This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Kwa mujibu wa Ripoti ya #SpeedtestGlobalIndex ya Julai 2023, #AfrikaKusini ndio Nchi yenye Intaneti ya Simu yenye Kasi zaidi Barani Afrika ikiwa na uwezo wa kupakua 'Megabits' 45.06 kwa Sekunde
#Tanzania iko nafasi ya 14 Afrika ikiwa na Kasi ya 'Megabits' 21.07. Kwa upande wa Afrika Mashariki, #Uganda imetajwa kuongoza ikiwa na Kasi ya 'Megabits' 38.53, #Rwanda 27.34 na #Kenya 24.20
Vipi Mdau, unaridhishwa na Kasi ya Intaneti ukilinganisha na gharama unazolipa?
#JamiiForums #DigitalRights #JFDigitali #InternetSpeed
#Tanzania iko nafasi ya 14 Afrika ikiwa na Kasi ya 'Megabits' 21.07. Kwa upande wa Afrika Mashariki, #Uganda imetajwa kuongoza ikiwa na Kasi ya 'Megabits' 38.53, #Rwanda 27.34 na #Kenya 24.20
Vipi Mdau, unaridhishwa na Kasi ya Intaneti ukilinganisha na gharama unazolipa?
#JamiiForums #DigitalRights #JFDigitali #InternetSpeed
🥴5❤3👍1