#COVID19: Korea Kusini imerekodi maambukizi 13,102 huku Mamlaka zikionya Kirusi cha Corona aina ya #Omicron kinaweza kuchangia hadi 90% ya maambukizi mapya wiki zijazo
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
UAE KUONDOA MARUFUKU KWA WASAFIRI KUTOKA NCHI 12 ZA AFRIKA
Mataifa hayo ni Tanzania, Kenya, Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia, Congo, Botswana, Eswatini, Lesotho, Msumbuji, Namibia na Zimbabwe
Marufuku iliwekwa kutokana na Kirusi cha Omicron
Soma https://jamii.app/UAEBanLifted
#UVIKO3
Mataifa hayo ni Tanzania, Kenya, Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia, Congo, Botswana, Eswatini, Lesotho, Msumbuji, Namibia na Zimbabwe
Marufuku iliwekwa kutokana na Kirusi cha Omicron
Soma https://jamii.app/UAEBanLifted
#UVIKO3
RWANDA: WASIOPATA CHANJO KUTORUHUSIWA MAENEO YA UMMA
Serikali imewataka Wananchi kupata Chanjo kamili ya #COVID19 ili kuruhusiwa kuingia maeneo ya umma
Watu milioni 7 wameshapata Chanjo kamili na zaidi ya milioni 8 wamepata Chanjo ya kwanza
Soma https://jamii.app/RwandaUmma
#UVIKO3
Serikali imewataka Wananchi kupata Chanjo kamili ya #COVID19 ili kuruhusiwa kuingia maeneo ya umma
Watu milioni 7 wameshapata Chanjo kamili na zaidi ya milioni 8 wamepata Chanjo ya kwanza
Soma https://jamii.app/RwandaUmma
#UVIKO3
UFARANSA: Watu 13 wamekamatwa kwa kutengeneza na kuuza vyeti bandia 62,000 vya #COVID19 jijini Paris na Lyon
Uchunguzi umebaini kundi hilo la wahalifu lilidukua akaunti ya nesi wa kituo cha Afya na kuanza kufoji vyeti hivyo
Soma - https://jamii.app/FakeCOVID19Pass
#UVIKO3
Uchunguzi umebaini kundi hilo la wahalifu lilidukua akaunti ya nesi wa kituo cha Afya na kuanza kufoji vyeti hivyo
Soma - https://jamii.app/FakeCOVID19Pass
#UVIKO3
INDIA: MAAMBUKIZI YA COVID-19 YAPUNGUA DELHI, MIGAHAWA YAFUNGULIWA
Migahawa, baa na kumbi za sinema zitaruhusiwa kufanya kazi kwa sharti la kuchukua watu 50% ya uwezo
#Delhi ilikuwa miongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa zaidi na Wimbi la Tatu
Soma https://jamii.app/COVIDDelhi
#UVIKO3
Migahawa, baa na kumbi za sinema zitaruhusiwa kufanya kazi kwa sharti la kuchukua watu 50% ya uwezo
#Delhi ilikuwa miongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa zaidi na Wimbi la Tatu
Soma https://jamii.app/COVIDDelhi
#UVIKO3
👍1
#COVID19: Denmark imeondoa masharti ya Uvaaji Barakoa kwenye Usafiri wa Umma, Madukani, kwenye Migahawa pamoja na amri ya kuonesha cheti cha Chanjo maeneo ya Burudani na Mapumziko
Maafisa wa Afya wasema idadi ya wagonjwa mahututi imepungua
Soma - https://jamii.app/VizuiziOffDen
#UVIKO3 #Governance
Maafisa wa Afya wasema idadi ya wagonjwa mahututi imepungua
Soma - https://jamii.app/VizuiziOffDen
#UVIKO3 #Governance
👍1
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimesema Mawakili 65 wamefariki dunia kwa #COVID19 tangu kutangazwa kisa cha kwanza cha Ugonjwa huo Machi 16, 2020
Serikali imechukua hatua kadhaa kudhibiti maambukizi ikiwemo kutoa chanjo bila malipo
Soma - https://jamii.app/Mawakili65Corona
#UVIKO3
Serikali imechukua hatua kadhaa kudhibiti maambukizi ikiwemo kutoa chanjo bila malipo
Soma - https://jamii.app/Mawakili65Corona
#UVIKO3
AUSTRALIA KUFUNGUA MIPAKA BAADA YA TAKRIBAN MIAKA MIWILI
Itafungua Mipaka kwa Wasafiri waliopata chanjo dhidi ya #COVID19 ifikapo Februari 21
#Australia ni miongoni mwa Nchi zilizoweka kanuni kali zaidi Mipakani kufuatia Mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/MipakaAus
#UVIKO3
Itafungua Mipaka kwa Wasafiri waliopata chanjo dhidi ya #COVID19 ifikapo Februari 21
#Australia ni miongoni mwa Nchi zilizoweka kanuni kali zaidi Mipakani kufuatia Mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/MipakaAus
#UVIKO3
ATHARI ZA COVID-19: Huduma za Msingi za Afya zikiwemo programu za Chanjo na matibabu ya magonjwa kama UKIMWI ziliripotiwa kuathiriwa kwa 92% katika Nchi 129
WHO imesema huduma ziliathiriwa kwa kiasi kikubwa, huku kukiwa na maboresho kidogo
Soma https://jamii.app/AthariHudumaAfya
#UVIKO3 #JFAfya
WHO imesema huduma ziliathiriwa kwa kiasi kikubwa, huku kukiwa na maboresho kidogo
Soma https://jamii.app/AthariHudumaAfya
#UVIKO3 #JFAfya