LEO NI SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAHABARI DUNIANI
- Ripoti ya Kamati ya Kuwalinda Wanahabari Ulimwenguni(CPJ) imeeleza kuwa Mataifa 13 yamekumbwa na visa vya mauaji ya kikatili dhidi ya Wanahabari
- Mauaji haya yanatekelezwa na vikundi vya uhalifu, viongozi wa kisiasa, na Wafanyabiashara kwa lengo la kuficha uovu wao
Zaidi, soma https://jamii.app/CPJVsImpunity
- Ripoti ya Kamati ya Kuwalinda Wanahabari Ulimwenguni(CPJ) imeeleza kuwa Mataifa 13 yamekumbwa na visa vya mauaji ya kikatili dhidi ya Wanahabari
- Mauaji haya yanatekelezwa na vikundi vya uhalifu, viongozi wa kisiasa, na Wafanyabiashara kwa lengo la kuficha uovu wao
Zaidi, soma https://jamii.app/CPJVsImpunity
MAKONDA APIGA MARUFUKU KAMPUNI YA NYANZA KUPEWA MRADI DAR
- RC Makonda aipiga marufuku TANROADS kuipa mradi Kampuni hiyo ya Ujenzi ndani ya mkoa wa Dar
- Ni baada ya Kampuni hiyo kutumia miezi 12 kujenga Barabara ya Km 3.2 ya Kitunda-Kivule
Zaidi, soma https://jamii.app/NyanzaMradiDar
- RC Makonda aipiga marufuku TANROADS kuipa mradi Kampuni hiyo ya Ujenzi ndani ya mkoa wa Dar
- Ni baada ya Kampuni hiyo kutumia miezi 12 kujenga Barabara ya Km 3.2 ya Kitunda-Kivule
Zaidi, soma https://jamii.app/NyanzaMradiDar
MALI: WANAJESHI 35 WAFARIKI BAADA YA KAMBI YA JESHI KUSHAMBULIWA
- Wameuawa katika shambulio lililotokea jana kwenye Kambi ya Jeshi huko Indelimane
- Al-Qaeda na makundi yanayoshirikiana na kundi la Dola la Kiislamu yanahusishwa na shambulio
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanajeshi35Wauawa-Mali
- Wameuawa katika shambulio lililotokea jana kwenye Kambi ya Jeshi huko Indelimane
- Al-Qaeda na makundi yanayoshirikiana na kundi la Dola la Kiislamu yanahusishwa na shambulio
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanajeshi35Wauawa-Mali
MAONI YA WANANCHI SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKATILI KWA WANAHABARI
- Watanzania wanasema wenye madaraka huwashawishi Polisi wawanyamazishe Wanahabari
- Raia wa Afrika Mashariki wanaunga mkono Uhuru wa Habari kuliko Udhibiti wa Serikali
Soma > https://jamii.app/UhuruHabari
#JFLeo
- Watanzania wanasema wenye madaraka huwashawishi Polisi wawanyamazishe Wanahabari
- Raia wa Afrika Mashariki wanaunga mkono Uhuru wa Habari kuliko Udhibiti wa Serikali
Soma > https://jamii.app/UhuruHabari
#JFLeo
MAONI YA WANANCHI: Raia wa Tanzania na Kenya wanasema Uhuru wa Vyombo vya Habari ni nyenzo nzuri ya Demokrasia
- Watanzania na Waganda, wanaamini wana haki ya kuwakosoa viongozi wao lakini mara zote wameshindwa kutumia haki hii
Zaidi, soma > https://jamii.app/UhuruHabari
#EndImpunity
- Watanzania na Waganda, wanaamini wana haki ya kuwakosoa viongozi wao lakini mara zote wameshindwa kutumia haki hii
Zaidi, soma > https://jamii.app/UhuruHabari
#EndImpunity
BAKWATA: MAADHIMISHO YA MAULID KUFANYIKA NOVEMBA 09
- BAKWATA imetangaza kuwa Novemba 09, 2019 yatafanyika maadhimisho ya Kitaifa ya Maulid jijini Mwanza
- Baraza la Maulid litafanyika Novemba 10, katika Ukumbi wa Benki Kuu (BOT) Capripoint
Zaidi, soma https://jamii.app/Maulid2019
- BAKWATA imetangaza kuwa Novemba 09, 2019 yatafanyika maadhimisho ya Kitaifa ya Maulid jijini Mwanza
- Baraza la Maulid litafanyika Novemba 10, katika Ukumbi wa Benki Kuu (BOT) Capripoint
Zaidi, soma https://jamii.app/Maulid2019
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: JENGO MOJA LATEKETEA KWA MOTO
- Ghorofa moja lililopo Kariakoo, Mtaa Livingstone na Mkunguni linawaka moto huku chanzo kikiwa hakijajulikana bado
- Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji kimeshawasili na juhudi za kuuzima moto zinaendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/MotoGhorofaKKoo
- Ghorofa moja lililopo Kariakoo, Mtaa Livingstone na Mkunguni linawaka moto huku chanzo kikiwa hakijajulikana bado
- Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji kimeshawasili na juhudi za kuuzima moto zinaendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/MotoGhorofaKKoo
MICHEZO: Klabu ya Manchester United ikiwa ugenini katika uwanja wa Vitality imefungwa goli 1-0 na Klabu ya Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu England, Mzunguko wa 11
- Kwa matokeo hayo, Bournemouth ipo nafasi ya 6 katika msimamo wa Ligi ikiwa na alama 16 huku Manchester United ikiwa nafasi ya 8 na alama 13
- Kwa matokeo hayo, Bournemouth ipo nafasi ya 6 katika msimamo wa Ligi ikiwa na alama 16 huku Manchester United ikiwa nafasi ya 8 na alama 13
WANAHABARI WATANZANIA WALIOFARIKI NA KUPATA MISUKOSUKO WAKIWA KAZINI
- Stanley Katabalo, alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mfanyakazi, aliibua kashfa ya Pori Tengefu la Loliondo
- Yadaiwa, habari hizi zilimgharimu maisha yake
Soma > https://jamii.app/KumbukumbuWanahabari
#EndImpunity
- Stanley Katabalo, alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mfanyakazi, aliibua kashfa ya Pori Tengefu la Loliondo
- Yadaiwa, habari hizi zilimgharimu maisha yake
Soma > https://jamii.app/KumbukumbuWanahabari
#EndImpunity
- Daudi Mwangosi, alikuwa Mwandishi wa "Channel Ten', alifariki kwa kulipuliwa na Bomu la Machozi
> Alikuwa Nyololo, Iringa akiripoti kuhusu Mkutano wa CHADEMA
#EndImpunity #JFLeo
> Alikuwa Nyololo, Iringa akiripoti kuhusu Mkutano wa CHADEMA
#EndImpunity #JFLeo
- Adam Mwaibabile maarufu 'Mwana' huyu aliwahi kuwekwa rumande na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Nicodemus Banduka kwa kukutwa na nyaraka za Serikali zenye Muhuri wa 'SIRI'
#EndImpunity #JFLeo
#EndImpunity #JFLeo
- Azory Gwanda, alitoweka wakati akiendelea kuripoti yanayojiri Kibiti, Mkuranga na Ikwiriri
- Maeneo hayo kulikuwa na mauaji ya raia yaliyokuwa yakitekelezwa na Watu wasiojulikana
#EndImpunity #JFLeo
- Maeneo hayo kulikuwa na mauaji ya raia yaliyokuwa yakitekelezwa na Watu wasiojulikana
#EndImpunity #JFLeo
UFARANSA: WAHAMIAJI 31 WAKAMATWA NDANI YA LORI
- Kufuatia uchunguzi wa kawaida uliofanywa na Polisi barabarani, Wahamiaji 31 waliokuwa nyuma ya lori pamoja na watoto ambao hawakuwa na mzazi ama mlezi walikamatwa jana Jumamosi
Zaidi, soma https://jamii.app/Wahamiaji31LoriUfaransa
- Kufuatia uchunguzi wa kawaida uliofanywa na Polisi barabarani, Wahamiaji 31 waliokuwa nyuma ya lori pamoja na watoto ambao hawakuwa na mzazi ama mlezi walikamatwa jana Jumamosi
Zaidi, soma https://jamii.app/Wahamiaji31LoriUfaransa
SUDAN KUSINI: KAMANDA WA JESHI AWAPIGA NA STENDI YA KAMERA WANAHABARI WANAWAKE
- Wanahabari hao wamelalamikia kitendo hicho walichofanyiwa na Mkurugenzi wa Habari wa Jeshi
- Tukio hilo limeonekana ktk Kituo cha Televisheni cha Taifa
Soma > https://jamii.app/JeshiVsWanahabariSudan
#EndImpunity
- Wanahabari hao wamelalamikia kitendo hicho walichofanyiwa na Mkurugenzi wa Habari wa Jeshi
- Tukio hilo limeonekana ktk Kituo cha Televisheni cha Taifa
Soma > https://jamii.app/JeshiVsWanahabariSudan
#EndImpunity
RAIS MAGUFULI ATEUA CAG MPYA
- Leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof Mussa Assad
- Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014
Soma https://jamii.app/TeuziCAGKichere
- Leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof Mussa Assad
- Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014
Soma https://jamii.app/TeuziCAGKichere
RAIS MAGUFULI AMEAGIZA HALMASHAURI YA IFAKARA KUONGEZEWA KATA NA KILOMBERO KUBADILISHWA JINA
> Ifakara iongezewe idadi ya Kata kutoka Wilaya ya Kilombero na Makao Makuu yake yawe Ifakara
> Kilombero iitwe Mlimba na Makao Makuu yawe Mgeta
Soma > https://jamii.app/IfakaraKilomberoRais
> Ifakara iongezewe idadi ya Kata kutoka Wilaya ya Kilombero na Makao Makuu yake yawe Ifakara
> Kilombero iitwe Mlimba na Makao Makuu yawe Mgeta
Soma > https://jamii.app/IfakaraKilomberoRais
ONGEZEKO LA JOTO MALAWI: MAHAKAMA YASITISHA UTARATIBU WA MAJAJI NA MAWAKILI KUVAA KOFIA
- Joto hufikia nyuzi 45 kwa baadhi ya maeneo ndani ya Malawi
- Wakili Chikosa Silungwe amesema joto limesababisha kazi kuwa ngumu Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MalawiJudgesWigs
- Joto hufikia nyuzi 45 kwa baadhi ya maeneo ndani ya Malawi
- Wakili Chikosa Silungwe amesema joto limesababisha kazi kuwa ngumu Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MalawiJudgesWigs