Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
KENYA: Mamlaka ya Usimamizi wa Mazingira ya Kitaifa (NEMA) imeielekeza Halmashauri ya Kaunti ya Jiji la Nairobi kuondoa taka zilizoachwa nje ya Makao makuu ya Kampuni ya Kenya Power and Lighting Company (KPLC), kufuatia mzozo unaoendelea kuhusu gharama za Huduma ambazo hazijalipwa
Pamoja na kumwaga Uchafu, Halmashauri ya Jiji la #Nairobi imeziba njia ya Maji taka katika ofisi za KPLC katikati ya jiji la Nairobi, hali iliyosababisha kutiririka kwa Majitaka Barabarani na kuhatarisha Mazingira
KPLC inailaumu Kaunti ya Nairobi kwa kushindwa kulipa deni lake la Umeme linalofikia Ksh. Bilioni 3 (Tsh. 60,583,158,475), huku kaunti nayo ikidai KPLC ina deni la Ksh. Bilioni 4.8 (Tsh. 96,933,053,559.80) kama ada kwa matumizi ya Ardhi ya Umma na Miundombinu kwa ajili ya nyaya za Umeme (wayleave fees)
Soma https://jamii.app/KLPCvsCityHall
#JamiiForums #JFMatukio #KenyaPower #NairobiCityCouncil #Kplc #NCC
Pamoja na kumwaga Uchafu, Halmashauri ya Jiji la #Nairobi imeziba njia ya Maji taka katika ofisi za KPLC katikati ya jiji la Nairobi, hali iliyosababisha kutiririka kwa Majitaka Barabarani na kuhatarisha Mazingira
KPLC inailaumu Kaunti ya Nairobi kwa kushindwa kulipa deni lake la Umeme linalofikia Ksh. Bilioni 3 (Tsh. 60,583,158,475), huku kaunti nayo ikidai KPLC ina deni la Ksh. Bilioni 4.8 (Tsh. 96,933,053,559.80) kama ada kwa matumizi ya Ardhi ya Umma na Miundombinu kwa ajili ya nyaya za Umeme (wayleave fees)
Soma https://jamii.app/KLPCvsCityHall
#JamiiForums #JFMatukio #KenyaPower #NairobiCityCouncil #Kplc #NCC