This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akitoa amri kuhusu kesi dhidi ya Tundu Lissu kurushwa moja kwa moja (#LiveStreaming), Agosti 18, 2025 Hakimu Mkazi Mfawidhi, Franco Kiswaga amesema Mahakama imesitisha matangazo ya moja kwa moja (LIVE), utangazaji, usambazaji wa moja kwa moja au aina nyingine ya uenezaji wa moja kwa moja kwa umma ikijumuisha na mitandao ya kijamii hadi pale itakapotolewa amri nyingineyo.
Soma zaidi https://jamii.app/KuripotiLissuKibaliMahakamani
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #Demokrasia #UchaguziMkuu2025 #Democracy #Governance
Soma zaidi https://jamii.app/KuripotiLissuKibaliMahakamani
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #Demokrasia #UchaguziMkuu2025 #Democracy #Governance
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akitoa amri kuhusu kesi dhidi ya Tundu Lissu kurushwa moja kwa moja (#LiveStreaming), Agosti 18, 2025 Hakimu Mkazi Mfawidhi, Franco Kiswaga amesema kuchapisha na kusambaza nakala zenye ushahidi au ushahidi wowote utakaoweza kufichua mashaidi wa kiraia kesi ya Lissu inakatazwa na ni marufuku bila idhini ya Mahakama.
Pia ameongeza kwa kusema “Mtu au Vyombo vya Habari vinavyotaka kuchapisha habari kuhusu mwenendo wa kesi ya Lissu “committal proceedings” au mashahidi ni lazima vipeleke maombi mahakamani ili kuonesha kuhariri na kuondolewa kwa utambulisho na Mahakama kuu umekamilika na uchapishaji hautafichua utambulisho wa mashahidi wanaolindwa na Mahakama”
Soma https://jamii.app/VibaliMahakamaKesiLissu
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #Demokrasia #UchaguziMkuu2025 #Democracy #Governance
Pia ameongeza kwa kusema “Mtu au Vyombo vya Habari vinavyotaka kuchapisha habari kuhusu mwenendo wa kesi ya Lissu “committal proceedings” au mashahidi ni lazima vipeleke maombi mahakamani ili kuonesha kuhariri na kuondolewa kwa utambulisho na Mahakama kuu umekamilika na uchapishaji hautafichua utambulisho wa mashahidi wanaolindwa na Mahakama”
Soma https://jamii.app/VibaliMahakamaKesiLissu
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #Demokrasia #UchaguziMkuu2025 #Democracy #Governance