#UCLDRAW: BAYERN, BARCA KUNDI MOJA. JUVE, PSG KUNDI MOJA
Katika Droo hiyo Kundi C na Kundi H yanaonekana kuwa makundi magumu
Hatua ya Makundi itaanza kuchezwa Septemba 6 & 7, 2022 hadi Novemba 1 & 2, 2022. Fainali ikichezwa Juni 10, 2023
Soma https://jamii.app/UCLDraw2023
#JFSports
Katika Droo hiyo Kundi C na Kundi H yanaonekana kuwa makundi magumu
Hatua ya Makundi itaanza kuchezwa Septemba 6 & 7, 2022 hadi Novemba 1 & 2, 2022. Fainali ikichezwa Juni 10, 2023
Soma https://jamii.app/UCLDraw2023
#JFSports
👍3
UEFA: NEWCASTLE YATUPWA KUNDI LA KIFO, MAN. UTD USO KWA USO NA BAYERN
Droo ya kupanga makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kwa msimu wa 2023/24 imechezeshwa leo ambapo Bingwa Mtetezi, Man. City amepangwa Kundi G linaloonekana kuwa jepesi kwake
Manchester United imeangukia Kundi A pamoja na Vigogo wa Ujerumani, Bayern Munich. Newcastle inayorejea kwenye michuano hiyo kwa mara ya kwanza tangu ishiriki msimu wa 2002/03 imepangwa kundi la kifo
#JamiiForums #UCLDraw #UCL
Droo ya kupanga makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kwa msimu wa 2023/24 imechezeshwa leo ambapo Bingwa Mtetezi, Man. City amepangwa Kundi G linaloonekana kuwa jepesi kwake
Manchester United imeangukia Kundi A pamoja na Vigogo wa Ujerumani, Bayern Munich. Newcastle inayorejea kwenye michuano hiyo kwa mara ya kwanza tangu ishiriki msimu wa 2002/03 imepangwa kundi la kifo
#JamiiForums #UCLDraw #UCL
❤5👍3
UEFA 2022/23: GUARDIOLA KOCHA BORA, HAALAND MCHEZAJI BORA
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameshinda tuzo ya Kocha bora kwa timu za Wanaume kwa msimu uliopita baada ya kuiwezesha timu yake kutwaa Ubingwa
Aidha, Mshambuliaji wa timu hiyo, Erling Haaland ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume kwa msimu uliopita. Alikuwa Mfungaji Bora akiwa na Magoli 12
#JamiiForums #UCLDraw #UCL
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameshinda tuzo ya Kocha bora kwa timu za Wanaume kwa msimu uliopita baada ya kuiwezesha timu yake kutwaa Ubingwa
Aidha, Mshambuliaji wa timu hiyo, Erling Haaland ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume kwa msimu uliopita. Alikuwa Mfungaji Bora akiwa na Magoli 12
#JamiiForums #UCLDraw #UCL
👍10❤3