omicron
Soma https://jamii.app/UfaransaIHU
#UVIKO3 #JFAfya
Watu 12 wamekutwa na kirusi hicho kiitwacho B.1.640.2 au IHU
> Shirika la Afya Duniani (WHO) likithibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' ndio herufi inayoifuata #Omicron
Soma https://jamii.app/UfaransaIHU
#UVIKO3 #JFAfya
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Visa Milioni 9.5 vimeripotiwa ulimwenguni Wiki iliyopita
Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Kirusi cha #Omicron hakipaswi kuainishwa kama 'Hakina makali' kwani kinaua watu
Soma - https://jamii.app/OmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Kirusi cha #Omicron hakipaswi kuainishwa kama 'Hakina makali' kwani kinaua watu
Soma - https://jamii.app/OmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
WHO: 50% YA WATU BARANI ULAYA WATAAMBUKIZWA OMICRON
Shirika la Afya (WHO) lasema nusu ya watu wataambukizwa #Omicron kipindi cha wiki 6 - 8 zijazo
Makadirio yanatokana na Visa vipya Milioni 7 vilivyoripotiwa Ulaya wiki ya kwanza ya 2022
Soma - https://jamii.app/OmicronUlaya
#UVIKO3 #JFAfya
Shirika la Afya (WHO) lasema nusu ya watu wataambukizwa #Omicron kipindi cha wiki 6 - 8 zijazo
Makadirio yanatokana na Visa vipya Milioni 7 vilivyoripotiwa Ulaya wiki ya kwanza ya 2022
Soma - https://jamii.app/OmicronUlaya
#UVIKO3 #JFAfya
MICHEZO: Tiketi za Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi 'Winter Olympics' iliyopangwa kuanza Februari 4, 2022 huko Beijing zitatolewa kwa makundi kadhaa ya watu na hazitauzwa kwa Umma
China inapambana kudhibiti maambukizi ya #Omicron
Soma - https://jamii.app/BeijingWO
#JFSports
China inapambana kudhibiti maambukizi ya #Omicron
Soma - https://jamii.app/BeijingWO
#JFSports
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kwa wiki iliyopita pekee, Kirusi cha #Omicron kimepelekea maambukizi mapya Milioni 18 ulimwenguni
WHO imeeleza wasiwasi wake kuhusu Nchi nyingi kuwa na kasi ndogo ya utoaji Chanjo
Soma - https://jamii.app/KirusiOmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
WHO imeeleza wasiwasi wake kuhusu Nchi nyingi kuwa na kasi ndogo ya utoaji Chanjo
Soma - https://jamii.app/KirusiOmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
UINGEREZA YALEGEZA KANUNI ZA #COVID19
Barakoa hazitokuwa lazima maeneo ya Umma na Shule. Raia hawataendelea kusisitizwa kufanya kazi Nyumbani
Wanasayansi wanaamini Wimbi la maambukizi yaliyotokana na Kirusi cha #Omicron limefikia kilele
Soma - https://jamii.app/KanuniCoronaUK
#UVIKO3 #Governance #JFAfya
Barakoa hazitokuwa lazima maeneo ya Umma na Shule. Raia hawataendelea kusisitizwa kufanya kazi Nyumbani
Wanasayansi wanaamini Wimbi la maambukizi yaliyotokana na Kirusi cha #Omicron limefikia kilele
Soma - https://jamii.app/KanuniCoronaUK
#UVIKO3 #Governance #JFAfya
ISRAEL YADHIBITI #OMICRON BAADA YA KUTOA DOZI YA NNE
Wizara ya #Afya ya Israel imesema Watu wenye umri wa miaka 60 na kuendelea waliopata Chanjo ya nne wameonesha kuwa na kinga ya Ugonjwa mara tatu zaidi kuliko wale waliopata Dozi tatu
Soma - https://jamii.app/DoziYaNne
#UVIKO3 #JFAfya
Wizara ya #Afya ya Israel imesema Watu wenye umri wa miaka 60 na kuendelea waliopata Chanjo ya nne wameonesha kuwa na kinga ya Ugonjwa mara tatu zaidi kuliko wale waliopata Dozi tatu
Soma - https://jamii.app/DoziYaNne
#UVIKO3 #JFAfya
PFIZER NA BioNTech WAANZA MAJARIBIO YA CHANJO YA #OMICRON
Majaribio yatajumuisha Watu zaidi ya 1,400 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55
Wamegawanywa ktk makundi; waliopata Chanjo 2, waliopata Chanjo 2 na Booster, na wale wasiopata Chanjo
Soma - https://jamii.app/OmicronChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
Majaribio yatajumuisha Watu zaidi ya 1,400 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55
Wamegawanywa ktk makundi; waliopata Chanjo 2, waliopata Chanjo 2 na Booster, na wale wasiopata Chanjo
Soma - https://jamii.app/OmicronChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
#COVID19: Korea Kusini imerekodi maambukizi 13,102 huku Mamlaka zikionya Kirusi cha Corona aina ya #Omicron kinaweza kuchangia hadi 90% ya maambukizi mapya wiki zijazo
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
UJERUMANI NA AUSTRIA KULEGEZA KANUNI ZA #COVID19
Ujerumani italegeza Kanuni kufuatia Wimbi la Maambukizi kutokana na Kirusi cha #Omicron kuonekana limepita kilele chake
Serikali ya Austria italegeza asilimia kubwa ya Kanuni kuanzia Machi 5
Soma https://jamii.app/KanuniUVIKO
#UVIKO3 #Governance
Ujerumani italegeza Kanuni kufuatia Wimbi la Maambukizi kutokana na Kirusi cha #Omicron kuonekana limepita kilele chake
Serikali ya Austria italegeza asilimia kubwa ya Kanuni kuanzia Machi 5
Soma https://jamii.app/KanuniUVIKO
#UVIKO3 #Governance