TWITTER NA FACEBOOK ZAFUTA AKAUNTI ZINAZOFADHILIWA KUENEZA UONGO
- Facebook imesema umeondoa mamia ya akaunti zilizolenga kuwashambulia watu Marekani na Vietnam
- Twitter imesema imezifuta akaunti 6,000 zilizokuwa zikitumiwa na Saudi Arabia
Zaidi, soma https://jamii.app/TwitterFB-Accounts
- Facebook imesema umeondoa mamia ya akaunti zilizolenga kuwashambulia watu Marekani na Vietnam
- Twitter imesema imezifuta akaunti 6,000 zilizokuwa zikitumiwa na Saudi Arabia
Zaidi, soma https://jamii.app/TwitterFB-Accounts
MIKOPO NA MISAADA YENYE MASHARTI NAFUU YAHOFIWA KUPUNGUA KWA TANZANIA
> Waziri wa Fedha amesema watu wengi wanatamani Tanzania iingie kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati lakini hatua hiyo itapunguza misaada ya fedha za miradi ya maendeleo
> Nchi zinazoingia kwenye Uchumi wa Kati, Taasisi za Fedha hasa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Benki ya Dunia (WB) hupunguza utoaji wa mikopo kwa nchi husika
Soma - https://jamii.app/PunguzoMikopoMisaadaTZ
> Waziri wa Fedha amesema watu wengi wanatamani Tanzania iingie kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati lakini hatua hiyo itapunguza misaada ya fedha za miradi ya maendeleo
> Nchi zinazoingia kwenye Uchumi wa Kati, Taasisi za Fedha hasa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Benki ya Dunia (WB) hupunguza utoaji wa mikopo kwa nchi husika
Soma - https://jamii.app/PunguzoMikopoMisaadaTZ
TANZANIA YAZIDI KUNG'ARA KATIKA MAPAMBANO YA RUSHWA
> Katika mkutano wa 8 wa nchi wanachama wa United Nation Convention Against Corruption, Tanzania imesema imefanya maboresho ktk Mfumo wa Sheria ikiwemo Ushirikiano wa Kimataifa ktk Uchunguzi
> Aidha, imeboresha Sheria zinazoongoza suala la ufuatiliaji, urejeshwaji wa mali na utaifishaji wa mali zinazopatikana kwa njia ya Rushwa na Uhalifu
Soma - https://jamii.app/RipotiVitaRushwaTz
> Katika mkutano wa 8 wa nchi wanachama wa United Nation Convention Against Corruption, Tanzania imesema imefanya maboresho ktk Mfumo wa Sheria ikiwemo Ushirikiano wa Kimataifa ktk Uchunguzi
> Aidha, imeboresha Sheria zinazoongoza suala la ufuatiliaji, urejeshwaji wa mali na utaifishaji wa mali zinazopatikana kwa njia ya Rushwa na Uhalifu
Soma - https://jamii.app/RipotiVitaRushwaTz
SAKATA LA WATU 55 KUDHURIKA KWA CHAKULA CHA MSIBANI: MIKUSANYIKO YA MISIBA SASA KUOMBEWA KIBALI
> Serikali Mkoani Dodoma imetoa Amri ya muda kuzuia mikusanyiko kwenye misiba katika Mtaa wa Mtumba na kuwataka wakazi hao kupata kibali cha Mkuu wa Wilaya kukusanyika kwenye msiba wowote mtaani hapo
> Amri hiyo imetolewa kwasababu za kiusalama kutokana na kujirudia kwa matukio ya aina hiyo ambapo mwaka 2017 watu 2 walifariki
Soma - https://jamii.app/AmriKibaliMsiba
> Serikali Mkoani Dodoma imetoa Amri ya muda kuzuia mikusanyiko kwenye misiba katika Mtaa wa Mtumba na kuwataka wakazi hao kupata kibali cha Mkuu wa Wilaya kukusanyika kwenye msiba wowote mtaani hapo
> Amri hiyo imetolewa kwasababu za kiusalama kutokana na kujirudia kwa matukio ya aina hiyo ambapo mwaka 2017 watu 2 walifariki
Soma - https://jamii.app/AmriKibaliMsiba
RAIS MAGUFULI ASAINI SHERIA YA WATANZANIA KUPIMA WENYEWE VVU
- Amesaini Sheria ya Watanzania kujipima wenyewe Virusi vya UKIMWI (VVU) na inayoruhusu umri wa kupima virusi vya ugonjwa huo bila ridhaa ya mzazi au mlezi kuwa miaka 15
Soma https://jamii.app/KupimaUkimwiMwenyewe
- Amesaini Sheria ya Watanzania kujipima wenyewe Virusi vya UKIMWI (VVU) na inayoruhusu umri wa kupima virusi vya ugonjwa huo bila ridhaa ya mzazi au mlezi kuwa miaka 15
Soma https://jamii.app/KupimaUkimwiMwenyewe
NI KWELI WANAOPENDA KUOMBA MSAADA SANA WAO HUWA WAGUMU KUSAIDIA WENZAO?
> Mdau ndani ya JamiiForums.com anasema watu wa aina hii wakiwa na shida huwa wanaongoza kuwalalamikia na kuwasema vibaya watu ambao wanawaona wana uwezo ila wanashindwa kuwasaidia lakini wao wakipata baada ya kusaidiwa wanabadilika na kusahau wema waliotendewa
> Je, unakubaliana au kupingana na mawazo ya mdau kwa kiwango gani?
Kwa mjadala zaidi, tembelea - https://jamii.app/UbinafsiWapendaMsaada
> Mdau ndani ya JamiiForums.com anasema watu wa aina hii wakiwa na shida huwa wanaongoza kuwalalamikia na kuwasema vibaya watu ambao wanawaona wana uwezo ila wanashindwa kuwasaidia lakini wao wakipata baada ya kusaidiwa wanabadilika na kusahau wema waliotendewa
> Je, unakubaliana au kupingana na mawazo ya mdau kwa kiwango gani?
Kwa mjadala zaidi, tembelea - https://jamii.app/UbinafsiWapendaMsaada
INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWENYE MAANDAMANO YAFIKIA 23
- Maelfu ya watu wamejiunga na wimbi jipya la maandamano dhidi ya Sheria mpya ya Uraia
- Idadi hiyo imepanda siku moja baada ya kuzuka maandamano ya vurugu kwenye Jimbo la Uttar Pradesh
Zaidi, soma https://jamii.app/IndiaWaliofariki23Maandamabo
- Maelfu ya watu wamejiunga na wimbi jipya la maandamano dhidi ya Sheria mpya ya Uraia
- Idadi hiyo imepanda siku moja baada ya kuzuka maandamano ya vurugu kwenye Jimbo la Uttar Pradesh
Zaidi, soma https://jamii.app/IndiaWaliofariki23Maandamabo
RAIS TRUMP ASAINI SHERIA YA KUUNDWA KWA KIKOSI CHA KIJESHI ANGANI
> Rais wa Marekani amesaini Sheria inayoruhusu kuundwa kwa Kituo cha Kijeshi cha Angani na kuwapa wafanyakazi wa Serikali kuu wiki 12 za likizo ya Uzazi kwa Wazazi wote wawili
> Hatua hiyo itawezesha kuanzishwa kwa Kituo cha Kijeshi cha Angani kilichopendekezwa na Trump ikiwa ni Tawi la sita la Jeshi la Marekani
Soma - https://jamii.app/USSpaceForce
> Rais wa Marekani amesaini Sheria inayoruhusu kuundwa kwa Kituo cha Kijeshi cha Angani na kuwapa wafanyakazi wa Serikali kuu wiki 12 za likizo ya Uzazi kwa Wazazi wote wawili
> Hatua hiyo itawezesha kuanzishwa kwa Kituo cha Kijeshi cha Angani kilichopendekezwa na Trump ikiwa ni Tawi la sita la Jeshi la Marekani
Soma - https://jamii.app/USSpaceForce
KATAVI: DAKTARI MBARONI KWA KUIBA DAWA NA VIFAA VYA TIBA HOSPITALINI
> Mganga Mfawidhi, Calvin Mnaso (37) amekamatwa kwa kukutwa na maboksi 5 ya dawa, vifaa vya kupima maradhi ya binadamu, vifaa vya kufanyia operesheni na tohara, godoro moja pamoja na sindano ambavyo vyote ni mali ya Serikali
Soma - https://jamii.app/DktWiziDawaVifaa
> Mganga Mfawidhi, Calvin Mnaso (37) amekamatwa kwa kukutwa na maboksi 5 ya dawa, vifaa vya kupima maradhi ya binadamu, vifaa vya kufanyia operesheni na tohara, godoro moja pamoja na sindano ambavyo vyote ni mali ya Serikali
Soma - https://jamii.app/DktWiziDawaVifaa
TETESI ZA SOKA: JADON SANCHO MBIONI KUJIUNGA CHELSEA
- Inadaiwa, Chelsea ipo mbioni kumsajili mchezaji huyo (19) wa Borussia Dortmund anayewindwa pia na klabu za Liverpool na Manchester United
- Inaelezwa kuwa, Chelsea inashughulikia uhamisho huo unaoweza kuifanya kuvunja rekodi yao ya usajili ambapo inadaiwa kuwa imeiarifu Dortmund kuwa ipo tayari kutoa zaidi ya Paundi Milioni 100
- Inadaiwa, Chelsea ipo mbioni kumsajili mchezaji huyo (19) wa Borussia Dortmund anayewindwa pia na klabu za Liverpool na Manchester United
- Inaelezwa kuwa, Chelsea inashughulikia uhamisho huo unaoweza kuifanya kuvunja rekodi yao ya usajili ambapo inadaiwa kuwa imeiarifu Dortmund kuwa ipo tayari kutoa zaidi ya Paundi Milioni 100
POLISI KUTOA MAELEZO YA KUKAMATWA KWA TITO MAGOTI WA LHRC
> Kamanda Lazaro Mambosasa amesema kesho Desemba 23 watatoa taarifa za kukamatwa kwa Ofisa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti
> Magoti alichukuliwa siku ya Ijumaa eneo la Mwenge na baadaye Polisi walisema wako naye kwa ajili ya mahojiano
Soma - https://jamii.app/PolisiMaelezoKukamatwaTito
> Kamanda Lazaro Mambosasa amesema kesho Desemba 23 watatoa taarifa za kukamatwa kwa Ofisa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti
> Magoti alichukuliwa siku ya Ijumaa eneo la Mwenge na baadaye Polisi walisema wako naye kwa ajili ya mahojiano
Soma - https://jamii.app/PolisiMaelezoKukamatwaTito
KIBORILONI, MOSHI: WATU WANAKUNYWA BIA KWA KUTUMIA VIKOMBE VYA CHAI
> Mdau wa JamiiForums anaripoti kuwa ameshuhudia bia ikiuzwa kwenye vikombe vya plastiki
> Anadai, wanywaji wanatumia mbinu hiyo kukwepa mkono wa Serikali
Kwa hoja hii, soma > https://jamii.app/PombeVikombe
> Mdau wa JamiiForums anaripoti kuwa ameshuhudia bia ikiuzwa kwenye vikombe vya plastiki
> Anadai, wanywaji wanatumia mbinu hiyo kukwepa mkono wa Serikali
Kwa hoja hii, soma > https://jamii.app/PombeVikombe
HONDURAS: WAFUNGWA 16 WAUAWA BAADA YA KUZUKA KWA GHASIA NDANI YA GEREZA
> Wafungwa hao wameuawa baada ya makundi 2 ya kihalifu ktk Gereza la El Porvenir kuingia kwenye mapigano
> Walitumia visu na silaha za moto
Zaidi, soma > https://jamii.app/MauajiWafungwaHonduras
#JamiiForums
> Wafungwa hao wameuawa baada ya makundi 2 ya kihalifu ktk Gereza la El Porvenir kuingia kwenye mapigano
> Walitumia visu na silaha za moto
Zaidi, soma > https://jamii.app/MauajiWafungwaHonduras
#JamiiForums
DRC: MILA NA DESTURI ZATAJWA KUWA KIKWAZO KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA EBOLA
> Jinsi shughuli za mazishi zinavyofanyika DRC, kulala na maiti, kumuogesha na kumvika nguo marehemu, ni baadhi ya mila zinazosababisha kuenea kwa ugonjwa huo katika maeneo ya Mashariki mwa nchi hiyo ambapo zaidi ya watu 2300 wamefariki
Soma - https://jamii.app/MilaDesturiEbola
> Jinsi shughuli za mazishi zinavyofanyika DRC, kulala na maiti, kumuogesha na kumvika nguo marehemu, ni baadhi ya mila zinazosababisha kuenea kwa ugonjwa huo katika maeneo ya Mashariki mwa nchi hiyo ambapo zaidi ya watu 2300 wamefariki
Soma - https://jamii.app/MilaDesturiEbola
IJUE SHERIA: Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura Namba 20 Marejeo ya mwaka 2002 - Haki za Raia wa Tanzania
#IjueSheria
#IjueSheria
RAIS PIERRE NKURUNZIZA ATANGAZA KUONDOKA MADARAKANI 2020
> Rais wa Burundi amebainisha kutogombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, hatua ambayo imewashangaza Raia wengi huku wapinzani wake wakijiuliza kama kauli yake itakuwa na ukweli
> Kuna uvumi kwamba kiongozi huyo ana nia ya kuwania Kiti cha Urais katika uchaguzi ujao
Soma - https://jamii.app/NkurunzizaKutogombea2020
> Rais wa Burundi amebainisha kutogombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, hatua ambayo imewashangaza Raia wengi huku wapinzani wake wakijiuliza kama kauli yake itakuwa na ukweli
> Kuna uvumi kwamba kiongozi huyo ana nia ya kuwania Kiti cha Urais katika uchaguzi ujao
Soma - https://jamii.app/NkurunzizaKutogombea2020
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
POLISI: HATUNA TAARIFA ZA KUKAMATWA TITO MAGOTI
> Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mussa Taibu amesema hawana taarifa za kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanaharakati, Tito Magoti
> Jana, Kamanda Mambosasa alisema leo wangetoa maelezo kuhusu kukamatwa kwa Ofisa huyo wa Kituo cha Haki za Binadamu pamoja na wenzake watatu
#JFLeo
> Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mussa Taibu amesema hawana taarifa za kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanaharakati, Tito Magoti
> Jana, Kamanda Mambosasa alisema leo wangetoa maelezo kuhusu kukamatwa kwa Ofisa huyo wa Kituo cha Haki za Binadamu pamoja na wenzake watatu
#JFLeo