#JFDATA: Takwimu za mauzo ya Simu zilizotolewa na Mtandao wa #StatCounter zimeonesha Kampuni ya #Samsung inaongoza kwa idadi kubwa ya Simu zake kununuliwa kwenye Soko la #Afrika huku ikishika nafasi ya pili kwenye Soko la Dunia
Kampuni ya #Apple yenye Simu za #iPhone iko nafasi ya 2 kwenye Soko la Afrika huku ikiongoza kwenye Soko la Dunia ikiwa na 30.61% ya Wateja. Kampuni za #China zinazozalisha Simu za #Huawei, #Xiaomi, #Oppo, #Tecno, #Itel, #Infinix na #Vivo nazo zimeendelea kushika Soko la Afrika
Vipi Mdau, unatumia Simu gani hapo?
Soma https://jamii.app/MobileShare
#JamiiForums #DigitalRights #JFDigitali
Kampuni ya #Apple yenye Simu za #iPhone iko nafasi ya 2 kwenye Soko la Afrika huku ikiongoza kwenye Soko la Dunia ikiwa na 30.61% ya Wateja. Kampuni za #China zinazozalisha Simu za #Huawei, #Xiaomi, #Oppo, #Tecno, #Itel, #Infinix na #Vivo nazo zimeendelea kushika Soko la Afrika
Vipi Mdau, unatumia Simu gani hapo?
Soma https://jamii.app/MobileShare
#JamiiForums #DigitalRights #JFDigitali
❤2👍1🤯1