VAN DER SAR AVUJA DAMU KWENYE UBONGO, ALAZWA ICU
Golikipa wa zamani wa #ManchesterUnited, Edwin van der Sar amepata tatizo la kuvuja damu kwenye ubongo na yuko katika chumba cha Wagonjwa Walio Chini ya Uangalizi Maalum (ICU) nchini #Croatia
Taarifa iliyotolewa na Klabu ya #Ajax ambapo #VanDerSar alikuwa anahudumu kama Mtendaji Mkuu baada ya kustaafu soka, imesema nguli huyo wa soka anaendelea vizuri
Soma https://jamii.app/VanDerSar_ICU
#JFSports
Golikipa wa zamani wa #ManchesterUnited, Edwin van der Sar amepata tatizo la kuvuja damu kwenye ubongo na yuko katika chumba cha Wagonjwa Walio Chini ya Uangalizi Maalum (ICU) nchini #Croatia
Taarifa iliyotolewa na Klabu ya #Ajax ambapo #VanDerSar alikuwa anahudumu kama Mtendaji Mkuu baada ya kustaafu soka, imesema nguli huyo wa soka anaendelea vizuri
Soma https://jamii.app/VanDerSar_ICU
#JFSports
👍13😢2
#ManchesterUnited inahitaji Winga wa Kulia baada ya #Antony kuwa nje akishughulikia tuhuma zinazomkabili wakati #JadonSancho hatma yake haijulikani baada ya kutofatiana na Kocha wake, Erik ten Hag
El Ghazi (28) ni Mchezaji Huru baada ya kuondoka PSV Eindhoven ya Uholanzi wiki iliyopita kwa makubaliano maalum na klabu hiyo
Aidha, El Ghazi ni Mchezaji wa Zamani wa #Ajax, #AstonVilla na #Everton
Soma https://jamii.app/UsajiliWaUnited
#JFSports #JamiiForums
El Ghazi (28) ni Mchezaji Huru baada ya kuondoka PSV Eindhoven ya Uholanzi wiki iliyopita kwa makubaliano maalum na klabu hiyo
Aidha, El Ghazi ni Mchezaji wa Zamani wa #Ajax, #AstonVilla na #Everton
Soma https://jamii.app/UsajiliWaUnited
#JFSports #JamiiForums
👍4👏1