JamiiForums
52.4K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Leo Septemba 11, 2023 ni kumbukumbu ya miaka 22 tangu Kundi la Al-Qaeda lililokuwa chini ya Osama Bin Laden lifanye shambulio kwa kutumia Ndege na kugonga Majengo Pacha ya World Trade Center (WTC) mwaka 2001 na kuua zaidi ya Watu 2,763

Ulikuwa wapi wakati shambulio hili linatokea?

Soma https://jamii.app/Sept11Anniversary

#JamiiForums #September11 #JFMatukio