JamiiForums
52.4K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Unapoendesha Gari wakati wa Mvua au Ukungu unashauriwa kutumia Mwendo mdogo/wastani kwasababu Barabara nyingi huteleza na ni vigumu kuona njia vizuri. Mwendo Mdogo humsaidia Dereva kuweza kulimudu Gari vyema

Aidha, unashauriwa Usipite kwenye mafuriko au Maji mengi. Magurudumu ya Gari huelea kwenye Maji kutokana na Upepo ndani yake; hivyo hufanya iwe rahisi kuzolewa na Maji

Soma https://jamii.app/GariMvuaUkungu

#Driving #JFGarage #Maarifa #JamiiForums
👍8🙏2👎1