Mdau wa JamiiForums.com ametoa kero yake juu ya Waajiri wa Sekta Binafsi wasiowasilisha Michango ya Wafanyakazi huku akidai Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (#NSSF) unasuasua kuchukua hatua dhidi ya Waajiri wa aina hiyo
Vipi Mdau, umewahi kupata usumbufu gani katika kufuatilia Mafao yako?
Soma https://jamii.app/NSSFMichango
#JamiiForums #SocialJustice #Accountabity #Governance
Vipi Mdau, umewahi kupata usumbufu gani katika kufuatilia Mafao yako?
Soma https://jamii.app/NSSFMichango
#JamiiForums #SocialJustice #Accountabity #Governance
👍5