Unapoendesha Gari wakati wa Mvua au Ukungu unashauriwa kutumia Mwendo mdogo/wastani kwasababu Barabara nyingi huteleza na ni vigumu kuona njia vizuri. Mwendo Mdogo humsaidia Dereva kuweza kulimudu Gari vyema
Aidha, unashauriwa Usipite kwenye mafuriko au Maji mengi. Magurudumu ya Gari huelea kwenye Maji kutokana na Upepo ndani yake; hivyo hufanya iwe rahisi kuzolewa na Maji
Soma https://jamii.app/GariMvuaUkungu
#Driving #JFGarage #Maarifa #JamiiForums
Aidha, unashauriwa Usipite kwenye mafuriko au Maji mengi. Magurudumu ya Gari huelea kwenye Maji kutokana na Upepo ndani yake; hivyo hufanya iwe rahisi kuzolewa na Maji
Soma https://jamii.app/GariMvuaUkungu
#Driving #JFGarage #Maarifa #JamiiForums
👍8🙏2👎1