MOROCCO: TETEMEKO LA ARDHI LAUA WATU 296
Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu mkubwa Mji wa #Marrakesh na Miji mingine ambayo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant
Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia. Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa
Soma https://jamii.app/TetemekoMorocco
#EarthQuake #ClimateChange #JamiiForums
Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu mkubwa Mji wa #Marrakesh na Miji mingine ambayo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant
Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia. Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa
Soma https://jamii.app/TetemekoMorocco
#EarthQuake #ClimateChange #JamiiForums
💔8😢3👍1