Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema leo Aprili 8, 2024 dunia inatarajia kushuhudia tukio la Kupatwa kwa Jua Kikamilifu (Solar Eclipse) ambapo Mwezi utazuia kabisa Mwanga wa Jua, hata hivyo tukio hilo halitakuwa na athari zozote kwa upande wa Tanzania
TMA imesema nchi zitakazoshuhudia zaidi tukio hilo ni za Bara la Amerika Kaskazini kupitia #Mexico, Marekani na #Canada. Kwa upande wa Tanzania hali hiyo haitaonekana kwasababu iko eneo la mbali kutoka njia ya Kupatwa kwa Jua Kikamilifu
Vipi Mdau, unakumbuka nini katika Matukio ya Kupatwa kwa Jua na Mwezi?
Soma https://jamii.app/TMASolarEclipse
#JamiiForums #ClimateChange #JFMatukio #SolarEclipse
TMA imesema nchi zitakazoshuhudia zaidi tukio hilo ni za Bara la Amerika Kaskazini kupitia #Mexico, Marekani na #Canada. Kwa upande wa Tanzania hali hiyo haitaonekana kwasababu iko eneo la mbali kutoka njia ya Kupatwa kwa Jua Kikamilifu
Vipi Mdau, unakumbuka nini katika Matukio ya Kupatwa kwa Jua na Mwezi?
Soma https://jamii.app/TMASolarEclipse
#JamiiForums #ClimateChange #JFMatukio #SolarEclipse
👍4