#JFWOMEN: Kuwapa Wanawake fursa sawa za kujipatia kipato na kushiriki katika shughuli za Kiuchumi kunaweza kuinua hali yao ya Kiuchumi na Kijamii
Wanawake wanapopata fursa za kazi bora, Ujuzi na #Elimu, wanaweza kujenga njia za Kujitegemea, kuwekeza katika Maendeleo yao Binafsi na Familia zao na hatimaye kuchangia katika Ujenzi wa Jamii yenye usawa na endelevu
Soma https://jamii.app/PengoLaKijinsia
#JamiiForums #WomenRights #HumanRights #GenderBalance #GenderGap
Wanawake wanapopata fursa za kazi bora, Ujuzi na #Elimu, wanaweza kujenga njia za Kujitegemea, kuwekeza katika Maendeleo yao Binafsi na Familia zao na hatimaye kuchangia katika Ujenzi wa Jamii yenye usawa na endelevu
Soma https://jamii.app/PengoLaKijinsia
#JamiiForums #WomenRights #HumanRights #GenderBalance #GenderGap
👍4
Kwa Nchi 146 zilizojumuishwa katika Ripoti ya Global Gender Gap Report 2023, kwa upande wa Afya na Uhai, pengo la kijinsia limezibwa kwa 96%. Hii inaonesha kuna mafanikio makubwa katika kuhakikisha upatikanaji wa Huduma za Afya kwa wote bila kujali Jinsia
Katika eneo la Elimu, pengo la Kijinsia limezibwa kwa 95.2%, hii ni ishara ya kuongezeka kwa fursa sawa za Elimu kwa Wanawake na Wanaume
Soma https://jamii.app/GenderGapWorld
#JamiiForums #JFWomen #GenderGap #GenderEquality
Katika eneo la Elimu, pengo la Kijinsia limezibwa kwa 95.2%, hii ni ishara ya kuongezeka kwa fursa sawa za Elimu kwa Wanawake na Wanaume
Soma https://jamii.app/GenderGapWorld
#JamiiForums #JFWomen #GenderGap #GenderEquality
👍4❤1🤔1