JamiiForums
52.4K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MOROCCO: TETEMEKO LA ARDHI LAUA WATU 296

Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu mkubwa Mji wa #Marrakesh na Miji mingine ambayo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant

Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia. Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa

Soma https://jamii.app/TetemekoMorocco

#EarthQuake #ClimateChange #JamiiForums
💔8😢3👍1