HAKI ZA MTEJA: MWANASHERIA APANIA KUYASHTAKI MAKAMPUNI 4 YA MAWASILIANO
> Mwanasheria, Mwanachama wa JamiiForums Bashir Yakub analalamikia utaratibu wa kuisha vifurushi pamoja na kuchanganywa kwa vifurushi na muda wa kawaida
Habari zaidi, soma > https://jamii.app/KampuniSimuKushtakiwa
> Mwanasheria, Mwanachama wa JamiiForums Bashir Yakub analalamikia utaratibu wa kuisha vifurushi pamoja na kuchanganywa kwa vifurushi na muda wa kawaida
Habari zaidi, soma > https://jamii.app/KampuniSimuKushtakiwa
MTATIRO: NILIKUWA KIONGOZI CUF HUKU NIKIAMINI CCM NDIO BORA
- DC wa Tunduru, Julius Mtatiro amesema kwa miaka yote aliyokuwa CUF aliamini CCM ndiyo chama bora
- Amesema ameachana na madai ya mabadiliko ya Katiba na kujikita kwenye maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/Mtatiro-CCMBora
- DC wa Tunduru, Julius Mtatiro amesema kwa miaka yote aliyokuwa CUF aliamini CCM ndiyo chama bora
- Amesema ameachana na madai ya mabadiliko ya Katiba na kujikita kwenye maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/Mtatiro-CCMBora
JE, UNAFAHAMU NINI MAANA YA KATIBA NA UMUHIMU WAKE?
> Katiba ni mpangilio wa sheria zilizoandikwa au zisizoandikwa zinazotumika kuongoza Nchi, Taasisi au Kikundi
> Nchi zote zinahitaji Katiba ili ziweze kujiendesha vizuri. Nchi isiyo na katiba inaweza kuingia kwenye machafuko
Zaidi, soma > https://jamii.app/UmuhimuKatiba
#UmuhimuKatiba
> Katiba ni mpangilio wa sheria zilizoandikwa au zisizoandikwa zinazotumika kuongoza Nchi, Taasisi au Kikundi
> Nchi zote zinahitaji Katiba ili ziweze kujiendesha vizuri. Nchi isiyo na katiba inaweza kuingia kwenye machafuko
Zaidi, soma > https://jamii.app/UmuhimuKatiba
#UmuhimuKatiba
MAREKANI: DENI LA TAIFA LAZIDI KUONGEZEKA, NI SAWA NA KILA RAIA ANADAIWE ZAIDI YA TSH. MILIONI 160
> Taarifa ya Wizara ya Hazina inasema deni la ndani limeongezeka hadi kufikia Dola Trilioni 23 ambapo Dola Trilioni 17 ni madeni kutoka kwa raia na taasisi za fedha huku Dola Trilioni 6 ni deni kutoka mashirika ya Serikali.
Soma - https://jamii.app/IncreaseUSNationalDebt
> Taarifa ya Wizara ya Hazina inasema deni la ndani limeongezeka hadi kufikia Dola Trilioni 23 ambapo Dola Trilioni 17 ni madeni kutoka kwa raia na taasisi za fedha huku Dola Trilioni 6 ni deni kutoka mashirika ya Serikali.
Soma - https://jamii.app/IncreaseUSNationalDebt
MTIHANI YA TAIFA KWA KIDATO CHA 4 WAANZA LEO, WATAHINIWA 485,866 WASAJILIWA
> Jumla ya watahiniwa 485,866 wamesajiliwa kufanya mtihani huo kwa mwaka 2019 na kati yao wa shule ni 433,052 na 52,814 wa kujitegemea
> Kati ya watahiniwa hao wavulana ni 206,420 sawa na asilimia 47.67 na wasichana 226,632 sawa na asilimia 52.33 huku wanafunzi wenye mahitaji maalumu wakiwa 842
Soma - https://jamii.app/MtihaniTaifaKidato4
> Jumla ya watahiniwa 485,866 wamesajiliwa kufanya mtihani huo kwa mwaka 2019 na kati yao wa shule ni 433,052 na 52,814 wa kujitegemea
> Kati ya watahiniwa hao wavulana ni 206,420 sawa na asilimia 47.67 na wasichana 226,632 sawa na asilimia 52.33 huku wanafunzi wenye mahitaji maalumu wakiwa 842
Soma - https://jamii.app/MtihaniTaifaKidato4
IKULU: RAIS MAGUFULI KUWAAPISHA VIONGOZI WATEULE WAKIWEMO MAJAJI WA MAHAKAMA KUU
- Rais Magufuli anatarajiwa kuwaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua
- Charles Kichere aliyeteuliwa kuwa CAG wa 6 wa Tanzania tangu nchi ipate uhuru, ataapishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiCAGKichere
- Rais Magufuli anatarajiwa kuwaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua
- Charles Kichere aliyeteuliwa kuwa CAG wa 6 wa Tanzania tangu nchi ipate uhuru, ataapishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiCAGKichere
MICHEZO: Beki wa Klabu ya mpira ya Simba, Shomari Kapombe ametangaza rasmi kuhusu uamuzi wake wa kuandika barua ya kustaafu kuichezea Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)
-
Kapombe ametangaza kufikia uamuzi huo baada ya kutathmini afya yake, kwani anadai Taifa Stars inahitaji wachezaji watakaokuwa vizuri kiafya kwa asilimia 100 na upande wake haoni kama anaweza kujitoa kwa asilimia 100 kwa kuwa amekuwa akikumbwa na majeraha
-
Hata hivyo ameomba aendelee kuitumikia Timu yake ya Simba ambayo haina mashindano mengi ya Ligi
-
Kapombe ametangaza kufikia uamuzi huo baada ya kutathmini afya yake, kwani anadai Taifa Stars inahitaji wachezaji watakaokuwa vizuri kiafya kwa asilimia 100 na upande wake haoni kama anaweza kujitoa kwa asilimia 100 kwa kuwa amekuwa akikumbwa na majeraha
-
Hata hivyo ameomba aendelee kuitumikia Timu yake ya Simba ambayo haina mashindano mengi ya Ligi
IKULU: Charles Kichere akiapa kuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad aliyekuwa CAG kwa miaka mitano
- CAG Kichere alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe na awali alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
Fuatilia https://jamii.app/UapishajiCAGKichere
- CAG Kichere alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe na awali alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA
Fuatilia https://jamii.app/UapishajiCAGKichere
UMUHIMU WA KATIBA: #Katiba huainisha jinsi Raia wake wanaweza kupigania haki zao za Kibinadamu.
- Kwa hivyo #Katiba ni nyenzo muhimu sana ambayo husaidia kuzuia unyanyasaji na uvunjifu wa wa Haki za Binadamu
- #Katiba bora ni mlinzi wa Haki na Usawa ndani ya Taifa. Katiba inaweka na kuzitambulisha Haki za Watu wa Nchi yake
Soma > https://jamii.app/UmuhimuKatiba
- Kwa hivyo #Katiba ni nyenzo muhimu sana ambayo husaidia kuzuia unyanyasaji na uvunjifu wa wa Haki za Binadamu
- #Katiba bora ni mlinzi wa Haki na Usawa ndani ya Taifa. Katiba inaweka na kuzitambulisha Haki za Watu wa Nchi yake
Soma > https://jamii.app/UmuhimuKatiba
PROF. ASSAD: SIWEZI KUSEMA CHOCHOTE JUU YA UTEUZI WA CAG MPYA, SIJAPATA TAARIFA RASMI
> Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema alipoteuliwa alipewa barua ya uteuzi iliyoeleza mambo kadhaa ya kisheria na vifungu vya kisheria kuhusu uteuzi wake, lakini utenguzi huu umekuja bila taarifa hivyo anaendelea kusubiri huenda akapelekewa barua
Soma - https://jamii.app/ProfAssadUteuziCAG
> Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema alipoteuliwa alipewa barua ya uteuzi iliyoeleza mambo kadhaa ya kisheria na vifungu vya kisheria kuhusu uteuzi wake, lakini utenguzi huu umekuja bila taarifa hivyo anaendelea kusubiri huenda akapelekewa barua
Soma - https://jamii.app/ProfAssadUteuziCAG
IKULU: Maneno ya Rais Magufuli kwa Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere wakati akimuapisha kutumikia Wadhifa huo katika hafla iliyofanyika leo Novemba 04, 2019
Zaidi, tembelea https://jamii.app/UapishajiCAGKichere
Zaidi, tembelea https://jamii.app/UapishajiCAGKichere
WAZIRI JAFO: WATENDAJI WASIFUNGE OFISI LEO ILI WATU WOTE WALIOCHUKUA FOMU WAZIREJESHE
> Waziri wa TAMISEMI amepiga marufuku kwa Mtendaji katika eneo lolote nchini kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa wa Uchaguzi Serikali za Mitaa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 jioni
> Amesema, baada ya hapo hawataongeza muda wa kuchukua fomu, hivyo wananchi watumie vizuri muda uliobaki
Soma - https://jamii.app/OfisiWatendajiFomuUchaguzi
> Waziri wa TAMISEMI amepiga marufuku kwa Mtendaji katika eneo lolote nchini kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa wa Uchaguzi Serikali za Mitaa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 jioni
> Amesema, baada ya hapo hawataongeza muda wa kuchukua fomu, hivyo wananchi watumie vizuri muda uliobaki
Soma - https://jamii.app/OfisiWatendajiFomuUchaguzi
MSUMBIJI: TUME YA UCHAGUZI YAKIRI KULIKUWA NA DOSARI KWENYE UCHAGUZI MKUU
> Tume ya Uchaguzi imekiri kuwa kuliwepo na dosari kadhaa wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 15, ambapo Rais Filipe Nyusi alichaguliwa kwa Muhula wa Pili
> Ni baada ya Chama Kikuu cha Upinzani (RENAMO) kufungua kesi wiki iliyopita katika Mahakama ya Katiba kupinga ushindi wa Rais Nyusi, kikitaka uchaguzi huo ufutwe
Soma - https://jamii.app/MassiveElectoralFraud
> Tume ya Uchaguzi imekiri kuwa kuliwepo na dosari kadhaa wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 15, ambapo Rais Filipe Nyusi alichaguliwa kwa Muhula wa Pili
> Ni baada ya Chama Kikuu cha Upinzani (RENAMO) kufungua kesi wiki iliyopita katika Mahakama ya Katiba kupinga ushindi wa Rais Nyusi, kikitaka uchaguzi huo ufutwe
Soma - https://jamii.app/MassiveElectoralFraud
DR CONGO: MWANAHABARI ALIYEKUWA AKIHAMASISHA MAPAMBANO DHIDI YA EBOLA AUAWA
- Papy Mumbere Mahamba ameuawa na mkewe kujeruhiwa huku nyumba yao ikichomwa moto
- Chanzo hakijafahamika bado na Mamlaka zinachunguza kujua kama kinahusiana na kazi yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanahabariEbolaAuawa-DRC
- Papy Mumbere Mahamba ameuawa na mkewe kujeruhiwa huku nyumba yao ikichomwa moto
- Chanzo hakijafahamika bado na Mamlaka zinachunguza kujua kama kinahusiana na kazi yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanahabariEbolaAuawa-DRC
TABORA: AFARIKI BAADA YA KUNYANG'ANYWA HIRIZI NA POLISI WAKATI WA UPEKUZI
> Michael Paschal (33), dereva bodaboda anadaiwa kupoteza maisha baada ya kuporwa hirizi zake na Polisi wakati akifanyiwa upekuzi baada ya kumkaba na kumchania sare Askari aliyekuwa katika majukumu ya usalama barabarani
Soma - https://jamii.app/KifoKuporwaHirizi
> Michael Paschal (33), dereva bodaboda anadaiwa kupoteza maisha baada ya kuporwa hirizi zake na Polisi wakati akifanyiwa upekuzi baada ya kumkaba na kumchania sare Askari aliyekuwa katika majukumu ya usalama barabarani
Soma - https://jamii.app/KifoKuporwaHirizi