RUVUMA: MWANAFUNZI AFARIKI KWA KIPIGO KUTOKANA NA KUFELI MTIHANI WA MOCK
Mwanafunzi aliumia na kupata uvimbe kwenye paja la kulia na katikati ya mgongo na ndipo Wazazi wake walipompeleka Kituo cha Afya
Walimu sita wanashikiliwa na Polisi
Soma - https://jamii.app/KifoMtihaniMock
#JFLeo
Mwanafunzi aliumia na kupata uvimbe kwenye paja la kulia na katikati ya mgongo na ndipo Wazazi wake walipompeleka Kituo cha Afya
Walimu sita wanashikiliwa na Polisi
Soma - https://jamii.app/KifoMtihaniMock
#JFLeo
WIZARA YA MAWASILIANO YAPIGA MARUFUKU WANANCHI KUSAINISHWA MIKATABA ILIYO KATIKA LUGHA YA KIGENI
Naibu Waziri, Mhandisi Kundo Mathew amesema mikataba ya Lugha Ngeni ina nia ovu kwa Wananchi
> Ili ieleweke inapaswa kuwa kwa Kingereza na Kiswahili
Soma https://jamii.app/LughaNgeni
Naibu Waziri, Mhandisi Kundo Mathew amesema mikataba ya Lugha Ngeni ina nia ovu kwa Wananchi
> Ili ieleweke inapaswa kuwa kwa Kingereza na Kiswahili
Soma https://jamii.app/LughaNgeni
RAIS MACRON ANAONGOZA ORODHA YA WANAOLENGWA NA UDUKUZI
Kwa mujibu wa Gazeti la #Washington Post, miongoni mwa Namba 50,000 za Simu zilizo kwenye orodha ya udukuzi, zipo namba za Rais wa Afrika Kusini (aliyelengwa na Rwanda) na Barham Salih wa #Iraq
Soma https://jamii.app/MacronNSOAttack
Kwa mujibu wa Gazeti la #Washington Post, miongoni mwa Namba 50,000 za Simu zilizo kwenye orodha ya udukuzi, zipo namba za Rais wa Afrika Kusini (aliyelengwa na Rwanda) na Barham Salih wa #Iraq
Soma https://jamii.app/MacronNSOAttack
NJOMBE: WANAFUNZI WATORO WALIPISHWA FAINI YA TSH. 5000 KWA KUTOFIKA SHULENI
Wakazi wa Mavanga, wilaya ya Ludewa wamelalamikia faini hiyo kwa kila siku mwanafunzi anayoshindwa kufika shuleni
> Aidha wamelalamika kulipishwa Tsh. 10,000 ya walimu wanaojitolea
Soma https://jamii.app/NjombeWatoro
Wakazi wa Mavanga, wilaya ya Ludewa wamelalamikia faini hiyo kwa kila siku mwanafunzi anayoshindwa kufika shuleni
> Aidha wamelalamika kulipishwa Tsh. 10,000 ya walimu wanaojitolea
Soma https://jamii.app/NjombeWatoro
NJOMBE: JIKO LA MKAA CHUMBANI LASABABISHA VIFO
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issah amesema waliofariki ni Benitho Mbatha (23) na Jazila Said (27)
> Wawili hao waliingiza jiko la mkaa chumbani ili kupunguza baridi ndani
Soma https://jamii.app/MkaaNjombe
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issah amesema waliofariki ni Benitho Mbatha (23) na Jazila Said (27)
> Wawili hao waliingiza jiko la mkaa chumbani ili kupunguza baridi ndani
Soma https://jamii.app/MkaaNjombe
MYNAMAR: MADAKTARI WAJIFICHA HUKU WAGONJWA WAKIZIDI ONGEZEKA
Wagonjwa wa #COVID19 waongezeka huku wengi wakitibiwa nyumbani kutokana na Hospitali kukosa Madaktari na Vifaa Tiba
> Oksijeni imeendelea kuwa haba kwa ongezeko la Wagonjwa
Soma https://jamii.app/MynmarCOVID19
#UVIKO3
Wagonjwa wa #COVID19 waongezeka huku wengi wakitibiwa nyumbani kutokana na Hospitali kukosa Madaktari na Vifaa Tiba
> Oksijeni imeendelea kuwa haba kwa ongezeko la Wagonjwa
Soma https://jamii.app/MynmarCOVID19
#UVIKO3
MADHARA YA KULALA NA JIKO LA MKAA NDANI
Endapo utalala na Jiko la Mkaa ndani ya chumba halafu umefunga Milango pamoja na Madirisha yote, itasababisha Jiko litumie #Oxygen nyingi kuendelea kuwaka na litazalisha kiwango kikubwa cha #Carbonmonoxide ambayo ni mbaya kwa Binadamu
Hali ambayo husababisha Mtu kukosa kabisa hewa na matokeo yake ni kushindwa kupumua na kupoteza Maisha.
#JamiiForums #Afya
Endapo utalala na Jiko la Mkaa ndani ya chumba halafu umefunga Milango pamoja na Madirisha yote, itasababisha Jiko litumie #Oxygen nyingi kuendelea kuwaka na litazalisha kiwango kikubwa cha #Carbonmonoxide ambayo ni mbaya kwa Binadamu
Hali ambayo husababisha Mtu kukosa kabisa hewa na matokeo yake ni kushindwa kupumua na kupoteza Maisha.
#JamiiForums #Afya
IJUE PEGASUS INAYOTUMIWA NA MAMLAKA MBALIMBALI KUFUATILIA WANAHARAKATI NA WANAHABARI
Imetengenezwa 2018 na NSO (Kampuni Israel), inaweza kudukua hadi iOS 14.6
> NSO imedai iliitengeneza ili kudhibiti wahalifu ila Mamlaka zinaitumia vibaya
Soma https://jamii.app/Pegasus
#DigitalSecurity
Imetengenezwa 2018 na NSO (Kampuni Israel), inaweza kudukua hadi iOS 14.6
> NSO imedai iliitengeneza ili kudhibiti wahalifu ila Mamlaka zinaitumia vibaya
Soma https://jamii.app/Pegasus
#DigitalSecurity
POLISI: MBOWE ALISAFIRISHWA KWENDA DAR KUHOJIWA KWA MAKOSA MENGINE
Polisi Mkoa wa Mwanza imesema Freeman Mbowe alikamatwa Julai 21, 2021 na alipelekwa Dar kwa mahojiano
> Atarudishwa Mwanza kuungana na wenzake wanaoshikiliwa kuhusiana na Kongamano
Soma https://jamii.app/MboweDar
#JFLeo
Polisi Mkoa wa Mwanza imesema Freeman Mbowe alikamatwa Julai 21, 2021 na alipelekwa Dar kwa mahojiano
> Atarudishwa Mwanza kuungana na wenzake wanaoshikiliwa kuhusiana na Kongamano
Soma https://jamii.app/MboweDar
#JFLeo
AZAN ZUNGU: UJERUMANI YENYEWE IMEWEKA 'SOLIDARITY FUND'
Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu amesema kodi imewekwa kwaajili ya Watu wenye uwezo ambapo kati ya Watu Milioni 50 wanaomiliki line za Simu, Watu Milioni 20 hawalipi hii kodi
Asema "Ujerumani yenyewe imeweka 'Solidarity Fund' ili kuwasaidia wenye uwezo mdogo. Ukikatwa usijiwaze wewe, waza wale ambao wana hali ya chini kuliko wewe"
Soma - https://jamii.app/ZunguTozoSimu
#TozoYaMiamala
Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu amesema kodi imewekwa kwaajili ya Watu wenye uwezo ambapo kati ya Watu Milioni 50 wanaomiliki line za Simu, Watu Milioni 20 hawalipi hii kodi
Asema "Ujerumani yenyewe imeweka 'Solidarity Fund' ili kuwasaidia wenye uwezo mdogo. Ukikatwa usijiwaze wewe, waza wale ambao wana hali ya chini kuliko wewe"
Soma - https://jamii.app/ZunguTozoSimu
#TozoYaMiamala
MADAGASCAR: RAIS ANUSURIKA KUUAWA
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amenusurika katika jaribio la mauaji
> Raia kadhaa wa kigeni wamekamatwa kufuatia tukio hilo wakiwemo Raia wawili wa Ufaransa
Soma https://jamii.app/AssasinationAttempt
#JFLeo
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amenusurika katika jaribio la mauaji
> Raia kadhaa wa kigeni wamekamatwa kufuatia tukio hilo wakiwemo Raia wawili wa Ufaransa
Soma https://jamii.app/AssasinationAttempt
#JFLeo
TANZIA: ANNA MGHWIRA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa #Kilimanjaro, Anna Elisha Mghwira amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mount Meru, Arusha
Aligombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo mwaka 2015
#JFLeo #RIPMghwira
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa #Kilimanjaro, Anna Elisha Mghwira amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mount Meru, Arusha
Aligombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo mwaka 2015
#JFLeo #RIPMghwira
MTEJA ANA HAKI YA KUPATA TAARIFA KUHUSU HUDUMA AU BIDHAA
Kutangaza bidhaa Mtandaoni bila taarifa sahihi huleta usumbufu kwa kuwa Wateja hupata bidhaa ambazo hawakuzitarajia
> Ukitangaza biashara weka taarifa zote ikiwemo bei
Soma https://jamii.app/TaarifaBidhaa
#BiasharaNaDigitali
Kutangaza bidhaa Mtandaoni bila taarifa sahihi huleta usumbufu kwa kuwa Wateja hupata bidhaa ambazo hawakuzitarajia
> Ukitangaza biashara weka taarifa zote ikiwemo bei
Soma https://jamii.app/TaarifaBidhaa
#BiasharaNaDigitali
USAFI WA MWILI: Inashauriwa kuoga kila siku kwa kutumia sabuni na Maji ili kuondoa Seli zilizokufa kwenye Ngozi, Mafuta pamoja na Bakteria
Unapooga hakikisha unasugua vizuri maeneo ambayo huzalisha Jasho kwa wingi ikiwemo Kwapani, Katikati ya vidole vya Miguu, na sehemu za siri
Pia, unashauriwa kuosha Nywele zako kwa 'Shampoo' angalau mara moja kwa wiki, au zaidi ikiwezekana. Tumia 'Deodorant' wakati umeshaukausha Mwili vizuri ili kuzuia harufu.
#JamiiForums #PersonalHygiene #Usafi
Unapooga hakikisha unasugua vizuri maeneo ambayo huzalisha Jasho kwa wingi ikiwemo Kwapani, Katikati ya vidole vya Miguu, na sehemu za siri
Pia, unashauriwa kuosha Nywele zako kwa 'Shampoo' angalau mara moja kwa wiki, au zaidi ikiwezekana. Tumia 'Deodorant' wakati umeshaukausha Mwili vizuri ili kuzuia harufu.
#JamiiForums #PersonalHygiene #Usafi
PROF. LIPUMBA APATA CHANJO YA CORONA, ASHAURI WANANCHI WAJITOKEZE KUPATA CHANJO
M/Kiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba amepata chanjo ya kwanza ya COVID-19 ktk kliniki ya UN, Masaki
> Amewashauri Wananchi kujitokeza kupata chanjo hiyo
Soma https://jamii.app/LipumbaChanjo
#UVIKO3
M/Kiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba amepata chanjo ya kwanza ya COVID-19 ktk kliniki ya UN, Masaki
> Amewashauri Wananchi kujitokeza kupata chanjo hiyo
Soma https://jamii.app/LipumbaChanjo
#UVIKO3
LINDI: WATU WATATU WAUAWA KUTOKANA NA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI
Chande Magoma alimkuta Mfugaji akilisha ktk shamba lake wakapigana na kupata majeraha yaliyopelekea vifo vyao
> Pia, Wanakijiji walimuua kijana 1 wakiamini ni Jamii ya Wafugaji
Soma https://jamii.app/MauajiLindi
Chande Magoma alimkuta Mfugaji akilisha ktk shamba lake wakapigana na kupata majeraha yaliyopelekea vifo vyao
> Pia, Wanakijiji walimuua kijana 1 wakiamini ni Jamii ya Wafugaji
Soma https://jamii.app/MauajiLindi
JamiiForums inatoa Salamu za Rambirambi/Pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa #Kilimanjaro, Anna Elisha Mghwira
-
Marehemu amekuwa Mwanachama Hai wa JamiiForums kwa zaidi ya miaka 9, akishiriki na kuanzisha mijadala yenye tija hususani kuhusu Sekta ya Elimu Tanzania
-
Tunawaombea faraja wote walioguswa na Msiba huu na Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi
#RIPMghwira
-
Marehemu amekuwa Mwanachama Hai wa JamiiForums kwa zaidi ya miaka 9, akishiriki na kuanzisha mijadala yenye tija hususani kuhusu Sekta ya Elimu Tanzania
-
Tunawaombea faraja wote walioguswa na Msiba huu na Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi
#RIPMghwira
IRINGA: MIKUTANO ISIYO YA LAZIMA YAZUIWA ILI KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA COVID-19
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Queen Sendiga amesema maambukizi ya #COVID19 yanaongezeka mkoani humo
> Ametoa wito kwa Wananchi kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa
Soma https://jamii.app/CoronaIringa
#UVIKO3
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Queen Sendiga amesema maambukizi ya #COVID19 yanaongezeka mkoani humo
> Ametoa wito kwa Wananchi kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa
Soma https://jamii.app/CoronaIringa
#UVIKO3