FACEBOOK KUACHA KUTUMIA MFUMO WA "FACIAL RECOGNITION"
Itafuta alama za Sura (Faceprint) zaidi ya Bilioni 1 baada ya kutangaza itaachana na mfumo wake wa utambuzi wa Sura
Kumekuwa na shinikizo kutokana na wasiwasi unaozunguka Teknolojia hiyo
Soma https://jamii.app/FBFaceRecognition
#JFTech
Itafuta alama za Sura (Faceprint) zaidi ya Bilioni 1 baada ya kutangaza itaachana na mfumo wake wa utambuzi wa Sura
Kumekuwa na shinikizo kutokana na wasiwasi unaozunguka Teknolojia hiyo
Soma https://jamii.app/FBFaceRecognition
#JFTech
UTAJIRI WA KAMPUNI YA APPLE WAZIDI GDP YA AFRIKA
Kampuni ya Apple imefikisha thamani ya Dola trilioni 3 (takriban Tsh. Trilioni 6,920.88) katika Soko la Hisa
Pato la Ndani la Afrika (GDP) ni Dola Trilioni 2.6 sawa na Tsh. Trilioni 5,998.1
Soma - https://jamii.app/AppleUtajiri
#JFTech
Kampuni ya Apple imefikisha thamani ya Dola trilioni 3 (takriban Tsh. Trilioni 6,920.88) katika Soko la Hisa
Pato la Ndani la Afrika (GDP) ni Dola Trilioni 2.6 sawa na Tsh. Trilioni 5,998.1
Soma - https://jamii.app/AppleUtajiri
#JFTech
MASHIRIKA YA NDEGE YAHOFIA ATHARI ZA 5G KWENYE MAWASILIANO YA NDEGE
Jana, Januari 19, 2022 huduma ya Mtandao wa 5G ilianza kutumika Nchini Marekani kwa kuwashwa Minara 4500 ambayo inadaiwa inaweza kuathiri mawasiliano ya Ndege za #Boeing777
Mashirika makubwa ikiwemo Emirates, Air India, All Nippon Airways, Japan Airlines, Lufthansa na British Airways yamesitisha safari zake
Soma - https://jamii.app/5GVsAirlines
#5GTechnology #JFTech
Jana, Januari 19, 2022 huduma ya Mtandao wa 5G ilianza kutumika Nchini Marekani kwa kuwashwa Minara 4500 ambayo inadaiwa inaweza kuathiri mawasiliano ya Ndege za #Boeing777
Mashirika makubwa ikiwemo Emirates, Air India, All Nippon Airways, Japan Airlines, Lufthansa na British Airways yamesitisha safari zake
Soma - https://jamii.app/5GVsAirlines
#5GTechnology #JFTech
Wataalamu wanasema Roketi ya Tajiri Elon Musk, #SpaceX iliyorushwa 2015 na kushindwa kurudi Duniani iko kwenye mwendo wa kugonga sehemu ya Mwezi (dark side of the Moon) Machi 4, 2022
Hata hivyo, hakutakuwa na madhara katika tukio hilo la kugongana
Soma - https://jamii.app/MbalamweziRoketi
#JFTech
Hata hivyo, hakutakuwa na madhara katika tukio hilo la kugongana
Soma - https://jamii.app/MbalamweziRoketi
#JFTech
Mitandao ya Kijamii imetajwa kama moja ya njia kuu ambazo Intaneti huathiri Afya ya Akili
Hii hutokea unapojilinganisha na watu wengine au kuhisi wasiwasi kuhusu kutopata 'Likes' za kutosha ikielezwa vitendo hivi vinaporudiwa mara kwa mara inakuwa uraibu
Unapotumia Mitandao ya Kijamii usiweke nguvu kubwa kufurahisha watumiaji wengine
Soma - https://jamii.app/InternetMentalHealth
#MentalHealth #JFTech
Hii hutokea unapojilinganisha na watu wengine au kuhisi wasiwasi kuhusu kutopata 'Likes' za kutosha ikielezwa vitendo hivi vinaporudiwa mara kwa mara inakuwa uraibu
Unapotumia Mitandao ya Kijamii usiweke nguvu kubwa kufurahisha watumiaji wengine
Soma - https://jamii.app/InternetMentalHealth
#MentalHealth #JFTech
KOREA KASKAZINI YADAIWA KUIBA FEDHA KUPITIA UDUKUZI
Wataalamu wa UN wanasema Fedha hizo zimekuwa zikitumika kufadhili miradi ya Nyuklia na Makombora
Inaelezwa Wadukuzi waliiba zaidi ya Dola milioni 50 Mwaka 2020 mpaka katikati ya 2021
Soma https://jamii.app/UdukuziKZUN
#CyberCrimes #JFTech
Wataalamu wa UN wanasema Fedha hizo zimekuwa zikitumika kufadhili miradi ya Nyuklia na Makombora
Inaelezwa Wadukuzi waliiba zaidi ya Dola milioni 50 Mwaka 2020 mpaka katikati ya 2021
Soma https://jamii.app/UdukuziKZUN
#CyberCrimes #JFTech
Elon Musk ametangaza kuwa atasitisha ununuzi wa #Twitter kwa kuwa kampuni hiyo haikumpa ushirikiano alipohitaji taarifa za Akaunti Feki katika jukwaa hilo
> Aidha, atatakiwa kulipa takriban Tsh. Trilioni 2.3 kwa kuvunja Mkataba
Soma - https://jamii.app/MuskTwitter
#JFTech
> Aidha, atatakiwa kulipa takriban Tsh. Trilioni 2.3 kwa kuvunja Mkataba
Soma - https://jamii.app/MuskTwitter
#JFTech
😁16👍12
MITANDAO NI DARASA TOSHA, INATUMIKA IPASAVYO?
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema #Teknolojia ni Mwalimu mzuri, na Ujuzi/Mafunzo mengi yapo Mitandaoni. Hata hivyo, watu wengi hawaitumii ipasavyo kujifunza
Ni kitu gani umefanikiwa kujifunza kupitia Mtandao na unakitumia mara kwa mara?
Soma https://jamii.app/AdvMitandao
#JFDigitali #Technology #JFTech
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema #Teknolojia ni Mwalimu mzuri, na Ujuzi/Mafunzo mengi yapo Mitandaoni. Hata hivyo, watu wengi hawaitumii ipasavyo kujifunza
Ni kitu gani umefanikiwa kujifunza kupitia Mtandao na unakitumia mara kwa mara?
Soma https://jamii.app/AdvMitandao
#JFDigitali #Technology #JFTech
👍6❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Kwa mara ya kwanza, China imeandaa mechi ya Soka inayochezwa na Roboti wa umbo la binadamu (humanoid robots) wanaojiendesha kwa kutumia Akili Unde (#AI), bila msaada wa Binadamu
Mechi hiyo ilifanyika mwishoni mwa mwezi Juni, 2025 katika Chuo Kikuu cha Tsinghua, Beijing, kama maandalizi ya Mshindano ya Dunia ya Roboti (World Humanoid Robot Games) yatakayofanyika Agosti 2025. Roboti hao walitumia AI kutambua mpira, kuchambua mazingira, kufanya maamuzi na kucheza
Licha ya Roboti hao kuangukaanguka na kuwaacha watazamaji 'wakifa mbavu' kwa vicheko, tukio hili linaonesha mafanikio makubwa Kiteknolojia nchini humo na huenda kwa miaka ijayo yakashuhudiwa Mapinduzi makubwa kwenye ulimwengu wa Soka
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ChinaRobotiSoka
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFTeknoloji #JFTech #AkiliUnde #AI #Soka #Michezo #JFSports #HumanoidRobots
Mechi hiyo ilifanyika mwishoni mwa mwezi Juni, 2025 katika Chuo Kikuu cha Tsinghua, Beijing, kama maandalizi ya Mshindano ya Dunia ya Roboti (World Humanoid Robot Games) yatakayofanyika Agosti 2025. Roboti hao walitumia AI kutambua mpira, kuchambua mazingira, kufanya maamuzi na kucheza
Licha ya Roboti hao kuangukaanguka na kuwaacha watazamaji 'wakifa mbavu' kwa vicheko, tukio hili linaonesha mafanikio makubwa Kiteknolojia nchini humo na huenda kwa miaka ijayo yakashuhudiwa Mapinduzi makubwa kwenye ulimwengu wa Soka
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ChinaRobotiSoka
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFTeknoloji #JFTech #AkiliUnde #AI #Soka #Michezo #JFSports #HumanoidRobots